< Mambo ya Walawi 3 >

1 Kama mtu atoa dhabihu ambayo ni matoleo ya amani ya mnyama kutoka katika kundi, dume au jike, lazima atatoa mnyama asiyena kasoro mbele ya Bwana.
A jeźliby ofiara spokojna była ofiara jego, a byłaby z rogatego bydła, ofiarować będzie samca, albo samicę; zupełnie ofiarować je będzie przed obliczem Pańskiem.
2 Ataweka mikono yake juu ya sadaka yake na atamchinja mbele ya mlango wa hema ya kukutania. Kisha wana wa Haruni makuhani watanyunyizia damu yake katika pande za madhabahu.
I położy rękę swą na głowę ofiary swojej, i zabije ją kapłan przede drzwiami namiotu zgromadzenia; i wyleją synowie Aaronowi, kapłani, krew na wierzch ołtarza w około.
3 Mtu akitoa dhabihu ya amani itolewayo kwa moto kwa ajili ya Bwana. Mafuta yanayofunika au yanayoungana na hizo sehemu za ndani,
Potem ofiarować będzie z ofiary spokojnej paloną ofiarę Panu; tłustość okrywającą wnętrzności, i wszystkę tłustość, która jest na wnętrznościach.
4 figo mbili na mafuta yaliyofunika kiunoni na yanayozunguka ini, pamoja na figo atayatoa pamoja.
Obie też nerki z tłustością, która jest na nich, i na polędwicach, i odzieczkę, która na wątrobie, z nerkami odejmie.
5 Wana wa Haruni watayachoma hayo katika madhabahu pamoja na sadaka ya kutekezwa, juu ya kuni zilizo kwenye moto. Zitaleta harufu nzuri mbele ya Bwana; itakuwa sadaka ya itolewayo kwake kwa moto.
I zapalą to synowie Aaronowi na ołtarzu, pospołu z ofiarą całopalenia, która będzie na drwach, które są na ogniu; ofiara to ognista ku wdzięcznej wonności Panu.
6 Kama dhabihu ya amani ya mtu itolewayo kwa Bwana ni kutoka katika mifugo ni mbuzi au kondoo ni dume au jike, atatoa dhabihu isiyo na kasoro.
Ale jeźliby z drobnego bydła była ofiara jego na ofiarę spokojną Panu, samca albo samicę zupełne ofiarować je będzie.
7 Kama atatoa mwanakondoo kwa ajili ya dhabihu yake, atamtoa mbele za Bwana.
Jeźliby baranka ofiarował na ofiarę swoję, ofiarować go będzie przed obliczem Pańskiem.
8 Ataweka mkono wake juu ya ya kichwa cha dhabihu yake na atamchinja mbele ya hema ya kukutania. Ndipo wana wa Haruni watanyunyizia damu pande za madhabahu.
A włoży rękę swą na głowę ofiary swojej, i zabije ją przed namiotem zgromadzenia; i wyleją synowie Aaronowi krew jej na wierzch ołtarza w około.
9 Mtu akitoa sadaka ya dhabihu ya amani kama sadaka ya kusogezwa kwa moto kwa Bwana. Mafuta, mafuta ya mkia yatakatwa hapo karibu na mfupa wa kiuno, na mafuta yanayofunika matumbo na mafuta yaliyo katika matumbo,
I będzie ofiarował z ofiary spokojnej ofiarę ognistą Panu, tłustość jej, ogon cały, który od grzbietu odejmie, także i tłustość, okrywającą wnętrzności, i wszystkę tłustość, która jest na wnętrznościach.
10 na figo zote mbili na mafuta yanayofunika yaliyo karibu na kiuno kitambi kilicho karibu na ini na figo ataziondoa zote.
Obie też nerki z tłustością, która jest na nich, i na polędwicach, i odzieczkę, która na wątrobie, z nerkami odejmie.
11 Na kuhani atayatekeza yote kwa moto katika madhabahu kama sadaka ya chakula isogezwayo kwa moto kwa Bwana.
I zapali to kapłan na ołtarzu, pokarm to jest ofiary ognistej Panu.
12 Kama matoleo ya mtu ni mbuzi, ndipo ataitoa mbele ya Bwana.
Jeźliby zaś koza była ofiarą jego, tedy ją ofiarować będzie przed obliczem Pańskiem.
13 Ataweka mikono yake juu ya kichwa cha mbuzi na atamchinja mbele ya hema ya kukutania. Ndipo wana wa Haruni watanyunyizia damu pande zote za madhabahu.
I położy rękę swoję na głowę jej, i zabije ją przed namiotem zgromadzenia, i wyleją synowie Aaronowi krew jej na wierzch ołtarza w około.
14 Mtu akitoa dhabihu kwa Bwana kwa njia ya moto. Ataondoa mafuta yanayozunguka matumbo, na mafuta yote yanayozunguka matumbo.
I ofiarować będzie z niej ofiarę swoję na ofiarę ognistą Panu, tłustość okrywającą wnętrzności, i wszystkę tłustość, która jest na wnętrznościach.
15 Ataondoa pia figo mbili na mafuta yanayozunguka, ambayo yanazunguka kiuno na kitambi cha maini pamoja na figo.
Obie też nerki z tłustością która jest na nich i na polędwicach, i odzieczkę która na wątrobie, z nerkami odejmie.
16 Kuhani atateketeza yote juu ya madhabahu kama matoleo ya chakula yatolewayo kwa moto, ni sadaka ya kuleta harufu nzuri sana. Mafuta yote ni ya Bwana.
I zapali to kapłan na ołtarzu, pokarm to jest ofiary ognistej na wdzięczną wonność; bo wszystka tłustość jest Pańska.
17 Itakuwa ni amri ya kudumu kwa kizazi cha watu katika maeneo yote mtakapotengeneza makazi, kwamba hamtakula mafuta au damu.”'
Prawem wiecznem w narodziech waszych, we wszystkich mieszkaniach waszych, żadnej tłustości i żadnej krwi jeść nie będziecie.

< Mambo ya Walawi 3 >