< Mambo ya Walawi 23 >

1 Yahweh akamwambia Musa:
Adonai spoke to Moses [Drawn out], saying,
2 “Zungumza na watu wa Israeli, na uwaambie, 'Hizi ndizo sikukuu zilizoamriwa kwa ajili ya Yahweh, ambazo ni lazima mzitangaze kuwa makusanyiko matakatifu, ni sikukuu zangu za mara kwa mara.
“Speak to the children of Israel [God prevails], and tell them, ‘The set feasts of Adonai, which you shall proclaim to be holy convocations, even these are my set feasts.
3 Mnaweza kufanya kazi kwa siku sita, lakini siku ya saba ni Sabato ya kupumzika kabisa. Usifanye kazi kwa sababu ni Sabato kwa ajili ya Yahweh mahali pote mnaposhi.
“‘Six days shall work be done, but on the seventh day is a Sabbath ·To cease· of solemn rest, a holy convocation; you shall do no kind of work. It is a Sabbath ·To cease· to Adonai in all your dwellings.
4 Hizi ndizo sikukuu za Yahweh zilizoamriwa, Makusanyiko matakatifu mtakayoyatangaza kwa nyakati zilioamriwa:
“‘These are the set feasts of Adonai, even holy convocations, which you shall proclaim in their appointed season.
5 Katika mwenzi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi kwenye mwanga hafifu wa machweo ya jua, ni Pasaka ya Yahweh.
In the first month, on the fourteenth day of the month in the evening, is Adonai’s Pesac ·Passover·.
6 Siku ya kumi na tano ya mwezi ule ule ni sikukuu ya mikate isiotiwa hamira kwa ajili ya Yahweh. Kwa muda wa siku saba mtakula mikate isiotiwa hamira.
On the fifteenth day of the same month is the festival of Matzah ·Unleavened bread· to Adonai. Seven days you shall eat matzah ·unleavened bread·.
7 Siku ya kwanza ni lazima mjitenge kwa pamoja, hamtafanya kazi ya kawaida.
In the first day you shall have a holy convocation. You shall do no regular aboda ·service·.
8 Kwa siku saba mtamletea Yahweh matoleo ya chakula. Siku ya saba ni ya kusanyiko takatifu lililotengwa kwa ajili ya Yahweh, nanyi katika siku hiyo hamtafanya kazi yoyote ya kawaida.”
But you shall offer an offering made by fire to Adonai seven days. In the seventh day is a holy convocation: you shall do no regular aboda ·service·.’”
9 Yahweh akamwambia Musa, akisema,
Adonai spoke to Moses [Drawn out], saying,
10 “Sema na watu wa Israeli uwaambie, 'mtakapika kwenye nchi nitakayowapa nyinyi, na mtakapovuna mazao yake, nanyi yawapasa kumletea kuhani fungu la masuke ya nafaka ya matunda yake ya kwanza.
“Speak to the children of Israel [God prevails], and tell them, ‘When you have come into the land which I give to you, and shall reap its harvest, then you shall bring the sheaf of the first fruits of your harvest to the priest:
11 Naye ataliinua hilo fungu la masuke ya nafaka mbele za Yahweh na kulileta kwake, kwa kuwa litakubalika kwa niaba yenu. Nalo litaletwa siku baada ya Sabato ili kwamba kuhani ataliinua na kulileta kwangu.
and he shall wave the sheaf before Adonai, to be accepted for you. On the next day after the Sabbath ·To cease· the priest shall wave it.
12 Siku ile mtakapoliinua lile fungu la masuke ya nafaka na kulileta kwangu, itawabidi kutoa mwana—kondoo dume wa mwaka mmoja na asiye na dosari awe sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh.
On the day when you wave the sheaf, you shall offer a male lamb without defect a year old for a burnt offering to Adonai.
13 Matoleo ya nafaka yatakuwa sehemu za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta, uwe matoleo yaliyofanywa kwa moto kwa Yahweh, ili kutoa harufu nzuri ya kupendeza, pamoja na hiyo kutakuwa na matoleo ya kinywaji ya divai, moja ya nne ya hini.
The meal offering with it shall be one tenth of an ephah [two omers; 4.6 q; 4.4 L] of fine flour mingled with oil, an offering made by fire to Adonai for a pleasant aroma; and the drink offering with it shall be of wine, the fourth part of a hin [2.6 qt; 1.2 L].
14 Hamtakula mkate, wala nafaka iliyokaangwa au nafaka mpya hata siku ile mliyoleta matoleo haya kwa Mungu wenu. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu, popote pale mnapoishi.
You must not eat bread, or roasted grain, or fresh grain, until this same day, until you have brought the offering of your God. This is a regulation forever throughout all your generations in all your dwellings.
15 Tangu siku iliyofuata baada ya Sabato—hiyo ilikuwa siku mlipolileta lie fungu la nafaka la matoleo ya kutikiswa—hesabuni majuma saba kamili.
“‘You shall count from the next day after the Sabbath, from the day that you brought the sheaf of the wave offering; seven Sabbaths shall be completed:
16 Mtahesabu siku hamsini, ambazo zingekuwa siku baada ya Sabato ya saba. Kisha mtaleta matoleo ya nafaka mpya kwa Yahweh.
even to the next day after the seventh Sabbath ·To cease· you shall count fifty days; and you shall offer a new meal offering to Adonai.
17 Mtaleta kutoka nyumbani mwenu mikate miwili iliyotengenezwa kutokana na mbili za kumi za efa. Ni lazima ifanywe kwa unga laini na uliochanganywa na hamira; zitakuwa matoleo ya kutikiswa ya malimbuko ya kwanza kwa Yahweh.
You shall bring out of your habitations two loaves of bread for a wave offering made of one tenth of an ephah [two omers; 4.6 q; 4.4 L] of fine flour. They shall be baked with yeast, for first fruits to Adonai.
18 Mtaileta hiyo mikate pamoja na wana—kondoo saba wa mwaka mmoja na wasiokuwa na dosari, fahali mmoja mchanga na dume wa kondoo wawili. Watakuwa matoleo ya kuteketezwa kwa moto kwa Yahweh, pamoja na matoleo yao ya nafaka na matoleo ya kinywaji, matoleo yaliyofanywa kwa moto na kutoa harufu nzuri ya kupendeza kwa Yahweh.
You shall present with the bread seven lambs without defect a year old, one young bull, and two rams. They shall be a burnt offering to Adonai, with their meal offering, and their drink offerings, even an offering made by fire, of a sweet aroma to Adonai.
19 Ni lazima mtowe mbuzi dume mmoja kwa ajili ya matoleo ya dhambi, na wana—kondoo dume wawili wa mwaka mmoja kwa ajili ya dhabihu, wawe matoleo ya ushirika.
You shall offer one male goat for a sin offering, and two male lambs a year old for a sacrifice of peace offerings.
20 Ni lazima kuhani azitikise pamoja na mkate wa malimbuko ya kwanza mbele za Yahweh na kuzileta kwake kuwa matoleo pamoja na kondoo dume wawili. Watakuwa sadaka takatifu kwa Yahweh kwa ajili ya kuhani.
The priest shall wave them with the bread of the first fruits for a wave offering before Adonai, with the two lambs. They shall be holy to Adonai for the priest.
21 Mtatoa tangazo siku iyo hiyo. Kutakuwa na kusanyiko takatifu, na hamtafanya kazi za kawaida. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vya watu wenu mahali pote mnapoishi.
You shall make proclamation on the same day: there shall be a holy convocation to you; you shall do no regular aboda ·service·. This is a regulation forever in all your dwellings throughout all your generations.
22 Mtakapovuna mazao ya nchi yenu, Msivune kabisa kabisa pembeni mwa mashamba yenu, wala msivune mazazo ya mavuno yenu. Inawapasa kuyaacha kwa ajili ya masikini na mgeni. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.”
“‘When you reap the harvest of your land, you must not wholly reap into the corners of your field, and you must not gather the gleanings of your harvest. You must leave them for the poor, and for the foreigner. I am Adonai your God.’”
23 Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
Adonai spoke to Moses [Drawn out], saying,
24 “Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, “Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza itakuwa siku ya pumzika makini kwa ajili yenu, kumbukumbu pamoja na kupigwa kwa tarumbeta na kusanyiko takatifu,
“Speak to the children of Israel [God prevails], saying, ‘In the seventh month, on the first day of the month, shall be a solemn rest to you, a memorial of blowing of shofarot ·ram horns·, a holy convocation.
25 Hamtafanya kazi ya kawaida, na ni lazima mtoe dhabihu inayofanywa kwa moto kwa Yahweh.”
You shall do no regular aboda ·service·; and you shall offer an offering made by fire to Adonai.’”
26 Kisha Yahweh akamwambia Musa, akisema,
Adonai spoke to Moses [Drawn out], saying,
27 “Sasa, siku ya kumi ya mwezi huu wa saba, ni Siku ya Upatanisho. Kutakuwa na kusanyiko takatifu, na ni lazima mjinyenyekeze na kuleta kwa Yahweh matoleo kwa moto.
“However on the tenth day of this seventh month is Yom-Kippur ·Day of Atonement·: it shall be a holy convocation to you, and you shall afflict yourselves; and you shall offer an offering made by fire to Adonai.
28 Hamtafanya kazi katika siku hiyo kwa sababu ni Siku ya Upatanisho, ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu mbele za Yahweh Mungu wenu.
You shall do no kind of work in that same day; for it is Yom-Kippur ·Day of Atonement·, to make atonement for you before Adonai your God.
29 Yeyote asiyejinyenyekeza siku hiyo lazima akatiliwe mbali na watu wake.
For whoever it is who shall not deny himself in that same day; shall be cut off from his people.
30 Yeye afanyaye kazi yoyote katika siku hiyo, Mimi, Yahweh, nitamwangamiza atoke miongoni mwa watu wake.
Whoever it is who does any kind of work in that same day, that person I will destroy from among his people.
31 Msifanye kazi ya aina yoyote katika siku hiyo. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu mahali pote mnapoishi.
You shall do no kind of work: it is a statute forever throughout all your generations in all your dwellings.
32 Siku hii itakuwa Sabato ya pumziko lenye utlivu, na ni lzima siku ya tisa ya mwezi mjinyenyekeze katika majira ya jioni. Tangu jioni hata jioni mtaishika Sabato yenu.”
It shall be a Sabbath of solemn rest for you, and you shall deny yourselves. In the ninth day of the month at evening, from evening to evening, you shall keep your Sabbath.”
33 Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
Adonai spoke to Moses [Drawn out], saying,
34 “Zungumza na watu ISraeli, uwaambie 'Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba kutakuwa na Sikukuu ya vibanda kwa Yahweh. nayo itadumu siku saba.
“Speak to the children of Israel [God prevails], and say, ‘On the fifteenth day of this seventh month is the festival of Sukkot ·Booths· for seven days to Adonai.
35 Siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko takatifu. Hamtafanya kazi ya kawaida.
On the first day shall be a holy convocation: you shall do no regular aboda ·service·.
36 Kwa muda wa siku saba mtatoa dhabihu iliyofanywa kwa moto kwa Yahweh. Siku ya nane kutakuwa na kusanyiko takatifu, nanyi mtato dhabihu iliyofanywa kwa moto kwa Yahweh. Hili ni kusanyiko lenye utulivu, nanyi msifanye kazi yoyote ya kawaida.
Seven days you shall offer an offering made by fire to Adonai. On the eighth day shall be a holy convocation to you; and you shall offer an offering made by fire to Adonai. It is a solemn assembly; you shall do no regular aboda ·service·.
37 Hizi ndizo sikukuu zilizoamriwa kwa ajili ya Yahweh, ambazo mnapaswa kuzitangaza kuwa ni makusanyiko matakatifu ya kutoa dhabihu kwa moto kwa Yahweh, matoleo ya kuteketezwa na matoleo ya nafaka, dhabihu na matoleo ya vinywaji, kila moja kwa siku yake.
“‘These are the appointed feasts of Adonai, which you shall proclaim to be holy convocations, to offer an offering made by fire to Adonai, a burnt offering, and a meal offering, a sacrifice, and drink offerings, each on its own day;
38 Sikukuu hizi zitakuwa nyongeza kwa Sabato za Yahweh na zawadi zenu, viapo vyenu vyote, na sadaka zenu zote za hiari mzitoazo kwa Yahweh.
besides the Sabbaths of Adonai, and besides your gifts, and besides all your vows, and besides all your free will offerings, which you give to Adonai.
39 Kuhusu Sikukuu ya vibanda, siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakapokuwa mmeyakusanya ndani matunda ya nchi, ni lazima muitunze sikukuu hii ya Yehweh kwa muda wa siku saba. Siku ya kwanza itakuwa ya pumziko lenye utulivu, na siku ya nane pia itakuwa ya pumziko lenye utulivu.
“‘So on the fifteenth day of the seventh month, when you have gathered in the fruits of the land, you shall keep the festival of Adonai seven days: on the first day shall be a solemn rest, and on the eighth day shall be a solemn rest.
40 Siku ya kwanza mtachuma tunda lililobora kutoka kwenye miti, mtakata makuti ya mtende, na matawi ya miti minene yenye majani mengi, na majani ya mierebi kutoka chemchemi za maji, nanyi mtashangilia mbele za Yahweh Mungu wenu kwa siku saba.
You shall take on the first day the fruit of goodly trees, branches of palm trees, and boughs of thick trees, and willows of the brook; and you shall rejoice before Adonai your God seven days.
41 Kwa muda wa siku saba kila mwaka, mtaisherehekea sikukuu hii kwa Yahweh. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu mahali potepote mtakapoishi. Mtaisherehekea sikukuu hii katika mwezi wa saba.
You shall keep it a feast to Adonai seven days in the year. It is a statute forever throughout all your generations. You shall keep it in the seventh month.
42 Mtaishi kwenye vibanda vidogovidogo kwa siku saba. Waisraeli wenyeji wa kuzaliwa wote itawapasa kuishi katika vibanda vidogovidogo kwa siku saba,
You shall dwell in sukkot ·temporary tents· seven days. All who are native-born in Israel [God prevails] shall dwell in a sukkah ·temporary tent·,
43 ili kwamba wazao wenu, kizazi baada ya kizazi, waweze kujifunza nilivyowafanya wana wa Israeli kuishi kwenye vibanda kama hivi nilipowaongoza kutoka katika nchi ya Misri. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.'”
that your generations may know that I made the children of Israel [God prevails] to dwell in sukkot ·temporary tents·, when I brought them out of the land of Egypt [Abode of slavery]. I am Adonai your God.’”
44 Katika njia hii Musa akazitangaza kwa watu wa ISraeli sikukuu zilizoamria kwa ajili ya Yahweh.
Moses [Drawn out] declared to the children of Israel [God prevails] the appointed feasts of Adonai.

< Mambo ya Walawi 23 >