< Mambo ya Walawi 2 >

1 Yeyote akitoa sadaka ya nafaka kwa Bwana, sadaka yake lazima iwe unga safi, na atamwaga mafuta juu yake na kuweka ubani juu yake.
Cuando alguno presente una ofrenda vegetal a Yavé, su ofrenda será de flor de harina. Verterá aceite sobre ella y le pondrá incienso encima.
2 Atachukua sadaka kwa wana wa Haruni, makuhani na pale kuhani atachukua konzi moja ya unga safi pamoja na mafuta na ubani. Kisha kuhani atateketeza hiyo sadaka juu ya madhabahu kuwa shukrani kwa uzuri wa Bwana. Italeta harufu nzuri sana kwa Bwana, itakuwa sadaka ya Bwana iliyotolewa kwa moto.
Luego la presentará a los sacerdotes hijos de Aarón. De allí el sacerdote tomará un puñado lleno de flor de harina de su ofrenda y de su aceite, con todo su incienso. Enseguida el sacerdote dejará consumir esto como memorial sobre el altar. Es sacrificio quemado de olor que apacigua a Yavé.
3 Unga wowote uliobaki utakuwa ni wa Haruni na watoto wake. Ni takatifu sana kwa Bwana iliyotolewa sadaka kwa Bwana kwa moto.
Lo restante de la ofrenda vegetal será para Aarón y sus hijos, cosa santísima de los sacrificios quemados en honor a Yavé.
4 Kisha utakapotoa sadaka ya unga bila chachu iliyookwa kweye kiokeo, itakuwa mkate lainiya unga safi uliochanganywa na mafuta, au mkate mgumu usiokuwa na chachu, ambao umesambazwa na mafuta.
Cuando presentes ofrenda vegetal horneada será de flor de harina en tortas sin levadura amasadas con aceite, o galletas sin levadura untadas con aceite.
5 Kama matoleo yako ya nafaka yameokwa na kikaango cha chuma ni lazima iwe unga safi bila chachu uliochanganywa na mafuta.
Si tu presente es una ofrenda vegetal hecha en cacerola, será de flor de harina amasada con aceite, sin levadura.
6 Utagawanya katika vipande na kumwaga mafuta juu yake. Hii ni sadaka ya nafaka.
La partirás en pedazos y derramarás aceite sobre ella. Es ofrenda vegetal.
7 Kama sadaka yako ya nafaka imepikwa katika kikaango, ni lazima iwe imetengenezwa kwa unga safi na mafuta.
Si tu presente es una ofrenda vegetal hecha en cazuela, será de flor de harina con aceite.
8 Utaleta matoleo ya nafaka yaliyotengenezwa kwa vitu hivi kwa Bwana, italeta kwa kuhani, ambaye ataleta mbele ya madhabahu.
Llevarás la ofrenda vegetal que preparaste de esas cosas a Yavé, y la presentarás al sacerdote para que la lleve al altar.
9 Ndipo kuhani atachukua baadhi ya sadaka ya nafaka ya shukrani ya Bwana, ataitekeza katika madhabahu. Itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto, italeta harufu nzuri kwa Bwana.
El sacerdote tomará de la ofrenda la porción que usará como memorial, y la dejará consumir sobre el altar como sacrificio quemado de olor que apacigua a Yavé.
10 Itakayobaki sadaka ya nafaka itakuwa ya Haruni na wanawe. Itakuwa takatifu kamili ya Bwana kutoka matoleo kwa Bwana yatolewayo kwa moto.
Lo restante de la ofrenda vegetal será para Aarón y sus hijos. Es cosa santísima de los sacrificios quemados a Yavé.
11 Sadaka ya nafaka itolewayo kwa Bwana isiwe na chachu, hautatekeza chachu wala asali kama matoleo yatakayotekezwa kwa moto kwa ajili ya Bwana.
Ninguna ofrenda vegetal que ofrezcan ante Yavé será preparada con levadura, para que no consuman alguna cosa elaborada con levadura o con miel como ofrenda quemada a Yavé.
12 Utayatoa kwa Bwana kama mazao ya kwanza, lakini hayatatumika kama matoleo ya harufu nzuri ya moto juu ya madhabahu.
Podrán presentarlas ante Yavé como ofrenda de primicias, pero no serán puestas sobre el altar como olor que apacigua.
13 Utaweka chumvi katika kila matoleo yako ya nafaka. Usipungukie chumvi ya agano la Bwana katika matoleo yako ya unga. Matoleo yako yote hayatapungukiwa na chumvi.
Sazonarás con sal todo presente de tu ofrenda vegetal. Nunca dejarás que la sal del Pacto de tu ʼElohim falte en tu ofrenda. En toda ofrenda tuya presentarás sal.
14 Kama ukitoa matoleo ya nafaka ya mazao ya kwanza kwa Bwana, utatoa nafaka mbichi yaliyookwa kwa moto, na yaliyopondwa.
Si presentas ante Yavé ofrenda de primicias, tostarás al fuego las espigas tiernas y presentarás el grano desmenuzado como ofrenda de tus primicias.
15 Lazima utaweka mafuta na ubani juu yake. Haya ni matoleo ya nafaka.
Verterás aceite sobre ella y le pondrás incienso. Es ofrenda vegetal.
16 Kuhani atatoa sehemu ya nafaka iliyopondwa na mafuta na ubani, kama sadaka ya shukrani itolewayo kwa uzuri wa Bwana. Hii ni sadaka ya Bwana inayotolewa kwa moto.
El sacerdote dejará consumir como memorial parte de su grano desmenuzado y de su aceite, con todo su incienso. Es ofrenda quemada a Yavé.

< Mambo ya Walawi 2 >