< Mambo ya Walawi 2 >

1 Yeyote akitoa sadaka ya nafaka kwa Bwana, sadaka yake lazima iwe unga safi, na atamwaga mafuta juu yake na kuweka ubani juu yake.
«و هرگاه کسی قربانی هدیه آردی بجهت خداوند بگذراند، پس قربانی او از آرد نرم باشد، و روغن بر آن بریزد و کندر بر آن بنهد.۱
2 Atachukua sadaka kwa wana wa Haruni, makuhani na pale kuhani atachukua konzi moja ya unga safi pamoja na mafuta na ubani. Kisha kuhani atateketeza hiyo sadaka juu ya madhabahu kuwa shukrani kwa uzuri wa Bwana. Italeta harufu nzuri sana kwa Bwana, itakuwa sadaka ya Bwana iliyotolewa kwa moto.
وآن را نزد پسران هارون کهنه بیاورد، و یک مشت از آن بگیرد یعنی از آرد نرمش و روغنش باتمامی کندرش و کاهن آن را برای یادگاری بسوزاند، تا هدیه آتشین و عطر خوشبو بجهت خداوند باشد.۲
3 Unga wowote uliobaki utakuwa ni wa Haruni na watoto wake. Ni takatifu sana kwa Bwana iliyotolewa sadaka kwa Bwana kwa moto.
و بقیه هدیه آردی از آن هارون وپسرانش باشد. این از هدایای آتشین خداوند قدس اقداس است.۳
4 Kisha utakapotoa sadaka ya unga bila chachu iliyookwa kweye kiokeo, itakuwa mkate lainiya unga safi uliochanganywa na mafuta, au mkate mgumu usiokuwa na chachu, ambao umesambazwa na mafuta.
و هرگاه قربانی هدیه آردی پخته شده‌ای در تنور بگذرانی، پس قرصهای فطیر از آرد نرم سرشته شده به روغن، یا گرده های فطیر مالیده شده به روغن باشد.۴
5 Kama matoleo yako ya nafaka yameokwa na kikaango cha chuma ni lazima iwe unga safi bila chachu uliochanganywa na mafuta.
و اگر قربانی توهدیه آردی بر ساج باشد، پس از آرد نرم فطیرسرشته شده به روغن باشد.۵
6 Utagawanya katika vipande na kumwaga mafuta juu yake. Hii ni sadaka ya nafaka.
و آن را پاره پاره کرده، روغن بر آن بریز. این هدیه آردی است.۶
7 Kama sadaka yako ya nafaka imepikwa katika kikaango, ni lazima iwe imetengenezwa kwa unga safi na mafuta.
واگر قربانی تو هدیه آردی تابه باشد از آرد نرم باروغن ساخته شود.۷
8 Utaleta matoleo ya nafaka yaliyotengenezwa kwa vitu hivi kwa Bwana, italeta kwa kuhani, ambaye ataleta mbele ya madhabahu.
و هدیه آردی را که از این چیزها ساخته شود نزد خداوند بیاور، و آن راپیش کاهن بگذار، و او آن را نزد مذبح خواهدآورد.۸
9 Ndipo kuhani atachukua baadhi ya sadaka ya nafaka ya shukrani ya Bwana, ataitekeza katika madhabahu. Itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto, italeta harufu nzuri kwa Bwana.
و کاهن از هدیه آردی یادگاری آن رابردارد و بر مذبح بسوزاند. این هدیه آتشین و عطرخوشبو بجهت خداوند است.۹
10 Itakayobaki sadaka ya nafaka itakuwa ya Haruni na wanawe. Itakuwa takatifu kamili ya Bwana kutoka matoleo kwa Bwana yatolewayo kwa moto.
و بقیه هدیه آردی از آن هارون و پسرانش باشد. این ازهدایای آتشین خداوند قدس اقداس است.۱۰
11 Sadaka ya nafaka itolewayo kwa Bwana isiwe na chachu, hautatekeza chachu wala asali kama matoleo yatakayotekezwa kwa moto kwa ajili ya Bwana.
«و هیچ هدیه آردی که بجهت خداوندمی گذرانید با خمیرمایه ساخته نشود، زیرا که هیچ خمیرمایه و عسل را برای هدیه آتشین بجهت خداوند نباید سوزانید.۱۱
12 Utayatoa kwa Bwana kama mazao ya kwanza, lakini hayatatumika kama matoleo ya harufu nzuri ya moto juu ya madhabahu.
آنها را برای قربانی نوبرها بجهت خداوند بگذرانید، لیکن برای عطر خوشبو به مذبح برنیارند.۱۲
13 Utaweka chumvi katika kila matoleo yako ya nafaka. Usipungukie chumvi ya agano la Bwana katika matoleo yako ya unga. Matoleo yako yote hayatapungukiwa na chumvi.
و هرقربانی هدیه آردی خود را به نمک نمکین کن، ونمک عهد خدای خود را از هدیه آردی خودبازمدار، با هر قربانی خود نمک بگذران.۱۳
14 Kama ukitoa matoleo ya nafaka ya mazao ya kwanza kwa Bwana, utatoa nafaka mbichi yaliyookwa kwa moto, na yaliyopondwa.
و اگرهدیه آردی نوبرها بجهت خداوند بگذرانی، پس خوشه های برشته شده به آتش، یعنی بلغورحاصل نیکو بجهت هدیه آردی نوبرهای خودبگذران.۱۴
15 Lazima utaweka mafuta na ubani juu yake. Haya ni matoleo ya nafaka.
و روغن بر آن بریز و کندر بر آن بنه. این هدیه آردی است.۱۵
16 Kuhani atatoa sehemu ya nafaka iliyopondwa na mafuta na ubani, kama sadaka ya shukrani itolewayo kwa uzuri wa Bwana. Hii ni sadaka ya Bwana inayotolewa kwa moto.
و کاهن یادگاری آن رایعنی قدری از بلغور آن و از روغنش با تمامی کندرش بسوزاند. این هدیه آتشین بجهت خداوند است.۱۶

< Mambo ya Walawi 2 >