< Mambo ya Walawi 18 >

1 Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
HERREN talede fremdeles til Moses og sagde:
2 “Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, “Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
Tal til Israeliterne og sig til dem: Jeg er HERREN eders Gud!
3 Msitende mambo ambayo watu wa Misri huyatenda, mahali mlikokuwa mkiishi awali. Na ni lazima msitende mambo yale wanayoyatenda watu wa Kanaani, nchi ambayo ninawapeleka nyinyi. Msifuate desturi zao.
Som de handler i Ægypten, hvor I opholdt eder, maa I ikke handle, og som de handler i Kana'ans Land, hvor jeg fører eder hen, maa I ikke handle; I maa ikke vandre efter deres Anordninger.
4 Sheria zangu ndizo mtakazozitenda, na amri zangu ndizo mtakazozishika, kwa sababu Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
Efter mine Lovbud skal I handle, og mine Anordninger skal I holde, saa I vandrer efter dem; jeg er HERREN eders Gud!
5 Kwa hiyo ni lazima mzitunze hukumu zangu na sheria zangu. Ikiwa mtu amezitii, ataishi kwa sababu ya hizo. Mimi Ndimi Yahweh.
I skal holde mine Anordninger og Lovbud; det Menneske, der handler efter dem, skal leve ved dem. Jeg er HERREN!
6 Pasiwepo kwenu atakayelala na yeyote aliye na uhusiano wa karibu naye. Mimi ndimi Yahweh.
Ingen af eder maa komme sine kødelige Slægtninge nær, saa han blotter deres Blusel. Jeg er HERREN!
7 Usimfedheheshe baba yako kwa kulala na mama yako. Yeye ni mama yako! Haikupasi kumfedhehesha yeye.
Din Faders og din Moders Blusel maa du ikke blotte; hun er din Moder, du maa ikke blotte hendes Blusel!
8 Usilale na yeyote wa wake za baba yako; Usimfedheheshe namna hiyo baba yako.
Din Faders Hustrus Blusel maa du ikke blotte, det er din Faders Blusel.
9 Usilale na yeyote aliye mmoja miongoni mwa dada zako, ama ni binti ya baba yako au ni binti ya mama yako, ama aliyelelewa nyumbani mwenu au mbali nawe. Usilale na dada zako.
Din Søsters Blusel, hvad enten hun er din Faders eller din Moders Datter, hvad enten hun er født i eller uden for Hjemmet, hendes Blusel maa du ikke blotte.
10 Usilale na binti ya mwanao, au binti ya binti yako. Hiyo ingekuwa aibu yako mwenyewe.
Din Sønnedatters eller Datterdatters Blusel maa du ikke blotte, det er din egen Blusel.
11 Usilale na binti ya mke wa baba yako, aliyezaliwa kwa baba yako, yeye ni dada yako, na usilale naye.
En Datter, din Faders Hustru har med din Fader hun er din Søster hendes Blusel maa du ikke blotte.
12 Usilale na dada ya baba yako. Yeye ni ndugu wa karibu kwa baba yako.
Din Fasters Blusel maa du ikke blotte, hun er din Faders kødelige Slægtning.
13 Usilale na dada ya mama yako. Yeye ni ndugu wa mama yako.
Din Mosters Blusel maa du ikke blotte, hun er din Moders kødelige Slægtning.
14 Usimfedheheshe ndug wa baba yako kwa kulala na mke wake. Usimkaribie kwa kusudi hilo; yeye ni shangazi yako.
Din Farbroders Blusel maa du ikke blotte, du maa ikke komme hans Hustru nær, hun er din Faster.
15 Usilale na binti- mkwe wako, Yeye ni mke wa mwanao; usilale naye.
Din Sønnekones Blusel maa du ikke blotte, hun er din Søns Hustru, du maa ikke blotte hendes Blusel.
16 Usilale na mke wa kaka yako; usije ukamfedhesha yeye katika njia hii.
Din Broders Hustrus Blusel maa du ikke blotte, det er din Broders Blusel.
17 Usilale na mwanamke kisha na binti yake, au binti wa mwanawe au binti wa binti yake. Hao ni ndugu zake wa karibu, na kulala nao lingekuwa ni uovu.
En Kvindes og hendes Datters Blusel maa du ikke blotte, heller ikke maa du ægte hendes Sønnedatter eller Datterdatter, saa at du blotter hendes Blusel; de er hendes kødelige Slægtninge; det er grov Utugt.
18 Usimwoe dada ya mke wako kuwa mke wako wa pili na kulala naye wakati bado mke wako wa kwanza angali hai.
Søster maa du ikke tage til Søsters Medhustru, saa længe Søsteren lever, saa du blotter baade den enes og den andens Blusel.
19 Usilale na mwanamke wakati wake wa hedhi.
Du maa ikke komme en Kvinde nær under hendes maanedlige Urenhed, saa du blotter hendes Blusel.
20 Yeye ni najisi kwa wakati huo. Usilale na mke wa jilani yako na kujichafua mwenyewe kwake katika njia hii.
Med din Næstes Hustru maa du ikke have Samleje, saa du bliver uren ved hende.
21 Msiwatoe watoto wenu ili kuwapitisha kwenye moto, ili kwamba muwatoe sadaka kwa Moleki, kwa sababu msije mkalinajisi jina la Mungu wenu. Mimi ndimi Yahweh.
Dit Afkom maa du ikke give hen til at ofres til Molok; du maa ikke vanhellige din Guds Navn. Jeg er HERREN!
22 Usilale na mwanaume mwingine kama ulalavyo na mwanamke. Jambo hili lingekuwa uovu.
Hos en Mand maa du ikke ligge, som man ligger hos en Kvinde; det er en Vederstyggelighed.
23 Usilale na myama yeyote na kujitia unajisi kwake. Haimpasi mwanamke kufikiria kulala na mnyama ye yote. Huo ungekuwa upotovu.
Med intet som helst Dyr maa du have Omgang, saa du bliver uren derved; en Kvinde maa ikke stille sig hen for et Dyr til kønslig Omgang; det er en Skændsel.
24 Msijichafue wenyewe katika njia hizi, kwa kuwa katika njia hizi mataifa yamechafuliwa, mataifa ambayo Nitayafukuza yatoke kwa ajili yenu.
Gør eder ikke urene med noget saadant, thi med alt saadant har de Folkeslag, jeg driver bort foran eder, gjort sig urene.
25 Ni kwa sababu nchi imenajisiwa, hivyo niliiadhibu dhambi yao, nayo nchi ikawatapika wakazi wake
Derved blev Landet urent, og jeg straffede det for dets Brøde, og Landet udspyede sine Indbyggere.
26 Kwa hiyo, yawapasa kuzishika amri zangu na maagiza yangu, na msifanye aina yoyote ya mambo haya ya machukizo, wala Mwisraeli mzaliwa au Mgeni aishie miongoni mwenu.
Hold derfor mine Anordninger og Lovbud og øv ikke nogen af disse Vederstyggeligheder, det gælder baade den indfødte og den fremmede, der bor iblandt eder —
27 Kwa kuwa ni uovu huu ambao watu wametenda, wale ambao waliishi hapa kabla yenu, na sasa nchi imenajisiwa.
thi alle disse Vederstyggeligheder øvede Indbyggerne, som var der før eder, og Landet blev urent —
28 Kwa hiyo, muwe waangalifu ili kwamba nchi isiwatapike nyinyi baada ya kuwa mmeinajisi, kama ilivyowatapika wale watu waliokuwako kabla yenu.
for at ikke Landet skal udspy eder, naar I gør det urent, ligesom det udspyede det Folk, som var der før eder.
29 Yeyote anayefanya mambo haya ya kuchukiza, watu wafanyao mambo hayo ya kuchukiza lazima watakatiliwa mbali kutoka miongoni mwa watu wao.
Thi enhver, som øver nogen af alle disse Vederstyggeligheder, de, der øver dem, skal udryddes af deres Folk.
30 Kw a hiyo inawapasa kuzishika amri zangu na sitende mojawapo ya desturi hizi zenyekuchukiza ambazo zilitendwa hapo kabla yenu, ili msijinajisi wenyewe kwa hizo. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
Saa hold mine Forskrifter, saa I ikke øver nogen af de vederstyggelige Skikke, som øvedes før eders Tid, at I ikke skal gøre eder urene ved dem. Jeg er HERREN eders Gud!

< Mambo ya Walawi 18 >