< Mambo ya Walawi 16 >

1 Yahwe alizungumza na Musa - hii ni baada vifo vya wana wawili wa Haruni, walipomkaribia Yahwe na ndipo wakafa.
Och HERREN talade till Mose, sedan Arons två söner voro döda, de båda som träffats av döden, när de trädde fram inför HERRENS ansikte.
2 Yahwe alimwambia Musa, “Ongea na Haruni kaka yako na umwambie hapana kuja tu wakati wowote katika patakatifu pa patakatifu ndani ya pazia, mbele ya kifuniko cha upatanisho kilicho juu ya sanduku. Akifanya hivyo, anakufa, kwasababu naonekana katika wingu juu ya kifuniko cha upatanisho.
Och HERREN sade till Mose: Säg till din broder Aron att han icke på vilken tid som helst får gå in i helgedomen innanför förlåten, framför nådastolen som är ovanpå arken, på det att han icke må dö; ty i molnskyn vill jag uppenbara mig över nådastolen.
3 Hivi ndivyo jinsi Haruni lazima aje katika patakatifu pa patakatifu. Yeye lazima aingie pamoja na ndama kama sadaka ya dhambi, na kondoo dume kama sadaka ya dhambi.
Så skall förfaras, när Aron skall gå in i helgedomen: Han skall taga en ungtjur till syndoffer och en vädur till brännoffer;
4 Ni lazima avae kanzu ya kitatani, na lazima avae ndani yake nguo ya kitani, na lazima avae mshipi wa kitani na kilemba cha kitani. Haya ni mavazi matakatifu. Lazima aoge mwili wake katika maji na avae mavazi haya.
han skall ikläda sig en helig livklädnad av linne och hava benkläder av linne över sitt kött, och han skall omgjorda sig med ett bälte av linne och vira en huvudbindel av linne om sitt huvud; detta är de heliga kläderna, och innan han ikläder sig dem, skall han bada sin kropp i vatten.
5 Lazima achukue kwenye umati wa watu wa Israeli mbuzi wawili waume kama sadaka ya dhambi na kondoo dume moja ikiwa ni sadaka ya kuteketezwa.
Och av Israels barns menighet skall han mottaga två bockar till syndoffer och en vädur till brännoffer.
6 Ndipo Haruni lazima alete ng'ombe kama sadaka ya dhambi, ambayo itakuwa kwaajili yake mwenyewe, kufanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na familia yake.
Och Aron skall föra fram sin egen syndofferstjur och bringa försoning för sig och sitt hus.
7 Ndipo lazima achukue mbuzi wawili na kuwaweka mbele ya Yahwe katika mlango wa kuingilia kwenye hema ya mkutano.
Sedan skall han taga de två bockarna och ställa dem inför HERRENS ansikte, vid ingången till uppenbarelsetältet.
8 Ndipo Haruni lazima apige kura kwaajili ya mbuzi hao wawili, kura moja kwaajili ya Yahwe, na kura nyingine kwaajili ya msingiziwa.
Och Aron skall draga lott om de två bockarna: en lott för HERREN och en lott för Asasel.
9 Ndipo Haruni lazima awasilishe mbuzi ambaye kura imeangukia kwa Yahwe, na kumtoa mbuzi huyo kama sadaka ya dhambi.
Och den bock som lotten bestämmer åt HERREN skall Aron föra fram och offra till syndoffer.
10 Lakini mbuzi ambaye kura ya usingiziwa imemwangukia lazima aletwe kwa Yahwe akiwa hai, kufanya upatanisho kwa kumwachia aende porini kama, mbuzimsingiziwa.
Men den bock som lotten bestämmer åt Asasel skall ställas levande inför HERRENS ansikte, för att försoning må bringas för honom, på det att han må släppas fri ut till Asasel i öknen.
11 Pia Haruni lazima alete ng'ombe kwaajili ya sadaka ya dhambi, ambayo itakuwa kwaajili yake mwenyewe, lazima afanye upatanisho kwaajili yake mwenyewe na familia yake, hivyo lazima yeye amuue huyo ng'ombe kama sadaka ya dhambi kwaajili yake mwenyewe.
Aron skall alltså föra fram sin syndofferstjur och bringa försoning för sig och sitt hus, han skall slakta sin syndofferstjur.
12 Haruni lazima achukue chetezo iliyojaa mkaa wa moto kutoka kwenye madhabahu mbele ya Yahwe, na mikono imejaa ubani mzuri, na kuleta vitu hivi ndani ya pazia.
Sedan skall han taga ett fyrfat fullt med glöd från altaret som står inför HERRENS ansikte, och fylla sina händer med stött välluktande rökelse; och han skall bära in detta innanför förlåten.
13 Hapo lazima aweke ubani juu ya moto mbele za Yahwe ili kwamba wingu kutoka kwenye ubani liweze kufunika kifuniko cha agano la imani ya upatanisho. Yeye afanye hivyo ili kwamba asife.
Och rökelsen skall han lägga på elden inför HERRENS ansikte, så att ett moln av rökelse skyler nådastolen, ovanpå vittnesbördet, på det att han icke må dö.
14 Ndipo lazima achukue kiasi cha damu ya ng'ombe na kuinyunyiza kwa kidole chake mbele ya kifuniko cha upatanisho. Lazima anyunyize kiasi cha damu kwa kidole chake mara saba mbele ya kifuniko cha upatanisho.
Och han skall taga av tjurens blod och stänka med sitt finger framtill på nådastolen; och framför nådastolen skall han stänka blodet sju gånger med sitt finger.
15 Ndipo lazima aue mbuzi kwaajili ya sadaka ya dhambi ambayo ni kwaajili ya watu na kuileta damu yake ndani kwenye pazi. Hapo lazima aifanyie damu kama alivyofanya kwenye damu ya fahali: lazima ainyunyize juu ya kifuniko cha upatanisho na mbele ya kifunuko cha upatanisho.
Sedan skall han slakta folkets syndoffersbock och bära in hans blod innanför förlåten; och han skall göra med hans blod såsom han gjorde med tjurens blod: han skall tänka därmed på nådastolen och framför nådastolen.
16 Yeye lazima afanye upatanisho kwaajili ya mahali patakatifu kwa sababu ya matendo ya unajisi ya watu wa Israeli, na kwa sababu ya uasi na dhambi zao zote. Yeye pia lazima afanye haya kwaajili ya hema ya mkutano, ambapo Yahwe anaishi kati yao, katika uwepo wa matendo yao ya unajisi.
Så skall han bringa försoning för helgedomen och rena den från Israels barns orenheter och överträdelser, vad de än må hava syndat. Och på samma sätt skall han göra ned uppenbarelsetältet, som har sin plats hos dem mitt ibland deras orenheter.
17 Hakuna mtu anayetakiwa kuwepo katika hema ya mkutano wakati Haruni anaingia kufanya upatanisho katika mahali patakatifu pa patakatifu, na mpaka atoke nje na amemaliza kufanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na kwaajili ya familia yake, na kwaajili umati wa Israeli.
Och ingen människa får vara i uppenbarelsetältet, från den stund på han går in för att bringa försoning i helgedomen, ända till dess han har gått ut. Så skall han bringa försoning för sig och sitt hus och för Israels hela församling.
18 Yeye lazima aende nje kwenye madhabahu hapo mbele za Yahwe na kufanya upatanisho kwaajili ya hiyo, na lazima achukue kiasi cha damu ya mbuzi na kuiweka juu ya pembe za madhabahu yote kuzunguka.
Sedan skall han gå ut till altaret som står inför HERRENS ansikte och bringa försoning för det; han skall taga av tjurens blod och av bockens blod och stryka på altarets horn runt omkring,
19 Anatakiwa anyunyize kiasi cha damu juu yake kwa kidole chake mara saba kuitakasa na kuitenga maalumu kwa Yahwe, mbali kutoka matendo ya unajisi wa watu wa Israeli.
och han skall stänka blodet därpå med sitt finger sju gånger, och rena och helga det från Israels barns orenheter.
20 Atakapo maliza kupatanisha kwaajili ya mahali patakatifu sana, hema la mkutano, na madhabahu, lazima amlete mbuzi aliyehai.
När han så har fullbordat försoningen för helgedomen, uppenbarelsetältet och altaret, skall han föra fram den levande bocken.
21 Haruni lazima aweke mikono yake yote juu ya kichwa cha mbuzi huyu aliyehai na akiri juu yake maovu yote ya watu wa Israeli, uasi wao wote, dhambi zao zote. Ndipo lazima aweke dhambi hizo juu ya kichwa cha mbuzi na amwachie katika uangalizi wa mtu aliyetari kumwongoza mbuzi huyo porini.
Och Aron skall lägga båda sina händer på den levande bockens huvud, och bekänna över honom Israels barns alla missgärningar och alla deras överträdelser, vad de än må hava syndat; han skall lägga dem på bockens huvud och genom en man som hålles redo därtill släppa honom ut i öknen.
22 Mbuzi lazima abebe juu yake mwenyewe uovu wote kwenda mahali pakiwa. Kule msituni, huyo mtu amwache mbuzi aende huru.
Så skall bocken bära alla deras missgärningar på sig ut i vildmarken; man skall släppa bocken ute i öknen.
23 Ndipo Haruni anapaswa kwenda tena humo kwenye hema ya mkutano na kuvua mavazi ya kitani ambayo amayavaa kabla hajaenda mahali patakatifu sana, na anatakiwa kuyaacha mavazi hayo pale.
Därefter skall Aron gå in i uppenbarelsetältet och taga av sig linnekläderna, som han hade iklätt sig när han gick in i helgedomen; och han skall lämna dem där.
24 Anapaswa aoshe mwili wake kwa maji mahali patakatifu, na avae nguo zake za kawaida; pia lazima atoke nje kutoa sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya kuteketezwa kwaajili ya wale watu, na kwa njia hii anafanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na kwaajili ya watu.
Och han skall bada sin kropp i vatten på en helig plats och ikläda sig sina vanliga kläder; sedan skall han gå ut och offra sitt eget brännoffer och folkets brännoffer och bringa försoning för sig och för folket.
25 Lazima yeye achome mafuta ya sadaka ya dhambi juu ya madhabahu.
Och fettet av syndoffersdjuret skall han förbränna på altaret.
26 Huyu mtu anayemwacha mbuzi msingiziwa aende huru anafua nguo zake na kuosha mwili wake katika maji; baada ya hayo, anaweza kurudi tena kambini.
Men den som släppte bocken ut till Asasel skall två sina kläder och bada sin kropp i vatten; därefter får han gå in i lägret.
27 Yule fahali kwaajili ya sadaka ya dhambi na mbuzi kwaajili ya sadaka za dhambi, ambaye damu yake ililetwa kufanya upatanisho katika mahali patakatifu, lazima ipelekwe nje ya kambi. kule lazima wachome, ngozi zao, nyama yao na kinyesi chao.
Och syndofferstjuren och syndoffersbocken, vilkas blod blev inburet för att bringa försoning i helgedomen, skola föras bort utanför lägret, och man skall bränna upp dem i eld med deras hud och kött och orenlighet.
28 Huyu anayechoma sehemu hizo lazima afue nguo zake na aoge mwili wake katika maji; baada ya hapo, anaweza kurudi tena kwenye kambi.
Och den som bränner upp detta skall två sina kläder och bada sin kropp i vatten; därefter får han gå in i lägret.
29 Hii itakuwa sharti kwaajili yenu kwamba katika mwezi wa saba, kwenye siku ya kumi ya mwezi, mtanyenyekea wenyewe na msifanye kazi, iwe mwenyeji wa kuzaliwa au mgeni anayeishi kati yenu.
Och detta skall vara för eder en evärdlig stadga: I sjunde månaden, på tionde dagen i månaden, skolen I späka eder och icke göra något arbete, varken infödingen eller främlingen som bor ibland eder.
30 Hii ni kwasababu katika siku hii ya upatanisho utafanywa kwaajili yenu, kuwatakasa ninyi kutoka dhambi zenu zote ili mwe safi mbele za Yahwe.
Ty på den dagen skall försoning bringas för eder, till att rena eder; från alla edra synder skolen I renas inför HERRENS ansikte.
31 Hii ni maalumu kwa Sabato ya kupumzika kwaajili yenu, na lazima mnyenyekee wenyewe na msifanye kazi. Hili litakuwa sharti kati yenu.
En vilosabbat skall den vara för eder, och I skolen då späka eder. Detta skall vara en evärdlig stadga.
32 Kuhani mkuu, ambaye atapakwa mafuta na kuwekwa wakfu kuwa kuhani mkuu katika nafasi ya baba yake, lazima afanye upatanisho huu na kuvaa mavazi ya kitani, hayo ni mavazi matakatifu.
Och den präst, som har blivit smord och mottagit handfyllning till att vara präst i sin faders ställe skall bringa denna försoning; han skall ikläda sig linnekläderna, de heliga kläderna,
33 Lazima afanye upatanisho kwaajili ya mahali patakatifu sana; lazima afanye upatanisho kwaajili ya hema ya mkutano na madhabahu, na lazima afanye upatanisho kwaajili ya makuhani na kwaajili ya kusanyiko la watu.
och han skall bringa försoning för det allraheligaste och försoning för uppenbarelsetältet och altaret, och han skall bringa försoning för prästerna och allt folket i församlingen.
34 Hii daima itakuwa sharti kwaajili yako, kufanya upatanisho kwaajili ya watu wa Israeli kwasababu ya dhambi zao zote, mara moja kwa kila mwaka.” Na ilikuwa ikifanika kama Yahwe alivyomwamuru Musa.
Detta skall vara för eder en evärdlig stadga, att försoning skall bringas för Israels barn, till rening från alla deras synder, en gång om året. Och han gjorde såsom HERREN hade bjudit Mose.

< Mambo ya Walawi 16 >