< Mambo ya Walawi 13 >

1 Yahweh akazungumza na Musa na Aroni, akasema,
Mluvil také Hospodin Mojžíšovi a Aronovi, řka:
2 Mtu yeyote anayeonekana na uvimbe au pele au doa ling'aalo juu ya ngozi ya mwili wake, na likawa limeambukizwa ugonjwa wa ngozi mwilini mwake, ni lazima aletwe kwa Aroni kuhani mkuu au kwa mmoja wa wanawe makuhani.
Člověk ješto by na kůži těla jeho byla nějaká oteklina aneb prašivina, aneb poškvrna pobělavá, a bylo by na kůži těla jeho něco podobného k ráně malomocenství: tedy přiveden bude k Aronovi knězi, aneb k některému z synů jeho kněží.
3 Naye kuhanai atachunguza ugonjwa huo kwenye ngozi ya mwili wake. Iwapo malaika zilizopo eneo lenye ugonjwa zimegeuka kuwa nyeupe, na iwapo ugonjwa umejitokeza juu ya ngozi, huo ni ugonjwa wa kuambukiza. Baada cha kuhani kumchunguza, atamtangaza kuwa ni najisi.
I pohledí kněz na ránu, kteráž jest na kůži těla jeho. Jestliže chlupové na té ráně zbělejí, a ta rána bude-li na pohledění hlubší nežli jiná kůže těla jeho, rána malomocenství jest. Když tedy spatří ji kněz, za nečistého vyhlásí jej.
4 Iwapo lile doa ling'aalo katika ngozi yake ni jeupe, na kuonekana kwake halikwenda chini zaidi ya ngozi, na iwapo malaika za eneo lenye ugonjwa hazijabadilika kuwa nyeupe, naye kuhani atamtenga mgonjwa kwa siku saba.
Pakli by poškvrna pobělavá byla na kůži těla jeho, a rána ta nebyla by hlubší nežli jiná kůže, a chlupové její nezběleli by: tedy rozkáže zavříti kněz majícího takovou ránu za sedm dní.
5 Katika siku ya saba, huyo kuhani itambidi kumchunguza tena ili kuona kama katika maamzi yake huo ugonjwa siyo mbaya, na kama haujaenea kwenye ngozi. Iwapo haujaenea, basi, kuhani atamtenga kwa siku saba zaidi.
Potom pohledí na něj kněz v den sedmý, a jestli rána ta zůstává tak před očima jeho a nerozmáhá se po kůži: tedy rozkáže ho zavříti kněz po druhé za sedm dní.
6 Naye kuhani atamchunga tena katika siku ya saba ili kuona kama ugonjwa ubepona na haujasambaa zaidi kwenye ngozi. kama haujasambaa, basi, kuhani atamtangaza kuwa yeye ni safi. Ni upele tu. Naye atafua nguo zake, na kisha yeye yu safi.
I pohledí na ni kněz v den sedmý po druhé, a jestliže ta rána pozčernalá bude, a nerozmohla by se po kůži: tedy za čistého vyhlásí ho kněz, nebo prašivina jest. I zpéře roucha svá a čistý bude.
7 Lakini endapo ule upele utakuwa umishasambaa kwenye ngozi baada ya kuwa amejionyesha kwa kuhani kwa ajili kusafishwa kwake, itambidi kujionyesha tena kwa kuhani.
Pakliť by se dále rozmohla ta prašivina po kůži jeho, již po ukázání se knězi k očištění svému, tedy ukáže se znovu knězi.
8 Naye kuhani atamchunguza ilikuona kama huo upele umsambaa zaidi ndani ya ngozi. Na endapo utakuwa umesambaa, kisha kuhani atamtangaza kuwa najisi. Huo ni ugonjwa wa kuambukiza.
I pohledí na něj kněz, a jestliže se rozmohla ta prašivina po kůži jeho, za nečistého vyhlásí jej kněz, nebo malomocenství jest.
9 Iwapo ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza umo kwa mtu fulani, naye mtu huyo yapasa aletwe kwa kuhan.
Rána malomocenství když bude na člověku, přiveden bude k knězi.
10 Kuhani atamchunguza ili kuona kama kunauvimbe mweupe katika ngozi yake, endapo malaika zitakuwa zimebadilika kuwa nyeupe, au kumekuwa na nyama mbichi kwenye uvimbe.
I pohledí na něj kněz, a bude-li oteklina bílá na kůži, až by učinila chlupy bílé, byť pak i zdravé maso bylo na té oteklině:
11 Kama ipo, basi, huo ni ugonjwa sugu wa ngozi, naye kuhani atamtangaza kuwa najisi. Hatamtenga kwa kuwa yeye tayari ni najisi.
Malomocenství zastaralé jest na kůži těla jeho. Protož za nečistého vyhlásí jej kněz, a nedá ho zavříti, nebo zjevně nečistý jest.
12 Iwapo huo ugonjwa unajitokeza na kupanuka zaidi kwenye ngozi, na kuifunika ngozi ya mtu kwa ugonjwa tangu kichwani pake hata miguuni, maadamu anajitokeza kwa kuhani,
Jestliže by se pak vylilo malomocenství po kůži, a přikrylo by malomocenství všecku kůži nemocného, od hlavy jeho až do noh jeho, všudy kdež by kněz očima viděti mohl:
13 naye kuhani atamchunguza ili kuona kama huo ugonjwa umeshaenea mwili wake wote. Ikiwa imetokeo hivyo, kuhani atamtangaza mtu huyo aliye na ugonjwa kuwa ni safi. Ikiwa amebadilika kuwa mweupe, huyo ni safi.
I pohledí na něj kněz, a přikrylo-li by malomocenství všecko tělo jeho, tedy za čistého vyhlásí nemocného. Nebo všecka ta rána v bělost se změnila, protož čistý jest.
14 Lakini ikiwa nyama mbichi imeonekana juu yake, atakuwa najisi.
Ale kdykoli ukáže se na ní živé maso, nečistý bude.
15 Kuhani ataiangalia hiyo nyama mbichi na kumtanga kuwa najisi kwa sababu hiyo nyama mbichi ni najisi. Huo ni ugonjwa wa kuambukiza.
I pohledí kněz na to živé maso a vyhlásí jej za nečistého, nebo to maso živé nečisté jest, malomocenství jest.
16 Lakini endapo hiyo nyama mbichi inageuka kuwa nyeupe tena, naye huyo mtu hana budi kwenda kwa kuhani.
Když by pak odešlo zase maso živé a změnilo by se v bělost, tedy přijde k knězi.
17 Kuhani atamchunguza ili kuona kama hiyo nyama imebadilika kuwa nyeupe. Kama imekuwa hivyo naye kuhani atatangaza kwamba mtu huyo kuwa ni safi.
A vida kněz, že obrátila se rána ta v bělost, za čistou vyhlásí ji; čistá jest.
18 Mtu anapokuwa na jipu juu yangozi yake na limishapona,
Když by pak byl na kůži těla vřed, a byl by zhojen,
19 na mahali pa jipu pamekuwa na uvimbe au doa lenye kung'aa, wekundu unaochanganyikana na weupe, yapasa kuonyeshwa kwa kuhani.
Byla-li by na místě vředu toho oteklina bílá, aneb poškvrna pobělavá a náryšavá, tedy ukázána bude knězi.
20 Naye kuhani atalichunguza ili kuona kama linaonekana limekwenda chini ya ngozi, na kama hizo malaika zimebadilika kuwa nyeupe, kama ni hivyo, kuhani atamtangaza kuwa najisi. Huo ni ugonjwa wa kuambukiza, endapo utakuwa umezalishwa mahali lilipokuwa jipu hilo.
A vida kněz, že na pohledění to místo jest nižší nežli jiná kůže, a chlupové na něm by zběleli, za nečistého vyhlásí jej kněz. Rána malomocenství jest, kteráž na vředu vyrostla.
21 Lakini endapo kuhani atakuwa amelichunguza na haoni malaika nyeupe ndani yake, na kwamba iliko chini ya ngozi bali limefifia, kisha kuhani atamtenga kwa siku saba.
Pakli, když pohledí na ni kněz, uzří, že chlupové nezběleli na něm, a není nižší nežli jiná kůže, ale že jest pozčernalé místo, tedy zavře ho kněz za sedm dní.
22 Kama linaenea kwa kupanuka kwenye ngozi, kisha kuhani atamtangaza kuwa najisi. Huo ni ugonjwa wa kuambukiza.
Pakliť by šíře se rozmáhala po kůži, za nečistého vyhlásí jej kněz; rána malomocenství jest.
23 Lakini kama hilo doa lenye kung'ara linabaki mahali pake na halijasambaa, basi hilo ni kovu la jipu, naye kuhani atamtangaza kuwa safi.
Pakli by ta poškvrna pobělavá zůstávala na místě svém, a nerozmáhala by se, znamení toho vředu jest; protož za čistého vyhlásí jej kněz.
24 Ngozi inapoungua na nyama mbichi ya inamekuwa na wekundu uliochanganyika na weupe au doa jeupe,
Tělo, na jehož kůži byla by spálenina od ohně, a po zhojení té spáleniny zůstala by poškvrna pobělavá a náryšavá, anebo bílá toliko:
25 kisha kuhani ataichunguza kuona kama malaika zilizoko kwenye doa hilo zimebadilika na kuwa nyeupe, na kama limeonekana kwenda chini zaidi ya ngozi, kama limekuwa hivyo, basi huo ni ugonjwa wa kuambukiza. Umejitokeza kwenye jeraha la moto, naye kuhani atamtangaza kuwa najisi. Huo ni ugonjwa wa kuambukiza.
Pohledí na ni kněz, a jestliže chlupové na ní zběleli, a lsknou se, způsob také její jest hlubší nežli jiné kůže vůkol: malomocenství jest, kteréž zrostlo na spálenině; protož za nečistého vyhlásí jej kněz, nebo rána malomocenství jest.
26 Lakini endapo kuahani analichunguza na naona kwamba hakuna malaika nyeupe kwenye doa, na kwamba halikuenda chini ya ngozi bali linafifia, basi, kuhani atamtenga mtu huyo kwa siku saba.
Pakli uzří kněz, an na poškvrně pobělavé není žádného chlupu bílého, a že nižší není nežli jiná kůže, ale že jest pozčernalá, poručí ho zavříti kněz za sedm dní.
27 Kisha yapasa kuahani kumchunguza tena katika siku ya saba. Iwapo litakuwa limesambaa kwa upana kwenye ngozi, naye kuhani atamtangaza kuwa najisi. Huo ni ugojwa wa kuambukiza.
I pohledí na ni kněz dne sedmého. Jestliže se více rozmohla po kůži, tedy za nečistého vyhlásí jej; nebo rána malomocenství jest.
28 Iwapo hilo doa lisalia mahali pake na halitakuwa limesambaa kwenye ngozi bali limefifia, ni uvimbe tu kutokana na kuungua moto, naye kuhani atamtangaza kuwa safi, kwa kuwa siyo zaidi ya jeraha la kuungua.
Pakli bělost lsknutá na svém místě zůstávati bude, a nerozmůže se po kůži, ale bude pozčernalá: zprýštění od spáleniny jest; za čistého vyhlásí jej kněz, nebo šrám spáleniny jest.
29 Iwapo mwanaume au mwanamke ana ugonjwa wa kuambukiza kichwani au kidevuni pake,
Byla-li by pak rána na hlavě aneb na bradě muže neb ženy,
30 kisha kuhani atamchunguza mtu huyo kwa ajili ya ugonjwa wa kuambukiza ili kuona kama unakwenda ndani zaidi ya ngozi, na kama kuna nywele za manjano, nyembamba ndani yake. endapo zinaonekana, kisha kuhani atamtangaza kuwa najisi. Huo ni mwasho, ugonjwa wa kuambukiza kichwani au kidevuni.
Tedy pohledí kněz na tu ránu, a jestliže způsob její bude hlubší nežli jiná kůže, a bude na ní vlas prožlutlý a tenký: tedy za nečistého vyhlásí jej kněz, nebo poškvrna černá jest; malomocenství na hlavě aneb na bradě jest.
31 Iwapo kuhani anachunguza ugonjwa wa mwasho na anagundu kuwa hauko chini ya ngozi, na kama hakuna nywele nyeusi ndani yake, kisha kuhani atamtenga mtu huyo mwenye ugonjwa wa mwasho kwa siku saba.
Když pak pohledí kněz na ránu poškvrny černé a uzří, že způsob její není hlubší nežli jiná kůže, a že není vlasu černého na ní: zavříti dá kněz majícího ránu poškvrny černé za sedm dní.
32 Katika siku ya saba kuhani atauchunguza tena huo ugonjwa ili kuona kama umesambaa, Endapo hakuna malaika za manjano, na iwapo ugonjwa uko usawa ngozi tu,
I pohledí kněz na tu ránu dne sedmého, a aj, nerozmohla se ta poškvrna černá, a není vlasu žlutého na ní, a způsob té poškvrny černé není hlubší nežli kůže:
33 basi, yapasa mtu huyo kunyolewa., lakini sehemu yenye ugonjwa haitanyolewa, naye kuhani atamtenga mtu huyo mwenye ugonjwa wa mwasho kwa siku saba.
Tedy oholen bude člověk ten, ale poškvrny té černé nedá holiti. I dá zavříti kněz majícího tu poškvrnu za sedm dní po druhé.
34 Katika siku ya saba kuhani atauchunguza tena ugonjwa ili kuona kama umacha kusambaa ndani ya ngozi. Iwapo unaonekana kuwa hukwenda chini zaidi ya ngozi, kisha kuhani atamtangaza kuwa safi. Mtu huyo yapasa kufua nguo zake, na kisha atakuwa safi.
I pohledí kněz na poškvrnu černou dne sedmého, a jestliže se nerozmohla poškvrna černá dále po kůži, a místo její není-li hlubší nežli jiná kůže: za čistého vyhlásí ho kněz, i zpéře roucha svá a čistý bude.
35 Lakini ikiwa ugonjwa wa mwasho umeenea kwa sehemu kubwa kwenye ngozi baada ya kuhani kutangaza kuwa alikuwa safi,
Pakli by se dále rozmohla poškvrna ta černá po kůži, již po očištění jeho,
36 naye kuhani itabidi amchunguze tena. Iwapo ugonjwa utakuwa umesambaa katika ngozi, kuhani hahitajiki kutafuta nywele za manjano. Mtu huyo ni najisi.
Tedy pohledí na ni kněz, a uzří-li, že se dále rozmohla ta poškvrna černá po kůži, nebude více šetřiti vlasu žlutého; nečistý jest.
37 Lakini iwapo katika mtazamo wa kuhani inaonekana kuwa huo ugonjwa wa mwasho umekoma kusambaa, basi huo ugonjwa umekwisha pona. Yeye ni safi, naye kuhani atamtangaza kuwa safi.
Pakli poškvrna černá tak zůstává před očima jeho, a černý vlas vzrostl by na ní, tedy zhojena jest ta poškvrna černá; čistý jest, a za čistého vyhlásí jej kněz.
38 Iwapo mwanume au mwanamke ana madoa juu ya ngozi,
Když by na kůži těla muže aneb ženy byly poškvrny, totiž poškvrny pobělavé,
39 kisha kuhani atamchunguza mtu huyo ili kuona kama hayo madoa ni meupe kwa kufiifia, ambalo ni kovu tu lililojitokeza kwenye ngozi. Yeye yu safi.
I pohledí kněz, a jestliže budou na kůži těla jejich poškvrny bílé, pozčernalé, tedy poškvrna bílá jest, kteráž na kůži zrostla; čistý jest.
40 Iwapo nywele za mtu zimenyonyoka kichwani, yeye ni kipara lakini yu safi.
Muž, z jehož by hlavy vlasové slezli, lysý jest a čistý jest.
41 Na iwapo nywele zake zimenyonyoka upande wa mbele wa kichwa chake, na iwapo paji lake la uso lina kipara, yeye yu safi.
Jestliže pak po jedné straně obleze hlava jeho, nálysý jest a čistý jest.
42 Lakini endapo kuna kidonda chenye wekundu uliochanganyika na weupe, juu ya kipara chake au paji lake la uso, huo ni ugonjwa wa kuambukiza uliojitokeza.
Pakli na té lysině, aneb na tom oblysení byla by rána bílá a ryšavá, tedy malomocenství zrostlo na lysině jeho, aneb na oblysení jeho.
43 Naye kuhani atamchunguza ili kuona iwapo uvimbe wa eneo linaugua juu ya upara wake au paji lake la uso lina wekundu uliochanganyika na weupe, kama kuonekana kwa ugonjwa wa kuambukiza kwenye ngozi.
I pohledí na něj kněz, a uzří-li oteklinu rány bílou a ryšavou na lysině jeho, aneb na oblysení jeho, jako způsob malomocenství na kůži těla:
44 Ikionekana hivyo, basi huyo ana ugonjwa wa kuambukiza naye ni najisi. Hakika kuhani atamtangaza kuwa najisi kwa sababu ya ugonjwa wake kichwani pake.
Člověk malomocný jest a nečistý jest. Bez meškání za nečistého vyhlásí jej kněz, nebo na hlavě jeho jest malomocenství jeho.
45 Mtu aliye na ugojwa wa kuambukiza atavaa nguo zilizochanika, ni lazima nywele zake ziachwe wazi, na yampasa kufunika uso wake mpaka puani na kupiga kelele, 'Najisi, najisi.'
Malomocný pak, na němž by ta rána byla, bude míti roucho roztržené a hlavu odkrytou a ústa zastřená, a Nečistý, nečistý jsem! volati bude.
46 Naye atakuwa najisi siku zote za ugonjwa wake wa kuambukiza. Kwa sababu anao ugonjwa unaosambaa, yapasa kuishi peke yake nje ya kambi.
Po všecky dny, v nichž ta rána bude na něm, za nečistého jmín bude; nebo nečistý jest. Sám bydliti bude, vně za stany bude přebývání jeho.
47 Kuna wakati fulani vazi la mtu hupata ukungu juu yake. Laweza kuwa vazi, ama la sufu au kitani,
Když by pak na rouchu byla rána malomocenství, buď na rouchu soukenném aneb na rouchu lněném,
48 au kitu chochote kilichosukwa au kufumwa kutokana na sufu au kitani, au ngozi au kitu chochote kilichotengenezwa kwa ngozi.
Buď na osnově aneb na outku ze lnu aneb z vlny, buď na kůži aneb na každé věci kožené,
49 Iwapo sehemu iliyochafuliwa ina rangi ya kijani au nyekundu katika vazi, ngozi, kifaa kilichosukwa au kufumwa, basi huo ni ukungu uanasambaa, ni lazima uonyeshwe kwa kuhani.
A byla by ta rána zelená neb náryšavá na rouchu aneb na kůži, aneb na osnově, aneb na outku, aneb na kterékoli nádobě kožené: rána malomocenství jest, ukázána bude knězi.
50 Yapasa kuhani akichunguze hicho kifaa kwa ajili ya ukungu; ni lazima akitenge kitu chochote kilicho na ukungu kwa siku saba.
I pohledí kněz na tu ránu, a dá zavříti tu věc mající ránu za sedm dní.
51 Naye atauchunguza tena huo ukungu katika siku ya saba. Endapo utakuwa umesambaa katika kifaa hicho, basi ni wazi kwamba huo ni ukungu wenye kuangamiza, na hicho kifaa ni najisi.
A pohledě na tu ránu dne sedmého, uzří-li, že se dále rozmohla ta rána na rouchu, neb po osnově anebo po outku, aneb na kůži, k čemuž by jí koli užíváno bylo: rána ta malomocenství rozjídavá jest, věc nečistá jest.
52 Na mwenye kukimiliki atalazimika kukichoma na kukiteketeza kabisa hicho kifaa kilichoonekana na ukungu ndani yake, haijalishi kiwe ni kifaa cha aina gani, kwani huo ukungu unaweza kusababisha ugonjwa.
I spálí to roucho aneb osnovu, aneb outek z vlny neb ze lnu, aneb jakoukoli nádobu koženou, na níž by byla rána ta; nebo malomocenství škodlivé jest, protož ohněm spáleno bude.
53 Iwapo kuhani anakichunguza hicho kifaa na kuona kwamba ukungu haujaenea kwenye vazi au chombo kilichosukwa au kusokotwa kutokana na sufu, kitani au ngozi,
Pakli pohledě kněz, uzřel by, že se nerozmohla rána ta na rouchu, aneb na osnově, aneb na outku, aneb na kterékoli nádobě kožené:
54 basi atawaagiza wakisafishe hicho kifaa kilichopatikana na ukungu, naye yampasa kukitenga kwa siku saba zaidi.
Rozkáže kněz, aby zeprali tu věc, na níž byla by rána, i káže ji zavříti za sedm dní po druhé.
55 Kisha kuhani atakichunguza tena hicho kifaa chenye ukungu baada ya kuwa kimesafinshwa. Kama ukungu haukubadilika rangi yake, hata kama haukusambaa, kifaa hicho ni najisi. Yapasa kichomwe, haijalishi ni wapi ukungu huo utakuwa umekichafua.
I pohledí kněz po zeprání té věci na ránu. Jestliže nezměnila rána barvy své, byť se pak nerozmohla dále, předce nečistá jest. Ohněm spálíš ji; nebo rozjídavá věc jest na vrchní neb spodní straně její.
56 Iwapo kuhani anakichunguza hicho kifaa, na kama ukungu umefifia baada ya kuwa umeoshwa, basi atakirarua kile kipande kilichochaufuliwa kutoka kwenye vazi au kutoka kwenye ngozi, au kutoka kwenye chombo kilichosukwa au kusokotwa.
Pakli pohledě kněz, uzřel by, an pozčernala rána po zeprání svém, odtrhne ji od roucha aneb od kůže, aneb od osnovy, aneb od outku.
57 Ikiwa ukungu unazidi kuonekana katika vazi, ama katika chombo kilichosukwa au kufumwa, au katika kitu chochote kilichotengenezwa kwa ngozi, basi, ukungu utakuwa unasambaa. Kifaa chochote kilicho na ukungu ni lazima kichomwe.
Jestliže se pak ukáže ještě na rouchu aneb na osnově, aneb na outku, aneb na kterékoli nádobě kožené, malomocenství rozjídající se jest. Ohněm spálíš věc tu, na kteréž by ta rána byla.
58 Vazi au kitu chochote kilichosukwa au kufumwa kutokana na sufu, au kitani, au ngozi au kitu chochote kilichotengenezwa kwa ngozi—iwapo unakisafisha kifaa nao ukungu ukawa umetoka, nacho kifaa lazima kisafishwe mara ya pili, kisha kitakuwa safi.
Roucho pak aneb osnovu, aneb outek, aneb kteroukoli nádobu koženou, když bys zepral, a odešla by od ní ta rána, ještě po druhé zpéřeš, a čisté bude.
59 Hii ndiyo sheria ihusuyo ukungu katika vazi la sufu au kitani, au kwenye kitu chochote kilichosukwa au kufumwa kutokana na sufu, au kitani, au kitu chochote kilichotengenewa kwa ngozi, ili kwamba mweze kuvitangaza kuwa safi au najisi.
Tenť jest zákon o ráně malomocenství na rouchu soukenném aneb lněném, aneb na osnově, aneb na outku, aneb na kterékoli nádobě kožené, kterak má za čistou aneb za nečistou uznána býti.

< Mambo ya Walawi 13 >