< Mambo ya Walawi 10 >

1 Nadabu na Abihu, wana wa Aroni, wakachukua kila mtu kifukizo chake, akaweka moto ndani yake, na kisha uvumba. Kisha wakatoa moto usiokuabalika mbele za Yahweh, moto ambao hakuwaamru wao kuutoa.
Und Nadab und Abihu, Aharons Söhne, nahmen jeder Mann seine Rauchpfanne und taten Feuer hinein und legten Räuchwerk darauf und brachten vor Jehovah fremdes Feuer dar, das Er ihnen nicht geboten hatte.
2 Kwa hiyo moto ukashuka chini mbele za Yahweh na kuwala, nao wakafa mbele za Yahweh.
Und Feuer ging aus von Jehovah, und fraß sie auf und sie starben vor Jehovah.
3 Kisha Musa akamwambia Aroni, Hivi ndiyo Yahweh alivyokuwa akizunguzia aliposema, 'Nitaufunua utakatifu wangu kwa wale wajao mbele zangu. Nami nitatukuzwa mbele za watu wote.'” Naye Aroni hakusema neno lolote.
Und Mose sprach zu Aharon: Das ist es, was Jehovah geredet und gesprochen hat: An denen, die Mir nahe sind, will ich geheiligt und vor dem Angesichte des ganzen Volkes verherrlicht werden. Und Aharon war stille.
4 Musa akamwita Mishaeli na Elzafani, wana wa Uzieli mjomba wa Aroni, naye akamwambia, “njoo huku na uwatowe ndugu zako nje ya kambi watoke mbele ya hema.”
Und Mose rief Mischael und Elzaphan, die Söhne Ussiels, des Oheims von Aharon, und sprach zu ihnen: Nahet, traget eure Brüder hinweg vom Heiligtum, zum Lager hinaus.
5 Hivyo wakakaribia na kuwachukua wangali wamevaa kanzu zao za kikuhani, nao wakawapeleka nje ya kambi, kama Musa alivyokuwa ameelekeza. Kisha Musa akamwambia Aroni na wanawe wengine wawili, Eliezari na Ithamari, “
Und sie nahten und trugen sie in ihren Leibröcken zum Lager hinaus, wie Mose geredet hatte.
6 Msiache wazi nywele za vichwa vyenu, wala msirarue nguo zenu, ili kwamba msije mkafa, na kwamba Yahweh asilikasirikie kusanyiko zima. Lakini waacheni jamaa zenu, nyumba yote ya Israeli waweze kufanya ibada za maombolezo kwa ajili ya hao ambao Yahweh amewaangamiza kwa moto.
Und Mose sprach zu Aharon und seinen Söhne Eleasar und Ithamar: Eure Häupter sollt ihr nicht blößen und eure Kleider nicht aufrei-ßen, daß ihr nicht sterbet, und Er über die ganze Gemeinde entrüstet werde. Aber eure Brüder, das ganze Haus Israel mögen weinen über den Brand derer, die Jehovah verbrannte.
7 Msiende nje kutoka kwenye ingilio la hema la kukutania, ama sivyo mtakufa, kwa kuwa mafuta ya Yahweh ya upako yako juu yenu.” Kwa hiyo wakatenda sawasawa na maelekezo ya Musa.
Und von dem Eingang des Versammlungszeltes sollt ihr nicht ausgehen, auf daß ihr nicht sterbet; denn Jehovahs Salbungsöl ist auf euch. Und sie taten nach Moses Wort.
8 Mungu akazungumza na Aroni, akisema,
Und Jehovah redete zu Aharon und sprach:
9 “Msinywe mvinyo wala kinywaji kikali, wewe, au wanao wanaobaki pamoja nawe, ili kwamba mtakapoingia kwenye hema ya kukutania msije mkafa. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu,
Wein und starkes Getränk sollst du und deine Söhne mit dir nicht trinken, wenn ihr zum Versammlungszelt eingehet, auf daß ihr nicht sterbet. Eine ewige Satzung soll es sein für eure Geschlechter;
10 ili kupaambanua kati ya mambo matakatifu na mambo ya kawaida, na kati ya najisi na safi,
Und auf daß ihr scheidet zwischen dem Heiligen und zwischen dem Gemeinen und zwischen dem Unreinen und zwischen dem Reinen.
11 ili kwamba mweze kuwafundisha watu wa Israeli amri zote ambazo Yahweh ameziamru kwa kinywa cha Musa.
Und daß ihr die Söhne Israels unterweiset in allen Satzungen, die Jehovah zu ihnen durch die Hand Moses geredet hat.
12 Musa akazungumza na Aroni na wanawe wawili waliosalia; Eliazari naIthamari, Twaeni sadaka ya nafaka inayobaki kutokana na sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto, nanyi ileni kando ya madhabahu bila hamiara, kwa kuwa ni takatifu sana.
Und Mose redete zu Aharon und zu seinen Söhnen Eleasar und Ithamar, die übriggeblieben: Nehmet das Speiseopfer, das übrig ist von den Feueropfern Jehovahs und esset es ungesäuert neben dem Altar; denn allerheiligst ist es.
13 lazima mtaila mahali patatifu kwa sababu huo ni mgao wako wewe na mgao wa wanao wa matoleo yaliyofanywa kwa Yahweh kwa moto, kwa kuwa hivi ndivyo limeamriwa niwaambie.
Und sollt es essen an heiligem Ort; denn es ist deine Satzung und deiner Söhne Satzung von Jehovahs Feueropfern; denn so ist es mir geboten.
14 Kile kidari kitikiswacho na lile paja ambalo hutolewa kwa Yahweh, yapasa mzile mahali palipo safi panapokubalika kwa Mungu. Wewe mwenyewe, wanao na binti zako waliopamoja nawe mtakula sehemu hizo, kwa kuwa zimetolewa kuwa mgao wako na mgao wa wanao kutokana na dhabihu ya sadaka ya ushirika wa watu wa Israeli.
Und die Webebrust und die Hebeschulter sollt ihr essen an reinem Orte, du und deine Söhne und deine Töchter mit dir; denn als deine Satzung und deiner Söhne Satzung von den Dankopfern der Söhne Israels werden sie gegeben.
15 Lile paja lililotolewa na kidari kilichotikiswa, ni lazima ziletwe pamoja na sadaka ya mafuta iliyofanywa kwa moto, ili kutikiswa mbele za Yahweh. Nazo zitakuwa zako wewe na wanao kuwa mgao wenu daima, kama Yahweh alivyoamru.
Die Schulter der Hebe und die Brust der Webe sollen sie auf dem Fettstück der Feueropfer hereinbringen, um sie als Webe vor Jehovah zu weben; und sie sollen für dich und deine Söhne mit dir eine ewige Satzung sein, wie Jehovah geboten hat.
16 Kisha Musa akauliza kuhusu yule mbuzi wa sadaka ya dhambi, naye akagundua kwamba alikuwa ametekezwa kwa moto. Kwa hiyo akawakasirikia Eliazari na Ithamari, wana wa Aroni waliosalia; akawaambia,
Und Mose befragte sie über den Bock des Sündopfers, und siehe, er war verbrannt. Und er war entrüstet über Eleasar und Ithamar, die Söhne Aharons, die übriggeblieben und sprach:
17 “Kwa nini hamjaila sadaka ya dhambi katika eneo la hema, kwa kuwa ni takatifu sana, na kwa kuwa Yahweh amishaitoa kwenu ili kuchukua uovu wa kusanyiko, ili kufanya upatanisho kwa aijli yao mbele zake?
Warum habt ihr das Sündopfer nicht an heiligem Orte gegessen; denn allerheiligst ist es. Und Er hat es euch gegeben, zu tragen die Missetat der Gemeinde, über sie vor Jehovah zu sühnen.
18 Tazama, damu yake haikuletwa ndani ya hema, kwa hiyo iliwapasa kwa hakika kuwa mekwisha ila kwenye eneo la hema, kama nilivyoagiza?
Siehe! Sein Blut ist nicht in das Innere des Heiligtums gebracht worden. Ihr hättet es im Heiligtum essen sollen, wie ich geboten habe.
19 Kisha Aroni akamjibu Musa, “Tazama, leo walitoa sadaka yao ya dhambi na sadaka ya kuteketezwa mbele za Yahweh, na jambo hili vilevile limetendeka kwangu leo. Ikiwa nimeshakula sadaka ya dhambi leo, Je! Isingekuwa imeshapendeza mbele za Yahweh?”
Und Aharon redete zu Mose: Siehe, heute haben sie ihr Sündopfer und ihr Brandopfer vor Jehovah dargebracht, und solches ist mir begegnet. Und äße ich heute Sündopfer, wäre es gut in den Augen Jehovahs?
20 Naye Musa aliposikia hivyo, akaridhika.
Und Mose hörte, und es war gut in seinen Augen.

< Mambo ya Walawi 10 >