< Maombolezo 1 >

1 Mji ambao mwanzo ulikuwa na watu wengi sasa umekaa peke yake. Amekuwa kama mjane, japo alikuwa taifa kubwa. Alikuwa mtoto wa mfalme miongoni mwa mataifa, lakini sasa amelazimishwa utumwani.
how? to dwell isolation [the] city many people to be like/as widow many in/on/with nation princess in/on/with province to be to/for taskworker
2 Analia na kuomboleza usiku, na machozi yake yanafunika mashavu yake. Hamna ata mpenzi wake anaye mliwaza. Marafiki wake wote wamemsaliti. wamekuwa maadui wake.
to weep to weep in/on/with night and tears her upon jaw her nothing to/for her to be sorry: comfort from all to love: lover her all neighbor her to act treacherously in/on/with her to be to/for her to/for enemy
3 Baada ya umaskini na mateso, Yuda ameenda matekani. Anaishi miongoni mwa mataifa na hapati pumziko lolote. Wanao wakimbiza wamewapata katika upweke wake.
to reveal: remove Judah from affliction and from abundance service he/she/it to dwell in/on/with nation not to find resting all to pursue her to overtake her between: among [the] terror
4 Barabara za Sayuni zinaomboleza kwasababu hakuna anaye kuja kwenye sherehe iliyo andaliwa. Malango yake yote ni ukiwa. Makuhani wake wote wana sononeka. Mabikra wake wana uzuni na yeye mwenyewe yupo katika ugumu.
way: road Zion mourning from without to come (in): come meeting: festival all gate her be desolate: destroyed priest her to sigh virgin her to suffer and he/she/it bitter to/for her
5 Maadui wake wamekuwa bwana zake; maadui wake wana fanikiwa. Yahweh amemuadhibu kwa dhambi zake nyingi. Watoto wake wadogo wanaenda matekani kwa maadui zake.
to be enemy her to/for head: leader enemy her to prosper for LORD to suffer her upon abundance transgression her infant her to go: went captivity to/for face: before enemy
6 Uzuri umemwacha binti wa Sayuni. Watoto wa mfalme wamekuwa kama ayala ambaye haoni malisho, na wanaenda bila uwezo kwa wanao wakimbiza.
and to come out: come (from from daughter *QK) Zion all glory her to be ruler her like/as deer not to find pasture and to go: went in/on/with not strength to/for face: before to pursue
7 Katika siku za mateso yake na kutokuwa na nyumba, Yerusalemu itakumbuka hazina zake za dhamani alizo kuwa nazo awali. Wakati watu wake walipo angukia mikononi mwa adui, hakuna aliye msaidia. Maadui waliwaona na kucheka maangamizo yake.
to remember Jerusalem day affliction her and wandering her all desirable her which to be from day front: old in/on/with to fall: fall people her in/on/with hand: power enemy and nothing to help to/for her to see: see her enemy to laugh upon annihilation her
8 Yerusalemu ili tenda dhambi sana, hivyo basi, amedhalillika kama kitu kichafu. Wote walio mheshimu sasa wana mdharau kwa kuwa wameona uchi wake. Anasononeka na kujaribu kugeuka pembeni.
sin to sin Jerusalem upon so to/for filth to be all to honor: honour her to lavish/despise her for to see: see nakedness her also he/she/it to sigh and to return: repent back
9 Amekuwa mchafu chini ya sketi yake. Hakuwaza hatima yake. Anguko lake lilikuwa baya. Hakukuwa na wakumliwaza. Alilia, “Angalia mateso yangu, Yahweh, kwa kuwa adui amekuwa mkuu sana.”
uncleanness her in/on/with hem her not to remember end her and to go down wonder nothing to be sorry: comfort to/for her to see: see LORD [obj] affliction my for to magnify enemy
10 Adui ameeka mkono wake kwenye hazina zetu za dhamani. Ameona mataifa yakiingia sehemu yake takatifu, japo uliamuru wasiingie katika sehemu yako ya kukusanyikia.
hand his to spread enemy upon all desire her for to see: see nation to come (in): come sanctuary her which to command not to come (in): come in/on/with assembly to/for you
11 Watu wote wana sononeka wanapo tafuta mkate. Wametoa hazina zao za dhamani kwa ajili ya chakula cha kurejesha uhai wao. Tazama, Yahweh, ni kumbuke mimi, kwa kuwa nimekuwa sina faida.
all people her to sigh to seek food: bread to give: give (desire their *QK) in/on/with food to/for to return: rescue soul: life to see: see LORD and to look [emph?] for to be be vile
12 Sio kitu kwako, wote mnao pita? Angalia na uone kama kuna mtu mwenye uzuni kama uzuni ninao teswa nao, tangu Yahweh amenitesa mimi katika siku ya hasira yake kali.
not to(wards) you all to pass way: journey to look and to see: see if there pain like/as pain my which to abuse to/for me which to suffer LORD in/on/with day burning anger face: anger his
13 Ni kutoka juu ndipo alipo tuma moto kwenye mifupa yangu na umenishinda. Ametanda nyavu kwa miguu yangu na kunigeuza. Amenifanya ukiwa na dhahifu.
from height to send: depart fire in/on/with bone my and to rule her to spread net to/for foot my to return: return me back to give: make me devastated all [the] day sick
14 Nira ya makosa yangu imefungwa na mikono yake. Zimesokotwa na kuekwa shingoni mwangu. Amefanya uweza wangu kushindwa. Bwana amenikabidhi mikononi mwa, na siwezi kusimama.
to bind yoke transgression my in/on/with hand his to intertwine to ascend: establish upon neck my to stumble strength my to give: give me Lord in/on/with hand: power not be able to arise: establish
15 Bwana ametupa pembeni wanaume wangu hodari walio niokoa. Ameitisha kusanyiko dhidi yangu kuponda wanaume wangu imara. Bwana amewakanyaga binti bikra wa Yuda kwenye chombo cha kusagia mvinyo.
to reject all mighty: strong my Lord in/on/with entrails: among my to call: call to upon me meeting to/for to break youth my wine press to tread Lord to/for virgin daughter Judah
16 Kwa vitu hivi ninalia. Macho yangu, maji yanashuka chini ya macho yangu tangu mfariji aliye paswa kurejesha maisha yangu yuko mbali na mimi. Watoto wangu wamekuwa ukiwa kwasababu adui yangu ameshinda.
upon these I to weep eye my eye my to go down water for to remove from me to be sorry: comfort to return: rescue soul my to be son: child my be desolate: destroyed for to prevail enemy
17 Sayuni ametandaza mikono yake; hakuna wakuwa mliwaza. Yahweh ameamuru hao karibu na Yakobo wawemaadui wake. Yerusalemu ni kitu kichafu kwao.
to spread Zion in/on/with hand her nothing to be sorry: comfort to/for her to command LORD to/for Jacob around: neighours him enemy his to be Jerusalem to/for impurity between them
18 Yahweh ni mwenye haki, kwa kuwa nimeasi dhidi ya amri zake. Sikia, ninyi watu, na muone uzuni wangu. Mabikra wangu na wanaume imara wameenda matekani.
righteous he/she/it LORD for lip: word his to rebel to hear: hear please all ([the] people *QK) and to see: see pain my virgin my and youth my to go: went in/on/with captivity
19 Niliita marafiki zangu, lakini walikuwa na hila kwangu. Makuhani wangu na wazee waliangamia kwenye mji, walipo kuwa wanatafuta chakula cha kurejesha uhai wao.
to call: call to to/for to love: lover me they(masc.) to deceive me priest my and old: elder my in/on/with city to die for to seek food to/for them and to return: rescue [obj] soul: life their
20 Tazama, Yahweh, kwa kuwa nipo kwenye ugumu; tumbo langu lina nguruma, moyo wangu umetibuka ndani yangu, kwa kuwa nimekuwa muasi sana. Nje, upanga umemliza mama, ndani ya nyumba kuna mauti tu.
to see: see LORD for distress to/for me belly my to aggitate to overturn heart my in/on/with entrails: among my for to rebel to rebel from outside be bereaved sword in/on/with house: home like/as death
21 Wamesikia sononeko langu, lakini hakuna wakuni liwaza. Maadui zangu wote wamesikia shida zangu na wamefurahi umenifanyia hivi. Umeleta siku uliyo ahidi; sasa acha wawe kama mimi.
to hear: hear for to sigh I nothing to be sorry: comfort to/for me all enemy my to hear: hear distress: harm my to rejoice for you(m. s.) to make: do to come (in): bring day to call: call out and to be like me
22 Acha uovu wote uje mbele zako. Shughulika nao kama ulivyo shughulika na mimi kwasababu ya makosa yangu yote. Masononeko yangu ni mengi na moyo umezimia.
to come (in): come all distress: evil their to/for face: before your and to abuse to/for them like/as as which to abuse to/for me upon all transgression my for many sighing my and heart my faint

< Maombolezo 1 >