< Maombolezo 5 >

1 Kumbuka, Yahweh, yaliyo tutokea na uone aibu yetu.
Wspomnij, PANIE, na to, co nas spotkało. Spójrz i zobacz nasze pohańbienie.
2 Urithi wetu umegeuziwa kwa wageni; nyumba zetu kwa wageni.
Nasze dziedzictwo przypadło obcym, a nasze domy – cudzoziemcom.
3 Tumekuwa yatima, bila baba, na mama zetu ni kama wajane.
Staliśmy się sierotami, bez ojca; nasze matki są jak wdowy.
4 Lazima tulipe fedha kwa maji tunayo kunywa, na tulipe fedha kupata mbao zetu.
Własną wodę pijemy za pieniądze, nasze drwa za pieniądze kupujemy.
5 Hao wanakuja kwetu wamekaribia nyuma yetu; tumechoka na hatuwezi pata mapumziko.
Prześladowanie ciąży na naszym karku. Pracujemy, [a] nie dają nam odpocząć.
6 Tumejitoa kwa Misri na kwa Assiria tupate chakula cha kutosha.
Podawaliśmy rękę Egipcjanom i Asyryjczykom, aby nasycić się chlebem.
7 Baba zetu walifanya dhambi, na hawapo tena, na tumebeba dhambi zao.
Nasi ojcowie zgrzeszyli, nie ma ich, a my nosimy ich nieprawość.
8 Watumwa walitutawala, na hakuna wa kutuokoa na mikono yao.
Niewolnicy panują nad nami, nie ma nikogo, kto by nas wybawił z ich ręki.
9 Tunapata mkate wetu pale tunapo hatarisha maisha, kwasababu ya upanga wa nyikani.
Z narażeniem życia szukamy swego chleba z powodu miecza [na] pustyni.
10 Ngozi zetu zimekuwa na moto kama jiko kwasababu ya joto la njaa.
Nasza skóra jak piec zaciemniła się od strasznego głodu.
11 Wanawake wanabakwa Sayuni, na mabikra katika mji wa Yuda.
Kobiety na Syjonie hańbiono, a panny – w miastach Judy.
12 Watoto wa mfalme wamenyongwa na mikono yao, na hakuna heshima inayoonyeshwa kwa wazee.
Książęta byli wieszani ich rękami, oblicza starszych nie uszanowano.
13 Wanaume vijana wanalizimishwa kusaga mbegu kwa jiwe la kusagia, na wavulana wanajikwa chini ya vifurushi vya kuni.
Młodzieńców wzięli do młócenia, dzieci padały pod [ciężarem] drewna.
14 Wazee wameacha lango la mji, na vijana wameacha miziki.
Starcy w bramach już nie siadają, młodzieńcy przestali [śpiewać] swoje pieśni.
15 Furaha ya moyo imekoma na kucheza kwetu kumegeuka kilio.
Radość zniknęła z naszych serc, nasze pląsanie zamieniło się w żałobę.
16 Taji limeanguka kichwani mwetu; ole wetu, kwa kuwa tumetenda dhambi!
Spadła korona z naszej głowy. Biada nam, bo zgrzeszyliśmy!
17 Kwa kuwa moyo wetu umekuwa unaumwa, na machozi yetu ya fifia, kwa vitu hivi macho yetu yanafifia
Dlatego nasze serce omdlewa, dlatego nasze oczy są zaćmione.
18 maana Mlima Sayuni umelala ukiwa, mbwa wa mitaani wacheza juu yake.
Z powodu spustoszonej góry Syjonu lisy chodzą po niej.
19 Lakini wewe, Yahweh, unatawala milele, na utaketi katika kiti chako cha enzi vizazi na vizazi. Kwanini unatusahau milele?
Ty, PANIE, trwasz na wieki, twój tron z pokolenia na pokolenie.
20 Kwanini unatutelekeza kwa siku nyingi?
Czemu zapominasz o nas na wieki i opuszczasz nas na tak długi czas?
21 Turejeshe kwako, Yahweh, na sisi tutarejea. Fanya upya siku zetu kama zilivyo kuwa hapo zamani -
Nawróć nas do siebie, PANIE, a będziemy nawróceni; odnów nasze dni, jak dawniej.
22 vinginevyo labda uwe umetukataa na una hasira kwetu kupita kiasi.
Czy odrzuciłeś nas całkowicie? Czy bardzo się na nas gniewałeś?

< Maombolezo 5 >