< Maombolezo 3 >

1 Mimi ni mwanaume nilyeona maangaiko chini ya gongo la hasira ya Yahweh.
Yo soy el hombre que fue afligido Con la vara de su furor.
2 Amenifukuza na kunisababisha kutembea kwenye giza kuliko kwenye nuru.
Me guió y condujo en oscuridad y no en luz.
3 Hakika amenigeuzia mkono wake dhidi yangu tena na tena, siku yote.
Ciertamente se apartó de mí. Contra mí vuelve su mano todo el día.
4 Amefanya mwili wangu na ngozi yangu kufifia; amevunja mifupa yangu.
Consumió mi carne y mi piel, Quebró mis huesos.
5 Amejenga vifusi vya udogo dhidi yangu, na kunizingira na uchungu na ugumu.
Me sitió Y me encerró en tribulación y angustia.
6 Amefanya ni ishi sehemu za giza, kama hao walio kufa zamani.
Me encerró a vivir en oscuridad Como los que murieron hace tiempo.
7 Amejenga ukuta kunizunguka na siwezi kutoroka. Amefanya minyororo yangu mizito
Me cercó con muros de modo que no puedo salir. Me cargó una cadena pesada.
8 na japo nina ita na kulilia msaada, anazima maombi yangu.
Aun cuando clamo y grito, Cierra oídos a mi oración.
9 Ameziba njia yangu kwa ukuta wa mawe ya kuchonga; amefanya njia yangu mbaya.
Con piedras labradas bloqueó mi camino Y torció mis senderos.
10 Yeye ni kama dubu anasubiri kunishambulia, simba katika maficho;
Él es para mí como oso que acecha, Como león agazapado en lugares secretos.
11 amegeuza pembeni njia zangu, amenifanya ukiwa.
Él trastornó mis caminos. Me destrozó y me dejó desolado.
12 Amepindisha upinde wake na kunifanya mimi kama lengo la mshale wake.
Entesó su arco, Y me puso como blanco de su flecha.
13 Ametoboa maini yangu kwa mishale ya mfuko wake.
Él hizo que las flechas de su caja portátil para flechas Penetraran en mis órganos internos.
14 Nilikuwa kichekesho kwa watu wangu wote, kielelezo cha dhihaka yao siku nzima.
Soy el escarnio para todo mi pueblo, El estribillo de burla todo el día.
15 Amenijaza kwa uchungu na kunilazimisha kunywa maji machungu.
Me llenó de amargura. Me dio a beber ajenjo.
16 Alivunja meno yangu na kokoto; amenisukuma chini kwenye fumbi.
Quebró mis dientes con grava Y me pisoteó en la ceniza,
17 Nafsi yangu imenyimwa amani; nimesahau furaha ni nini.
Mi alma está lejos de la paz. Olvidé la felicidad.
18 Hivyo na sema, “Ustahimilivu wangu umeangamia na pia tumaini langu kwa Yahweh.”
Y dije: Mi fuerza y mi esperanza En Yavé perecieron.
19 Kumbuka mateso yangu na kuangaika kwangu, maji machungu na uchungu.
Recuerda mi aflicción y mi angustia, El ajenjo y la hiel.
20 Ninaendelea kukumbuka na nimeinama ndani yangu.
Ciertamente mi alma recuerda Y está abatida dentro de mí.
21 Lakini ni vuta hili akilini mwangu na hivyo nina matumaini:
Esto le recuerdo a mi mente, Por tanto tengo esperanza:
22 Upendo dhabiti wa Yahweh haukomi na huruma zake haziishi,
Por causa de las misericordias de Yavé No estamos consumidos. Porque sus compasiones no fallan.
23 ni mpya kila asubui; uaminifu wako ni mkubwa.
Nuevas son cada mañana. Grande es tu fidelidad.
24 “Yahweh ni urithi wangu,” Nilisema, hivyo nitamtumainia.
Yavé es mi porción, dice mi alma, Por tanto espero en Él.
25 Yahweh ni mwema kwao wanao msubiri, kwa anaye mtafuta.
Bueno es Yavé para los que lo esperan, Para el alma que lo busca.
26 Ni vizuri kusubiri taratibu kwa uwokovu wa Yahweh.
Bueno es esperar en silencio La salvación de Yavé.
27 Ni vizuri kwa mtu kubeba nira katika ujana.
Bueno es para un hombre llevar El yugo desde su juventud,
28 Acha aketi peke yake katika utulivu, inapo kuwa imewekwa juu yake.
Que se siente a solas y guarde silencio Puesto que Él se lo impuso.
29 Acha aeke mdomo wake kwenye vumbi - kunaweza bado kuwa na matumaini.
Que ponga su boca en el polvo, Tal vez haya esperanza.
30 Acha atoa shavu lake kwa yeye anaye mpiga, na ajazwe tele kwa aibu.
Que dé la mejilla al que lo abofetea, Y se harte de afrenta.
31 Kwa kuwa Bwana hatatukataa milele,
Porque ʼAdonay no desechará para siempre.
32 lakini japo anatia uzuni, ata kuwa na huruma kwa kadiri ya mwingi wa upendo wake dhabiti.
Aunque entristezca, Él tendrá compasión Según su abundante misericordia.
33 Kwa kuwa haadhibu kutoka moyoni mwake au kutesa watoto wa mwanadamu.
Porque no aflige voluntariamente, Ni entristece a los hijos de los hombres.
34 Kukanyaga chini ya mguu wafungwa wote wa dunia,
No aplasta bajo sus pies A todos los cautivos de la tierra.
35 kumnyima haki mtu mbele ya uwepo wa Aliye Juu,
No se aparta del justo juicio a un hombre En presencia de ʼElyón.
36 mkunyima haki mtu - Bwana hataidhinisha vitu kama hivyo!
ʼAdonay no aprueba Pervertir la causa del hombre.
37 Ni nani aliye zungumza na ikatimia, kama sio Bwana kutamka?
¿Quién dice algo y ocurre, A menos que ʼAdonay lo ordene?
38 Sio kutoka mdomoni mwa Aliye Juu majanga na mazuri yanakuja?
¿No procede de la boca del ʼElyon Tanto lo bueno como lo malo?
39 Mtu aliye hai anawezaje kulalamika? Mtu anawezaje kulalamika kwa adhabu ya dhambi zake?
¿Por qué se queja el hombre? Que se queje el hombre por el castigo de sus pecados.
40 Natujichunguze njia zetu na kuzijaribu, na tumrudie Yahweh.
Examinemos y probemos nuestros caminos, Y regresemos a Yavé.
41 Na tunyanyue mioyo yetu na mikono yetu kwa Yahweh mbinguni:
Levantamos nuestros corazones y manos Hacia ʼEL en el cielo y dijimos:
42 “Tumekosea na kuasi, na haujasamehe.
Nosotros transgredimos y fuimos rebeldes. Tú no nos perdonaste.
43 Umejifunika na hasira na kutukimbiza, umeua na haujanusuru.
Te cubriste con furor, Y nos perseguiste. Nos mataste sin compasión.
44 Umejifunika na wingu ili kwamba kusiwe na ombi linaloweza kupita.
Te cubriste con una nube muy espesa Para que no pasara la oración.
45 Umetufanya kama uchafu na taka miongoni mwa mataifa.
Nos volviste como excrementos y basura entre los pueblos.
46 Maadui wetu wote wametulaani,
Todos nuestros enemigos ensanchan sus bocas contra nosotros.
47 wasiwasi na shimo limetujia, maafa na uharibifu.
Terror y trampa están sobre nosotros, Desolación y destrucción.
48 Macho yangu yanatiririka na miferiji ya machozi kwasababu ya watu wangu.
Mis ojos derraman manantiales de agua A causa de la destrucción de la hija de mi pueblo.
49 Macho yangu yatatoa machozi pasipo kikomo; pasipo hauweni,
Mis ojos manan sin cesar, sin alguna tregua.
50 mpaka atakapo tazama chini na Yahweh ataona kutoka mbinguni.
Hasta que Yavé vea Y mire desde el cielo.
51 Macho yangu yana ni sababishia uzuni kwasababu ya mabinti wa mji wangu.
Mis ojos traen sufrimiento a mi alma A causa de las hijas de mi ciudad.
52 Nimewindwa kama ndege hao walio kuwa maadui zangu; wameniwinda pasipo sababu.
Como a un pájaro me cazaron Los que sin causa son mis enemigos.
53 Wamenitupa kwenye shimo na wakanitupia jiwe,
Me echaron en la cisterna Y pusieron una piedra sobre mí.
54 na maji yaka mwagika juu ya kichwa changu. Nilisema, “Nimekatwa mbali!”
Las aguas fluyeron sobre mi cabeza. Yo dije: ¡Estoy muerto!
55 Nililiita jna lako, Yahweh, kutoka kina cha shimo.
De lo más hondo de la fosa, oh Yavé, Invoqué tu Nombre.
56 Ulisikia sauti yangu. Ulisikia sauti yangu nilipo sema, “Usifunge sikio lako kwa kilio changu cha msaada.”
Oíste mi voz: No cierres tu oído A mi suspiro, a mi clamor.
57 Ulikuja karibu siku niliyo kuiita; ulisema, “Usiogope”
Tú te acercaste cuando te invoqué, Dijiste: ¡No temas!
58 Bwana, ulitetea kesi yangu, uliokoa maisha yangu!
Oh ʼAdonay, Tú defendiste la causa de mi vida. Tú redimiste mi vida.
59 Yahweh, umeona mabaya waliyo ni fanyia, hukumu kesi yangu.
Tú viste, oh Yavé, mi opresión. Juzga mi causa.
60 Umeona matusi yao, mipango yao yote dhidi yangu -
Tú viste toda su venganza, Todos sus planes contra mí.
61 Umesikia dhihaka yao, Yahweh, na mipango yao kunihusu.
Tú oíste, oh Yavé, Todos sus reproches contra mí.
62 Midomo ya hao wanao inuka kinyume changu, na mashtaka yao, inakuja dhidi yangu siku nzima.
Los labios de mis asaltantes y su murmuración Están contra mí todo el día.
63 Ngalia jinsi wanavyo keti na kuinuka; wana nidhihaki na nyimbo zao.
Observa su sentarse y levantarse. Yo soy su estribillo de burla.
64 Walipize, Yahweh, kwa kadiri ya waliyo fanya.
Tú, oh Yavé, les recompensarás Según la obra de sus manos.
65 Utaacha mioyo yao bila lawama! Hukumu yako iwe juu yao!
Les darás dureza de corazón. Tu maldición estará sobre ellos.
66 Una wakimbiza kwa hasira na kuwaharibu nchini ya mbingu, Yahweh!
Oh Yavé, persíguelos en tu furor Y destrúyelos de debajo de los cielos, oh Yavé.

< Maombolezo 3 >