< Waamuzi 8 >

1 Watu wa Efraimu wakamwambia Gideoni, “Ni nini hiki umetutenda? Haukuita wakati ulipokwenda kupigana na Midiani.” Wakamwambia kwa nguvu.
Možje iz Efrájima so mu rekli: »Zakaj si nam tako služil, da nas nisi poklical, ko si odhajal, da bi se bojeval z Midjánci?« In ostro so se pričkali z njim.
2 Akawaambia, “Nimefanya nini sasa kulinganisha na mlichofanya ninyi? Je! Mavuno ya zabibu za Efraimu si bora zaidi kuliko mavuno ya zabibu ya Abiezeri?
Rekel jim je: »Kaj sem torej storil v primerjavi z vami? Mar ni Efrájimovo paberkovanje boljše kakor Abiézerjeva trgatev?
3 Mungu amewapa ushindi juu ya wakuu wa Midiani-Orebu na Zeeb! Mimi nimefanya nini ukilinganisha na ninyi?” Hasira yao ikashuka chini aliposema hili.
Bog je v vaše roke izročil midjánska princa, Oréba in Zeéba. Kaj sem bil jaz zmožen storiti v primerjavi z vami?« Potem ko jim je to rekel, se je njihova jeza zoper njega zmanjšala.
4 Gideoni alikuja Yordani na akavuka juu yake, yeye na watu mia tatu waliokuwa pamoja naye. Walikuwa wamechoka, lakini bado waliendelea kufuatilia.
Gideón je prišel do Jordana ter ga prečkal, on in tristo mož, ki so bili z njim, slabotni, vendar so jih zasledovali.
5 Akawaambia watu wa Sukothi, “Tafadhali wape mikate kwa watu wanaonifuata, kwa kuwa wamechoka, nami niwafuatilia Zeba na Salmuna, wafalme wa Midiani.
Možem iz Sukóta je rekel: »Dajte, prosim vas, hlebe kruha ljudstvu, ki mi sledi, kajti oslabeli so in jaz zasledujem midjánska kralja Zebaha in Calmunája.«
6 Na wakuu wakasema, “Je, mikono ya Zeba na Salmuna sasa ipo mikononi mwako? Kwa nini tulipe jeshi lako mikate?”
Princi iz Sukóta so rekli: » Mar so roke Zebaha in Calmunája sedaj v tvoji roki, da bi tvoji vojski dali kruha?«
7 Gideoni akasema, “Bwana akitupa ushindi juu ya Zeba na Salmunna, nitainyunyiza ngozi yenu kwa miiba ya jangwani na michongoma.
Gideón je rekel: »Torej ko Gospod Zebaha in Calmunája izroči v mojo roko, potem bom vaše meso raztrgal s trnjem iz divjine in z osatom.«
8 Akatoka huko, akaenda Penieli, akawaambia watu maneno hayo hayo; lakini watu wa Penieli wakamjibu kama watu wa Sukothi walivyojibu.
Od tam je odšel gor do Penuéla in jim podobno govoril. Ljudje iz Penuéla so mu odgovorili podobno kot ljudje iz Sukóta.
9 Akawaambia pia watu wa Penieli, akasema, “Nitakapokuja kwa amani, nitauangusha mnara huu.”
Govoril je tudi ljudem iz Penuéla, rekoč: »Ko ponovno pridem v miru, bom porušil ta stolp.«
10 Sasa Zeba na Salmuna walikuwa huko Karkori pamoja na jeshi lao, karibu na watu elfu kumi na tano, wote waliosalia nje ya jeshi lote la watu wa Mashariki, kwa kuwa walianguka watu 120, 000 waliofundishwa kupigana na upanga.
Torej Zebah in Calmunáj sta bila v Karkórju in njune vojske z njima, okoli petnajst tisoč mož, vsi, ki so preostali od vseh vojsk otrok vzhoda, kajti tam je padlo sto dvajset tisoč mož, ki so izdirali meč.
11 Gideoni akapanda barabara iliyochukuliwa na wakaazi wa hema, Noba na Yogbena. Akalishinda jeshi la adui, kwa sababu hawakuwa wanatarajia shambulio.
Gideón je odšel gor po poti tistih, ki so prebivali v šotorih vzhodno od Nobaha in Jogbóhe in udaril vojsko, kajti vojska je bila brezskrbna.
12 Zeba na Salmuna walikimbia, na Gideoni alipowafuata, akawatwaa wafalme wawili wa Midiani-Zeba na Salmunna- na kulifanya jeshi lote kuwa na hofu.
Ko sta Zebah in Calmunáj pobegnila, ju je zasledoval in zajel dva midjánska kralja, Zebaha in Calmunája ter porazil vso vojsko.
13 Gideoni, mwana wa Yoashi, alirudi kutoka kwenye vita kwenda kupitia Heresi.
Joášev sin Gideón se je vrnil iz bitke, preden je vzšlo sonce.
14 Akamkimbilia kijana mmoja wa watu wa Sukothi na kutafuta ushauri kutoka kwake. Kijana huyo alimwelezea viongozi wa Sukothi na wazee wake, watu sabini na saba.
Ujel je mladeniča izmed ljudi iz Sukóta in od njega poizvedel in ta mu je opisal prince iz Sukóta in njihove starešine, celó sedeminsedemdeset mož.
15 Gideoni akaja kwa watu wa Sukothi, akasema, “Tazameni Zeba na Salmuna, ambao mlinidhihaki kwa ajili yao, nikasema, 'Je! mmemshinda Zeba na Salmuna? Hatujui kwamba tunapaswa kulipa jeshi lako mkate.”
Prišel je k možem iz Sukóta in rekel: »Glejte Zebaha in Calmunája, s katerima ste me ošteli, rekoč: ›Mar so roke Zebaha in Calmunája sedaj v tvoji roki, da naj bi dali kruha tvojim možem, ki so izmučeni.‹«
16 Gideoni akawachukua wazee wa mji, naye akawaadhibu watu wa Sukothi pamoja na miiba ya jangwa na michongoma.
Zgrabil je mestne starešine in trnje iz divjine in osat ter z njimi učil može iz Sukóta.
17 Akaangusha mnara wa Penieli na kuwaua watu wa mji huo.
Podrl je stolp v Penuélu in usmrtil može iz mesta.
18 Gideoni akamwambia Zeba na Salmuna, “Ni watu wa aina gani mliwauawa Tabori?” Wakajibu, “Kama wewe ulivyo, ndivyo walivyokuwa. Kila mmoja wao alionekana kama mwana wa mfalme.”
Potem je Zebahu in Calmunáju rekel: »Kakšne vrste možje so bili tisti, ki sta jih usmrtila pri Taboru?« Odgovorila sta: »Takšni so bili, kot si ti. Vsakdo je bil podoben kraljevemu otroku.«
19 Gideoni akasema, 'Wao walikuwa ndugu zangu, wana wa mama yangu. Kama Bwana anaishivyo, kama mngewaacha hai, nisingewauwa.”
Rekel je: » Bili so moji bratje, celó sinovi moje matere. Kakor živi Gospod, če bi jih rešila žive, vaju ne bi ubil.«
20 Akamwambia Yetheri (mzaliwa wake wa kwanza), “Simama uwaue!” Lakini kijana huyo hakutoa upanga wake kwa kuwa aliogopa, kwa sababu alikuwa bado kijana mdogo.
Svojemu prvorojencu Jeterju je rekel: »Vstani in ju ubij.« Toda mladostnik ni izvlekel svojega meča, kajti bal se je, ker je bil še mladostnik.
21 Ndipo Zeba na Salmuna wakasema, simama mwenyewe, utuue! Kwa maana kama mtu alivyo, ndivyo zilivyo nguvu zake. Gideoni akasimama na kumwua Zeba na Salmuna. Pia aliondoa mapambo yaliyokuwa juu ya shingo za ngamia zao.
Potem sta Zebah in Calmunáj rekla: »Vstani ti in padi na naju, kajti kakršen je mož, takšna je njegova moč.« Gideón je vstal in usmrtil Zebaha in Calmunája in odvzel ornamente, ki so bili na vratovih njunih kamel.
22 Ndipo wana wa Israeli wakamwambia Gideoni, “Ututawale, wewe, mtoto wako, na mjukuu wako; kwa sababu umetuokoa mikononi mwa Midiani.”
Potem so možje iz Izraela rekli Gideónu: »Ti vladaj nad nami, oba, ti in tvoj sin in tudi sin tvojega sina, kajti osvobodil si nas iz roke Midjáncev.«
23 Gideoni akawaambia, “Mimi sitatawala juu yenu, wala mtoto wangu hatatawala juu yenu. Bwana atatawala juu yenu.”
Gideón jim je rekel: »Jaz ne bom vladal nad vami niti ne bo moj sin vladal nad vami. Gospod bo vladal nad vami.«
24 Gideoni akawaambia, “Nina haja yangu niitakayo kwenu kwamba kila mmoja wenu atanipe pete kutoka kwenye nyara zake.” (Wamidiani walikuwa na pete za dhahabu kwa sababu walikuwa Waishmaeli.)
Gideón jim je rekel: »Od vas bi želel prošnjo, da bi mi dal vsak mož uhane od svojega plena.« (Kajti imeli so zlate uhane, ker so bili Izmaelci.)
25 Wakamjibu, “Tunafurahi kukupa.” Wakatandika vazi na kila mtu akatupa pete kutoka kwenye nyara zake.
Odgovorili so: »Voljno jih bomo dali.« Razširili so obleko in nanjo je vsak mož vrgel uhane od svojega plena.
26 Uzito wa pete za dhahabu alizoomba zilikuwa shekeli 1, 700 za dhahabu. Nyara hizi zilikuwa ni pamoja na mapambo ya makoja, vidani, nguo ya rangi ya zambarau waliyovaa na wafalme wa Midiani, na zaidi ya minyororo iliyokuwa karibu na shingo za ngamia zao.
Teža zlatih uhanov, ki jih je zahteval, je bila tisoč sedemsto šeklov zlata, poleg ornamentov in obeskov za ušesa in škrlatnega oblačila, ki je bil na midjánskih kraljih in poleg verižic, ki so bile okoli vratov njihovih kamel.
27 Gideoni akafanya efodi kutoka katika pete na kuiweka katika mji wake, huko Ofra, na Israeli wote wakaiandama kwa ukahaba na kuabudu. Ilikuwa mtego kwa Gideoni na kwa wale walio nyumbani kwake.
Gideón je iz njih naredil efód in ga dal v svoje mesto, v Ofro. Ves Izrael se je odšel tja vlačugat za njim. Ta stvar je postala zanka Gideónu in njegovi hiši.
28 Kwa hiyo Midiani ilishindwa mbele ya watu wa Israeli na hawakuinua vichwa vyao tena. Na nchi ikawa na amani kwa miaka arobaini siku za Gideoni.
Tako je bil Midján podjarmljen pred Izraelovimi otroki, tako da niso več vzdignili svojih glav. In dežela je bila v Gideónovih dneh v spokojnosti štirideset let.
29 Yerubaali, mwana wa Yoashi, akaenda akakaa nyumbani kwake.
Joášev sin Jerubáal je odšel in prebival v svoji lastni hiši.
30 Gideoni alikuwa na wana sabini, waliokuwa uzao wake, kwa kuwa alikuwa na wake wengi.
Gideón je imel sedemdeset sinov, rojenih od njegovega telesa, kajti imel je mnogo žena.
31 Mwanamke wake, aliyekuwa Shekemu, akamzaa pia mwana, na Gideoni akampa jina lake Abimeleki.
Njegova priležnica, ki je bila v Sihemu, mu je prav tako rodila sina, čigar ime je imenoval Abiméleh.
32 Gideoni, mwana wa Yoashi, akafa katika uzee mzuri, akazikwa huko Ofra katika kaburi la baba yake Joashi, wa jamaa ya Abiyezeri.
Joášev sin Gideón je umrl v dobri visoki starosti in bil pokopan v mavzoleju njegovega očeta Joáša v Ofri Abiézerjevcev.
33 Ikawa, Gideoni alipokufa, watu wa Israeli wakageuka tena na kujifanyia ukahaba wenyewe kwa kuabudu Mabaali. Wamlifanya Baali Berith kuwa mungu wao.
Takoj, ko je bil Gideón mrtev, se je pripetilo, da so se Izraelovi otroci ponovno obrnili in se šli vlačugat za Báali in si naredili Baal-berita za svojega boga.
34 Watu wa Israeli hawakukumbuka kumtukuza Bwana, Mungu wao, aliyewaokoa kutoka kwa mikono ya adui zao kila upande.
Izraelovi otroci se niso spominjali Gospoda, svojega Boga, ki jih je osvobodil iz rok vseh njihovih sovražnikov na vsaki strani
35 Hawakuweka ahadi zao kwa nyumba ya Yerubaali (yaani Gidioni), kwa ajili ya mema yote aliyoyafanya katika Israeli.
niti niso izkazali prijaznosti Jerubáalovi hiši, namreč Gideónu, glede na vso dobroto, ki jo je izkazal Izraelu.

< Waamuzi 8 >