< Waamuzi 8 >

1 Watu wa Efraimu wakamwambia Gideoni, “Ni nini hiki umetutenda? Haukuita wakati ulipokwenda kupigana na Midiani.” Wakamwambia kwa nguvu.
И рекоша к Гедеону мужие Ефремли: что сие сотворил еси нам, яко не позвал еси нас, егда ходил воевати на Мадиама? И пряхуся с ним сильно.
2 Akawaambia, “Nimefanya nini sasa kulinganisha na mlichofanya ninyi? Je! Mavuno ya zabibu za Efraimu si bora zaidi kuliko mavuno ya zabibu ya Abiezeri?
И рече к ним (Гедеон): что сотворих ныне якоже вы? Не лучше ли гроздец Ефремль, нежели обрание винограда Авиезерова?
3 Mungu amewapa ushindi juu ya wakuu wa Midiani-Orebu na Zeeb! Mimi nimefanya nini ukilinganisha na ninyi?” Hasira yao ikashuka chini aliposema hili.
В руку вашу предаде Господь князи Мадиамли, Орива и Зива: и что возмогох сотворити якоже вы? Тогда утолися дух их от него, егда глагола им слово сие.
4 Gideoni alikuja Yordani na akavuka juu yake, yeye na watu mia tatu waliokuwa pamoja naye. Walikuwa wamechoka, lakini bado waliendelea kufuatilia.
И прииде Гедеон ко Иордану, и прейде сам и иже с ним триста мужей, алчни и утруждени гоняще.
5 Akawaambia watu wa Sukothi, “Tafadhali wape mikate kwa watu wanaonifuata, kwa kuwa wamechoka, nami niwafuatilia Zeba na Salmuna, wafalme wa Midiani.
И рече мужем Сокхофским: дадите хлебы на пищу мужем сим иже со мною, яко алчни суть: аз же гоню вслед Зевеа и Салмана, царей Мадиамских.
6 Na wakuu wakasema, “Je, mikono ya Zeba na Salmuna sasa ipo mikononi mwako? Kwa nini tulipe jeshi lako mikate?”
И рекоша князи Сокхофстии: еда рука Зевеа и Салмана ныне в руце твоей, яко дадим воем твоим хлебы?
7 Gideoni akasema, “Bwana akitupa ushindi juu ya Zeba na Salmunna, nitainyunyiza ngozi yenu kwa miiba ya jangwani na michongoma.
И рече Гедеон: не тако: но егда предаст Господь Зевеа и Салмана в руку мою, аз сотру плоти вашя тернием пустынным и волчцами.
8 Akatoka huko, akaenda Penieli, akawaambia watu maneno hayo hayo; lakini watu wa Penieli wakamjibu kama watu wa Sukothi walivyojibu.
И взыде оттуду во Фануил и глагола к ним такожде. И отвещаша ему мужие Фануили, якоже отвещаша ему мужие Сокхофстии.
9 Akawaambia pia watu wa Penieli, akasema, “Nitakapokuja kwa amani, nitauangusha mnara huu.”
И рече Гедеон мужем Фануилским, глаголя: егда возвращуся с миром, раскопаю столп сей.
10 Sasa Zeba na Salmuna walikuwa huko Karkori pamoja na jeshi lao, karibu na watu elfu kumi na tano, wote waliosalia nje ya jeshi lote la watu wa Mashariki, kwa kuwa walianguka watu 120, 000 waliofundishwa kupigana na upanga.
И Зевей и Салман быша в Каркаре, и полк их с ними до пятьнадесяти тысящ (мужей) оставшихся от всего полка сынов восточных: и умерших бяше сто и двадесять тысящ мужей держащих оружие.
11 Gideoni akapanda barabara iliyochukuliwa na wakaazi wa hema, Noba na Yogbena. Akalishinda jeshi la adui, kwa sababu hawakuwa wanatarajia shambulio.
И взыде Гедеон путем живущих в кущах от востоков прямо Навы и Иегевала: и изби полк, полк же бяше надежен.
12 Zeba na Salmuna walikimbia, na Gideoni alipowafuata, akawatwaa wafalme wawili wa Midiani-Zeba na Salmunna- na kulifanya jeshi lote kuwa na hofu.
И побегоста Зевей и Салман: и гна вслед их, и поима оба царя Мадиамля, Зевеа и Салмана, и весь полк их смяте.
13 Gideoni, mwana wa Yoashi, alirudi kutoka kwenye vita kwenda kupitia Heresi.
И возвратися Гедеон сын Иоасов от рати прежде восхода солнца,
14 Akamkimbilia kijana mmoja wa watu wa Sukothi na kutafuta ushauri kutoka kwake. Kijana huyo alimwelezea viongozi wa Sukothi na wazee wake, watu sabini na saba.
и ят отрочища от мужей Сокхофских и вопроси его: и вписа от него имена князей Сокхофских и старейшин их, седмидесяти и седми мужей.
15 Gideoni akaja kwa watu wa Sukothi, akasema, “Tazameni Zeba na Salmuna, ambao mlinidhihaki kwa ajili yao, nikasema, 'Je! mmemshinda Zeba na Salmuna? Hatujui kwamba tunapaswa kulipa jeshi lako mkate.”
И прииде Гедеон ко князем Сокхофским и рече им: се, Зевей и Салман, ихже ради укористе мя, глаголюще: еда рука Зевеа и Салмана ныне в руце твоей, яко дадим мужем твоим утруждшымся хлебы?
16 Gideoni akawachukua wazee wa mji, naye akawaadhibu watu wa Sukothi pamoja na miiba ya jangwa na michongoma.
И поя князи и старейшины града, и терние от пустыни и волчцы, и сотре ими мужы Сокхофски:
17 Akaangusha mnara wa Penieli na kuwaua watu wa mji huo.
и столп Фануилев раскопа, и изби мужы градския.
18 Gideoni akamwambia Zeba na Salmuna, “Ni watu wa aina gani mliwauawa Tabori?” Wakajibu, “Kama wewe ulivyo, ndivyo walivyokuwa. Kila mmoja wao alionekana kama mwana wa mfalme.”
И рече к Зевею и Салману: какови мужие, ихже избисте в Фаворе? И реша: якоже ты, тако они, подобен ты еси им, яко подобие сынов царевых.
19 Gideoni akasema, 'Wao walikuwa ndugu zangu, wana wa mama yangu. Kama Bwana anaishivyo, kama mngewaacha hai, nisingewauwa.”
И рече Гедеон: братия моя и сынове матере моея суть: жив Господь, аще бысте живили их, не убил бых вас.
20 Akamwambia Yetheri (mzaliwa wake wa kwanza), “Simama uwaue!” Lakini kijana huyo hakutoa upanga wake kwa kuwa aliogopa, kwa sababu alikuwa bado kijana mdogo.
И рече Иеферу первенцу своему: востав убий их. И не извлече отрочищь меча своего: зане убояся, яко млад бяше.
21 Ndipo Zeba na Salmuna wakasema, simama mwenyewe, utuue! Kwa maana kama mtu alivyo, ndivyo zilivyo nguvu zake. Gideoni akasimama na kumwua Zeba na Salmuna. Pia aliondoa mapambo yaliyokuwa juu ya shingo za ngamia zao.
И рече Зевей и Салман: востани убо ты, и сопротивися нам: зане яко муж сила его. И воста Гедеон, и уби Зевеа и Салмана: и взя украшения, яже на выях велблюдов их.
22 Ndipo wana wa Israeli wakamwambia Gideoni, “Ututawale, wewe, mtoto wako, na mjukuu wako; kwa sababu umetuokoa mikononi mwa Midiani.”
И рекоша мужие Израилстии ко Гедеону: владей нами и ты, и сынове твои, и сынове сынов твоих, яко ты спасл еси нас от руки Мадиамли.
23 Gideoni akawaambia, “Mimi sitatawala juu yenu, wala mtoto wangu hatatawala juu yenu. Bwana atatawala juu yenu.”
И рече к ним Гедеон: не возобладаю аз вами, и не возобладает сын мой вами: Господь да владеет вами.
24 Gideoni akawaambia, “Nina haja yangu niitakayo kwenu kwamba kila mmoja wenu atanipe pete kutoka kwenye nyara zake.” (Wamidiani walikuwa na pete za dhahabu kwa sababu walikuwa Waishmaeli.)
И рече к ним Гедеон: попрошу у вас прошения, и да даст мне всяк муж усерязь от плена своего: яко усерязи златы (мнози) и бяху им, зане Исмаилтяне бяху.
25 Wakamjibu, “Tunafurahi kukupa.” Wakatandika vazi na kila mtu akatupa pete kutoka kwenye nyara zake.
И рекоша: дающе дадим. И простре ризу, и ввергоша ту мужие по и усерязю от плена своего.
26 Uzito wa pete za dhahabu alizoomba zilikuwa shekeli 1, 700 za dhahabu. Nyara hizi zilikuwa ni pamoja na mapambo ya makoja, vidani, nguo ya rangi ya zambarau waliyovaa na wafalme wa Midiani, na zaidi ya minyororo iliyokuwa karibu na shingo za ngamia zao.
И бысть вес усерязь златых, ихже испроси, тысяща и седмь сот сикль злата, кроме плениц и монист (енфофовых), и риз багряных, яже на царех Мадиамлих, и кроме чепей златых, яже на выях велблюдов их.
27 Gideoni akafanya efodi kutoka katika pete na kuiweka katika mji wake, huko Ofra, na Israeli wote wakaiandama kwa ukahaba na kuabudu. Ilikuwa mtego kwa Gideoni na kwa wale walio nyumbani kwake.
И сотвори от них Гедеон ефуд, и постави его во граде своем во Ефрафе. И соблуди весь Израиль по нем тамо: и бысть Гедеону и всему его дому в соблазн.
28 Kwa hiyo Midiani ilishindwa mbele ya watu wa Israeli na hawakuinua vichwa vyao tena. Na nchi ikawa na amani kwa miaka arobaini siku za Gideoni.
И смирися Мадиам пред сыны Израилевыми, и не приложиша воздвигнути главы своея. И бысть в покои земля четыредесять лет, во дни Гедеоновы.
29 Yerubaali, mwana wa Yoashi, akaenda akakaa nyumbani kwake.
И иде Иероваал сын Иоасов, и седе в дому своем.
30 Gideoni alikuwa na wana sabini, waliokuwa uzao wake, kwa kuwa alikuwa na wake wengi.
И Гедеону быша седмьдесят сынов, изшедшии от чресл его, яко жены бяху многи ему.
31 Mwanamke wake, aliyekuwa Shekemu, akamzaa pia mwana, na Gideoni akampa jina lake Abimeleki.
И подложница его яже в Сикиме и сия роди ему сына, и нарече имя ему Авимелех.
32 Gideoni, mwana wa Yoashi, akafa katika uzee mzuri, akazikwa huko Ofra katika kaburi la baba yake Joashi, wa jamaa ya Abiyezeri.
И умре Гедеон сын Иоасов в старости блазе, и погребеся во гробе Иоаса отца своего, во Ефрафе, отца Езриева.
33 Ikawa, Gideoni alipokufa, watu wa Israeli wakageuka tena na kujifanyia ukahaba wenyewe kwa kuabudu Mabaali. Wamlifanya Baali Berith kuwa mungu wao.
И бысть егда умре Гедеон, и совратишася сынове Израилевы и соблудиша вслед Ваалима, и сотвориша себе со Ваалверифом завет, да им будет бог:
34 Watu wa Israeli hawakukumbuka kumtukuza Bwana, Mungu wao, aliyewaokoa kutoka kwa mikono ya adui zao kila upande.
и не воспомянуша сынове Израилевы Господа Бога своего, избавльшаго их из руки всех враг их окрестных:
35 Hawakuweka ahadi zao kwa nyumba ya Yerubaali (yaani Gidioni), kwa ajili ya mema yote aliyoyafanya katika Israeli.
и не сотвориша милости с домом Иеровааловым, сей есть Гедеон, по всей благостыни его, юже сотвори со Израилем.

< Waamuzi 8 >