< Waamuzi 8 >

1 Watu wa Efraimu wakamwambia Gideoni, “Ni nini hiki umetutenda? Haukuita wakati ulipokwenda kupigana na Midiani.” Wakamwambia kwa nguvu.
Alors les hommes d'Éphraïm dirent à Gédéon: Pourquoi nous as-tu fait ceci, de ne pas nous appeler, quand tu es allé à la guerre contre les Madianites? Et ils le querellèrent avec violence.
2 Akawaambia, “Nimefanya nini sasa kulinganisha na mlichofanya ninyi? Je! Mavuno ya zabibu za Efraimu si bora zaidi kuliko mavuno ya zabibu ya Abiezeri?
Mais il leur répondit: Qu'ai-je fait en comparaison de vous? Les grappillages d'Éphraïm ne valent-ils pas mieux que la vendange d'Abiézer?
3 Mungu amewapa ushindi juu ya wakuu wa Midiani-Orebu na Zeeb! Mimi nimefanya nini ukilinganisha na ninyi?” Hasira yao ikashuka chini aliposema hili.
Dieu a livré entre vos mains les chefs des Madianites, Oreb et Zéeb. Qu'ai-je pu faire en comparaison de vous? Et leur esprit fut apaisé envers lui, quand il leur eut dit cette parole.
4 Gideoni alikuja Yordani na akavuka juu yake, yeye na watu mia tatu waliokuwa pamoja naye. Walikuwa wamechoka, lakini bado waliendelea kufuatilia.
Or Gédéon, étant arrivé au Jourdain, le passa; mais les trois cents hommes qui étaient avec lui, étaient fatigués, et cependant ils poursuivaient l'ennemi.
5 Akawaambia watu wa Sukothi, “Tafadhali wape mikate kwa watu wanaonifuata, kwa kuwa wamechoka, nami niwafuatilia Zeba na Salmuna, wafalme wa Midiani.
Il dit donc aux gens de Succoth: Donnez, je vous prie, quelques pains au peuple qui me suit, car ils sont fatigués; et je poursuivrai Zébach et Tsalmuna, rois des Madianites.
6 Na wakuu wakasema, “Je, mikono ya Zeba na Salmuna sasa ipo mikononi mwako? Kwa nini tulipe jeshi lako mikate?”
Mais les principaux de Succoth répondirent: Tiens-tu déjà dans ta main le poignet de Zébach et de Tsalmuna, pour que nous donnions du pain à ton armée?
7 Gideoni akasema, “Bwana akitupa ushindi juu ya Zeba na Salmunna, nitainyunyiza ngozi yenu kwa miiba ya jangwani na michongoma.
Et Gédéon dit: Eh bien! Lorsque l'Éternel aura livré Zébach et Tsalmuna entre mes mains, je briserai votre chair avec des épines du désert et avec des chardons.
8 Akatoka huko, akaenda Penieli, akawaambia watu maneno hayo hayo; lakini watu wa Penieli wakamjibu kama watu wa Sukothi walivyojibu.
Puis de là il monta à Pénuël, et il parla de la même manière à ceux de Pénuël. Et les gens de Pénuël lui répondirent comme les gens de Succoth avaient répondu.
9 Akawaambia pia watu wa Penieli, akasema, “Nitakapokuja kwa amani, nitauangusha mnara huu.”
Il dit donc aussi aux hommes de Pénuël: Quand je retournerai en paix, je démolirai cette tour.
10 Sasa Zeba na Salmuna walikuwa huko Karkori pamoja na jeshi lao, karibu na watu elfu kumi na tano, wote waliosalia nje ya jeshi lote la watu wa Mashariki, kwa kuwa walianguka watu 120, 000 waliofundishwa kupigana na upanga.
Or, Zébach et Tsalmuna étaient à Karkor, et leurs armées avec eux, environ quinze mille hommes, tout ce qui restait de l'armée entière des fils de l'Orient; car il y avait cent vingt mille hommes, tirant l'épée, qui étaient tombés.
11 Gideoni akapanda barabara iliyochukuliwa na wakaazi wa hema, Noba na Yogbena. Akalishinda jeshi la adui, kwa sababu hawakuwa wanatarajia shambulio.
Et Gédéon monta par le chemin de ceux qui habitent sous les tentes, à l'orient de Nobach et de Jogbéha, et défit l'armée qui se croyait en sûreté.
12 Zeba na Salmuna walikimbia, na Gideoni alipowafuata, akawatwaa wafalme wawili wa Midiani-Zeba na Salmunna- na kulifanya jeshi lote kuwa na hofu.
Et comme Zébach et Tsalmuna fuyaient, il les poursuivit; il s'empara des deux rois de Madian, Zébach et Tsalmuna, et mit en déroute toute l'armée.
13 Gideoni, mwana wa Yoashi, alirudi kutoka kwenye vita kwenda kupitia Heresi.
Puis Gédéon, fils de Joas, revint de la bataille, par la montée de Hérès.
14 Akamkimbilia kijana mmoja wa watu wa Sukothi na kutafuta ushauri kutoka kwake. Kijana huyo alimwelezea viongozi wa Sukothi na wazee wake, watu sabini na saba.
Et il prit un jeune garçon de Succoth, qu'il interrogea, et qui lui donna par écrit les noms des principaux de Succoth et de ses anciens, soixante et dix-sept hommes.
15 Gideoni akaja kwa watu wa Sukothi, akasema, “Tazameni Zeba na Salmuna, ambao mlinidhihaki kwa ajili yao, nikasema, 'Je! mmemshinda Zeba na Salmuna? Hatujui kwamba tunapaswa kulipa jeshi lako mkate.”
Puis il vint vers les gens de Succoth, et dit: Voici Zébach et Tsalmuna, au sujet desquels vous m'avez insulté, en disant: Tiens-tu déjà dans ta main le poignet de Zébach et de Tsalmuna, pour que nous donnions du pain à tes gens fatigués?
16 Gideoni akawachukua wazee wa mji, naye akawaadhibu watu wa Sukothi pamoja na miiba ya jangwa na michongoma.
Et il prit les anciens de la ville, et des épines du désert et des chardons, et il châtia les hommes de Succoth.
17 Akaangusha mnara wa Penieli na kuwaua watu wa mji huo.
Il démolit aussi la tour de Pénuël, et fit mourir les principaux de la ville.
18 Gideoni akamwambia Zeba na Salmuna, “Ni watu wa aina gani mliwauawa Tabori?” Wakajibu, “Kama wewe ulivyo, ndivyo walivyokuwa. Kila mmoja wao alionekana kama mwana wa mfalme.”
Puis il dit à Zébach et à Tsalmuna: Comment étaient faits ces hommes que vous avez tués au Thabor? Ils répondirent: Ils étaient tels que toi; chacun d'eux avait la taille d'un fils de roi.
19 Gideoni akasema, 'Wao walikuwa ndugu zangu, wana wa mama yangu. Kama Bwana anaishivyo, kama mngewaacha hai, nisingewauwa.”
Et il leur dit: C'étaient mes frères, enfants de ma mère. L'Éternel est vivant, si vous leur eussiez sauvé la vie, je ne vous tuerais point.
20 Akamwambia Yetheri (mzaliwa wake wa kwanza), “Simama uwaue!” Lakini kijana huyo hakutoa upanga wake kwa kuwa aliogopa, kwa sababu alikuwa bado kijana mdogo.
Puis il dit à Jéther, son premier-né: Lève-toi, tue-les! Mais le jeune garçon ne tira point son épée, parce qu'il craignait; car c'était encore un jeune garçon.
21 Ndipo Zeba na Salmuna wakasema, simama mwenyewe, utuue! Kwa maana kama mtu alivyo, ndivyo zilivyo nguvu zake. Gideoni akasimama na kumwua Zeba na Salmuna. Pia aliondoa mapambo yaliyokuwa juu ya shingo za ngamia zao.
Et Zébach et Tsalmuna dirent: Lève-toi toi-même, et jette-toi sur nous; car tel est l'homme, telle est sa force. Et Gédéon se leva, et tua Zébach et Tsalmuna. Puis il prit les croissants qui étaient aux cous de leurs chameaux.
22 Ndipo wana wa Israeli wakamwambia Gideoni, “Ututawale, wewe, mtoto wako, na mjukuu wako; kwa sababu umetuokoa mikononi mwa Midiani.”
Et les hommes d'Israël dirent à Gédéon: Règne sur nous, toi et ton fils, et le fils de ton fils; car tu nous as délivrés de la main des Madianites.
23 Gideoni akawaambia, “Mimi sitatawala juu yenu, wala mtoto wangu hatatawala juu yenu. Bwana atatawala juu yenu.”
Mais Gédéon leur répondit: Je ne dominerai point sur vous, et mon fils ne dominera point sur vous; c'est l'Éternel qui dominera sur vous.
24 Gideoni akawaambia, “Nina haja yangu niitakayo kwenu kwamba kila mmoja wenu atanipe pete kutoka kwenye nyara zake.” (Wamidiani walikuwa na pete za dhahabu kwa sababu walikuwa Waishmaeli.)
Et Gédéon leur dit: Je vous ferai une demande; c'est que vous me donniez, chacun de vous, les bagues d'or qu'il a eues pour butin. Car les ennemis avaient des bagues d'or, parce qu'ils étaient Ismaélites.
25 Wakamjibu, “Tunafurahi kukupa.” Wakatandika vazi na kila mtu akatupa pete kutoka kwenye nyara zake.
Et ils répondirent: Nous les donnerons volontiers. Et, étendant un manteau, tous y jetèrent les bagues de leur butin.
26 Uzito wa pete za dhahabu alizoomba zilikuwa shekeli 1, 700 za dhahabu. Nyara hizi zilikuwa ni pamoja na mapambo ya makoja, vidani, nguo ya rangi ya zambarau waliyovaa na wafalme wa Midiani, na zaidi ya minyororo iliyokuwa karibu na shingo za ngamia zao.
Et le poids des bagues d'or qu'il avait demandées, fut de mille et sept cents sicles d'or, sans les croissants, les boucles d'oreilles et les vêtements d'écarlate qui étaient sur les rois de Madian, et sans les croissants qui étaient aux cous de leurs chameaux.
27 Gideoni akafanya efodi kutoka katika pete na kuiweka katika mji wake, huko Ofra, na Israeli wote wakaiandama kwa ukahaba na kuabudu. Ilikuwa mtego kwa Gideoni na kwa wale walio nyumbani kwake.
Et Gédéon en fit un éphod, et il le plaça dans sa ville, à Ophra. Tout Israël s'y prostitua après lui, et ce fut un piège pour Gédéon et pour sa maison.
28 Kwa hiyo Midiani ilishindwa mbele ya watu wa Israeli na hawakuinua vichwa vyao tena. Na nchi ikawa na amani kwa miaka arobaini siku za Gideoni.
Ainsi Madian fut humilié devant les enfants d'Israël, et il ne leva plus la tête; et le pays fut en repos quarante ans, aux jours de Gédéon.
29 Yerubaali, mwana wa Yoashi, akaenda akakaa nyumbani kwake.
Jérubbaal, fils de Joas, s'en revint, et demeura dans sa maison.
30 Gideoni alikuwa na wana sabini, waliokuwa uzao wake, kwa kuwa alikuwa na wake wengi.
Or Gédéon eut soixante et dix fils, qui naquirent de lui, car il eut plusieurs femmes.
31 Mwanamke wake, aliyekuwa Shekemu, akamzaa pia mwana, na Gideoni akampa jina lake Abimeleki.
Et sa concubine, qui était à Sichem, lui enfanta aussi un fils, et on l'appela du nom d'Abimélec.
32 Gideoni, mwana wa Yoashi, akafa katika uzee mzuri, akazikwa huko Ofra katika kaburi la baba yake Joashi, wa jamaa ya Abiyezeri.
Puis Gédéon, fils de Joas, mourut dans une bonne vieillesse, et il fut enseveli dans le tombeau de Joas son père, à Ophra des Abiézérites.
33 Ikawa, Gideoni alipokufa, watu wa Israeli wakageuka tena na kujifanyia ukahaba wenyewe kwa kuabudu Mabaali. Wamlifanya Baali Berith kuwa mungu wao.
Après que Gédéon fut mort, les enfants d'Israël recommencèrent à se prostituer après les Baalim, et se donnèrent pour dieu Baal-Bérith.
34 Watu wa Israeli hawakukumbuka kumtukuza Bwana, Mungu wao, aliyewaokoa kutoka kwa mikono ya adui zao kila upande.
Ainsi les enfants d'Israël ne se souvinrent pas de l'Éternel leur Dieu, qui les avait délivrés de la main de tous leurs ennemis d'alentour;
35 Hawakuweka ahadi zao kwa nyumba ya Yerubaali (yaani Gidioni), kwa ajili ya mema yote aliyoyafanya katika Israeli.
Et ils n'usèrent pas de gratitude envers la maison de Jérubbaal-Gédéon, après tout le bien qu'il avait fait à Israël.

< Waamuzi 8 >