< Waamuzi 8 >

1 Watu wa Efraimu wakamwambia Gideoni, “Ni nini hiki umetutenda? Haukuita wakati ulipokwenda kupigana na Midiani.” Wakamwambia kwa nguvu.
Amalalu, Ifala: ime fi dunu da Gidionema amane sia: i, “Di da Midia: ne fi ilima gegemusa: ahoanoba, abuliba: le nini misa: ne hame wele sia: bela: ? Abuliba: le nini se nabima: ne agoane hamobela: ?” Ilia da da: i dione egai.
2 Akawaambia, “Nimefanya nini sasa kulinganisha na mlichofanya ninyi? Je! Mavuno ya zabibu za Efraimu si bora zaidi kuliko mavuno ya zabibu ya Abiezeri?
Be Gidione da ilima bu adole i, “Mae dawa: ma! Dilia hamoi hou da na hamoi bagade baligisa. Dilia fidisu da na fi dunu huluane ilia fidisu amo bagade baligisa.
3 Mungu amewapa ushindi juu ya wakuu wa Midiani-Orebu na Zeeb! Mimi nimefanya nini ukilinganisha na ninyi?” Hasira yao ikashuka chini aliposema hili.
Dilia Gode Ea gasa lai dagoiba: le, Midia: ne ouligisu dunu aduna amo Oulebe amola Siebe fane legei dagoi. Na da dilia gasa bagade hou defele hamomu hamedei agoane ba: i.” E da amo sia: beba: le, Ifala: ime dunu ilia ougi bu gumi ba: i.
4 Gideoni alikuja Yordani na akavuka juu yake, yeye na watu mia tatu waliokuwa pamoja naye. Walikuwa wamechoka, lakini bado waliendelea kufuatilia.
Gidione amola ea dadi gagui (ilia idi da 300) da Yodane Hano amoga doaga: le degei dagoi. Ilia da bagade helei ba: i, be mae fisili ilia ha lai dunu sefasilalu.
5 Akawaambia watu wa Sukothi, “Tafadhali wape mikate kwa watu wanaonifuata, kwa kuwa wamechoka, nami niwafuatilia Zeba na Salmuna, wafalme wa Midiani.
Ilia da Sagode moilaiga doaga: loba, Gidione da Sagode dunu ilima amane sia: i, “Ha: i manu ninima ima. Na dunu da bagade helebe. Na da Midia: ne fi hina bagade dunu aduna amo Siba amola Sa: lamana sefasilala.”
6 Na wakuu wakasema, “Je, mikono ya Zeba na Salmuna sasa ipo mikononi mwako? Kwa nini tulipe jeshi lako mikate?”
Be Sagode moilai ouligisu dunu da Gidionema bu adole i, “Ninia abuliba: le dia dadi gagui dunuma ha: i manu ima: bela: ? Di da wali Siba amola Sa: lamana hame gagui.”
7 Gideoni akasema, “Bwana akitupa ushindi juu ya Zeba na Salmunna, nitainyunyiza ngozi yenu kwa miiba ya jangwani na michongoma.
Amaiba: le, Gidione da amane sia: i, “Defea! Hina Gode da na fidimuba: le, na da Siba amola Sa: lamana gagumu. Amasea, na da dili aya: gaga: nomei hafoga: i sogega lai amoga famu.”
8 Akatoka huko, akaenda Penieli, akawaambia watu maneno hayo hayo; lakini watu wa Penieli wakamjibu kama watu wa Sukothi walivyojibu.
Gidione da bu asili, Beniuele moilaiga doaga: i. E da Sagode moilai dunu amoga edegei defele Beniuele dunuma adole ba: i. Be Beniuele dunu da Sagode dunu ilia hou defele, ha: i manu hame imunu sia: i.
9 Akawaambia pia watu wa Penieli, akasema, “Nitakapokuja kwa amani, nitauangusha mnara huu.”
Amaiba: le, Gidione da ilima amane sia: i, “Defea! Na da na ha lai ili hasalasili, hahawane bu misunu. Amalalu, na da dilia diasu gado gagagula heda: i amo mugulumu.”
10 Sasa Zeba na Salmuna walikuwa huko Karkori pamoja na jeshi lao, karibu na watu elfu kumi na tano, wote waliosalia nje ya jeshi lote la watu wa Mashariki, kwa kuwa walianguka watu 120, 000 waliofundishwa kupigana na upanga.
Siba amola Sa: lamana elea dadi gagui dunu huluane da Gago moilai bai bagadega gilisibi ba: i. Amo esoga, ilia hafoga: i soge dadi gagui dunu idi da 15,000 fawane ba: i. Eno dadi gagui dunu amo 120,000 da medole legei dagoi ba: i.
11 Gideoni akapanda barabara iliyochukuliwa na wakaazi wa hema, Noba na Yogbena. Akalishinda jeshi la adui, kwa sababu hawakuwa wanatarajia shambulio.
Gidione da logo amo hafoga: i soge bega: Nouba moilai amola Yogebiha moilaiga eso mabadi la: ididili dialu, amo logoga asi. E da hedolowane Siba amola Sa: lamana ilia dadi gagui wa: i ilima doagala: le, ilia da fofogadigi.
12 Zeba na Salmuna walikimbia, na Gideoni alipowafuata, akawatwaa wafalme wawili wa Midiani-Zeba na Salmunna- na kulifanya jeshi lote kuwa na hofu.
Midia: ne hina bagade dunu aduna amo Siba amola Sa: lamana da hobea: i. Be Gidione da elama doagala: le bobogele, ela gagulaligi. Amalalu, ela dadi gagui dunu huluane da beda: iba: le, hobea: i
13 Gideoni, mwana wa Yoashi, alirudi kutoka kwenye vita kwenda kupitia Heresi.
Gidione da hasaliba: le, bu misini, Helese fago ahoasu amoga asili,
14 Akamkimbilia kijana mmoja wa watu wa Sukothi na kutafuta ushauri kutoka kwake. Kijana huyo alimwelezea viongozi wa Sukothi na wazee wake, watu sabini na saba.
e da Sagode moilai goi amo gaguli, ema ea fi dunu ilia hou adole ba: i. Amo goi da Sagode moilai ouligisu dunu bagade 77amo ilia dio dedei.
15 Gideoni akaja kwa watu wa Sukothi, akasema, “Tazameni Zeba na Salmuna, ambao mlinidhihaki kwa ajili yao, nikasema, 'Je! mmemshinda Zeba na Salmuna? Hatujui kwamba tunapaswa kulipa jeshi lako mkate.”
Amalalu, Gidione da Sagode dunu ilima asili, amane sia: i, “Siba amola Sa: lamana da goea. Na da amo dunu hame gaguiba: le, dilia da na dadi gagui dunu hele nababe, ilima ha: i manu imunu higa: i.”
16 Gideoni akawachukua wazee wa mji, naye akawaadhibu watu wa Sukothi pamoja na miiba ya jangwa na michongoma.
Amalalu e da hafoga: i soge aya: gaga: nomei liligi lale, amoga Sagode ouligisu dunu se ima: ne fasu.
17 Akaangusha mnara wa Penieli na kuwaua watu wa mji huo.
Amola e da diasu gagagula gado heda: i, Beniuele moilaiga mugululi amola Beniuele dunu medole legei dagoi.
18 Gideoni akamwambia Zeba na Salmuna, “Ni watu wa aina gani mliwauawa Tabori?” Wakajibu, “Kama wewe ulivyo, ndivyo walivyokuwa. Kila mmoja wao alionekana kama mwana wa mfalme.”
Amalalu, Gidione da Siba amola Sa: lamana elama amane adole ba: i, “Alia da Da: ibo moilaiga dunu medole legei. Alia da nowa dunu medole legebela: ?” Ela bu adole i, “Ilia da di agoane ba: i. Huluane da hina bagade ea mano defele agoane ba: i.”
19 Gideoni akasema, 'Wao walikuwa ndugu zangu, wana wa mama yangu. Kama Bwana anaishivyo, kama mngewaacha hai, nisingewauwa.”
Gidione da amane sia: i, “Ilia da nolalalia galu, na: medafa ea mano. Na da dafawane sia: sa. Alia da amo hame medole legei ganiaba, na da ali amola hame medole legela: loba.”
20 Akamwambia Yetheri (mzaliwa wake wa kwanza), “Simama uwaue!” Lakini kijana huyo hakutoa upanga wake kwa kuwa aliogopa, kwa sababu alikuwa bado kijana mdogo.
Amalalu, e da ea magobo mano ea dio amo Yeda, amoma amane sia: i, “Defea! Dia ela medole legema!” Be amo goi da ea gegesu gobihei bagade hame duga: le gagui. E da hame asigilaiba: le, beda: i.
21 Ndipo Zeba na Salmuna wakasema, simama mwenyewe, utuue! Kwa maana kama mtu alivyo, ndivyo zilivyo nguvu zake. Gideoni akasimama na kumwua Zeba na Salmuna. Pia aliondoa mapambo yaliyokuwa juu ya shingo za ngamia zao.
Amalalu, Siba amola Sa: lamana da Gidionema amane sia: i, “Defea! Disu ani medole legema. Dunudafa da dunudafa ea hawa: hamosu hamomu da defea.” Amaiba: le, Gidione da Siba amola Sa: lamana medole legei dagoi. E da liligi noga: i amo ela ga: mele ilia galogoa amoga gisa: gisi dialu amo lai dagoi.
22 Ndipo wana wa Israeli wakamwambia Gideoni, “Ututawale, wewe, mtoto wako, na mjukuu wako; kwa sababu umetuokoa mikononi mwa Midiani.”
Amalalu, Isala: ili dunu huluane da Gidionema amane sia: i, “Di amola hobea digaga fi da ninima ouligisuwane esalumu da defea. Di da nini amo Midia: ne dunu iliga gaga: i dagoi.”
23 Gideoni akawaambia, “Mimi sitatawala juu yenu, wala mtoto wangu hatatawala juu yenu. Bwana atatawala juu yenu.”
Be Gidione da bu adole i, “Na da dilima ouligisuwane hame esalumu. Amola nagofe da dilima ouligisuwane hame esalumu. Be Hina Gode Hi fawane da dilima Hina ba: mu.”
24 Gideoni akawaambia, “Nina haja yangu niitakayo kwenu kwamba kila mmoja wenu atanipe pete kutoka kwenye nyara zake.” (Wamidiani walikuwa na pete za dhahabu kwa sababu walikuwa Waishmaeli.)
E da eno amane sia: i “Na da dilima afae fawane edegesa. Dilia gedu bagedigi Midia: ne dunu ilima lai, amo huluane nama ima.” (Midia: ne dunu da hafoga: i soge dunu fi huluane defele gouli gedu bagedigili salasu.)
25 Wakamjibu, “Tunafurahi kukupa.” Wakatandika vazi na kila mtu akatupa pete kutoka kwenye nyara zake.
Dunu huluane da bu adole i, “Ninia da hahawane amo liligi dima imunuyo.” Ilia da abula ligisili, dunu huluane da amo da: iya geabagedigisu ilia lai ligisi.
26 Uzito wa pete za dhahabu alizoomba zilikuwa shekeli 1, 700 za dhahabu. Nyara hizi zilikuwa ni pamoja na mapambo ya makoja, vidani, nguo ya rangi ya zambarau waliyovaa na wafalme wa Midiani, na zaidi ya minyororo iliyokuwa karibu na shingo za ngamia zao.
Gidione da gouli gedu bagedigi lai dagoi. Ilia dioi defei da 210 gilogala: me gadenene doaga: i. Ilia da eno liligi Gidionema i, amo bagedigi, gisa: gini sali amola ogaya: i abula musa: Midia: ne hina bagade dunu da gasi salasu amola gehea: la ilia da ga: mele ea galogoa ga: si.
27 Gideoni akafanya efodi kutoka katika pete na kuiweka katika mji wake, huko Ofra, na Israeli wote wakaiandama kwa ukahaba na kuabudu. Ilikuwa mtego kwa Gideoni na kwa wale walio nyumbani kwake.
Gidione da amo gouli lale, ogogosu ‘gode’ agoaila loboga hamone, ea moilaidafa Ofala amo ganodini bugisi. Isala: ili dunu huluane iliawa da Gode fisili, Ofala moilai bai bagadega amo loboga hamoi liligima sia: ne gadomusa: asi. Amo liligi da Gidione amola ea sosogo fi ilima sani agoane ba: i.
28 Kwa hiyo Midiani ilishindwa mbele ya watu wa Israeli na hawakuinua vichwa vyao tena. Na nchi ikawa na amani kwa miaka arobaini siku za Gideoni.
Amaiba: le, Isala: ili dunu da Midia: ne dunu ili hasalasi amola fa: no Midia: ne dunu da gasa hame ba: i. Amalalu, ode 40 eno amoga, Isala: ili dunu da olofosu ba: i. Amo ode 40 gidigili, Gidione da bogoi dagoi.
29 Yerubaali, mwana wa Yoashi, akaenda akakaa nyumbani kwake.
Gidione da hina: moilaidafa amoga buhagili esalu.
30 Gideoni alikuwa na wana sabini, waliokuwa uzao wake, kwa kuwa alikuwa na wake wengi.
E da uda bagohame lale, dunu mano 70agoane lalelegei.
31 Mwanamke wake, aliyekuwa Shekemu, akamzaa pia mwana, na Gideoni akampa jina lake Abimeleki.
E da uda eno lai. Amo da gidisedagi uda e da Siegeme moilaiga lai. Amo uda da dunu mano lalelegei. Gidione da amo manoma Abimelege dio asuli.
32 Gideoni, mwana wa Yoashi, akafa katika uzee mzuri, akazikwa huko Ofra katika kaburi la baba yake Joashi, wa jamaa ya Abiyezeri.
Gidione (Youa: se egefe) da ode bagohame gidigili bogoi. Ilia da ea da: i hodo amo ea eda Youa: se ea bogoi uli dogosu Ofala moilai bai bagade (Abiese fi ilia moilai) amoga dialu, amo ganodini sali.
33 Ikawa, Gideoni alipokufa, watu wa Israeli wakageuka tena na kujifanyia ukahaba wenyewe kwa kuabudu Mabaali. Wamlifanya Baali Berith kuwa mungu wao.
Gidione da bogoloba, Isala: ili dunu ilia da bu Gode fisili, Ba: ile ema nodone sia: ne gadoi. Ilia da ema ‘Ba: ile da Gousa: su Hamoi’ dio asuli, amola e da ilia ‘gode’dafa ilia da sia: su.
34 Watu wa Israeli hawakukumbuka kumtukuza Bwana, Mungu wao, aliyewaokoa kutoka kwa mikono ya adui zao kila upande.
Ilia Hina Godedafa da ilima sisiga: i ha lai dunu ilima gaga: i dagoi. Be amo mae dawa: le, ilia da Hina Godema hawa: hamosu yolesi dagoi.
35 Hawakuweka ahadi zao kwa nyumba ya Yerubaali (yaani Gidioni), kwa ajili ya mema yote aliyoyafanya katika Israeli.
Amola Gidione da Isala: ili dunu fidima: ne, hawa: hamosu ida: iwane hamoi. Be ilia da Gidione ea sosogo fi ilima hame nodoi.

< Waamuzi 8 >