< Waamuzi 5 >

1 Siku hiyo Debora na Baraka, mwana wa Abinoamu waliimba wimbo huu:
De sjöngo Debora och Barak, Abinoams son, denna sång:
2 'Viongozi wanapoongoza mbele ya Israeli, watu wanapojitolea kupigana vita, tunamsifu Bwana!
Att härförare förde an i Israel, att folket villigt följde dem -- loven HERREN därför!
3 Sikiliza, ninyi wafalme! Sikiliza kwa makini, ninyi viongozi! Mimi nitamwimbia Bwana; Nami nitamsifu Bwana, Mungu wa Israeli.
Hören, I konungar; lyssnen, I furstar. Till HERRENS ära vill jag, vill jag sjunga, lovsäga HERREN, Israels Gud.
4 Ee Bwana, wakati ulipotoka Seiri, ulipokwenda kutoka Edomu, nchi ilitetemeka, na mbingu pia ilitetemeka; pia mawingu yalitoa maji.
HERRE, när du drog ut från Seir, när du gick fram ifrån Edoms mark, då bävade jorden, då strömmade det från himmelen, då strömmade vatten ned ifrån molnen;
5 Milima ikatoka mbele ya uso wa Bwana; hata Mlima Sinai ukatetemeka mbele ya uso wa Bwana, Mungu wa Israeli.
bergen skälvde inför HERRENS ansikte, ja, Sinai inför HERRENS, Israels Guds, ansikte.
6 Katika siku za Shamgari (mwana wa Anathi), katika siku za Jael, barabara kuu ziliachwa, na wale ambao walitembea tu walitumia njia za upepo.
I Samgars dagar, Anats sons, i Jaels dagar lågo vägarna öde; vandrarna måste färdas svåra omvägar.
7 Kulikuwa na mashujaa wachache huko Israeli, mpaka mimi, Debora, nilipochukua amri- mama alichukua amri katika Israeli!
Inga styresmän funnos, inga funnos mer i Israel, förrän du stod upp, Debora, stod upp såsom en moder i Israel.
8 Walichagua miungu mpya, kulikuwa na vita katika malango ya jiji lakini bado hapakuwa na ngao au mikuki iliyoonekana kati ya watu elfu arobaini nchini Israeli.
Man valde sig nya gudar; då nådde striden fram till portarna. Men ingen sköld, intet spjut var att se hos de fyrtio tusen i Israel.
9 Moyo wangu unawaendea wakuu wa Israeli, pamoja na watu ambao walijitolea -tunambariki Bwana kwa ajili yao!
Mitt hjärta tillhör Israels hövdingar och dem bland folket, som villigt följde;
10 Fikiria juu ya hili- ninyi ambao hupanda punda weupe mmeketi kwenye mazulia, nanyi mnaotembea njiani.
ja, loven HERREN. I som riden på vita åsninnor, I som sitten hemma på mattor, och I som vandren på vägen, talen härom.
11 Sikiliza sauti za wale wanaoimba kwenye maeneo ya kutekea maji. Huko wanasema tena juu ya matendo ya haki ya Bwana, na matendo ya haki ya wapiganaji wake katika Israeli. Ndipo watu wa Bwana wakashuka kwenye malango ya mji.
När man under rop skiftar byte mellan vattenhoarna, då lovprisar man där HERRENS rättfärdiga gärningar, att han i rättfärdighet regerar i Israel. Då drog HERRENS folk ned till portarna.
12 Amka, amka, Debora! Amka, amka, imba wimbo! Simama, Baraka, na uwakamate wafungwa wako, wewe mwana wa Abinoamu.
Upp, upp, Debora! Upp, upp, sjung din sång! Stå upp, Barak; tag dig fångar, du Abinoams son.
13 Wale waliokoka wakaja chini kwa watu wenye nguvu; watu wa Bwana walikuja kwangu pamoja na mashujaa.
Då satte folkets kvarleva de tappre till anförare, HERREN satte mig till anförare över hjältarna.
14 Walikuja kutoka Efraimu, ambao mizizi yao iko katika Amaleki; watu wa Benyamini walikufuata. Wakuu wa Makiri walitoka, na kutoka Zebuloni wale wanaobeba fimbo ya afisa.
Från Efraim kommo män som hade rotfäst sig i Amalek; Benjamin följde dig och blandade sig med dina skaror. Ned ifrån Makir drogo hövdingar åstad, och från Sebulon män som buro anförarstav.
15 Na wakuu wangu katika Isakari walikuwa pamoja na Debora; na Isakari alikuwa na Baraka waliingia bobdeni kwa kasi chini ya amri yake. Miongoni mwa jamaa za Reubeni kulikuwa na utafutaji mkubwa wa moyo.
Furstarna i Isaskar slöto sig till Debora; och likasom Isaskar, så gjorde ock Barak; ned i dalen skyndade man i dennes spår. Bland Rubens ätter höllos stora rådslag.
16 Kwa nini uliketi katikati ya moto, ukisikiliza wachungaji wakipiga filimbi yao kwa makundi yao? Na kwa jamaa za Reubeni kulikuwa na utafutaji mkubwa wa moyo.
Men varför satt du kvar ibland dina fållor och lyssnade till flöjtspel vid hjordarna? Ja, av Rubens ätter fördes stora överläggningar.
17 Gileadi alikaa upande wa pili wa Yordani; na Dani, kwa nini alizunguka juu ya meli? Asheri alibakia pwani na akaishi karibu na bandari zake.
Gilead stannade på andra sidan Jordan. Och Dan varför -- dröjer han ännu vid skeppen? Aser satt kvar vid havets strand, vid sina vikar stannade han.
18 Zabuloni lilikuwa kabila ambayo lingeweza kuhatarisha maisha yao mpaka kufikia kifo, Nafthali, pia, katika uwanja wa vita.
Men Sebulon var ett folk som prisgav sitt liv åt döden, Naftali likaså, på stridsfältets höjder.
19 Wafalme walikuja, wakapigana; wafalme wa Kanaani wakapigana huko Taanaki karibu na maji ya Megido. Lakini hawakuondoa fedha kama nyara.
Konungar drogo fram och stridde ja, då stridde Kanaans konungar vid Taanak, invid Megiddos vatten; men byte av silver vunno de icke.
20 Nyota zilipigana kutoka mbinguni, kutoka katika njia zao za mbinguni zilipigana na Sisera
Från himmelen fördes strid, stjärnorna stridde från sina banor mot Sisera.
21 Mto Kishoni uliwaondoa, mto ule wa kale, Mto Kishoni. Endelea mbele nafsi yangu, jipe nguvu!
Bäcken Kison ryckte dem bort, urtidsbäcken, bäcken Kison. Gå fram, min själ, med makt!
22 Kisha sauti za hofu za farasi-kupiga mbio, kupigana kwa watu wake wenye nguvu.
Då stampade hästarnas hovar, när deras tappra ryttare jagade framåt, framåt.
23 'Ilaani Meroz!' asema malaika wa Bwana. 'Hakika walaani wenyeji wake!' Kwa sababu hawakuja kumsaidia Bwana, kumsaidia Bwana katika vita dhidi ya mashujaa wenye nguvu.
Förbannen Meros, säger HERRENS ängel, ja, förbannen dess inbyggare, därför att de ej kommo HERREN till hjälp, HERREN till hjälp bland hjältarna.
24 Yaeli amebarikiawa zaidi kuliko wanawake wengine wote, Yaeli (mke wa Heberi Mkeni), amebarikiwa zaidi kuliko wanawake wote wanaoishi katika hema.
Välsignad vare Jael framför andra kvinnor, Hebers hustru, kainéens, välsignad framför alla kvinnor som bo i tält!
25 Mtu yule aliomba maji, naye akampa maziwa; akamletea siagi katika sahani inayofaa kwa wakuu.
Vatten begärde han; då gav hon honom mjölk, gräddmjölk bar hon fram i högtidsskålen.
26 Aliweka mkono wake kwenye kigingi cha hema, na mkono wake wa kuia katika nyundo ya mfanyakazi; kwa nyundo akampiga Sisera, alimpiga kichwani kwake. Aliligawanya fuvu lake vipande vipande wakati alipompiga pembeni ya kichwa chake.
Sin hand räckte hon ut efter tältpluggen, sin högra hand efter arbetshammaren med den slog hon Sisera och krossade hans huvud, spräckte hans tinning och genomborrade den.
27 Akaanguka katikati ya miguu yake, akaanguka akalala pale. Kati ya miguu yake akaanguka. Mahali alipoanguka ni pale ambapo aliuawa kwa ukatili.
Vid hennes fötter sjönk han ihop, föll omkull och blev liggande; ja, vid hennes fötter sjönk han ihop och föll omkull; där han sjönk ihop, där föll han dödsslagen.
28 Aliangalia dirishani - mama yake Sisera aliangalia kupitia kamba na akasema kwa huzuni, 'Kwa nini gari lakelimechelewa kuja? Kwa nini viboko vya farasi vinavyovuta magari yake vimechelewa? '
Ut genom fönstret skådade hon och ropade, Siseras moder, ut genom gallret: "Varför dröjer väl hans vagn att komma? Varför äro de så senfärdiga, hans vagnshästars fötter?"
29 Wafalme wake wenye hekima walijibu, na yeye mwenyewe akajibu jibu lile
Då svara de klokaste av hennes hovtärnor, och själv giver hon sig detsamma svaret:
30 'Je, hawakupata na kugawanya nyara? Tumbo, matumbo mawili kwa kila mtu; nyara ya kitambaa kilichofunikwa kwa Sisera, nyara ya kitambaa kilichofunikwa, nguo mbili za rangi iliyofunikwa kwa misumari ya wale waliopora?
"Förvisso vunno de byte, som de nu utskifta: en flicka, ja, två åt envar av männen, byte av praktvävnader för Siseras räkning, byte av praktvävnader, brokiga tyger; en präktig duk, ja, två brokiga dukar för de fångnas halsar."
31 Naam, adui zako wote wataangamia, Ee Bwana! Lakini marafiki zako watakuwa kama jua wakati linapoongezeka kwa uwezo wake. Na nchi ikawa na amani kwa miaka arobaini.
Så må alla dina fiender förgås, o HERRE. Men de som älska honom må likna solen, när den går upp i hjältekraft. Och landet hade nu ro i fyrtio år.

< Waamuzi 5 >