< Waamuzi 5 >

1 Siku hiyo Debora na Baraka, mwana wa Abinoamu waliimba wimbo huu:
Te vaeng khohnin ah Deborah neh Abinoam capa Barak loh a hlai rhoi tih,
2 'Viongozi wanapoongoza mbele ya Israeli, watu wanapojitolea kupigana vita, tunamsifu Bwana!
Pilnam loh a puhlu vaengah, Israel khuiah tawnlo rhoek khaw lim hamla, BOEIPA tah a yoethen pai saeh!
3 Sikiliza, ninyi wafalme! Sikiliza kwa makini, ninyi viongozi! Mimi nitamwimbia Bwana; Nami nitamsifu Bwana, Mungu wa Israeli.
Manghai rhoek loh ya nawn saeh, boeica rhoek loh hnatun saeh, BOEIPA te ka hlai vetih, Israel Pathen BOEIPA te ka tingtoeng ni.
4 Ee Bwana, wakati ulipotoka Seiri, ulipokwenda kutoka Edomu, nchi ilitetemeka, na mbingu pia ilitetemeka; pia mawingu yalitoa maji.
BOEIPA, Seir lamkah na lo tih, Edom khohmuen lamkah na luei vaengah, diklai hinghuen tih vaan rhoek khaw cip, khomai khaw tui la pha.
5 Milima ikatoka mbele ya uso wa Bwana; hata Mlima Sinai ukatetemeka mbele ya uso wa Bwana, Mungu wa Israeli.
Sinai kah BOEIPA mikhmuh ah, Israel Pathen BOEIPA mikhmuh ah tlang rhoek khaw moelh uh.
6 Katika siku za Shamgari (mwana wa Anathi), katika siku za Jael, barabara kuu ziliachwa, na wale ambao walitembea tu walitumia njia za upepo.
Anath capa Shamgar tue vaengah, Jael tue vaengah, caehlong mueng tih, a hawn kah aka cet khaw caehlong a kael te a paan uh.
7 Kulikuwa na mashujaa wachache huko Israeli, mpaka mimi, Debora, nilipochukua amri- mama alichukua amri katika Israeli!
Israel ah khosakung a tal he, Deborah a thoh duela tal uh coeng tih, Israel khuikah manu la ka phoe coeng.
8 Walichagua miungu mpya, kulikuwa na vita katika malango ya jiji lakini bado hapakuwa na ngao au mikuki iliyoonekana kati ya watu elfu arobaini nchini Israeli.
Pathen thai rhoek a tuek uh vaengah vongka ah rhal khaw om dae, Israel thawng sawmli kah photling neh, cai ke hmu pawh.
9 Moyo wangu unawaendea wakuu wa Israeli, pamoja na watu ambao walijitolea -tunambariki Bwana kwa ajili yao!
Ka lungbuei loh, Israel aka taem taeng neh pilnam taengah aka puhlu rhoek, BOEIPA tah a yoethen pai saeh.
10 Fikiria juu ya hili- ninyi ambao hupanda punda weupe mmeketi kwenye mazulia, nanyi mnaotembea njiani.
Laak bok dongah aka ngol rhoek, himbaidok dongah aka ngol tih, longpuei kah aka cet rhoek loh lolmang saeh.
11 Sikiliza sauti za wale wanaoimba kwenye maeneo ya kutekea maji. Huko wanasema tena juu ya matendo ya haki ya Bwana, na matendo ya haki ya wapiganaji wake katika Israeli. Ndipo watu wa Bwana wakashuka kwenye malango ya mji.
Sihthang ah aka phayang rhoek kah ol long tah, BOEIPA kah duengnah neh a khosakung rhoek kah duengnah te Israel lakliah a thoelh uh tih BOEIPA pilnam kah vongka la suntla uh.
12 Amka, amka, Debora! Amka, amka, imba wimbo! Simama, Baraka, na uwakamate wafungwa wako, wewe mwana wa Abinoamu.
Haenghang laeh, haenghang laeh, Deborah, haenghang laeh, haenghang laeh laa thoh laeh. Thoo laeh, Barak na tamna Abinoam capa te sol laeh.
13 Wale waliokoka wakaja chini kwa watu wenye nguvu; watu wa Bwana walikuja kwangu pamoja na mashujaa.
Rhaengnaeng loh, BOEIPA kah pilnam aka khuet rhoek taengla a suntlak vaengah kai taengah khaw hlangrhalh rhoek neh ha suntla.
14 Walikuja kutoka Efraimu, ambao mizizi yao iko katika Amaleki; watu wa Benyamini walikufuata. Wakuu wa Makiri walitoka, na kutoka Zebuloni wale wanaobeba fimbo ya afisa.
Amih yung te Ephraim lamloh Amalek khui la, namah hnukkah Benjamin neh Makir lamkah na pilnam long khaw, lairhoe mancai aka thueng, Zebulun khui lamkah aka taem la ha suntla.
15 Na wakuu wangu katika Isakari walikuwa pamoja na Debora; na Isakari alikuwa na Baraka waliingia bobdeni kwa kasi chini ya amri yake. Miongoni mwa jamaa za Reubeni kulikuwa na utafutaji mkubwa wa moyo.
Ka mangpa rhoek khaw, Issakhar neh Deborah khuiah, Barak khaw Issakhar bangla a kho neh tuikol la a paan tih, Reuben khorha ah lungbuei khenah la yet.
16 Kwa nini uliketi katikati ya moto, ukisikiliza wachungaji wakipiga filimbi yao kwa makundi yao? Na kwa jamaa za Reubeni kulikuwa na utafutaji mkubwa wa moyo.
Balae tih saelvong laklo ah na ngol, lungbuei khenah aka yet he, Reuben khorha ah tuping kah a huei aka ya rhung la.
17 Gileadi alikaa upande wa pili wa Yordani; na Dani, kwa nini alizunguka juu ya meli? Asheri alibakia pwani na akaishi karibu na bandari zake.
Gilead loh Jordan rhalvang ah a om vaengah, Dan khaw balae tih sangpho dongah a bakuep? Asher loh tuitun langkaeng ah kho a sak tih lihmoi ah om sut.
18 Zabuloni lilikuwa kabila ambayo lingeweza kuhatarisha maisha yao mpaka kufikia kifo, Nafthali, pia, katika uwanja wa vita.
Zebulun neh Naphtali tah, hmuen sang ah duek ham, a hinglu aka soek pilnam ni.
19 Wafalme walikuja, wakapigana; wafalme wa Kanaani wakapigana huko Taanaki karibu na maji ya Megido. Lakini hawakuondoa fedha kama nyara.
Vathoh manghai rhoek ha pawk uh tih, Kanaan manghai rhoek te Megiddo tui kah, Taanakh ah a tloek vaengah, mueluemnah neh cak pakhat pataeng lo uh pawh.
20 Nyota zilipigana kutoka mbinguni, kutoka katika njia zao za mbinguni zilipigana na Sisera
Vaan lamkah aisi rhoek lo a vathoh puei dongah, amih loh Sisera te longpuei lamkah a vathoh thil uh.
21 Mto Kishoni uliwaondoa, mto ule wa kale, Mto Kishoni. Endelea mbele nafsi yangu, jipe nguvu!
Kishon soklong loh amih te a yo, khosuen soklong Kishon soklong, ka hinglu na sarhi neh na hnah mai.
22 Kisha sauti za hofu za farasi-kupiga mbio, kupigana kwa watu wake wenye nguvu.
Te vaengah marhang aka lueng loh, rhetlonah a pet te a khomae a phop uh.
23 'Ilaani Meroz!' asema malaika wa Bwana. 'Hakika walaani wenyeji wake!' Kwa sababu hawakuja kumsaidia Bwana, kumsaidia Bwana katika vita dhidi ya mashujaa wenye nguvu.
Meroz te thaephoei thil. BOEIPA kah puencawn loh, “BOEIPA kah bomnah, BOEIPA kah bomnah loh, hlangrhalh rhoek te a paan pawt dongah, a khuikah khosa rhoek te thaephoei thil saeh,” a ti.
24 Yaeli amebarikiawa zaidi kuliko wanawake wengine wote, Yaeli (mke wa Heberi Mkeni), amebarikiwa zaidi kuliko wanawake wote wanaoishi katika hema.
Keni Heber yuu Jael, huta rhoek khuiah na yoethen. Dap khuikah huta rhoek lakah khaw na yoethen.
25 Mtu yule aliomba maji, naye akampa maziwa; akamletea siagi katika sahani inayofaa kwa wakuu.
Tui a hoe vaengah, suktui a paek tih, aka khuet baeldung dongah, suknaeng a khuen pah.
26 Aliweka mkono wake kwenye kigingi cha hema, na mkono wake wa kuia katika nyundo ya mfanyakazi; kwa nyundo akampiga Sisera, alimpiga kichwani kwake. Aliligawanya fuvu lake vipande vipande wakati alipompiga pembeni ya kichwa chake.
Hlingcong te a kut neh a thueng tih a bantang lamloh thakthaekung kah thilung neh, Sisera te a hen. Te dongah a lu te pop. Te vaengah a phop tih a baengpae la pawlh.
27 Akaanguka katikati ya miguu yake, akaanguka akalala pale. Kati ya miguu yake akaanguka. Mahali alipoanguka ni pale ambapo aliuawa kwa ukatili.
A kho ah a sop uh doela cungku tih yalh. A kho laklo ah sop uh tih, a yalh vaengah a sop nah hmuen ah, cungku tih pahoi rhoelrhak sut.
28 Aliangalia dirishani - mama yake Sisera aliangalia kupitia kamba na akasema kwa huzuni, 'Kwa nini gari lakelimechelewa kuja? Kwa nini viboko vya farasi vinavyovuta magari yake vimechelewa? '
Bangbuet long a dan vaengah thohhuel ah Sisera manu te rhap, Ba aih lae anih kah leng tah ha pawk ham a uelh? Ba aih lae anih kah leng tah khokan a hnong.
29 Wafalme wake wenye hekima walijibu, na yeye mwenyewe akajibu jibu lile
A boeinu hlangcueih rhoek te a doo tih, a ol pataeng a thuung pah.
30 'Je, hawakupata na kugawanya nyara? Tumbo, matumbo mawili kwa kila mtu; nyara ya kitambaa kilichofunikwa kwa Sisera, nyara ya kitambaa kilichofunikwa, nguo mbili za rangi iliyofunikwa kwa misumari ya wale waliopora?
Hula te kutbuem la a tael uh khaw hmu uh pawt nim? tongpa a lu ham tah hula a bok la, Sisera ham amah kutbuem la, himbaitnim, amhmo rhaekva, amhmo kutbuem, kutbuem rhawn kah rhaekva khaw om.
31 Naam, adui zako wote wataangamia, Ee Bwana! Lakini marafiki zako watakuwa kama jua wakati linapoongezeka kwa uwezo wake. Na nchi ikawa na amani kwa miaka arobaini.
Na thunkha rhoek loh boeih milh saeh BOEIPA. Tedae a thayung thamal neh khomik aka thoeng bangla a lungnah. Te dongah khohmuen loh kum sawmli khuiah mong.

< Waamuzi 5 >