< Waamuzi 5 >

1 Siku hiyo Debora na Baraka, mwana wa Abinoamu waliimba wimbo huu:
В оня ден Девора и Варак Авиноамовият син пееха, говорейки:
2 'Viongozi wanapoongoza mbele ya Israeli, watu wanapojitolea kupigana vita, tunamsifu Bwana!
За гдето взеха водителството в Израиля военачалниците, За гдето доброволно се предадоха людете, Хвалете Господа.
3 Sikiliza, ninyi wafalme! Sikiliza kwa makini, ninyi viongozi! Mimi nitamwimbia Bwana; Nami nitamsifu Bwana, Mungu wa Israeli.
Чуйте, царе! дайте ухо, първенци! Ще пея, аз ще пея, Господу; На Господа Бога Израилева ще пея хвала.
4 Ee Bwana, wakati ulipotoka Seiri, ulipokwenda kutoka Edomu, nchi ilitetemeka, na mbingu pia ilitetemeka; pia mawingu yalitoa maji.
Господи, когато излезе Ти от Сиир, Когато тръгна от полето Едом Земята се потресе, също и небето покапа, Ей, облаците покапаха вода.
5 Milima ikatoka mbele ya uso wa Bwana; hata Mlima Sinai ukatetemeka mbele ya uso wa Bwana, Mungu wa Israeli.
Планините се разтопиха от присъствието Господно, Самият Синай от присъствието на Господа Бога Израилева.
6 Katika siku za Shamgari (mwana wa Anathi), katika siku za Jael, barabara kuu ziliachwa, na wale ambao walitembea tu walitumia njia za upepo.
В дните на Самегара Анатовия син, В дните на Яил, пътищата бяха напуснати, И пътниците вървяха по пътеки настрана.
7 Kulikuwa na mashujaa wachache huko Israeli, mpaka mimi, Debora, nilipochukua amri- mama alichukua amri katika Israeli!
Престанаха управниците в Израиля, престанаха До като се въздигнах аз Девора, Въздигнах се майка в Израиля.
8 Walichagua miungu mpya, kulikuwa na vita katika malango ya jiji lakini bado hapakuwa na ngao au mikuki iliyoonekana kati ya watu elfu arobaini nchini Israeli.
Избраха си нови богове; Тогава настана бой в портите; Но видя ли се щит или копие Между четиридесетте хиляди в Израиля?
9 Moyo wangu unawaendea wakuu wa Israeli, pamoja na watu ambao walijitolea -tunambariki Bwana kwa ajili yao!
Сърцето ми е към началниците на Израиля, Които между людете предадоха себе си доброволно. Хвалете Господа!
10 Fikiria juu ya hili- ninyi ambao hupanda punda weupe mmeketi kwenye mazulia, nanyi mnaotembea njiani.
Вие, които яздите на бели осли, Вие, които седите на меки постелки, И вие, които ходите по път, възвестете това!
11 Sikiliza sauti za wale wanaoimba kwenye maeneo ya kutekea maji. Huko wanasema tena juu ya matendo ya haki ya Bwana, na matendo ya haki ya wapiganaji wake katika Israeli. Ndipo watu wa Bwana wakashuka kwenye malango ya mji.
Далеч от кипежа на стрелците, На места гдето черпят вода, Там да възхваляват правдините на Господа, Праведните дела на владичеството Му в Израиля. Тогава людете Господни слязоха при портите.
12 Amka, amka, Debora! Amka, amka, imba wimbo! Simama, Baraka, na uwakamate wafungwa wako, wewe mwana wa Abinoamu.
Събуди се, събуди се, Деворо! Събуди се, събуди се, изпей песен! Стани, Вараче, И заплени пленниците си, сине Авиноамов!
13 Wale waliokoka wakaja chini kwa watu wenye nguvu; watu wa Bwana walikuja kwangu pamoja na mashujaa.
Тогава направи остатък от людете да владеят благородните; Господ ме направи да владея силните.
14 Walikuja kutoka Efraimu, ambao mizizi yao iko katika Amaleki; watu wa Benyamini walikufuata. Wakuu wa Makiri walitoka, na kutoka Zebuloni wale wanaobeba fimbo ya afisa.
Които са от корена Ефремов, слязоха против Амалика След тебе, Вениамине, между твоите племена; От Махира слязоха началници, И от Завулона ония, които държат жезъл на повелител.
15 Na wakuu wangu katika Isakari walikuwa pamoja na Debora; na Isakari alikuwa na Baraka waliingia bobdeni kwa kasi chini ya amri yake. Miongoni mwa jamaa za Reubeni kulikuwa na utafutaji mkubwa wa moyo.
И първенците Исахарови бяха с Девора, Исахар още с Варака, Спуснаха се подир него в долината. При потоците Рувимови Велики бяха сърдечните решения.
16 Kwa nini uliketi katikati ya moto, ukisikiliza wachungaji wakipiga filimbi yao kwa makundi yao? Na kwa jamaa za Reubeni kulikuwa na utafutaji mkubwa wa moyo.
Защо си седнал между оградите Да слушаш блеянията на стадата? При потоците Рувимови Големи бяха сърдечните изпитания.
17 Gileadi alikaa upande wa pili wa Yordani; na Dani, kwa nini alizunguka juu ya meli? Asheri alibakia pwani na akaishi karibu na bandari zake.
Галаад мируваше оттатък Иордан; И Дан защо стоеше в корабите? Асир седеше в крайморията И мируваше в заливчетата си.
18 Zabuloni lilikuwa kabila ambayo lingeweza kuhatarisha maisha yao mpaka kufikia kifo, Nafthali, pia, katika uwanja wa vita.
Завулон са люде, които изложиха живота си на смърт. Също и Нефталим, по опасните места на полето,
19 Wafalme walikuja, wakapigana; wafalme wa Kanaani wakapigana huko Taanaki karibu na maji ya Megido. Lakini hawakuondoa fedha kama nyara.
Дойдоха царете, воюваха; Тогас воюваха ханаанските царе В Таанах, близо при водите на Магедон; Парична корист не взеха.
20 Nyota zilipigana kutoka mbinguni, kutoka katika njia zao za mbinguni zilipigana na Sisera
О небето воюваха; Звездите от пътищата си воюваха против Сисара.
21 Mto Kishoni uliwaondoa, mto ule wa kale, Mto Kishoni. Endelea mbele nafsi yangu, jipe nguvu!
Реката Кисон ги завлече, Старата река, реката Кисон, Стъпкала си мощ, душе моя.
22 Kisha sauti za hofu za farasi-kupiga mbio, kupigana kwa watu wake wenye nguvu.
Тогаз се строшиха конските копита От стремливото тичане, стремливото тичане на силните им.
23 'Ilaani Meroz!' asema malaika wa Bwana. 'Hakika walaani wenyeji wake!' Kwa sababu hawakuja kumsaidia Bwana, kumsaidia Bwana katika vita dhidi ya mashujaa wenye nguvu.
Кълнете Мироза, рече ангелът Господен, Горчива кълнете жителите му, Защото не дойдоха на помощ Господу, На помощ Господу против силните.
24 Yaeli amebarikiawa zaidi kuliko wanawake wengine wote, Yaeli (mke wa Heberi Mkeni), amebarikiwa zaidi kuliko wanawake wote wanaoishi katika hema.
Благословена нека бъде повече от всички жени Яил, жената на Хевера кенееца; Повече от всички жени живеещи в шатри нека бъде благословена.
25 Mtu yule aliomba maji, naye akampa maziwa; akamletea siagi katika sahani inayofaa kwa wakuu.
Вода поиска той; тя му мляко даде, Масло принесе във великолепна чаша.
26 Aliweka mkono wake kwenye kigingi cha hema, na mkono wake wa kuia katika nyundo ya mfanyakazi; kwa nyundo akampiga Sisera, alimpiga kichwani kwake. Aliligawanya fuvu lake vipande vipande wakati alipompiga pembeni ya kichwa chake.
Ръката си простря към кола, И десницата си към работническия млат; И с млат удари Сисара и промуши му главата, Ей, проби и прониза слепите му очи.
27 Akaanguka katikati ya miguu yake, akaanguka akalala pale. Kati ya miguu yake akaanguka. Mahali alipoanguka ni pale ambapo aliuawa kwa ukatili.
При нозете й се повали, падна; простря се; При нозете й се повали, падна; Дето се повали, там и падна мъртъв.
28 Aliangalia dirishani - mama yake Sisera aliangalia kupitia kamba na akasema kwa huzuni, 'Kwa nini gari lakelimechelewa kuja? Kwa nini viboko vya farasi vinavyovuta magari yake vimechelewa? '
Сисаровата майка надничаше през прозореца И викаше през решетката: Защо се бави да дойде колесницата му? Защо закъсняха колелата на колесницата му?
29 Wafalme wake wenye hekima walijibu, na yeye mwenyewe akajibu jibu lile
Мъдрите нейни госпожи й отговаряха, Даже и тя давеше отговор на себе си:
30 'Je, hawakupata na kugawanya nyara? Tumbo, matumbo mawili kwa kila mtu; nyara ya kitambaa kilichofunikwa kwa Sisera, nyara ya kitambaa kilichofunikwa, nguo mbili za rangi iliyofunikwa kwa misumari ya wale waliopora?
Не са ли намерили да делят користи? По мома, по две моми, на всеки мъж; На Сисара користи от пъстрошарени дрехи, Користи от пъстрошарени везани дрехи, От пъстрошарени дрехи везани от двете страни, за шиите на момите взети в корист.
31 Naam, adui zako wote wataangamia, Ee Bwana! Lakini marafiki zako watakuwa kama jua wakati linapoongezeka kwa uwezo wake. Na nchi ikawa na amani kwa miaka arobaini.
Така да погинат всички твои врази, Господи; А ония, които Те любят, да бъдат като слънцето, когато изгрява в силата си. След това, земята имаше спокойствие четиридесет години.

< Waamuzi 5 >