< Waamuzi 10 >

1 Baada ya Abimeleki, Tola, mwana wa Pua, mwana wa Dodo, mtu wa Isakari, aliyekaa Shamiri, katika mlima wa Efraimu, akaondoka ili kuwaokoa Israeli.
Efter Abimelek fremstod som Israels Befrier Tola, en Søn af Dodos Søn Pua, en Mand af Issakar, som boede i Sjamir i Efraims Bjerge.
2 Akawa mwamuzi wa Israeli miaka ishirini na mitatu. Alikufa na kuzikwa Shamiri.
Han var Dommer i Israel i tre og tyve Aar. Da han døde, blev han jordet i Sjamir.
3 Alifuatiwa na Yairi Mgileadi. Akawa mwamuzi wa Israeli miaka ishirini na miwili.
Efter ham fremstod Gileaditen Ja'ir; han var Dommer i Israel i to og tyve Aar.
4 Alikuwa na wana thelathini waliokuwa wakipanda kwenye punda thelathini, na walikuwa na miji thelathini, ambayo inaitwa Hawoth Yairi hata leo, iliyo katika nchi ya Gileadi.
Han havde tredive Sønner, som red paa tredive Æsler, og de havde tredive Byer, som endnu den Dag i Dag kaldes Ja'irs Teltbyer; de ligger i Gilead.
5 Yairi alikufa na kuzikwa Kamoni.
Da Ja'ir døde, blev han jordet i Kamon.
6 Watu wa Israeli waliendelea kutenda maovu mbele za Bwana, wakaabudu Mabaali, Maashtoreti, miungu ya Aramu, miungu ya Sidoni, miungu ya Moabu, miungu ya wana wa Amoni, na miungu ya Wafilisti. Wakamsahau Bwana na hawakamsujudia tena.
Men Israeliterne blev ved at gøre, hvad der var ondt i HERRENS Øjne, idet de dyrkede Ba'alerne og Astarterne og Aramæernes, Zidons, Moabs, Ammoniternes og Filisternes Guder og faldt fra HERREN og undlod at dyrke ham.
7 Hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli, naye akawauza mikononi mwa Wafilisti na katika mikono ya wana wa Amoni.
Da blussede HERRENS Vrede op mod Israel, og han gav dem til Pris for Filisterne og Ammoniterne,
8 Wakawaangamiza na kuwadhulumu watu wa Israeli mwaka huo, na kwa muda wa miaka kumi na nane waliwafukuza watu wote wa Israeli waliokuwa ng'ambo ya Yordani katika nchi ya Waamori, iliyoko Gileadi.
som kuede og mishandlede Israeliterne i det Aar; i atten Aar kuede de alle Israeliterne hinsides Jordan i Amoriternes Land i Gilead.
9 Nao wana wa Amoni wakavuka Yordani, wakapigana na Yuda, na Benyamini, na nyumba ya Efraimu; Israeli akasumbuliwa sana.
Og Ammoniterne satte over Jordan for ogsaa at angribe Juda, Benjamin og Efraims Slægt, saa at Israeliterne kom i stor Nød.
10 Ndipo wana wa Israeli wakamwita Bwana, wakisema, “Tumekukosea, kwa sababu tumemwacha Mungu wetu, tukaabudu Mabaali.”
Da raabte Israeliterne til HERREN og sagde: »Vi har syndet imod dig, thi vi har forladt HERREN vor Gud og dyrket Ba'alerne!«
11 Bwana akawaambia wana wa Israeli, “Je, sikuwatoa ninyi kutoka kwa Wamisri, na Waamori, na Waamoni, na Wafilisti,
Men HERREN svarede Israeliterne: »Har ikke Ægypterne, Amoriterne, Ammoniterne, Filisterne,
12 na pia kwa Wasidoni? Waamaleki na Wamaoni walipowakandamiza; mliniita, nami nikawaokoa kutoka katika nguvu zao.
Zidonierne, Amalekiterne og Midjaniterne mishandlet eder? Og da I raabte til mig, frelste jeg eder af deres Haand.
13 Lakini ninyi mliniacha tena na kuabudu miungu mingine. Kwa hiyo, sitawaokoa tena.
Men I forlod mig og dyrkede andre Guder! Derfor vil jeg ikke mere frelse eder!
14 Nendeni mkaiite miungu mnayoiabudu. Ili iwaokoe wakati wa shida.
Gaa nu hen og raab til de Guder, I udvalgte eder, og lad dem frelse eder i eders Nød!«
15 Wana wa Israeli wakamwambia Bwana, Tumefanya dhambi. Tufanyie chochote kinachoonekana kuwa kizuri kwako. Tafadhali, tuokoe leo.
Da sagde Israeliterne til HERREN: »Vi har syndet! Gør med os, hvad dig tykkes godt, men frels os blot nu!«
16 Wakaiacha miungu ya kigeni waliyokuwa nayo, nao wakamwabudu Bwana. Naye akawa na subira juu ya taabu ya Israeli.
Og de skilte sig af med de fremmede Guder og dyrkede HERREN; da kunde han ikke længer holde ud at se Israels Nød.
17 Ndipo Waamoni wakakusanyika, wakaweka kambi Gileadi. Waisraeli walikutana na kuweka kambi yao huko Mispa.
Ammoniterne stævnedes sammen, og de slog Lejr i Gilead; ogsaa Israeliterne samlede sig, og de slog Lejr i Mizpa.
18 Viongozi wa watu wa Gileadi wakaambiana, 'Ni nani atakayeanza kupigana na Waamoni? Yeye atakuwa kiongozi juu ya wote wanaoishi Gileadi.
Da sagde Folket, Gileads Høvdinger, til hverandre: »Hvis der findes en Mand, som vil tage Kampen op med Ammoniterne, skal han være Høvding over alle Gileads Indbyggere!«

< Waamuzi 10 >