< Waamuzi 1 >

1 Baada ya kifo cha Yoshua, wana wa Israeli walimuuliza Yahweh wakisema, “Ni nani atawashambulia kwanza Wakanaani kwa ajili yetu, ili kupigana nao?
and to be after death Joshua and to ask son: descendant/people Israel in/on/with LORD to/for to say who? to ascend: rise to/for us to(wards) [the] Canaanite in/on/with beginning to/for to fight in/on/with him
2 Yahweh akasema, “Yuda atawashambulia. Tazama, nimewapa kumiliki nchi hii.
and to say LORD Judah to ascend: rise behold to give: give [obj] [the] land: country/planet in/on/with hand: power his
3 Watu wa Yuda wakawaambia wana wa Simeoni, ndugu zao, “Njoo pamoja nasi katika eneo letu ambalo tumepewa ili kwa pamoja tupigane na Wakanaani. Na sisi pia tutakwenda nanyi katika eneo mlilopewa.” Basi kabila la Simeoni wakaenda pamoja nao.
and to say Judah to/for Simeon brother: male-sibling his to ascend: rise with me in/on/with allotted my and to fight in/on/with Canaanite and to go: went also I with you in/on/with allotted your and to go: went with him Simeon
4 Watu wa Yuda wakashinda, na Bwana akawapa ushindi juu ya Wakanaani na Waperizi. Wakawaua watu elfu kumi huko Bezeki.
and to ascend: rise Judah and to give: give LORD [obj] [the] Canaanite and [the] Perizzite in/on/with hand: power their and to smite them in/on/with Bezek ten thousand man
5 Wakamkuta Adoni Bezeki huko Bezeki, nao wakapigana naye na kuwashinda Wakanaani na Waperizi.
and to find [obj] Adoni-bezek Adoni-bezek in/on/with Bezek and to fight in/on/with him and to smite [obj] [the] Canaanite and [obj] [the] Perizzite
6 Lakini Adoni Bezeki akamkimbilia, wakamfuata na kumshika, nao wakavikata vidole gumba na vidole vyake vikubwa.
and to flee Adoni-bezek Adoni-bezek and to pursue after him and to grasp [obj] him and to cut [obj] thumb/big toe hand his and foot his
7 Adoni Bezek akasema, “Wafalme sabini, ambao na vidole gumba vyako na vidole vikubwa vilivyokatwa, walikusanya chakula chao chini ya meza yangu. Kama nilivyofanya, hata hivyo Mungu amefanya kwangu.” Wakamleta Yerusalemu, naye akafa huko.
and to say Adoni-bezek Adoni-bezek seventy king thumb/big toe hand their and foot their to cut to be to gather underneath: under table my like/as as which to make: do so to complete to/for me God and to come (in): bring him Jerusalem and to die there
8 Watu wa Yuda wakapigana dhidi ya jiji la Yerusalemu na kulichukua. Walishambulia kwa makali ya upanga na wakauwasha mji kwa moto.
and to fight son: descendant/people Judah in/on/with Jerusalem and to capture [obj] her and to smite her to/for lip: edge sword and [obj] [the] city to send: burn in/on/with fire
9 Baada ya hayo, watu wa Yuda walikwenda kupigana na Wakanaani waliokaa mlimani, Negebu, na magharibi mwa milima.
and after to go down son: descendant/people Judah to/for to fight in/on/with Canaanite to dwell [the] mountain: hill country and [the] Negeb and [the] Shephelah
10 Yuda akaenda dhidi ya Wakanaani waliokaa Hebroni (jina la Hebroni hapo awali ilikuwa Kiriath-arba), nao wakamshinda Sheshai, Ahimani na Talmai.
and to go: went Judah to(wards) [the] Canaanite [the] to dwell in/on/with Hebron and name Hebron to/for face: before Kiriath-arba Kiriath-arba and to smite [obj] Sheshai and [obj] Ahiman and [obj] Talmai
11 Kutoka huko watu wa Yuda walipigana na wenyeji wa Debiri (jina la Debiri hapo awali ilikuwa Kiriath-seferi).
and to go: went from there to(wards) to dwell Debir and name Debir to/for face: before Kiriath-sannah Kiriath-sannah
12 Kalebu akasema, Yeyote atakayeivamia Kiriath-seferi na kuichukua, nitampa Aksa, binti yangu, awe mkewe.
and to say Caleb which to smite [obj] Kiriath-sannah Kiriath-sannah and to capture her and to give: give(marriage) to/for him [obj] Achsah daughter my to/for woman: wife
13 Otinieli, mwana wa Kenazi, ndugu mdogo wa Kalebu, akaiteka Debiri, naye Kalebu akampa Aksa, binti yake, awe mkewe.
and to capture her Othniel son: child Kenaz brother: male-sibling Caleb [the] small: young from him and to give: give(marriage) to/for him [obj] Achsah daughter his to/for woman: wife
14 Ndipo Aksa alifika kwa Othnieli, naye akamsihi amuombe baba yake ampe shamba. Alipokuwa akishuka katika punda wake, Kalebu akamwuliza, “Nikufanyie nini?”
and to be in/on/with to come (in): come she and to incite him to/for to ask from with father her [the] land: country and to descend from upon [the] donkey and to say to/for her Caleb what? to/for you
15 Akamwambia, Nibariki. Kwa kuwa umenipa nchi ya Negebu, nipe pia chemchemi za maji. Kwa hiyo Kalebu akampa chemchemi za juu na chemchemi za chini.
and to say to/for him to give [emph?] to/for me blessing for land: country/planet [the] Negeb to give: put me and to give: give to/for me bowl water and to give: give to/for her Caleb [obj] bowl upper and [obj] bowl lower
16 Kizazi cha Mkeeni shemeji yake na Musa, walikwenda kutoka mji wa Mitende pamoja na watu wa Yuda, mpaka jangwa la Yuda, ambalo liko Negevu, kuishi na watu wa Yuda karibu na Arad.
and son: descendant/people Kenite relative Moses to ascend: rise from Ir-hatmarim [the] Ir-hatmarim with son: descendant/people Judah wilderness Judah which in/on/with Negeb Arad and to go: went and to dwell with [the] people
17 Nao watu wa Yuda wakaenda pamoja na wana wa Simeoni ndugu zao, wakawaangamiza Wakanaani waliokaa Zefathi, wakaiharibu kabisa. Mji uliitwa Horma.
and to go: went Judah with Simeon brother: male-sibling his and to smite [obj] [the] Canaanite to dwell Zephath and to devote/destroy [obj] her and to call: call by [obj] name [the] city Hormah
18 Watu wa Yuda pia waliiteka Gaza na nchi iliyoizunguka, Ashkeloni na nchi iliyoizunguka, na Ekron na nchi iliyoizunguka.
and to capture Judah [obj] Gaza and [obj] border: area her and [obj] Ashkelon and [obj] border: area her and [obj] Ekron and [obj] border: area her
19 Yahweh alikuwa pamoja na watu wa Yuda na wakaimiliki nchi ya milima, lakini hawakuweza kuwatoa wenyeji wa kwenye bonde kwa sababu walikuwa na magari ya chuma.
and to be LORD with Judah and to possess: take [obj] [the] mountain: hill country for not to/for to possess: take [obj] to dwell [the] valley for chariot iron to/for them
20 Hebroni alipewa Kalebu (kama Musa alivyosema), naye akawafukuza kutoka huko wana watatu wa Anaki.
and to give: give to/for Caleb [obj] Hebron like/as as which to speak: speak Moses and to possess: take from there [obj] three son: descendant/people [the] Anak
21 Lakini wana wa Benyamini hawakuwafukuza Wayebusi waliokaa Yerusalemu. Basi Wayebusi wakakaa na watu wa Benyamini huko Yerusalemu hata leo.
and [obj] [the] Jebusite to dwell Jerusalem not to possess: take son: descendant/people Benjamin and to dwell [the] Jebusite with son: descendant/people Benjamin in/on/with Jerusalem till [the] day: today [the] this
22 Nyumba ya Yusufu ilijiandaa kuishambulia Betheli, na Yahweh alikuwa pamoja nao.
and to ascend: rise house: household Joseph also they(masc.) Bethel Bethel and LORD with them
23 Walipeleka watu kuipeleleza Betheli (jiji lililoitwa Luzu).
and to spy house: household Joseph in/on/with Bethel Bethel and name [the] city to/for face: before Luz
24 Wapelelezi waliona mtu akitoka nje ya jiji, wakamwambia, “Tafadhali tuonyeshe jinsi ya kuingia ndani ya jiji, na tutakutendea mema.”
and to see: see [the] to keep: look at man to come out: come from [the] city and to say to/for him to see: see us please [obj] entrance [the] city and to make: do with you kindness
25 Aliwaonyesha njia ya kuingia kwenye mji. Waliuteka mji kwa makali ya upanga, lakini wakamuacha mtu huyo na ndugu zake wote waondoke.
and to see: see them [obj] entrance [the] city and to smite [obj] [the] city to/for lip: edge sword and [obj] [the] man and [obj] all family his to send: let go
26 Na mtu huyo akaenda nchi ya Wahiti, akajenga mji, akauita Luzu, ambalo jina lake hata leo.
and to go: went [the] man land: country/planet [the] Hittite and to build city and to call: call by name her Luz he/she/it name her till [the] day: today [the] this
27 Watu wa Manase hawakuwafukuza watu waliokuwa katika miji ya Bethsheani na vijiji vyake, au Taanaki na vijiji vyake, au wale waliokaa Dori na vijiji vyake, wala wale waliokaa Ibleamu na vijiji vyake, wala walioshi Megido na vijiji vyake, kwa sababu Wakanaani walikuwa wameamua kuishi katika nchi hiyo.
and not to possess: take Manasseh [obj] Beth-shean Beth-shean and [obj] daughter: village her and [obj] Taanach and [obj] daughter: village her and [obj] (to dwell *QK) Dor and [obj] daughter: village her and [obj] to dwell Ibleam and [obj] daughter: village her and [obj] to dwell Megiddo and [obj] daughter: village her and be willing [the] Canaanite to/for to dwell in/on/with land: country/planet [the] this
28 Israeli ipokuwa na nguvu, waliwalazimisha Wakanaani wawatumikie kwa kazi ngumu, lakini hawakuwafukuza kabisa.
and to be for to strengthen: strengthen Israel and to set: put [obj] [the] Canaanite to/for taskworker and to possess: take not to possess: take him
29 Efraimu hakuwafukuza Wakanaani waliokaa Gezeri; kwa hiyo Wakanaani wakakaa kati yao.
and Ephraim not to possess: take [obj] [the] Canaanite [the] to dwell in/on/with Gezer and to dwell [the] Canaanite in/on/with entrails: among his in/on/with Gezer
30 Zebuloni hakuwafukuza watu wa Kitroni, wala watu waliokuwa Nahaloli; na Wakanaani wakaendelea kuishi pamoja nao; lakini Zabuloni akawalazimisha Wakanaani wawatumikie kwa kazi ngumu.
Zebulun not to possess: take [obj] to dwell Kitron and [obj] to dwell Nahalol and to dwell [the] Canaanite in/on/with entrails: among his and to be to/for taskworker
31 Asheri hakuwafukuza watu wanaoishi Aka, au watu wanaoishi Sidoni, au wale wanaoishi Alabu, Akzib, Helba, Afeka, au Rehobu.
Asher not to possess: take [obj] to dwell Acco and [obj] to dwell Sidon and [obj] Ahlab and [obj] Achzib and [obj] Helbah and [obj] Aphek and [obj] Rehob
32 Kwa hiyo kabila ya Asheri iliishi kati ya Wakanaani (waliokaa katika nchi hiyo), kwa sababu hawakuwafukuza.
and to dwell [the] Asherite in/on/with entrails: among [the] Canaanite to dwell [the] land: country/planet for not to possess: take him
33 Na kabila la Naftali halikuwafukuza watu waliokuwa wakiishi Bethshemeshi, wala waliokuwa wakiishi Bethanathi. Kwa hiyo kabila la Naftali liliishi kati ya Wakanaani (watu waliokuwa wakiishi katika nchi hiyo). Hata hivyo, wenyeji wa Bethshemeshi na Bethanathi walilazimishwa kufanya kazi ngumu kwa Naphthali.
Naphtali not to possess: take [obj] to dwell Beth-shemesh Beth-shemesh and [obj] to dwell Beth-anath Beth-anath and to dwell in/on/with entrails: among [the] Canaanite to dwell [the] land: country/planet and to dwell Beth-shemesh Beth-shemesh and Beth-anath Beth-anath to be to/for them to/for taskworker
34 Waamori waliwalazimisha kabila la Dani kuishi katika nchi ya kilima, hawakuwaruhusu kuja bondeni.
and to oppress [the] Amorite [obj] son: descendant/people Dan [the] mountain: hill country [to] for not to give: allow him to/for to go down to/for valley
35 Basi Waamori waliishi katika mlima wa Heresi, huko Aiyaloni, na Shaalbimu, lakini nguvu za kijeshi za nyumba ya Yusufu ziliwashinda, nao wakalazimishwa kuwatumikia kwa kazi ngumu.
and be willing [the] Amorite to/for to dwell in/on/with mountain: mount (Mount) Heres in/on/with Aijalon and in/on/with Shaalbim and to honor: heavy hand: power house: household Joseph and to be to/for taskworker
36 Mpaka wa Waamori ulikuwa kutoka kilima cha Akrabimu huko Sela hadi nchi ya vilima.
and border: boundary [the] Amorite from ascent Akrabbim from [the] Sela and above [to]

< Waamuzi 1 >