< Yoshua 6 >

1 Basi, milango yote ya Yeriko ilikuwa imefungwa kwasababu ya jeshi la Israeli. Hapakuwa na mtu wa kutoka nje au kuingia ndani.
(А Ерихон беше заключен и затворен поради израилтяните; никой не излизаше и никой не влизаше).
2 Yahweh akamwambia Yoshua, “Tazama, nimeweka Yeriko katika mkono wako, mfalme wake pamoja na wanajeshi wake waliofunzwa.
И Господ рече на Исуса: Ето, предадох в ръката ти Ерихон, царя му и силните му и храбри мъже.
3 Ni lazima kutembea kwa kuuzunguka mji, wanaume wote wa vita wauzunguke mji mara moja. Ni lazima mfanye hivi kwa siku sita.
Ходете, прочее, около града, всички военни мъже, и обиколете града веднъж; така да правите шест дена.
4 Makuhani saba lazima wabebe tarumbeta za pembe za kondoo waume mbele za sanduku. Na katika siku ya saba, ni lazima mtembee kwa kuuzunguka mji mara saba, na makuhani lazima wapulize tarumbeta.
И седем свещеника нека носят пред ковчега седем гръмливи тръби; и нека на седмия ден обиколете града седем пъти, и свещениците нека свирят с тръбите.
5 Kisha watapuliza pembe za kondoo waume kwa nguvu kuu, na mtakaposikia sauti za tarumbeta watu wote na wapige kelele kwa mshindo mkuu, na ukuta wa mji utaanguka chini pale pale. Wanajeshi ni lazime washambulie, kila mmoja eende mbele moja kwa moja.
И когато засвирят продължително с гръмливата тръба, като чуете гласа на тръбата всички люде да извикат с гръмлив глас; и градската стена ще падне на мястото си, и людете нека вървят всеки право напред.
6 Ndipo Yoshua mwana wa Nuni, aliwaita makuhani na kuwaambia, “Lichukueni sanduku la agano, na waacheni makuhani saba wabebe tarumbeta za pembe za kondoo waume mbele ya sanduku la Yahweh.”
Тогава Исус Навиевия син повика свещениците и рече им: Дигнете ковчега на завета, и седем свещеника нека държат седем гръмливи тръби пред Господния ковчег.
7 Yoshua aliwaambia watu, “Nendeni na mkatembee kuuzunguka mji, na watu wa vita wataenda mbele ya sanduku la Yahweh.”
Рече на людете: Минете та обиколете града; а въоръжените нека заминат пред Господния ковчег.
8 Makuhani saba walibeba tarumbeta saba za pembe za kondoo mbele ya Yahweh kama Yoshua alivyowaambia watu. Na walivyokuwa akiendelea mbele, walipuliza tarumbeta.
И тъй, след като говори Исус на людете, седемте свещеника, които държаха седемте гръмливи тръби пред Господа минаха, и свиреха с тръбите; и ковчегът на Господния завет вървеше подире им.
9 Sanduku la Yahweh liliwafuata kwa nyuma yao. Watu wa vita walitembea mbele ya makuhani, na walipuliza tarumbeta zao, lakini walinzi wa nyuma walilifuata sanduku kwa nyuma, na makuhani waliendelea kupuliza tarumbeta zao.
И въоръжените вървяха пред свещениците, които свиреха с тръбите, и задната стража следваше зад ковчега, докато свещениците свиреха с тръбите като вървяха.
10 Lakini Yoshua aliwaagiza watu, akisema, “Msipige kelele. Sauti yoyote isitoke vinywani mwenu mpaka siku nitakayowaambia kupiga kelele. Ndipo hapo mtakapopiga kelele.”
А Исус заповяда на людете, като каза: Да не викате, нито да се чуе глъсат ви, нито да излезе дума из устата ви, до деня, когато ще ви кажа да извикате; тогава извикайте.
11 Hivyo, alisababisha sanduku la Yahweh kuuzunguka mji mara moja kwa siku hiyo. Kisha wakaingia katika kambi yao, wakakaa usiku ule katika kambi.
И тъй, направи да обиколи Господният ковчег около града еднъж; и дойдоха в стана и пренощуваха в стана.
12 Basi Yoshua aliamka asubuhi na mapema, na makuhani wakalichukua sanduku la Yahweh.
И на сутринта Исус стана рано, и свещениците дигнаха Господния ковчег,
13 Makuhani saba waliobeba tarumbeta saba za pembe za kondoo waume walikuwa mbele ya sanduku la Yahweh, wakitembea kwa ushupavu, huku wakipuliza tarumbeta. Wanajeshi wenye silaha walikuwa wakitembea mbele yao, lakini walinzi wa nyuma walitembea nyuma ya sanduku la Yahweh, huku tarumbeta ziliendelea kupigwa.
И седемте, свещеника, които държаха седемте гръмливи тръби., вървяха пред Господния ковчег, като ходеха и свиреха с тръбите; и пред тях и свиреха с тръбите; и пред тях вървяха въоръжените, а задната стража следваше подир Господния ковчег, докато свещениците свиреха с тръбите като вървяха.
14 Walitembea kuuzunguka mji mara moja katika siku ya pili na kisha wakarudi kambini. Walifanya hivi kwa siku sita.
И тъй на втория ден обиколиха града еднъж и се върнаха в стана така правеха шест дена.
15 Ilikuwa ni katika siku ya saba ambayo waliamka mapema katika mapambazuko, na walitembea kuuzunguka mji kwa namna ile kama ilivyokuwa kawaida yao, katika siku hii walifanya mara saba.
А на седмия ден станаха рано, при пукването на зората, и обиколиха града седем пъти по същия начин; само тоя ден обиколиха града седем пъти.
16 Ilikuwa ni katika siku ya saba ambapo makuhani walipiga tarumbeta, na ya kwamba Yoshua aliwaagiza watu, “Pigeni kelele! Kwa kuwa Yahweh amewapa ninyi mji.
И на седмия път, като свиреха свещениците с тръбите, Исус рече на людете: Извикайте, защото Господ ви предаде града.
17 Mji pamoja na vitu vyote ndani yake vitatengwa kwa Yahweh kwa ajili ya uharibifu. Ni Rahabu yule kahaba pekee ataishi - yeye pamoja wote waliokuwa pamoja naye katika nyumba - kwasababu aliwaficha watu tuliowatuma.
И градът и всичко що е в него ще бъдат обречени на Господа; само блудницата Раав, да остане жива, тя и всички, които са в къщата с нея, защото скри пратениците, които проводихме.
18 Lakini kwenu, iweni waangalifu juu ya kuchukua vitu vilivyotengwa kwa ajili ya uharibifu, ili baada ya kuvitia alama kwa ajili ya kuharibiwa, msichukue hata kimoja wapo. Na kama mtafanya hivi, mtaifanya kambi ya Waisraeli iharibiwe na mtaleta matatizo katika kambi.
Но вие се пазете във всеки случай от всичко обречено, да не би, като го обречете, да вземете от обреченото, и така да нанесете проклетия върху стана на Израиля и да го смутите.
19 Fedha zote, dhahabu na vitu vilivyotengenezwa kwa shaba na chuma vilitengwa kwa ajli ya Yahweh.”
Всичкото сребро и злато, и медните и железните съдове, са посветени Господу; да се внесат в Господното съкровище.
20 Hivyo, watu wakapiga kelele, na wakatoa sauti kwa kupuliza tarumbeta. Ilikuwa watu waliposikia sauti za tarumbeta, walipiga kelele kwa sauti kuu, na ukuta ulianguka chini kabisa na kwamba watu waliungia mji, kila mmoja alisonga mbele moja kwa moja. Na waliuteka mji.
И тъй, людете извикаха и свещениците свиреха с тръбите; и като чуха людете тръбния глас, и като издадоха людете гръмлив вик, стената падна на мястото си; и людете влязоха в града, всеки право напред, и превзеха града.
21 Waliteketeza kabisa kila kitu kilichokuwa katika mji kwa makali ya upanga - wanaume kwa wanawake, wadogo kwa wakubwa, ng'ombe, kondoo na punda.
И обрекоха на изтребление с острото на ножа всичките в града, мъже и жени, млади и стари, и говеда, овци и осли.
22 Kisha Yoshua akawaambia wale watu wawili walioipeleleza nchi, “Nendeni katika nyumba ya kahaba, mtoeni mwanamke na wote walio pamoja naye, kama mlivyomwapia.”
Тогава Исус каза на двамата мъже, които бяха съгледали земята: Влезте в къщата на блудницата и изведете от там жената и всичко коквото има, според както й се заклехте.
23 Basi, vijana wale walioipeleleza nchi waliingia ndani na kumtoa Rahabu nje. Walimtoa nje baba yake, mama, kaka, na ndugu wote waliokuwa pamoja naye. waliwaleta katika sehemu ya nje ya kambi ya Waisraeli.
И тъй, като влязоха младежите, шпионите, изведоха Раав, баща й, майка й, братята й и всичките й роднини, и туриха ги вън от Израилевия стан.
24 Na ndipo waliuteketeza mji na kila kitu ndani yake. Isipokuwa fedha, dhahabu na vyombo vya fedha na chuma viliwekwa kwa hazina ya nyumba ya Yahweh.
И града и всичко в него изгориха с огън; само среброто и златото и медните и железните съдове туриха в съкровището на Господния дом.
25 Bali Yoshua alimruhusu Rahabu kahaba, nyumba ya baba yake, na wote waliokuwa pamoja naye waishi. Mpaka leo hivi anaishi Israeli kwasababu aliwaficha watu waliotumwa na Yoshua kuipeleleza Yeriko.
А блудницата Раав и бащиното й семейство, и всичко що имаше тя, Исус остави живи и тя живее всред Израиля до днес, защото скри пратениците, които Исус проводи да съгледат Ерихон.
26 Kisha katika kipindi hicho, Yoshua aliwaamuru kwa kiapo na kusema, “Alaaniwe machoni pa Yahweh mtu yule anayeujenga mji huu, Yeriko. Ataujenga msingi kwa gharama ya mzaliwa wake wa kwanza, na kwa gharama ya mzaliwa wake wa pili atapachika milango yake.”
В онова време Исус се закле, като каза: Проклет пред Господа оня човек, който стане да съгради тоя град Ерихон; със смъртта на първородния си син ще тури основите му, и със смъртта на най-младия си син ще постави портите му.
27 Basi Yahweh alikuwa pamoja na Yoshua, na umaarufu wake ulienea katika nchi yote.
Така Господ беше с Исуса; и името му се прочу по цялата земя.

< Yoshua 6 >