< Yoshua 5 >

1 Mara tu waliposikia wafalme wa Waamori walio upande wa magharibi wa Yordani, na wafalme wote wa Wakanaani waliokuwa katika pwani ya Ziwa kuu, waliposikia ya kwamba Yahweh alikuwa ameyakausha maji ya Yordani mpaka pale waisraeli wote walipomaliza kuvuka, mioyo yao ikayeyuka, na hapakuwa na moyo wowote ndani yao kwa sababu ya watu wa Israeli.
Un notikās, kad visi Amoriešu ķēniņi, kas viņpus Jardānes pret jūru un visi Kanaāniešu ķēniņi, kas jūrmalā, dzirdēja, ka Tas Kungs bija licis izsīkt Jardānes ūdenim Israēla bērnu priekšā, tiekams tie bija gājuši cauri, tad viņu sirds tapa bailīga, un tiem izzuda drošība Israēlu bērnu priekšā.
2 Kwa wakati huo Yahweh alimwambia Yoshua, “Tengenezeni visu vya mawe na mara moja mwatahiri wanaume wote wa Israeli.”
Tanī laikā Tas Kungs sacīja uz Jozua: taisi sev akmens nažus un apgraizī atkal Israēla bērnus otru reiz.
3 Kisha Yoshua alijifanyia visu vya mawe na akawatahiri wanaume wote wa Gibea Haaraloti.
Tad Jozuas taisīja sev akmens nažus un apgraizīja Israēla bērnus uz Aralot pakalna.
4 Na hii ndo sababu ya Yoshua kuwatahiri; wanaume wote waliotoka Misri, pamoja na wanaume wa vita walikuwa wamekwisha kufa njiani katika nyikani, baada ya kukwea kutoka Misri.
Un tādēļ Jozuas tos apgraizīja: visi ļaudis no vīriešu kārtas, kas no Ēģiptes zemes bija izgājuši, visi kara vīri bija nomiruši tuksnesī uz ceļa, no Ēģiptes zemes nākot.
5 Ingawa wanaume wote waliotoka Misri walikuwa wametahiriwa, bado hapakuwa na kijana yeyote aliyekuwa ametahiriwa kati ya vijana wote waliozaliwa nyikani katika njia ya kutoka Misri.
Jo visi ļaudis, kas izgāja, bija apgraizīti. Bet visi ļaudis, kas bija dzimuši tuksnesī, ceļā no Ēģiptes zemes nākot, tie nebija apgraizīti.
6 Kwasababu watu wa Israeli walitembea nyikani miaka arobaini, mpaka watu wa vita, yaani wanaume wote waliotoka Misri walikufa, kwasababu hawakuitii sauti ya Yahweh. Yahweh aliwaapia kwamba hawataruhusu kuiona nchi ambayo aliwaapia mababa zao kwamba angetupatia sisi, nchi inayotiririka maziwa na asali.
Jo Israēla bērni staigāja četrdesmit gadus tuksnesī, tiekams bija izmiruši visi karavīri, kas no Ēģiptes zemes bija izgājuši, tādēļ ka Tā Kunga balsij nebija klausījuši; tiem Tas Kungs bija zvērējis, ka Viņš tiem to zemi negribot ļaut redzēt, ko Viņš viņu tēviem bija zvērējis, mums dot, zemi, kur piens un medus tek.
7 Na badala yao, Yahweh aliwainua watoto wao kuchukua nafasi zao ambao Yoshua aliwatahiri, kwasababu walikuwa bado hajatahiriwa njiani.
Bet viņu dēlus Viņš cēla viņu vietā; tos Jozuas apgraizīja, tāpēc ka tiem bija priekšāda, jo tie nebija apgraizīti ceļā.
8 Walipokwisha kutahiriwa wote, walibaki mahali walipokuwa katika kambi mpaka walipopona.
Un kad visi ļaudis bija apgraizīti, tad tie palika savā vietā lēģerī, tiekams bija dziedināti.
9 Na Yahweh akasema na Yoshua, “Siku hii nimeiondoa kwenu aibu ya Misri.” Hivyo, mahali pale paliitwa Gilgali hadi leo.
Un Tas Kungs sacīja uz Jozua: šodien Es no jums esmu novērsis visu Ēģiptes kaunu. Tāpēc tās vietas vārds tapa nosaukts Gilgala (novēršana) līdz šai dienai.
10 Watu wa Israeli walipiga kambi hapo Gilgali. Waliitunza Pasaka katika siku ya kumi na nne ya mwezi, wakati wa jioni, katika uwanda wa Yeriko.
Un Israēla bērni apmetās Gilgalā, un turēja Pasa svētkus mēneša četrpadsmitā dienā ap vakaru, Jērikus klajumos,
11 Na siku iliyofuata baada ya Pasaka, walikula sehemu ya mazao ya nchi, mikate isiyotiwa chachu na nafaka iliyokaangwa katika siku hiyo iyo.
Un ēda Pasa svētku otrā dienā no tās zemes labības neraudzētu maizi un ceptas vārpas šinī dienā.
12 Mana zilikoma siku ile walipokula mazao ya nchi. Hapakuwa tena na mana kwa watu wa Israeli, bali walikula mazao ya nchi ya Kanaani mwaka huo.
Un tas manna beidzās otrā dienā pēc tam, kad tie bija ēduši no tās zemes labības, un tur nebija vairs manna Israēla bērniem, bet tie ēda to gadu no Kanaāna zemes augļiem.
13 Wakati Yoshua alipokaribia Yeriko, aliinua macho na kuangalia, na tazama, mtu alikuwa amesimama mbele yake, alikuwa amechomoa upanga wake na ulikuwa mkononi mwake. Yoshua alimwendea na kumwambia, “Je uko kwa ajili yetu au kwa ajli ya maadui zetu?”
Un kad Jozuas bija pie Jērikus, tad viņš pacēla savas acis, un redzēja, un raugi, tur viens vīrs viņam stāvēja pretī, tam bija izvilkts zobens rokā, un Jozuas pie viņa gāja un sacīja: vai tu esi no mūsējiem vai no mūsu pretiniekiem?
14 Akajibu, la hasha. Maana mimi ni amiri wa jeshi la Yahweh. Sasa nimekuja. Kisha Yoshua akainamisha uso wake juu ya nchi akaabudu na akamwambia, “Bwana wangu anasema nini kwa mtumwa wake?”
Un tas sacīja: nē, bet es esmu Tā Kunga karaspēka virsnieks, tagad es esmu nācis. Tad Jozuas metās zemē uz savu vaigu un to pielūdza un uz to sacīja: ko mans Kungs runā uz savu kalpu?
15 Amiri wa jeshi la Yahweh akamwambia Musa, “Vua viatu vyako miguuni mwako, kwasababu sehemu uliyosimama ni takatifu.” Na Yoshua akafanya hivyo.
Tad Tā Kunga karaspēka virsnieks sacīja uz Jozua: novelc savas kurpes no savām kājām, jo tā vieta, kur tu stāvi, ir svēta. Un Jozuas tā darīja.

< Yoshua 5 >