< Yoshua 5 >

1 Mara tu waliposikia wafalme wa Waamori walio upande wa magharibi wa Yordani, na wafalme wote wa Wakanaani waliokuwa katika pwani ya Ziwa kuu, waliposikia ya kwamba Yahweh alikuwa ameyakausha maji ya Yordani mpaka pale waisraeli wote walipomaliza kuvuka, mioyo yao ikayeyuka, na hapakuwa na moyo wowote ndani yao kwa sababu ya watu wa Israeli.
And it was when heard all [the] kings of the Amorite[s] who [were] on [the] other side of the Jordan west-ward and all [the] kings of the Canaanite[s] who [were] at the sea [they heard] this: he had dried up Yahweh [the] waters of the Jordan from before [the] people of Israel until (passing over they *QK) and it melted heart their and not it was in them still spirit because of [the] people of Israel.
2 Kwa wakati huo Yahweh alimwambia Yoshua, “Tengenezeni visu vya mawe na mara moja mwatahiri wanaume wote wa Israeli.”
At the time that he said Yahweh to Joshua make for yourself knives of flint and return circumcise [the] people of Israel a second [time].
3 Kisha Yoshua alijifanyia visu vya mawe na akawatahiri wanaume wote wa Gibea Haaraloti.
And he made for himself Joshua knives of flint and he circumcised [the] people of Israel to [the] hill of foreskins.
4 Na hii ndo sababu ya Yoshua kuwatahiri; wanaume wote waliotoka Misri, pamoja na wanaume wa vita walikuwa wamekwisha kufa njiani katika nyikani, baada ya kukwea kutoka Misri.
And this [is] the reason why he circumcised Joshua all the people which had come out from Egypt the males all - [the] men of war they had died in the wilderness on the way when went out they from Egypt.
5 Ingawa wanaume wote waliotoka Misri walikuwa wametahiriwa, bado hapakuwa na kijana yeyote aliyekuwa ametahiriwa kati ya vijana wote waliozaliwa nyikani katika njia ya kutoka Misri.
For circumcised they had been all the people which came out and all the people born in the wilderness on the way when went out they from Egypt not people had circumcised.
6 Kwasababu watu wa Israeli walitembea nyikani miaka arobaini, mpaka watu wa vita, yaani wanaume wote waliotoka Misri walikufa, kwasababu hawakuitii sauti ya Yahweh. Yahweh aliwaapia kwamba hawataruhusu kuiona nchi ambayo aliwaapia mababa zao kwamba angetupatia sisi, nchi inayotiririka maziwa na asali.
For - forty year[s] they had walked [the] people of Israel in the wilderness until was finished all the nation [the] men of war who came out from Egypt who not they had listened to [the] voice of Yahweh whom he had sworn Yahweh to them to not to let to see them the land which he had sworn Yahweh to fathers their to give to us a land flowing of milk and honey.
7 Na badala yao, Yahweh aliwainua watoto wao kuchukua nafasi zao ambao Yoshua aliwatahiri, kwasababu walikuwa bado hajatahiriwa njiani.
And children their he raised up in place of them them he circumcised Joshua for uncircumcised they were for not people had circumcised them on the way.
8 Walipokwisha kutahiriwa wote, walibaki mahali walipokuwa katika kambi mpaka walipopona.
And it was just when they had finished all the nation to be circumcised and they remained in place their in the camp until lived they.
9 Na Yahweh akasema na Yoshua, “Siku hii nimeiondoa kwenu aibu ya Misri.” Hivyo, mahali pale paliitwa Gilgali hadi leo.
And he said Yahweh to Joshua this day I have rolled away [the] reproach of Egypt from on you and he called [the] name of the place that Gilgal until the day this.
10 Watu wa Israeli walipiga kambi hapo Gilgali. Waliitunza Pasaka katika siku ya kumi na nne ya mwezi, wakati wa jioni, katika uwanda wa Yeriko.
And they encamped [the] people of Israel at Gilgal and they observed the passover on [the] four-teen day of the month in the evening on [the] plains of Jericho.
11 Na siku iliyofuata baada ya Pasaka, walikula sehemu ya mazao ya nchi, mikate isiyotiwa chachu na nafaka iliyokaangwa katika siku hiyo iyo.
And they ate some of [the] produce of the land from [the] next day of the passover unleavened bread and roasted [grain] on [the] substance of the day this.
12 Mana zilikoma siku ile walipokula mazao ya nchi. Hapakuwa tena na mana kwa watu wa Israeli, bali walikula mazao ya nchi ya Kanaani mwaka huo.
And it ceased the manna from [the] next day when ate they some of [the] produce of the land and not it belonged again to [the] people of Israel manna and they ate some of [the] produce of [the] land of Canaan in the year that.
13 Wakati Yoshua alipokaribia Yeriko, aliinua macho na kuangalia, na tazama, mtu alikuwa amesimama mbele yake, alikuwa amechomoa upanga wake na ulikuwa mkononi mwake. Yoshua alimwendea na kumwambia, “Je uko kwa ajili yetu au kwa ajli ya maadui zetu?”
And it was when was Joshua at Jericho and he lifted up eyes his and he saw and there! a man [was] standing to before him and sword his [was] drawn in hand his and he went Joshua to him and he said to him ¿ for us [are] you or? for foes our.
14 Akajibu, la hasha. Maana mimi ni amiri wa jeshi la Yahweh. Sasa nimekuja. Kisha Yoshua akainamisha uso wake juu ya nchi akaabudu na akamwambia, “Bwana wangu anasema nini kwa mtumwa wake?”
And he said - In-deed I [am] [the] commander of [the] army of Yahweh now I have come and he fell Joshua to face his [the] ground towards and he bowed down and he said to him what? [is] lord my saying servant his.
15 Amiri wa jeshi la Yahweh akamwambia Musa, “Vua viatu vyako miguuni mwako, kwasababu sehemu uliyosimama ni takatifu.” Na Yoshua akafanya hivyo.
And he said [the] commander of [the] army of Yahweh to Joshua take off sandal your from on foot your for the place which you [are] standing on it [is] a holy place it and he did Joshua thus.

< Yoshua 5 >