< Yoshua 22 >

1 Kwa wakati huo, Yoshua aliwaita Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase.
Тогава Исус повика рувимците, гадците и половината от Манасиевото племе та им каза:
2 Aliwaambia, “Mmefanya kila kitu ambacho Musa mtumishi wa Yahweh aliwaagiza ninyi. Mmeitii sauti yangu katika yote niliyowaagiza.
Вие изпълнихте всичко що ви заповяда Господният слуга Моисей; послушахте и моя глас във всичко, що съм ви заповядал.
3 Bado hamjawaacha ndugu zenu hawa kwa siku zote hizi, mpaka siku hii ya leo. Na mmetimiza wajibu unaotakiwa na amri za Yahweh Mungu wenu.
През това дълго време до днес не оставихте братята си, но изпълнихте поръчката, която Господ вашият Бог ви заповяда.
4 Sasa Yahweh Mungu wenu amewapa pumziko ndugu zenu, kama alivyowaahidi. Hivyo basi, rudini na mwende katika hema zenu katika nchi mnayoimiliki, ambayo Musa mtumishi wa Yahweh aliwapeni katika upande mwingine wa Yordani.
И сега Господ вашият Бог успокои братята ви, според както им се бе обещал; за това, върнете се сега та идете по шатрите си в земята, която е притежанието ви, която Господният слуга Моисей ви даде оттатък Иордан.
5 Lakini zingatieni kuzishika amri na sheria ambazo Musa mtumishi wa Yahweh aliwaagiza ninyi, kumpenda Yahweh Mungu wenu, kutembea katika njia zake, kuzitunza amri zake, na kuambatana naye na kumwabudu yeye kwa moyo wenu wote na kwa roho zenu zote.
Но внимавайте добре да изпълнявате заповедите и закона, който Господният слуга Моисей ви заповяда, да любите Господа вашия Бог, да ходите във всичките Му пътища, да пазите заповедите Му, да се прилепяте за Него, и да Му слугувате с цялото си сърце и с цялата си душа.
6 Basi Yoshua akawabariki na kisha akawaacha waende zao, nao wakarudi katika hema zao.
И тъй, Исус ги благослови и ги разпусна; и те си отидоха по шатрите.
7 Na kwa nusu ya kabila la Manase, Musa alikuwa amewapa urithi katika Bashani, lakini kwa nusu ya kabila hilo, Yoshua aliwapa urithi karibu na ndugu zao katika nchi magharibi mwa Yordani. Yoshua aliwaaga waende katika hema zao; aliwabarikia,
(На половината от Манасиевото племе Моисей беше дал наследство във Васан; а на другата му половина Исус даде наследство между братята им оттатък Иордан, на запад), Исус, прочее, когато ги разпускаше по шатрите им, благослови ги
8 na kisha akawaambia, “Rudini katika hema zenu mkiwa na pesa nyingi, na mkiwa na mifugo mingi, pamoja na na fedha, na dhahabu, na shaba na chuma, na nguo nyingi. Gawaneni na ndugu zenu nyara mlizochukua kutoka kwa maadui zenu.
като им говори казвайки: Върнете се с много богатство по шатрите си, с твърде много добитък, със сребро и злато, с мед и желязо, и с твърде много дрехи; и разделете с братята си користите взети от неприятелите ви.
9 Hivyo, wazawa wa Rubeni, wazawa wa Gadi na nusu ya kabila la Manase walirudi nyumbani, waliwaacha watu wa Isaeli hapo Shilo, ambayo imo ndani ya nchi ya Kanaani. Waliondoka wakaenda katika mkoa wa Gileadi, katika nchi yao, ambayo wao wenyewe waliimiliki, katika utiifu wa amri za Yahweh, kwa mkono wa Musa.
И тъй, рувимците, гадците и половината от Манасиевото племе се върнаха и заминаха от израилтяните от Сило, което е в Ханаанската земя, за да отидат в Галаадската земя, в земята, която бе притежанието им, която придобиха според Господното слово чрез Моисея.
10 Nao walipofika hapo Yordani iliyo katika nchi ya Kanaani, Warubeni na Wagadi na nusu ya kabila la Manase walijenga madhabahu karibu na Yordani, madhabahu kubwa na iliyotokeza na mashuhuri.
И когато дойдоха в Иорданската околност, която е в Ханаанската земя, рувимците, гадците и половината от Манасиевото племе издигнаха там олтар при Иордан, олтар забележително голям.
11 Watu wa Israeli walisikia habari hizo na wakaseam, “Tazama! Watu wa Rubeni, Gadi na nusu ya kabila la Manase wamejenga madhabahu mbele ya nchi ya Kanaani, huko Gelilothi, katika mkoa karibu na Yordani, katika upande ambao ni miliki ya watu wa Israeli.”
А израилтяните чуха да се говори: Ето, рувимците, гадците и половината от Манасиевото племе издигнали олтар в преднината на Ханаанската земя, в околността на Иордан, на страната, която принадлежи на израилтяните.
12 Wakati watu wa Israeli waliposikia hivyo, kusanyiko lote la watu wa Israeli walikusanyika kwa pamoja huko Shilo ili wapande kupigana vita nao.
И когато израилтяните чуха това, цялото общество израилтяни се събра в Сило, за да отидат да воюват против тях.
13 Kisha watu wa Israeli walituma wajumbe kwa Warubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase, katika nchi ya Gileadi. Walimtuma pia Finehasi mwana wa Eliezari, kuhani,
И израилтяните пратиха до рувимците, до гадците и до половината от Манасиевото племе, в Галаадската земя, Финееса син на свещеника Елеазара,
14 na viongozi kumi pamoja naye, mmoja kutoka katika familia za mababa wa Israeli, na kila mmoja wao alikuwa ni kiongozi wa ukoo miongoni mwa watu wa Israeli.
и с него десет първенци, по един първенец на бащиния дом за всяко Израилево племе, всеки от които беше глава на бащиния си дом между израилевите хиляди.
15 Walienda kwa watu wa Rubeni, Gadi, na nusu ya kabila la Manase, katika nchi ya Gileadi, na wakawaambia:
И те дойдоха при рувимците, при гадците и при половината от Манасиевото племе в Галаадската земя, та им говориха, казвайки:
16 “Kusanyiko lote la Yahweh linasema kuwa, ' Ni jambo gani hili lisilo la uaminifu ambalo mmelitenda kinyume na Mungu wa Israeli, kwa kugeuka badala ya kumfuata Yahweh siku hii na kujijengea wenyewe madhabahu katika uasi kinyume na Yahweh katika siku hii?
Така говори цялото Господно общество: Какво е това престъпление, което извършихте против Израилевия Бог, та се отвърнахте днес от да следвате Господа, като сте си издигнали олтар, за да отстъпите днес от Господа?
17 Je dhambi zetu huko Peori hazikututosha? Bado hata sasa hatujajitakasa wenyewe kwa dhambi hiyo. Kwa ajili ya dhambi ile lilikuja pigo kwa kusanyiko lote la Yahweh.
Малко ли беше за нас съгрешението относно Фегора, от което и до днес не сме се очистили, макар че, поради него, стана язва в Господното общество,
18 Je, nanyi leo pia mwageuka na kuacha kumfuata Yahweh? Kama mtaasi kinyume na Yahweh leo, kesho atakuwa na hasira na kusanyiko lote la Israeli.
та вие днес искате да се отвърнете от да следвате Господа? Значи, че понеже отстъпвате днес от Господа, то утре Той ще се разгневи против цялото Израилево общество.
19 Na kama nchi ambayo mnaimiliki imetiwa unajisi, basi mwaweza kuvuka katika nchi ambayo Sanduku la Yahweh lasimama na mjichukulie kwa ajili yenu umiliki miongoni mwetu. Hamtakiwi kuasi kinyume na Yahweh tu, wala kuasi kinyume chetu kwa kujenga madhabahu kwa ajili yenu wenyewe badala ya madhabahu ya Yahweh Mungu wa wetu.
Но ако земята, която е притежанието ви, е нечиста, тогава минете в земята, която е Господното притежание, гдето стои Господната скиния, и вземете притежание между нас; само не отстъпвайте от Господа, нито от нас отстъпвайте, като си издигнете олтар освен олтара на Господа нашия Бог.
20 Je hakuwa Akani mwana wa Zera aliyeivunja imani kwa vitu vile ambavyo vilikuwa vimetunzwa kwa ajili ya Mungu? Na je ghadhabu ya Mungu haikushuka kwa watu wote wa Israeli? Mtu yule hakuangamia peke yake kwa uovu wake.
Ахан Зараевият син не извърши ли престъпление относно обречените неща, и гняв падна върху цялото Израилево общество? И този човек не погина сам в бъззаконието си.
21 Kisha makabila ya Rubeni, Gadi na nusu ya kabila la Manase wakawajibu wazee wa koo za Israeli:
Тогава рувимците, гадците и половината от Манасиевото племе в отговор рекоха на Израилевите хилядоначалници:
22 “Yahweh, Mungu Mwenye nguvu! Yahweh, Mungu Mwenye nguvu! Yeye anajua, na Israeli naijue yenyewe! Kama ilikuwa ni katika uasi au katika kuvunja imani kinyume na Yahweh, msituache hai katika siku hii ya leo
Могъщият Бог Иеова, могъщият Бог Иеова, Той знае, и Израил сам ще узнае; ако сме сторили това за отстъпление, или за престъпление против Господа, то не ни избавяй, Господи, днес.
23 kwa ajili ya kujenga madhabahu ili tugeuka na kuacha kumfuata Yahweh. Kama tumejenga madhabahu hii ili kutoa juu yake sadaka ya kuteketezwa, sadaka ya nafaka, au sadaka ya amani, basi Yahweh na atuadhibu.
Ако сме си издигнали олтар, за да се отвърнем от да следваме Господа, или за да принасяме върху него всеизгаряне или, за да принасяме върху него примирителни жертви, то сам Господ нека издири това,
24 La hasha, tulifanya hivyo kwa sababu ya hofu kwamba katika siku zijazo watoto wenu wanaweza kuwaambia watoto wetu, ' Mna nini ninyi na Yahweh, Mungu wa Israeli?
и види дали, напротив, не сторихме това от предпазливост и нарочно, като си думахме: Утре е възможно вашите чада да говорят на нашите чада, казвайки: Каква работа имате вие с Господа Израилевия Бог?
25 Kwa kuwa Yahweh ameifanya Yordani kuwa mpaka kati yetu na ninyi. Ninyi watu wa Rubeni na watu wa Gadi, hamna kitu chochote naYahweh.' Na kwa hali hiyo, watoto wenu wanaweza kuwafanya watoto wetu waacha kumwabudu Yahweh.
Защото Господ е положил Иордан за граница между нас и вас, рувимци и гадци; вие нямате дял в Господа. Така щяха вашите чада да направят нашите чада да престанат да се боят от Господа.
26 Basi tukasema, 'Hebu na tujenge sasa madhabahu, si kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa wala si kwa sadaka yoyote ile,
Затова рекохме: Нека се заемем да си издигнем олтар, не за всеизгаряне, нито за жертва,
27 ila iwe ni ushahidi kati yetu na ninyi, na kati ya kizazi chetu baada yetu, kwamba tutafanya ibada ya Yahweh mbele yake, pamoja na sadaka zetu za kuteketezwa na dhabihu zetu na sadaka zetu za amani, ili kwamba watoto wenu wasiweze kuwaambia watoto wetu katika siku zijazo kuwa, “Hamna sehemu katika Yahweh.”'
но за да бъде свидетелство между нас и вас, и между поколенията ни подир нас, че ние имаме право да вършим пред Господа службата му с всеизгарянията си, с жертвите си и с примирителните си приноси, та да не могат утре вашите чада да кажат на нашите чада: Вие нямате дял в Господа.
28 Hivyo tukasema, 'kama hili litasemwa kwa kwetu au kwa watoto wetu katika siku zijazo, tutasema, “Tazama! Huu ni mfano wa madhabahu ya Yahweh, ambayo mababu zetu waliifanya, si kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, wala si kwa dhabihu, bali kwa ajili ya ushahidi kati yetu ninyi.”
Затова рекохме, ако се случи утре да говорят така нам или на поколенията ни, тогава ще речем: Ето подобието на Господния олтар, който бащите ни издигнаха, не за всеизгаряне, нито за жертва, но за да бъде свидетелство между нас и вас.
29 Na iwe mbali nasi kwamba tunataka kugeuka kinyume na Yahweh, na kuacha kumfuata yeye kwa kujenga madhabahu kwa ajili sadaka ya kuteketezwa, na kwa sadaka ya nafaka, au kwa dhabihu, badala ya madhabahu ya Yahweh Mungu wetu ambayo iko mbele ya hema la kukutania.'”
Не дай, Боже, да отстъпим ние от Господа и да се отвърнем днес от да следваме Господа като издигнем олтар за всеизгаряне, за принос и за жертва, освен олтара на Господа нашия Бог, който е пред скинията Му.
30 Finehasi kuhani na viongozi wa watu, ambao ni wakuu wa koo za Waisraeli ambao walikuwa pamoja naye, waliposikia maneno amabayo watu wa Rubeni, Gadi na nusu ya kabila la Manase, kwamba yalikuwa ni mazuri machoni pao.
А свещеникът Финеес, първенците на обществото и Израилевите хилядници, които бяха с него, като чуха думите, които говориха рувимците, гадците и манасийците, останаха твърде доволни.
31 Finehasi mwana wa Eliazeri kuhani aliwaambia watu wa Rubeni, Gadi na Manase, “Leo tumejua kwambaYahweh yuko miongoni mwetu, kwa kuwa hamjatenda uvunjaji wa imani kinyume naye. Sasa, mmewaokoa watu wa Israeli kutoka katika mkono wa Yahweh.”
И Финеес, син на свещеника Елеазара, каза на рувимците, на гадците и на манасийците: Днес познахме, че Господ е всред нас, защото не извършихме това престъпление против Господа; чрез това избавихме израилтяните от Господната ръка.
32 Kisha Finehasi mwana wa Eliazeri kuhani, na viongozi walirudi kutoka kwa Warubeni na Wagadi, kutoka katika nchi ya Gileadi, na kurudi katika nchi ya Kanaani, kwa watu wa Israeli, na waliwaletea taarifa.
Тогава Финеес, син на свещеника Елеазара и първенците се върнаха от рувимците и от гадците, из Галаадската земя, в Ханаанската земя при израилтяните, и донесоха им известие.
33 Taarifa yao ilikuwa nzuri katika macho ya watu wa Israeli. Watu wa Israeli walimbarikia Mungu na hawakuendelea kusema tena juu ya kuinua vita dhidi ya Warubeni na Wagadi, ili kuiharibu nchi ambayo walikuwa wanaishi.
И това нещо стана угодно на израилтяните; и израилтяните благословиха Бога, и не говореха вече за отиване против тях на бой; за да разорят земята, гдето живееха рувимците и гадците.
34 Warubeni na Wagadi waliita ile madhabahu “Ushahidi,” kwa kuwa walisema, “Ni ushahidi miongoni mwetu kuwa Yahweh ni Mungu.”
И рувимците и гадците наименуваха олтара така: Той е свидетел помежду ни, че Иеова е Бог.

< Yoshua 22 >