< Yoshua 19 >

1 Upigaji wa pili wa kura uliangukia kwa Simoni na waligawiwa kwa kila ukoo wao. Urithi wao ulikuwa katikati ya urithi ulikuwa ni mali ya kabila la Yuda.
A hmulung pabae te Simeon ham neh Simeon ca rhoek, anih koca rhoek ham, amah cako tarhing ah a yueh pah vaengah amih kah rho loh Judah ca rhoek kah rho khui ah kap.
2 Urithi waliokuwa nao ni Beerisheba, Sheba, Molada,
Amih kah rho khuiah Beersheba, Sheba neh Moladah,
3 Hazari Shuali, Bala, Ezemu,
Hazarshual, Balah neh Ezem,
4 Elitoladi, Bethuli na Horma.
Eltolad, Bethul neh Hormah,
5 Simoni alikuwa pia na Ziklagi, Bethi Markabothi, Hazari Susa,
Ziklag, Bethmarkaboth neh Hazarsusah,
6 Bethi Lebaothi, na Sharuheni. Kulikuwa na miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake. Vile vile
Bethlebaoth, Sharuhen khopuei hlai thum neh a vangca rhoek,
7 Simoni alimiliki Aini, Rimon, Etheri, na Ashani. Hii ilikuwa ni miji minne pamoja na vijiji vyake.
Ayin, Rimmon, Ether, Ashan khopuei pali neh a vangca rhoek,
8 Miji hii pamoja na vijiji vilivyoizunguka hata kufika Baalathi Beeri (ambao ndio Rama katika Negevu). Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simoni, waliopewa kwa koo zao.
Khopuei rhoek kaepvai vangca boeih Baaltahbeer tuithim Ramath duela Simeon ca rhoek amih, amah cako tarhing ah amih koca kah rho la om.
9 Urithi wa kabila la Simoni ulikuwa sehemu ya himaya ya kabila la Yuda. Hii ni kwasababu nchi waliyopewa kabila la Yuda ilikuwa ni kubwa kwao, na hivyo kabila la Simoni lilipokea urithi wao kutoka katika sehemu yao ya katikati.
Judah ca rhoek kah khoyo he muep a om dongah Simeon ca rhoek rho he Judah ca rhoek kah khoyo dongah a kap pah. Te dongah amih kah rho khuikah te Simeon koca rhoek loh a pang uh.
10 Upigaji wa kura ya tatu uliangukia kwa kabila la Zabuloni, na walipewa kwa koo zao. Mpaka wa urithi wao ulianzia huko Saridi.
A pathum ah Zebulun ca rhoek ham te amah cako tarhing ah hmulung a naan pah. Amih rho kah khorhi he Sarid duela cet.
11 Mpaka wao ulipanda upande wa magharibi kuelekea Marala na ukaigusa Dabeshethi, na kisha ukasonga kuelekea kijito kilichokuwa mkabala na Yokineamu.
Te dongah amih khorhi he khotlak la luei. Dabbaseth ah Maralah te a doo tih Jokneam dan kah soklong te a doo thil.
12 Kutoka Saridi mpaka ulizunguka upande wa mashariki kuelekea mashariki na ulienda hadi mpaka wa Kislothi Tabori. Kutoka hapo uliendelea hadi Daberathi na kisha ulipanda hata Yafia.
Te phoeiah khothoeng Sarid lamkah khocuk la, Kislothtabor khorhi la mael tih Daberath la a pawk phoeiah Japhia la luei.
13 Kutoka hapo ulipita katika upande wa mashariki mwa Gathi Heferi, na kisha ukafika Ethikazini, baadaye ulienda hadi Rimoni na kisha ukageuka kuelekea Nea.
Te lamkah te khocuk, khothoeng la, Gathhepher la, Ethkazin la kat tih Neah la aka hooi Rimmon la pawk.
14 Mpaka ulizunguka kueleka kaskazini ukafika Hanathoni na ulikomea katika bonde la Ifta Eli.
Hannathon tlangpuei ah khorhi loh a hil tih a hmoi te kolrhawk ah om.
15 Mkoa huu ulijumuisha miji ya Katathi, Nahalali, Shimroni, Idala, na Bethlehemu. Kulikuwa na miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake.
Kattath, Nahalal, Shimron, Idalah, Bethlehem, kho hlai nit neh amih vangca rhoek,
16 Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Zabuloni, waliopewa kwa kufuatana na koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
Te khopuei neh a vangca rhoek he Zebulun koca rhoek neh a hui a ko kah rho la om.
17 Upigaji kura wa nne uliangukia kwa Isakari, na waligawiwa kufuatana na koo zao.
Hmulung a pali te Issakhar ham, Issakhar koca rhoek kah a hui a ko tarhing la a naan.
18 Eneo lao lilijumuisha Jezreelli, Kesuloothi, Shunemu,
Te dongah Jezreel Kesulloth neh Shunem,
19 Hafaraimu, Shioni, na Anaharathi.
Hapharaim, Shion neh Anaharath,
20 Pia ilijumuisha miji ya Rabithi, Kishioni, Ebezi,
Rabibith, Kishion neh Ebez,
21 Remethi, Enganimu, Enihada, na Bethipazezi.
Remeth, Engannim, Enhadah neh Bethpazzez te amih kah khorhi la om.
22 Mpaka wao ulifika Tabor, Shahazuma, na Bethi Shemeshi, na ukakomea katika Yordani. Ilikuwa ni miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.
Te phoeiah khorhi loh Tabor neh Shahazumah, Shahazumah neh Bethshemesh te a doo tih Jordan kah khopuei hlai rhuk neh a vangca rhoek te amih kah rhi hmoi la om.
23 Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Isakari, na walipewa kufuatana na koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
He khopuei vangca rhoek Issakhar ca rhoek, amih koca rhoek neh a hui a ko tarhing kah rho la om.
24 Upigaji wa kura ya tano uliangukia kwa kabila la Asheri, na walipewa kwa koo zao.
Hmulung a panga te Asher ca rhoek, amih koca neh a hui a ko tarhing la a naan pah.
25 Eneo lao lilijumuisha miji ya Helikathi, Hali, Beteni, Akashafu,
Te dongah Helkath, Hali, Beten neh Akshaph,
26 Alameleki, Amadi, na Mshali. Mpaka wa magharibi ulitanuka hadi Karmeli na Shihori Libnathi.
Allammelek, Amad, Mishal neh khotlak Karmel, Shihorlibnath te a doo.
27 Kisha ulizunguka upande wa mashariki kueleka Bethi Dagoni na ukaenda hadi Zabuloni, na kisha ukafika katika bonde la ifutaheli, upande wa kaskazini mwa Bethemeki na Neieli. Baadaye uliendelea mbele hata Kabuli kueleka upande wa Kaskazini.
Te phoeiah khocuk Bethdagon la mael tih Zebulun neh tlangpuei kolrhawk, Bethemek neh Neiel te a doo phoeiah banvoei Kabuul la pawk.
28 Na kisha ulienda hadi Ebroni, Rehobu, Hammoni, na Kana, hata kufika mji mkubwa wa Sidoni.
Ebron neh Rehob, Hammon, Kanah, Sidon puei due,
29 Mpaka ulirudi nyuma kuelekea Rama, na kisha ukafika kwenye mji wa Tiro uliokuwa na ngome. Baada ya hapo mpaka ulizunguka kuelekea Hosa na ulikomea katika bahari, katika mkoa wa Akizibu,
khorhi te Ramah neh khopuei hmuencak Tyre la bal. Te phoeiah Hosah khorhi ah aka mael te cet phai tih Akhzib rhi ah a hmoi te pawk.
30 Umma, Afeki, na Rehobu. Kulikuwa na miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.
Ummah, Aphek, Rehob khopuei pakul panit neh vangca rhoek he amih kah khorhi ana om.
31 Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Asheri, na waliopewa kwa koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
Hekah khopuei rhoek neh vangca rhoek he Asher ca rhoek, amih koca a hui a ko kah rho la om.
32 Upigaji wa kura wa mara ya sita uliangukia kwa kabila la Nafutali, na walipewa kufuatana na koo zao.
Hmulung a parhuk te Naphtali ca rhoek ham neh Naphtali ca rhoek kah a hui a ko tarhing ah a naan pah.
33 Mpaka wao ulianzia Helefu, kutoka katika mwaloni huko Zaananimu, ulipanda hadi Adaminekebu na Yabneeli, umbali kama Lakumu; na ulikomea katka Yordani.
Te dongah amih kah khorhi tah Heleph, Zaanannim thingnu neh Adami, Jabneel lamloh Lakkuum la thoeng tih a hmoi te Jordan om.
34 Mpaka ule ulizunguka upande wa magharibi kuelekea Aznothi Tabori na ulipanda hadi Hukoki; uligusa Zabuloni katika upande wa kusini, na ulifika hata Asheri katika upande wa magharibi, na Yuda katika upande wa mashariki huko katika mto Yordani.
Khorhi he khotlak Aznothtabor lam khaw yong tih Hukkuk la pawk. Te phoeiah tuithim Zebulun te a doo tih khotlak kah Asher neh khocuk Jordan, Judah te a pha.
35 Miji yenye ngome ilikuwa ni Zidimu, Zeri, Hammathi, Rakathi, Kinnerethi,
Te dongah khopuei hmuencak rhoek Ziddim, Zer, Khammath, Rakkath neh Kinnereth,
36 Adama, Rama, Hazori,
Adamah, Ramah neh Hazor,
37 Kedeshi, Edrei, na Eni Hazori.
Kedesh, Edrei, Enhazor,
38 Pia kulikuwa na miji ya Yironi, Migdaleli, Horemu, Bethi Anathi, na Bethi Shemeshi. Kulikuwa na miji kumi na tisa, pamoja na vijiji vyake.
Iron, Migdalel, Horem, Bethanath, Bethshemesh khopuei hlai ko neh amih kah vangca rhoek,
39 Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Nafutali, na walipewa miji pamoja na vijiji vyake kufuatana na koo zao.
tekah khopuei rhoek neh vangca rhoek te Naphtali ca rhoek, amih koca neh a hui a ko kah rho la om.
40 Upigaji wa kura ya saba uliangukia kwa kabila la Dani, na walipewa kufuatana na koo zao.
Dan ca rhoek, amih koca ham a hui a ko tarhing la hmulung a parhih te a naan pah.
41 Eneo lao la urithi lilijumuisha miji ya Zora, Eshitaoli, Iri Shemeshi,
Te vaengah amih kah khorhi rho la Zorah, Eshtaol neh Shemesh khopuei,
42 Shaalabini, Aijaloni, na Ithila.
Shaalabin, Aijalon neh Ithlah,
43 Vile vile lilijumuisha miji ya Eloni, Timna, Ekroni,
Elon, Timnah, Ekron,
44 Eliteke, Gibethoni, Baalathi,
Eltekeh, Gibbethon, Baalath,
45 Yehudi, Bene - Beraki, Gathi Rimoni,
Jehud, Beneberak, Gathrimmon,
46 Me -Yarkoni, na Rakoni sambamba na eneo la karibu na Yopa.
Me Jarkon, Rakkon neh Joppa imdan rhi te a om pah.
47 Ilitokea wakati mpaka wa kabila la Dani ulipowapotea, kabila la Dani waliishambulia Leshemu, wakapigana nao, na wakauteka. Waliua kila mtu kwa upanga, wakauchukua ukawa mali yao, na wakakaa ndani yake. Wakauita mji ule Dani jina la babu yao badala ya Leshemu.
Dan ca rhoek kah khorhi he te lamkah hang khuen coeng dae Dan ca rhoek te cet uh tih Leshem te a tloek thil uh. Anih te a buem uh tih cunghang ha neh a ngawn uh tih a huul uh. A khuiah kho a sak vaengah tah a napa Dan kah ming voel la Leshem Dan la a sui uh.
48 Huu ulikuwa urithi wa kabila la Dani, waliopewa kufuatana na koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
Te khopuei rhoek neh a vangca rhoek te Dan ca rhoek, anih koca neh a hui a ko kah rho la om.
49 Walipomaliza kugawana urithi wa nchi, watu wa Israeli walimpa urithi Yoshua mwana wa Nuni kutoka miongoni mwao.
Khohmuen te a rhilung neh phaeng ham a khah uh vaengah Israel ca rhoek amamih khui kah loh Nun capa Joshua te rho a paek uh.
50 Kwa amri ya Yahweh walimpatia mji wa Timnathi Sera ambao aliuomba, ulikuwa katika nchi ya milima ya Efraimu. Aliujenga mji na akaishi huko.
BOEIPA ol vanbangla a bih khopuei, Ephraim tlang ah Timnathkhehres te anih a paek uh tih a khuiah kho a thong tih kho a sak.
51 Na huu ndio urithi ambao Eliazari kuhani, na Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa makabila ya familia za mababu zao miongoni mwa watu wa Israeli, waligawa kwa kupiga kura huko Shilo, mbele za Yahweh katika mlango wa hema la kukutania. Na hivyo wakamaliza kuigawa nchi.
Tekah rho rhoek te khosoih Eleazar, Nun capa Joshua, Israel ca rhoek kah koca rhoek khuiah a napa rhoek kah a lu aka om rhoek loh Shiloh kah tingtunnah dap thohka BOEIPA mikhmuh ah hmulung la a phaeng uh tih khohmuen a tael te a khah uh.

< Yoshua 19 >