< Yoshua 17 >

1 Na huu ndio mgao wa nchi kwa ajili ya kabila la Manase (aliyekuwa mzaliwa wa kwanza wa Yusufu), ambayo ilikuwa kwa ajili ya Makiri, mzaliwa wa kwanza wa Manase, ambaye alikuwa ni baba wa Gilieadi. Watoto wa Makiri walipewa nchi ya Gileadi na Bashani, kwasababu Makiri alikuwa ni mtu wa vita.
Joseph caming Manasseh koca ham hmulung a naan vaengah Gilead napa Manasseh kah caming Makir tah caemtloek hlang la a om dongah anih ham tah Gilead neh Bashan a om pah.
2 Nchi iliyobaki iligawiwa kwa kabila la Manase, walipewa kwa koo zao, ambazo ni Abi Ezeri, Heleki, Asrieli, Shekemu, Heferi, na Shemida. Hawa walikuwa ni watoto wa kiume wa Manase mwana wa Yusufu, waliwakilishwa na koo zao.
Manasseh ca rhoek neh amih cako khuiah aka mueh pueng Abiezer koca rhoek ham neh Helek koca rhoek ham khaw, Asriel koca rhoek ham neh Shekhem koca rhoek ham khaw, Hepher koca rhoek ham neh Shemida koca rhoek ham khaw a om pah. He rhoek he Joseph capa Manasseh koca khuikah amah tongpa cako rhoek ni.
3 Basi Zelofehadi mwana wa Heferi mwana wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase hakuwa na watoto wa kiume, bali alikuwa na watoto wa kike tu. Na majina ya binti zake yalikuwa Mahila, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.
Tedae Manasseh koca, Makir capa Gilead kah a ca Hepher capa Zelophehad tah ca tongpa om pawt tih huta rhoek bueng ni aka om. Te dongah anih canu rhoek ka a ming tah Mahlah, Noah, Hoglah, Milkah neh Tirzah ni.
4 Walimwendea Eliazeri kuhani, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi na wakasema, “Yahweh alimwagiza Musa atupatie urithi wetu pamoja na kaka zetu.” Hivyo, kwa kuzingatia agizo la Yahweh, aliwapa wanawake hao urithi miongoni mwa ndugu za baba yao.
Te vaengah amih te khosoih Eleazar hmai neh Nun capa Joshua hmai ah khaw, khoboei rhoek hmai ah khaw moe uh tih, “Ka nganpa rhoek lakli ah kaimih he rho phaeng ham BOEIPA loh Moses a uen te ta,” a ti uh. Te dongah BOEIPA kah olpaek vanbangla a napa rhoek kah paca boeina taengah amih te rho a paek.
5 Manase alipewa sehemu kumi za nchi katika Gileadi na Bashani, ambayo iko upande mwingine wa Yordani,
Te dongah Gilead kho neh Jordan rhalvangan ah Bashan phoeiah tah Manasseh kah khoyo parha te a koep thil uh.
6 kwasababu ya binti za Manase walipokea urithi pamona na watoto wake wa kiume. Nchi ya Gileadi iligawanywa kwa kabila la Manase lililosalia.
Manasseh nu rhoek he a nganpa lakli ah rho a dang uh phoeiah Manasseh ca rhoek taengkah aka coih Gilead kho te khaw a bawn thil.
7 Eneo la Manase lilianzia Asheri hadi Mikimethathi, ambayo iko mashariki mwa Shekemu. Kisha mpaka ulienda upande wa kusini kwa wale walioishi karibu na chemichemi ya Tapua.
Te dongah Manasseh khorhi he Asher Mikmthath lamloh Shekhem hmai la cet tih Entappuah khosa rhoek taengkah bantang rhi la yong.
8 ( Nchi ya Tapua ilikuwa ni miliki ya Manase, lakini mji wa Tapua katika mpaka wa Manase ilikuwa ni mali ya kabila la Efraimu.)
Tapuah kho he Manasseh ham om coeng dae Manasseh khorhi kah Tapuah te tah Ephraim koca rhoek hamla om bal.
9 Kisha mpaka ulishuka kuelekea kijito cha Kana. Miji hii kusini mwa kijito miongoni mwa miji ya Manase ilikuwa ni mali ya Efraimu. Mpaka wa Manase ulikuwa upande wa kaskazini wa kijito, na ulikomea katika
Te phoeiah khorhi te tuithim kah Kanah soklong la suntla. Soklong kah khopuei rhoek he Manasseh khopuei lakli ah om dae Ephraim hut la om. Tedae soklong tlangpuei kah Manasseh khorhi tah tuipuei ah ni a hmoi a om pueng.
10 bahari. Na nchi iliyokuwa upande wa kusini ilikuwa ni ya Efraimu, na nchi iliyo upande wa Kasikazini ilikuwa ni ya Manase; bahari ilikuwa ndoi mpaka. Kwa upande wa kaskazini ulifika hata Asheri, na upande wa mashariki, Isakari.
Te dongah Ephraim ham he tuithim ah, Manasseh ham te tlangpuei ah om tih tuipuei rhi te a pha. Tedae tlangpuei ah Asher neh, khocuk ah Issakhar neh doo uh thae.
11 Pia katika Isakari na katika Asheri, Manase alimiliki Bethi Shani na vijiji vyake, Ibleamu na vijiji vyake, wenyeji wa Dori na vijiji vyake, wenyeji wa Endori na vijiji vyake, wenyeji wa Taanaki na vijiji vyake, na wenyeji wa Megido na vijiji vyake (na mji wa tatu ni Nafethi).
Te dongah Issakhar, Asher Bethshan khuikah neh a khobuel rhoek, Ibleam neh a khobuel rhoek khaw, Dore kah aka om rhoek neh a khobuel rhoek khaw, Endor kah aka om rhoek neh a khobuel rhoek khaw, Taanakh kah khosa rhoek neh a khobuel rhoek khaw, Megiddo kah a pathum khopuei la aka om rhoek neh a khopuei rhoek khaw Manasseh hut la om.
12 Lakini kabila la Manase halikuweza kuimiliki miji hiyo, kwa kuwa Wakanaani waliendelea kuishi katika nchi hii.
Tedae he khopuei rhoek he huul hamla Manasseh ca rhoek loh coeng uh thai pawh. Te dongah te rhoek paengpang ah khosak ham Kanaani loh a na.
13 Hata wakati watu wa Israeli walipopata nguvu zaidi, hawakuwafukuzia mbali kabisa Wakanaani, bali waliwafanya kuwa watumwa.
Israel ca rhoek kah a noeng la a om dongah Kanaani te saldong la a paek sak akhaw a haek rhoe a haek moenih.
14 Kisha wazawa wa Yusufu wakamwambia Yoshua, wakisema, “Kwanini umetupa mgao mmoja wa nchi na sehemu moja kwa ajili ya urithi, kwa kuwa tuko wengi, na kwa muda wote Yahweh umetubaliriki?
Te vaengah Joseph koca rhoek loh Joshua te a voek uh tih, “Balae tih hmulung pakhat neh khoyo pakhat bueng he kai taengah rho la nan paek. BOEIPA loh kai yoethen m'paek dongah tahae duela pilnam loh ka ping uh pueng ta,” a ti nah.
15 Yoshua akawaambia, “Kama ninyi ni watu wengi katika hesabu, pandeni ninyi wenyewe katika msitu na kuisafisha nchi kwa ajili yenu wenyewe katika nchi ya Waperizi na ya Refaimu. Fanyeni hivi kwa kuwa nchi ya milima ya Efraimu ni ndogo kwenu.”
Te dongah amih te Joshua loh, “Pilnam na ping oeh atah namah te duup la cet. Ephraim tlang te nang ham a caek oeh atah Perizzi neh Rapha kho te namah ham pahoi hum thil,” a ti nah.
16 Wazawa wa Yusufu wakasema, “Nchi ya milima haitutoshi. Lakini Wakanaani wote wanaoishi katika bonde wana magari ya chuma, wote walio katikaBethi Shani na vijiji vyake, na wale walio katika bonde la Yezreeli.”
Joseph koca rhoek loh, “Tlang he kaimih ka cung uh moenih. Kol hmuen ah kho aka sa Kanaan boeih taengah thi leng khaw om tih Bethshan neh khobuel boeih ah khaw amih ham, Jezreel kol ah khaw amih ham coeng ni,” a ti uh.
17 Kisha Yoshua akawaambi nyumba ya Yusufu, ambao ni Efraimu na Manase, “Ninyi ni watu mlio wengi katika hesabu, na mna nguvu kubwa. Hamtakiwi kuwa na sehemu moja ya nchi mliogawiwa.
Tedae Joshua loh Joseph imko Ephraim neh Manasseh taengah, “Pilnam khaw na ping uh tih na thadueng khaw a yet dongah nangmih ham hmulung pakhat bueng om boel saeh.
18 Nchi ya milima itakuwa yenu pia. Ingawa ni msitu, mtaufyeka na kuimiliki hata mipaka yake ya mbali. Mtawafukuzia mbali Wakanaani, ingawa wanayo magari ya chuma na ingawa pia wanazo nguvu.”
Nang ham tlang pakhat bueng om cakhaw duup khaw na hum vetih hmangrhong hmanglae loh nang ham ha om bitni. Kanaan rhoek te thi leng neh amah ham tlungluen ngawn cakhaw na haek bal bitni,” a ti nah.

< Yoshua 17 >