< Yona 3 >

1 Neno la Bwana likamjia Yona mara ya pili, akisema,
Un Tā Kunga vārds notika otru reizi uz Jonu sacīdams:
2 “Ondoka, uende Ninawi, mji ule mkubwa, na uhubiri ujumbe ule ambao nitakuagiza.”
Celies, ej uz Ninivi, to lielo pilsētu, un sludini pret viņu to sludināšanu, ko Es tev sacīšu.
3 Basi Yona akaondoka akaenda Niniawi kwa kutii neno la Bwana. Sasa Ninawi ilikuwa mji mkubwa sana, ilikuwa safari ya siku tatu.
Tad Jona cēlās un gāja uz Ninivi pēc Tā Kunga vārda. Bet Ninive bija liela Dieva pilsēta treju dienu gājumu.
4 Yona akaanza kuingia ndani ya mji, na baada ya safari ya siku, akapaza sauti, akasema, “Katika siku arobaini Ninawi itaangamizwa.”
Un Jona sāka pilsētā iet vienas dienas gājumu un sludināja un sacīja: vēl četrdesmit dienas, tad Ninive taps apgāzta.
5 Watu wa Ninawi walimwamini Mungu na wakatangaza kufunga. Wote hwakavaa nguo za magunia, kutoka aliyemkubwa hata mdogo.
Tad Ninives ļaudis ticēja uz Dievu un izsauca gavēni un apģērbās ar maisiem, gan lieli, gan mazi.
6 Mapema habari zilimfikia mfalme wa Ninawi. Akasimama kutoka kiti chake cha enzi, akavua vazi lake, akajivika magunia, akaketi katika majivu.
Un kad tas vārds Ninives ķēniņa priekšā nāca, tad viņš cēlās no sava goda krēsla un nolika savas ķēniņa drēbes no sevis un apvilka maisu un apsēdās pelnos.
7 Alitoa tangazo ambalo lilsemalo, “katika mji wa Ninawi, kwa mamlaka ya mfalme na wakuu wake, msiruhusu mtu wala mnyama, ng'ombe wala kundi, asionje kitu chochote. Wao wasile wala kunywe maji.
Un viņš lika izsaukt un sludināt Ninivē ķēniņa un viņa lielkungu pavēli: lai ne cilvēks, ne lops, ne vērsis, ne avs nekā nebauda, lai neiet ganos un nedzer ūdeni.
8 Lakini watu na wanyama wawe wamefunikwa kwa magunia na walie kwa sauti kubwa kwa Mungu. Kila mtu ageuke na kuacha njia yake mbaya na kutoka katika udhalimu uliyopo mikononi mwake.
Bet cilvēki un lopi lai sedzās ar maisiem un Dievu gauži piesauc, un lai tie atgriežas ikviens no sava ļaunā ceļa un no tā varas darba, kas viņu rokās.
9 Nani anajua? Mungu anaweza kurejea na kubadili mawazo yake na kuacha ghadhabu yake kali ili tusiangamie.”
Varbūt ka Dievs atgriezīsies, un Viņam būs žēl un atkāpsies no Savas dusmības karstuma, ka mēs neejam bojā.
10 Mungu akaona yale waliyoyafanya, wakaziacha njia zao mbaya. Kwa hiyo Mungu alibadili mawazo yake juu ya adhabu aliyowaambia angewafanyia, nae hakufanya hivyo.
Un Dievs redzēja viņu darbus, ka tie atgriezās no sava niknā ceļa, un Dievam palika žēl viss tas ļaunums, ko Viņš bija runājis, tiem darīt, un to nedarīja.

< Yona 3 >