< Yohana 21 >

1 Baada ya mambo hayo Yesu alijidhihirisha tena kwa wanafunzi katika Bahari ya Tiberia; hivi ndivyo alivyojidhihirisha mwenyewe:
Подир това Исус пак се яви на учениците на Тивериадското езеро; и ето как им се яви:
2 Simon Petro alikuwa pamoja na Thomaso aitwaye Didimas, Nathanaeli wa kana ya Galilaya, wana wa Zebedayo na wanafunzi wengine wawili wa Yesu.
там бяха заедно Симон Петър, Тома наречен Близнак, Натанаил от Кана галилейска, Заведеевите синове, и други двама от учениците Му.
3 Simon Petro akawaambia, “Mimi naenda kuvua samaki.” Nao wakamwambia, “Sisi, pia tutaenda nawe.” Wakaenda wakaingia kwenye mashua, lakini usiku huo wote hawakupata chochote.
Симон Петър им казва: Отивам да ловя риба. Казват му: Ще дойдем и ние с тебе. Излязоха и се качиха на ладията; и през оная нощ не уловиха нищо.
4 Na asubuhi kulipokucha, Yesu alisimama ufukweni, nao wanafunzi hawakutambua kuwa alikuwa Yesu.
А като се разсъмваше вече Исус застана на брега; учениците, обаче, не познаха, че е Исус.
5 Kisha Yesu akawambia, “Vijana, mna chochote cha kula?” Nao wakamjibu, “Hapana.”
Исус им казва: Момчета, имате ли нещо за ядене? Отговориха Му: Нямаме.
6 Akawambia, “Shusheni wavu upande wa kuume wa mashua, nanyi mtapata kiasi.” Kwa hiyo wakashusha wavu nao hawakuweza kulivuta tena kwa sababu ya wingi wa cha samaki.
А Той им рече: Хвърлете мрежата отдясно на ладията и ще намерите. Те, прочее, хвърлиха; и вече не можаха да я извлекат поради многото риби.
7 Basi yule mwanafunzi ambaye Yesu alimpenda akamwambia Petro, “Ni Bwana.” Naye Simon Petro aliposikia kuwa ni Bwana, akajifunga vazi lake (maana hakuwa amelivaa vizuri), kisha akajitupa baharini.
Тогава оня ученик, когото обичаше Исус, казва на Петра: Господ е. А Симон Петър, като чу, че бил Господ, препаса си връхната дреха (защото беше гол) и се хвърли в езерото.
8 Wale wanafunzi wengine wakaja kwenye mashua (kwani hawakuwa mbali na pwani, yapata mita mia moja kutoka ufukweni), nao walikuwa wakivuta zile nyavu zilizokuwa zimejaa samaki.
А другите ученици дойдоха в ладията, (защото не бяха далеч от сушата, на около двеста лакти), и влачеха мрежата с рибата.
9 Walipofika ufukweni, waliona moto wa mkaa pale na juu yake kulikuwa na samaki pamoja na mkate.
И като излязоха на сушата, видяха жарава положена, и риба турена на нея и хляб.
10 Yesu akawambia, “Leteni baadhi ya samaki mliovua sasa hivi.”
Ису эяяя
11 Basi Simon Petro akapanda na kuukokota ule wavu uliokuwa umejaa samaki wakubwa, kiasi cha samaki 153; japo walikuwa wengi, ule wavu haukuchanika.
Затова Симон Петър се качи на ладията та извлече мрежата на сушата, пълна с едри риби на брой сто и петдесет и три; и при все, че бяха толкова, мрежата не се съдра.
12 Yesu akawaambia, “Njoni mpate kifungua kinywa.” Hakuna hata mmoja wa wanfunzi aliyethubutu kumwuliza, “Wewe ni nani?” Walijua kuwa alikuwa ni Bwana.
Исус им казва: Дойдете да закусите. (И никой от учениците не смееше да го попита: Ти Кой си? понеже знаеха че е Господ).
13 Yesu akaja, akachukua ule mkate, kisha akawapa, akafanya vivyo hivyo na kwa wale samaki.
Дохожда Исус, взема хляба, и им дава, също и рибата.
14 Hii ilikuwa mara ya tatu kwa Yesu kujidhihirisha kwa wanafunzi wake baada ya kufufuka toka wafu.
Това беше вече трети път как Исус се яви на учениците след като възкръсна от мъртвите.
15 Baada ya kuwa wamefungua kinywa, Yesu akamwambia Simon Petro, “Simon mwana wa Yohana je, wanipenda mimi kuliko hawa?” Petro akajibu, “Ndiyo, Bwana; “Wewe wajua kuwa mimi nakupenda.” Yesu akamwambia, “Lisha wanakondoo wangu.”
А като позакусиха, Исус казва на Симона Петра: Симоне Ионов, любиш ли Ме повече отколкото Ме любят тия? Казва Му: Да, Господи, Ти знаеш, че Те обичам. Той му казва: Паси агънцата Ми.
16 Akamwambia mara ya pili, “Simon mwana wa Yona, je, wanipenda?” Petro akamwambia, “Ndiyo, Bwana; wewe wajua kuwa nakupenda. “Yesu akamwambia, “Chunga kondoo wangu.”
Пак му каза втори път: Симоне Ионов, любиш ли Ме? Казва Му: Да, Господи, Ти знаеш, че Те обичам. Той му казва: Паси овцете Ми.
17 Akamwambia tena mara ya tatu, “Simon, mwana wa Yohana, Je wanipenda?” Naye Petro alihuzunika kwa vile alivyomwambia mara ya tatu, “Je Wewe wanipenda?” Naye akamwambia, “Bwana, unajua yote; unajua kuwa nakupenda.” Yesu akamwambia, Lisha kondoo wangu.
Казва му трети път: Симоне Ионов, Обичаш ли Ме? Петър се наскърби за гдето трети път му рече: Обичаш ли Ме? и Му рече: Господи, Ти всичко знаеш, Ти знаеш, че Те обичам. Исус му казва: Паси овцете Ми.
18 Amini, amini, nakuambia, ulipokuwa kijana ulizoea kuvaa nguo mwenyewe na kwenda kokote ulikotaka; lakini utakapokuwa mzee, utanyosha mikono yako, na mwingine atakuvalisha nguo na kukupeleka usikotaka kwenda.”
Истина, истина ти казвам, когато беше по-млад, ти сам се опасваше и ходеше където си щеше; но когато остарееш ще простреш ръцете си, и друг ще те опасва, и ще те води където не щеш.
19 Yesu alisema haya ili kuonesha ni aina gani ya kifo ambacho Petro angemtukuza Mungu. Baada ya kuwa amesema haya, akamwambia Petro, “Nifuate.”
А това рече като означаваше с каква смърт Петър щеше да прослави Бога. И като рече това казва му: Върви след Мене.
20 Petro aligeuka na kumwona yule mwanafunzi ambaye Yesu alimpenda akawafuata- Huyu ndiye aliyekuwa amajiegemeza kwenye kifua cha Yesu wakati wa chakula cha jioni na kumwuliza, “Bwana, ni nani atakayekusaliti?”
Петър обръщайки се вижда, че иде подире му ученикът, когото обичаше Исус, този, който на вечерята се обърна на гърдите Му и каза: Господи, кой е този, който ще те предаде?
21 Petro alimwona na kisha akamwuliza Yesu, “Bwana, Huyu mtu atafanya nini?”
Него, прочее, като видя, Петър казва на Исуса, Господи, а на този какво ще стане?
22 Yesu akamjibu, “Kama nataka abaki mpaka nitakapokuja, hilo linakuhusu nini?” Nifuate.”
Исус му казва: Ако искам да остане той докле дойда, тебе що ти е? Ти върви след Мене.
23 Kwa hiyo habari hii ikaenea miongoni mwa wale ndugu, kwamba mwanafunzi huyo hatakufa. Lakini Yesu hakumwambia Petro kuwa, mwanafunzi huyo hafi, “Kama nataka yeye abaki mpaka nitakapokuja yakuhusu nini?”
И така, разнесе се между братята тази дума, че този ученик нямаше да умре. Исус, обаче, не му рече, че няма да умре, но: Ако искам да остане той докле дойда, тебе що ти е?
24 Huyu ndiye mwanafunzi atoaye ushuhuda wa mambo haya, na ndiye aliye andika mambo haya, na tunajua ya kuwa ushuhuda wake ni kweli.
Този е ученикът, който свидетелствува за тия неща, който и написа тия неща; и знаем, че неговото свидетелство е истинно.
25 Kuna mambo mengine mengi ambayo Yesu aliyafanya. Kama kila moja lingeandikwa, nadhani kwamba ulimwengu wenyewe usingetosha kuviweka vitabu ambavyo vingeandikwa.
Има още и много други дела, които извърши Исус; но ако се напишеха едно по едно, струва ми се, че цял свят не щеше да побере написаните книги. [Амин].

< Yohana 21 >