< Yohana 11 >

1 Basi mtu mmoja jina lake Lazaro alikuwa mgonjwa. Alitokea Bethania, kijiji cha Mariamu na dada yake Martha.
Един човек на име Лазар, от Витания, от селото на Мария и на сестра - Марта, беше болен.
2 Alikuwa ni Mariamu yule yule aliyempaka Bwana Marhamu na kumfuta miguu yake kwa nywele zake, ambaye ndugu yake Lazaro alikuwa ni mgonjwa.
(А Мария, чийто брат Лазар беше болен, бе оная, която помаза Господа с миро и отри нозете Му с косата си).
3 Ndipo dada hawa walituma ujumbe kwa Yesu na kusema, “Bwana, angalia yule umpendaye anaumwa.”
И тъй, сестрите пратиха до Него да Му кажат: Господи, ето този, когото обичаш, е болен.
4 Yesu aliposikia alisema, “Ugonjwa huu si wa mauti, lakini, badala yake ni kwa ajili ya utukufu wa Mungu ili kwamba Mwana wa Mungu apate kutukuzwa katika huo Ugonjwa.”
А Исус, като чу това, рече: Тази болест не е смъртоносна, но е за Божията слава, за да се прослави Божият Син чрез нея.
5 Yesu alimpenda Martha na dada yake na Lazaro.
А Исус обичаше Марта, и сестра й, и Лазара.
6 Aliposikia kuwa Lazaro ni mgonjwa, Yesu alikaa siku mbili zaidi mahali alipokuwa.
Тогава откак чу, че бил болен, престоя два дни на мястото, гдето се намираше.
7 Ndipo baada ya hili aliwaambia wanafunzi wake, “Twendeni Uyahudi tena.”
А подир това, казва на учениците: Да отидем пак в Юдея.
8 Wanafunzi wakamwambia, “Rabi, Wayahudi walikuwa wakijaribu kukuponda mawe, na wewe unataka kurudi huko tena?”
Казват Му учениците: Учителю, сега юдеите искаха да те убият с камъни, и пак ли там отиваш?
9 Yesu akawajibu, “Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu anapotembea mchana hawezi kujikwaa, kwa sababu anaona kwa nuru ya mchana.
Исус отговори: Нали има дванадесет часа в деня? Ако ходи някой денем, не се препъва, защото вижда виделината на този свят.
10 Hata hivyo, ikiwa atatembea usiku, atajikwaa kwa sababu nuru haiko ndani yake.”
Но ако ходи някой нощем, препъва се, защото не е осветлен.
11 Yesu akasema mambo haya, na baada ya mambo haya, akawaambia, “Rafiki yetu Lazaro amelala, lakini ninakwenda ili kwamba nipate kumuamsha kutoka usingizini.”
Това изговори, и подир туй им каза: Нашият приятел Лазар заспа; но Аз отивам да го събудя.
12 Ndipo wanafunzi wakamwambia, “Bwana, kama amelala, ataamka.
Затова учениците Му рекоха: Господи, ако е заспал, ще оздравее.
13 Wakati huu Yesu alikuwa akizungumza habari za kifo cha Lazaro, lakini wao walidhani anazungumza juu ya kulala usingizi.
Но Исус бе говорил за смъртта му; а те мислеха, че говори за почиване в сън.
14 Ndipo Yesu akazungumza nao wazi wazi, “Lazaro amekufa.
Тогава Исус им рече ясно: Лазар умря.
15 Nina furaha kwa ajili yenu, kwamba sikuwepo kule ili kwamba mpate kuamini. Twendeni kwake.”
И заради вас, радвам се, че не бях там, за да повярвате; обаче, нека да отидем при него.
16 Basi Tomaso, aliyeitwa Pacha, aliwaambia wanafunzi wenzake, “Nasi twendeni pia tukafe pamoja na Yesu.”
Тогава Тома, наречен близнак, каза на съучениците: Да отидем и ние, за да умрем с Него.
17 Wakati Yesu alipokuja, alikuta kwamba Lazaro tayari amekwishakuwa kaburini siku nne.
И тъй, като дойде Исус, намери, че Лазар бил от четири дни в гроба.
18 Nayo Bethania ilikuwa karibu na Yerusalemu kama kilomita arobaini na tano hivi.
А Витания беше близо до Ерусалим, колкото петнадесет стадии;
19 Wengi kati ya Wayahudi wakaja kwa Martha na Mariamu kuwafariji kwa ajili ya ndugu yao.
и мнозина от юдеите бяха при Марта и Мария да ги утешават за брата им.
20 Ndipo Martha aliposikia kuwa Yesu anakuja, alienda kukutana naye, lakini Mariamu aliendelea kukaa nyumbani.
Марта, прочее, като чу, че идел Исус, отиде да Го посрещне; а Мария още седеше в къщи.
21 Ndipo Martha akamwambia Yesu, “Bwana, kama ungelikuwa hapa, kaka yangu asingelikufa.
Тогава Марта рече на Исуса: Господи, да беше Ти тука, не щеше да умре брат ми.
22 Hata sasa, najua ya kuwa lolote utakaloomba kutoka kwa Mungu, atakupatia.”
Но и сега зная, че каквото и да поискаш от Бога, Богще Ти даде.
23 Yesu akamwambia, kaka yako atafufuka tena.”
Казва - Исус: Брат ти ще възкръсне.
24 Martha akamwambia, najua kwamba atafufuka katika ufufuo siku ya mwisho.”
Казва Му Марта: Зная, че ще възкръсне с възкресението на последния ден.
25 Yesu akamwambia, “Mimi ni ufufuo na uzima; yeye aniaminiye, ingawa atakufa, hata hivyo atakuwa anaishi;
Исус - рече: Аз съм възкресението и живота; който вярва в Мене, ако и да умре, ще живее;
26 na yeye aishiye na kuniamini mimi hatakufa. Unaamini hili?” (aiōn g165)
и никой, който е жив и вярва в Мене, няма да умре до века. Вярваш ли това? (aiōn g165)
27 Akamwambia, “Ndiyo, Bwana naamini kwamba wewe ni Kristo, Mwana wa Mungu, yeye ajaye katika ulimwengu.”
Казва му: Да Господи, вярвам, че Ти си Христос, Божият Син, Който има да дойде на света.
28 Alipokwisha kusema hili, alienda zake na kumwita dada yake Mariamu faraghani. Akasema, “Mwalimu yuko hapa na anakuita.”
И като рече това, отиде да повика скришом сестра си Мария, казвайки: Учителят е дошъл и те вика.
29 Mariamu aliposikia haya, aliinuka kwa haraka na kwenda kwa Yesu.
И тя, щом чу това, стана бързо и отиде при Него.
30 Naye Yesu alikuwa hajaja bado ndani ya kijiji, bali alikuwa bado mahali alipokutana na Martha.
Исус още не беше дошъл в селото, а беше на мястото, гдето Го посрещна Марта.
31 Ndipo Wayahudi waliokuwa na Mariamu katika nyumba na wale waliokuwa wakimfariji, walipomuona akiinuka haraka na kutoka nje, walimfuata; walidhani kuwa anaenda kaburini ili akalie huko.
А юдеите, които бяха с нея в къщи и я утешаваха, като видяха, че Мария стана бързо и излезе, отидоха подире й, като мислеха че отива на гроба да плаче там.
32 Ndipo Mariamu, alipofika pale Yesu alipokuwa alimuona na, alianguka chini ya miguu yake na kumwambia, “Bwana, kama ungelikuwa hapa, ndugu yangu asingelikufa.”
И тъй, Мария, като дойде там гдето беше Исус и Го видя, падна пред нозете Му и рече Му: Господи, да беше Ти тука, нямаше да умре брат ми.
33 Yesu alipomuona analia, na Wayahudi waliokuja pamoja naye walikuwa wakilia pia, aliomboleza katika roho na kufadhaika;
Исус, като я видя, че плаче, и юдеите, които я придружаваха, че плачат, разтъжи се в духа си и се смути.
34 akasema, “Mmemlaza wapi? wakamwambia, Bwana, njoo utazame.”
И рече: Где го положихте? Казват Му: Господи, дойди и виж.
35 Yesu akalia.
Исус се просълзи.
36 Ndipo Wayahudi wakasema, “Angalia alivyompenda Lazaro!”
Затова юдеите думаха: Виж колко го е обичал!
37 Lakini wengine kati yao wakasema, “Siyo huyu, mtu aliyeyafumbua macho ya yule aliyekuwa kipofu, hakuweza kumfanya huyu mtu asife?”
А някои от тях рекоха: Не можеше ли Този, Който отвори очите на слепеца, да направи така, че и този да не умре?
38 Ndipo Yesu, hali akiomboleza nafsini mwake tena, alienda kwenye kaburi. Sasa lilikuwa pango, na jiwe limewekwa juu yake.
Исус, прочее, като тъжеше пак в Себе Си, дохожда на гроба. Беше пещера, и на нея бе привален камък.
39 Yesu akasema, “Liondoweni jiwe.” Martha, dada yake na Lazaro, yeye aliyekufa, akamwambia Yesu, “Bwana, kwa muda huu, mwili utakuwa umeoza, kwa sababu amekwishakuwa maiti kwa siku nne.”
Казва Исус: Отместете камъка. Марта, сестрата на умрелия, Му казва: Господи, смърди вече, защото е от четири дни в гроба.
40 Yesu akamwambia, “Mimi sikukuwaambia ya kwamba, kama ukiamini, utauona utukufu wa Mungu?”
Казва - Исус: Не рекох ли ти, че ако повярваш ще видиш и Божията слава?
41 Kwa hiyo wakaliondoa jiwe. Yesu akainua macho yake juu na kusema, “Baba, nakushukuru kwa kuwa unanisikiliza.
И тъй, отместиха камъка. А Исус подигна очи нагоре и рече: Отче, благодаря Ти, че Ме послуша.
42 Nilijua kwamba unanisikia mara zote, lakini ni kwa sababu ya kusanyiko ambalo limesimama kunizunguka kwamba nimesema haya, ili kwamba wapate kuamini kuwa wewe umenituma.”
Аз знаех, че Ти винаги Ме слушаш; но това казах заради народа, който стои наоколо, за да повярват, че Ти си Ме пратил.
43 Baada ya kusema haya, alilia kwa sauti kubwa, “Lazaro, toka nje!”
Като каза това, извика със силен глас: Лазаре, излез вън!
44 Mfu alitoka nje amefungwa mikono na miguu kwa sanda za kuzikia, na uso wake ulifungwa na kitambaa.” Yesu akawaambia, “Mfungueni mkamwache aende.”
Умрелият излезе, с ръце и нозе повити в саван, и лицето му забрадено с кърпа. Исус им каза: Разповийте го и оставете го да си иде.
45 Ndipo Wayahudi wengi waliokuja kwa Mariamu na kuona Yesu alichofanya, walimwamini;
Тогава мнозина от юдеите, които бяха дошли при Мария и видяха това що стори Исус, повярваха в Него.
46 lakini baadhi yao walienda kwa Mafarisayo na kuwaambia mambo aliyoyafanya Yesu.
А някои от тях отидоха при фарисеите и казаха им какво бе извършил Исус.
47 Ndipo wakuu wa Makuhani na Mafarisayo wakakusanyika pamoja katika baraza na kusema, “Tutafanya nini? Mtu huyu anafanya ishara nyingi.
Затова главните свещеници и фарисеите събраха съвет и казаха: Какво правим ние? Защото Този човек върши много знамения.
48 Ikiwa tutamwacha hivi peke yake, wote watamwamini; Warumi watakuja na kuchukua vyote mahali petu na taifa letu.”
Ако Го оставим така, всички ще повярват в Него; и римляните като дойдат ще отнемат и страната ни и народа ни.
49 Hata hivyo, mtu mmoja kati yao, Kayafa, aliyekuwa kuhani Mkuu mwaka huo, akawaambia, “Hamjui chochote kabisa.
А един от тях на име Каиафа, който беше първосвещеник през тая година, им рече: Вие нищо не знаете,
50 Hamfikirii kwamba yafaa kwa ajili yenu kwamba mtu mmoja yapasa kufa kwa ajili ya watu kuliko taifa lote kuangamia.”
нито вземате в съображение, че за вас е по-добре един човек да умре за людете, а не да загине целият народ.
51 Haya hakuyasema kwa sababu yake mwenyewe, badala yake, kwa kuwa alikuwa kuhani mkuu mwaka ule, alitabiri kwamba Yesu atakufa kwa ajili ya taifa;
Това не каза от себе си, но бидейки първосвещеник през оная година, предсказа, че Исус ще умре за народа,
52 na si kwa taifa peke yake, bali Yesu apate vile vile kuwakusanya watoto wa Mungu ambao wametawanyika sehemu mbali mbali.
и не само за народа, но и за да събере в едно разпръснатите Божии чада.
53 Kwa hiyo kuanzia siku hiyo na kuendelea wakapanga namna ya kumwua Yesu.
И тъй, от онзи ден те се съветваха да Го умъртвят.
54 Yesu hakutembea tena wazi wazi kati ya Wayahudi, bali aliondoka hapo na kwenda nchi iliyo karibu na jangwa katika mji uitwao Efraimu. Hapo alikaa na wanafunzi.
Затова Исус вече не ходеше явно между юдеите, но оттам отиде в страната близо до пустинята, в един град наречен Ефраим, и там остана с учениците.
55 Basi Pasaka ya Wayahudi ilikuwa karibu, na wengi wakapanda kwenda Yerusalemu nje ya mji kabla ya Pasaka ili wapate kujitakasa wenyewe.
А наближаваше юдейската пасха; и мнозина от провинцията отидоха в Ерусалим преди пасхата, за да се очистят.
56 Walikuwa wakimtafuta Yesu, na kuzungumza kila mmoja walipokuwa wamesimama hekaluni, “Mnafikiri nini? Kwamba hatakuja katika sikukuu?”
И така, те търсеха Исуса, и, стоейки в храма, разговаряха се помежду си: Как ви се вижда? няма ли да дойде на празника?
57 Wakati huu wakuu wa makuhani na Mafarisayo walikuwa wametoa amri kwamba ikiwa mmoja atajua Yesu alipo, anapaswa kutoa taarifa ili kwamba wapate kumkamata.
А главните свещеници и фарисеите бяха издали заповед, щото, ако узнае някой къде е, да извести, за да Го уловят.

< Yohana 11 >