< Yohana 1 >

1 Mwanzoni kulikuwako Neno, na Neno alikuwa pamoja na Mungu, na Neno alikuwa Mungu.
В началото бе Словото; и Словото беше у Бога; и Словото бе Бог.
2 Huyu, Neno, Mwanzoni alikuwa pamoja na Mungu.
То в началото беше у Бога.
3 Vitu vyote vilifanyika kupitia yeye, na pasipo yeye hakuna hata kitu kimoja kilichokuwa kimefanyika.
Всичко това чрез Него стана; и без Него не e станало нищо от това, което е станало.
4 Ndani yake kulikuwa uzima, na huo uzima ulikuwa nuru ya wanadamu wote.
В Него бе животът и животът бе светлина на човеците.
5 Nuru yang'aa gizani, wala giza halikuizimisha.
И светлината свети в тъмнината; а тъмнината я не схвана.
6 Palikuwa na mtu aliyetumwa kutoka kwa Mungu, ambaye jina lake alikuwa Yohana.
Яви се човек изпратен от Бога, на име Иоан.
7 Alikuja kama shahidi kushuhudia kuhusu ile nuru, ili kwamba wote waweze kuamini kupitia yeye.
Той дойде за свидетелство, да свидетелствува за светлината, за да повярват всички чрез него.
8 Yohana hakuwa ile nuru, bali alikuja ili ashuhudie kuhusu ile nuru
Не беше той светлината, но дойде да свидетелствуо мене беше пръв.
9 Hiyo ilikuwa nuru ya kweli ambayo ilikuwa inakuja katika dunia nayo humtia nuru kila mmoja
Истинската светлина, която осветлява всеки човек, идеше на света.
10 Alikuwa katika dunia, na dunia iliumbwa kupitia yeye, na dunia haikumjua.
Той бе в света; и светът чрез Него стана; но светът Го не позна.
11 Alikuja kwa vitu vyake, na watu wake hawakumpokea.
У Своите Си дойде, но Своите Му Го не приеха.
12 Bali kwa wale wengi waliompokea, ambao waliamini jina lake, kwa hao aliwapa haki ya kuwa wana wa Mungu,
А на ония, които Го приеха, даде право да станат Божии чада, сиреч, на тия, които вярват в Неговото име;
13 Ambao walizaliwa, sio kwa damu, wala kwa mapenzi ya mwili, wala kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu mwenyewe.
които се родиха не от кръв, нито от плътска похот, нито от мъжка похот, но от Бога.
14 Naye Neno alifanyika mwili na akaishi miongoni mwetu, tumeuona utukufu wake, utukufu kama wa mtu pekee wa kipekee aliyekuja kutoka kwa Baba, amejaa neema na kweli.
И словото стана плът и пребиваваше между нас; и видяхме славата Му, слава като на Единородния от Отца, пълно с благодат и истина.
15 Yohana alishuhudia kuhusu yeye, na alipaza sauti akisema, “Huyu ndiye ambaye nilisema habari zake nikisema, “Yule ajaye baada yangu ni mkuu kuliko mimi, kwa sababu amekuwako kabla yangu.”
Иоан свидетелствува за Него, и викаше казвайки: Ето Онзи за Когото рекох, Който иде подир мене, достигна да бъде пред мене, понеже спрямо мене беше пръв.
16 Kwa kuwa kutoka katika utimilifu wake, sisi sote tumepokea bure kipawa baada ya kipawa.
Защото ние всички приехме от Неговата пълнота, и благодат върху благодат;
17 Kwa kuwa sheria ililetwa kupitia Musa. Neema na kweli vilikuja kupitia Yesu Kristo.
понеже законът бе даден чрез Моисея, а благодатта и истината дойдоха чрез Исуса Христа.
18 Hakuna mwanadamu aliyemwona Mungu wakati wowote. Mtu pekee ambaye ni Mungu, aliye katika kifua cha Baba, amemfanya yeye ajulikane.
Никой, кога да е, не е видял Бога; Единородният Син, Който е в лоното на Отца, Той Го изяви.
19 Na huu ndio ushuhuda wa Yohana wakati makuhani na walawi waliotumwa kwake na Wayahudi kumwuliza, “Wewe ni nani?”
И ето, свидетелството, което Иоан даде, когато юдеите пратиха до него свещеници и левити от Ерусалим да го попитат: Ти кой си?
20 Bila kusitasita na hakukana, bali alijibu, “Mimi sio Kristo.”
Той изповяда, и не отрече, а изповяда: Не съм аз Христос.
21 Hivyo wakamuuliza, “kwa hiyo wewe ni nani sasa?” Wewe ni Eliya? Akasema, “Mimi siye.” Wakasema, Wewe ni nabii? Akajibu,” Hapana.”
И попитаха го: Тогава що? Илия ли си? И каза: Не съм. Пророк ли си? И отговори: Не съм.
22 Kisha wakamwambia, “Wewe ni nani, ili kwamba tuwape jibu waliotutuma”? Wajishuhudiaje wewe mwenyewe?”
На това му рекоха: Кой си? за да дадем отговор на ония, които са ни пратили. Що казваш за себе си?
23 Akasema, “Mimi ni sauti yake aliaye nyikani: 'Inyosheni njia ya Bwana,' kama nabii Isaya alivyosema.”
Той рече: Аз съм глас на едного, който вика в пустинята; Прав правете пътя за Господа, както рече пророк Исаия.
24 Basi kulikuwa na watu wametumwa pale kutoka kwa Mafarisayo. Wakamuuliza na kusema,
А изпратените бяха от фарисеите.
25 “Kwa nini unabatiza basi kama wewe sio Kristo wala Eliya wala nabii?”
И попитаха го, като му рекоха: А защо кръщаваш, ако не си Христос, нито Илия, нито пророкът?
26 Yohana aliwajibu akisema, “Ninabatiza kwa maji. Hata hivyo, miongoni mwenu anasimama mtu msiyemtambua.
В отговор Иоан им рече: Аз кръщавам с вода. Посред вас стои Един, Когото вие не познавате,
27 Huyu ndiye ajaye baada yangu. Mimi sisitahili kulegeza kamba za viatu vyake.”
Онзи, Който иде подир мене, [Който преден ми биде], Комуто аз не съм достоен да развържа ремика на обущата Му.
28 Mambo haya yalitendeka huko Bethania, ng'ambo ya Yordani, mahali ambapo Yohana alikuwa akibatiza.
Това стана във Витавара, отвъд Йордан, дето Иоан кръщаваше.
29 Siku iliyofuata Yohana alimwona Yesu akija kwake akasema, “Tazama mwanakondoo wa Mungu aichukuae dhambi ya ulimwengu!
На следния ден Иоан вижда Исуса, че иде към него, и казва: Ето Божият Агнец, Който носи греха на света!
30 huyu ndiye niliyesema habari zake nikisema, “Yeye ajaye nyuma yangu ni mkuu kuliko mimi, kwa kuwa alikuwa kabla yangu.'
Тоя е за Когото рекох: Подир мене иде човек, Който достигна да бъде пред мене, защото спрямо мене беше пръв.
31 Sikumtambua yeye, lakini ilifanyika hivyo ili kwamba afunuliwe katika Israeli, kwamba nilikuja nikibatiza kwa maji.”
И аз Го не познавах; но дойдох и кръщавам с вода затова, за да бъде Той изявен на Израиля.
32 Yohana alishuhudia, “Niliona Roho akishuka kutoka mbinguni mfano wa hua, na ilibaki juu yake.
И Иоан свидетелствува, казвайки: Видях Духът да слиза като гълъб от небето и да почива върху Него.
33 Mimi sikumtambua lakini yeye aliyenituma ili nibatize kwa maji aliniambia, 'yule ambaye utaona Roho akishuka na kukaa juu yake, Huyo ndiye abatizaye kwa Roho Mtakatifu.'
И аз Го не познах; но Оня, Който ме прати да кръщавам с вода Той ми рече: Онзи, над Когото видиш да слиза Духът и да почива върху Него, Той е Който кръщава със Светия Дух.
34 Nimeona na nimeshuhudia kwamba huyu ni Mwana wa Mungu.”
И видях и свидетелствувам, че Тоя е Божият Син.
35 Tena siku iliyofuata Yohana alikuwa amesimama pamoja na wanafunzi wake wawili,
На следния ден Иоан пак стоеше с двама от учениците си.
36 walimwona Yesu akitembea na Yohana akasema, “Tazama, Mwana kondoo wa Mungu!”
И като съгледа Исуса когато минаваше каза: Ето Божият Агнец!
37 Wanafunzi wawili walimsikia Yohana akisema haya wakamfuata Yesu.
И двамата ученика го чуха да говори така, и отидоха подир Исуса.
38 Tena Yesu aligeuka na kuwaona wanafunzi wale wakimfuata, na akawambia, “Mnataka nini?” Wakajibu, “Rabbi, (maana yake 'mwalimu,' unaishi wapi?”
И като се обърна Исус и видя, че идат подире Му, каза им: Що търсите? А те Му рекоха: Равви, (което значи, Учителю), где живееш?
39 Akawambia, “Njooni na mwone.”Kisha walikwenda na kuona mahali alipokuwa akiishi; walikaa pamoja naye siku hiyo, kwa kuwa ilikuwa yapata kama saa kumi hivi.
Казва им: Дойдете и ще видите. Дойдоха, прочее, и видяха где живее, и останаха при Него тоя ден. Беше около десетия час.
40 Mmoja wa wale wawili waliomsikia Yohana akiongea na kisha kumfuata Yesu alikuwa ni Andrea, ndugu yake Simoni Petro.
Единият от двамата, който чуха от Йоана за Него и Го последваха, беше Андрей, брат на Симона Петра.
41 Akamwona ndugu yake Simoni na akamwambia, “Tumempata Masihi” (ambayo inatafsiriwa Kristo).
Той първо намира своя брат Симона и му казва: Намерихме Месия (което значи Христос).
42 Akamleta kwa Yesu. Yesu akamtazama na akasema, “Wewe ni Simoni mwana wa Yohana” utaitwa Kefa,” (maana yake 'Petro').
Като го заведе при Исуса, Исус се вгледа в него и рече: Ти си Симон, син Ионов; ти ще се наричаш Кифа, (което значи Петър Значи: Канара).
43 Siku iliyofuata wakati Yesu alipotaka kuondoka kwenda Galilaya, alimpata Filipo na akamwambia, “Nifuate mimi.”
На другия ден Исус възнамери да отиде в Галилея; и намира Филипа и му казва: Дойди след Мене.
44 Filipo alikuwa ni mwenyeji wa Bethsaida, mji wa Andrea na Petro.
А Филип беше от Витсаида, от града на Андрея и Петра.
45 Filipo alimpata Nathanaeli na kumwambia, Tumempata yule ambaye Musa aliandika habari zake katika sheria na Manabii. Yesu mwana wa Yusufu, kutoka Nazareti.
Филип намира Натанаила и му казва: Намерихме Онзи, за когото писа Моисей в закона и за Когото писаха пророците, Исуса, Йосифовия син, Който е от Назарет,
46 Nathanaeli akamwambia, “Je kitu chema chaweza kutokea Nazareti?” Filipo akamwambia, Njoo na uone.”
Натанаил му рече: От Назарет може ли да произлезе нещо добро? Филип му каза: Дойди и виж.
47 Yesu akamwona Nathanaeli akija kwake na akasema, “Tazama, Mwisraeli kweli kweli asiye na udanganyifu ndani yake!”
Исус видя Натанаила да дохожда към Него, и казва за него: Ето истински израилтянин, у когото няма лукавщина.
48 Nathanaeli akamwambia, “Umenifahamuje mimi?” Yesu akajibu na akamwambia, “Kabla Filipo hajakuita ulipokuwa chini ya mtini, nalikuona.”
Натанаил Му каза: Отгде ме познаваш? Исус в отговор му рече: Преди да те повика Филип, видях те като беше под смоковницата.
49 Nathanaeli akajibu, “Rabi wewe u Mwana wa Mungu! Wewe ni Mfalme wa Israeli”!
Натанаил му отговори: Учителю, Ти си Божи син, Ти си Израилев цар.
50 Yesu akajibu akamwambia, Kwa sababu nilikuambia 'nilikuona chini ya mtini' je waamini? utaona matendo makubwa kuliko haya.”
Исус в отговор му каза: Понеже ти рекох видях те под смоковницата, вярваш ли? Повече от това ще видиш.
51 Yesu akasema, “Amini amini nawambieni mtaziona mbingu zikifunguka, na kuwaona malaika wakipanda na kushuka juu ya Mwana wa Adamu.”
И рече му: Истина, истина ви казвам, [Отсега] ще видите небето отворено, и Божиите ангели да възлизат и слизат над Човешкия Син.

< Yohana 1 >