< Ayubu 9 >

1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
А Иов в отговор рече:
2 “kweli najua kwamba ndivyo hivyo. Lakini ni kwa namna gani mtu anakuwa na haki kwa Mungu?
Наистина зная, че това е така, Но как ще се оправдае човек пред Бога?
3 Kama akitaka kujibishana na Mungu, hatamjibu yeye mara moja katika elfu zaidi.
Ако поиска да се съди с Него, Не може да му отговори за едно от хиляда.
4 Mungu ni mwenye hekima moyoni na ukuu katika nguvu; ni nani daima aliyejifanya mwenyewe kuwa mgumu dhidi yake na akafanikiwa? -
Мъдро сърце и мощна сила има Бог; Кой, като е упорствувал против Него, е благоденствувал?
5 ambaye huiondoa milima bila kumtahadharisha yeyote wakati akiipindua katika hasira zake -
Той премества планините и те не усещат Когато ги е превърнал в гнева Си.
6 ambaye huitikisa nchi itoke mahali pake na mihimili yake hutikisika.
Той поклаща земята от мястото й, Тъй щото и стълбовете й треперят.
7 Ni Mungu yule yule ambaye huliamuru jua lisichomoze, nalo halichomozi, na ambaye huzihifadhi nyota,
Той заповядва на слънцето, и не изгрява; И туря под печат звездите.
8 ambaye peke yake ni mwenye kupanua mbingu na kuyatuliza mawimbi ya bahari,
Той сам простира небесата, И стъпва на морските вълни.
9 ambaye huumba Dubu, Orioni, kilima, na makundi ya nyota ya kusini.
Той прави съзвездията - Мечката, Ориона и Плеядите, И скритите пространства на юг.
10 Ni Mungu yule yule atendaye mambo makuu, mambo yasiyofahamika - hasa, mambo ya ajabu yasiyohesabika.
Той прави велики и неизследими дела. И безбройни чудеса.
11 Tazama, huenda karibu nami, na siwezi kumuona yeye; pia hupita kwenda mbele, lakini ni simtambue.
Ето, минава край мене, и не Го виждам; Преминава и не Го съглеждам;
12 Kama akichukua kitu chochote, nani atamzuia? Nani awezaye kumuuliza, 'unafanya nini?'
Ако грабна плячка, кой ще Му забрани? Кой ще Му рече: Що правиш?
13 Mungu hataondoa hasira yake; wamsaidiao Rahabu huinama chini yake.
Ако Бог не оттегли гнева Си, Горделивите помощници се повалят под Него!
14 Je ni upungufu kiasi gani mimi nitamjibu, je nichague maneno kuhojiana naye?
Колко по-малко бих могъл аз да Му отговоря И да избера думите си, за да разисквам с Него!
15 Hata kama ni mwenye haki, nisingelimjibu; ningeomba msamaha tu kwa hukumu yangu.
Комуто, и праведен ако бях, не можех отговори, Но щях да повярвам, че е послушал гласа ми.
16 Hata kama ningelimwita na yeye akanitikia, nisingeamini kuwa ameisikia sauti yangu.
Ако извиках, и ми отговореше, Не щях да повярвам, че е послушал гласа ми.
17 kwa kuwa yeye anidhoofishaye kwa dhoruba na kuyaongeza majeraha yangu pasipo sababu.
Защото ме смазва с вихрушка, И умножава раните ми без причина.
18 Yeye hataki hata kuniruhusu nipate kuvuta pumzi; badala yake, hunijaza uchungu.
Не ме оставя да си отдъхна, Но ме насища с горчивини.
19 Kama ni habari ya nguvu, tazama! yeye ni mwenye uwezo! Kama ni habari ya haki, ni nani atakaye mhukumu?
Ако е дума за силата на мощните; Ето ме! Би казал Той; И ако за съд, би казал: Кой ще Ми определи време да съдя?
20 Ingawa ni mwenye haki, kinywa changu mwenyewe kitanihukumu; na ingawa ni mtakatifu, maneno yangu yatashuhudia kuwa ni mwenye kosa.
Даже ако бях праведен, осъдили ме биха собствените ми уста; Ако бях непорочен, Той би ме показал опърничав.
21 Mimi ni mtakatifu, lakini siijali zaidi nafsi yangu; Naudharau uhai wangu mwenyewe.
Макар да бях непорочен, не бих зачитал себе си, Презрял бих живота си.
22 Haileti tofauti yoyote, kwa sababu hiyo nasema kwamba yeye huangamiza watu wasio na makosa na waovu pia.
Все едно е; затова казвам: Той погубва и непорочния и нечестивия,
23 Kama hilo pigo likiua ghafla, yeye atafurahi mateso yake mtu asiye na kosa.
Ако бичът Му убива внезапно, Той се смее при изпитанията на невинните.
24 Dunia imetiwa mkononi mwa watu waovu; Mungu hufunika nyuso za waamuzi wake. kama si yeye hufanya, ni nani basi?
Земята е предадена в ръцете на нечестивите; Той покрива лицата на съдиите; Ако не, тогава кой е, който прави това?
25 Siku zangu zinapita haraka kuliko tarishi akimbiae; siku zangu zinakimbia mbali; wala hazioni mema mahali popote.
А моите дни са по-бързи от бързоходец; Бягат без да видят добро;
26 Zinapita kama mashua zilizoundwa kwa mafunjo ziendazo kwa kasi, na zinakasi kama tai ashukaye upesi katika mawindo yake.
Преминаха като леки кораби, Като орел, който се спуща върху лова.
27 Kama ni kisema kwamba mimi nitasahau kuhusu manung'uniko yangu, kwamba nitaacha kuonyesha sura ya huzuni na kuwa na furaha,
Ако река: Ще забравя оплакването си, Ще оставя желанието си, и ще се утеша.
28 Mimi nitaziogopa huzuni zangu zote kwa sababu nafahamu kuwa hutanihesabu kuwa sina hatia.
В ужас съм от всичките си скърби Зная, че Ти няма да ме имаш за невинен;
29 Nitahukumiwa; kwa nini, basi, nitaabike bure?
Нечестив ще се считам; Защо, прочее, да се трудя напразно?
30 Kama najiosha mwenyewe kwa maji ya theluji na kuitakasa mikono yangu na kuwa safi zaidi,
Ако се умия със снежна вода, И очистя със сапун ръцете си,
31 Mungu atanitumbukiza shimoni, na nguo zangu mwenyewe zitanichukia.
Ти пак ще ме хвърлиш в тинята, Така щото и самите ми дрехи ще се гнусят от мене.
32 Kwa kuwa Mungu si mtu, kama mimi, kwamba naweza kumjibu, hata tukaribiane katika hukumu.
Защото Той не е човек, както съм аз, та да Му отговоря И да дойдем заедно на съд.
33 Hakuna hakimu baina yetu awezaye kuweka mkono wake juu yetu sote.
Няма посредник помежду ни, Който да тури ръката си върху двама ни,
34 Hakuna hakimu mwingine ambaye anaweza kuniondolea fimbo ya Mungu, awezaye kuzuia kitisho chake kisinitie hofu. kisha ningesema na nisimuogope.
Нека оттегли от мене тоягата Си, И ужасът Му да не ме уплашва.
35 Lakini kama mambo yalivyo sasa, sitaweza kufanya hivyo.
Тогава ще говоря, и няма да се боя от Него; Защото в себе си не съм така уплашен.

< Ayubu 9 >