< Ayubu 8 >

1 Kisha Bildadi huyo Mshuhi akajibu na kusema,
Hichun Shuh mi Bildad in Job chu adonbut e:
2 “hata lini wewe utasema mambo haya? Kwa muda gani maneno ya kinywa chako yatakuwa kama upepo wenye nguvu?
Hitia hi itih chan naum nah lai ding ham? Nathusei chu kichat umtah huinung gin abange.
3 Je Mungu hupotosha hukumu? Je Mwenyezi hupotosha haki?
Pathenin thutah chu aletun ding ham? Hatchungnung pa chun adih chu aletun khah em?
4 Watoto wako wametenda dhambi dhidi yake; tunalifahamu hili, kwa kuwa amewatia mkononi kwa makosa yao.
Nachate chun ama douna a chonset anabollu hitei ding ahi, hiijeh a chu ahibep seuva ki engbollu ahi.
5 Lakini wewe unaonaje ukimtafuta Mungu kwa bidii na kufikisha haja yako kwa huyo Mwenyezi.
Ahinlah Pathen koma taova chule Hatchungnung pa lunglhaina naholla ahileh
6 Ukiwa wewe ni msafi na mkamilifu, hakika angeamka mwenyewe kwa niaba yako na kukurudisha kwenye makazi ya haki yako.
Chule atheng nahija, lung thengsella nahin leh aman atahbeh a nakai thouva na inchen kipana a nasem phat peh ding ahi.
7 Japokuwa huo mwanzo wako ulikuwa ni mdogo, hata hivyo hali yako ya mwisho itaongezeka sana.
Chule lhomchan kipan jongle chun tamtah'a nachai ding ahi.
8 Tafadhari uwaulize vizazi vya zamani, na utie bidii katika hayo mababu zetu waliyojifunza.
Khang masalai chu dongin lang pule paten ana mudoh sao hug ah ngaiton,
9 (Sisi ni wa jana tu na hatujui chochote kwa kuwa siku zetu duniani ni kivuli).
Ijeh inem itile eiho janhi bepma peng ihiuvin imacha ihepouve. Leisetna ihin nikho u jong nilim cheloi loi tobangbep ahi.
10 Je hawatakufunza wao na kukuambia? Je hawatatamka maneno yatokayo mioyoni mwao?
Ahin eiho masanga hunghon nahil uvintin, amahon gollui lai thu nahil diu ahi.
11 Je hayo mafunjo yaota pasipo matope? Je mafunjo yaota pasipo maji?
Doplah hilouva umping sangtah'a khang theija, doplah hampa chu twibeija khang theijem?
12 Wakati yakiwa bado ya kijani na hayajakatwa, hunyauka kabla ya mmea mwingine.
Satlhah phat lou laiya apah jing laijun jong hampa ho sanga gang jon agoplha ji tauve.
13 Hivyo pia njia ya wote wamsahauo Mungu, na matumaini ya asiyeamini Mungu yatatoweka.
Chutobang chu Pathen sumil te chunga jong chu ji ahin, Pathen neiloute kinepna chu twihu banga mang ji ahi.
14 Ujasiri wake utavunjika, na matumaini yake ni dhaifu kama utando wa buibui.
Atahsan nao jong patjanga kikhai ahin, amachu maimom panna kingai ahiuve.
15 Ataitegemea nyumba yake, lakini haitamsaidia; atashikamana nayo, lakini isidumu.
Amahon ahoidoh nadiuvin ainnu atuh un ahinlah dding joupoi, amahon hatuh a tuh ding agot vangun adou jou deh poi.
16 Yeye huwa mti mbichi chini ya jua, na machipukizi yake huenea katika bustani yake yote.
Pathen neilou khu nisa noija khangdoh hampa abah ho honsung jamdoh a tobang ahiuve.
17 Mizizi yake hujifunga funga kwenye rundo la mawe; huangalia mahali pazuri katikati ya mawe;
Song kise thom lah a ajung kholutna, songho kah a hing ahi.
18 Lakini mtu huyu aking'olewa mahali pake, kisha mahali pale patamkana, na kusema, 'mimi sikukuona.'
Ahinlah akibodoh tengleh anaum khalou bangin te.
19 Tazama, hii ni “furaha” ya mtu mwenye tabia hiyo; mimea mingine itachipuka toka katika udongo ule ule mahali pake.
Hichu ahinkho kichaina ahitan, chule amun lo khel dingin adang hung kehdoh tante.
20 Tazama, Mungu hatamtupa mtu asiye na kosa; wala hatawathibitisha watendao uovu.
Ahin ven Pathen in milung thengho apaidoh lou ding, migilou dinga jong akhut alhan doh lou ding ahi.
21 Yeye atakijaza kinywa chako na kicheko, midomo yako na shangwe.
Aman khatvei kipah tah a nanuisah kitna, chule nane tenia kipathu nasap doh ding ahi.
22 Wale ambao wanakuchukia wewe watavishwa aibu; nayo hema yake mwovu haitakuwepo tena.
Nangma vetda ho chun jachatna ponsilla akisilluva chule migiloute chenna in chu kisumang ding ahi.

< Ayubu 8 >