< Ayubu 7 >

1 Je mtu hana kazi ngumu juu ya nchi? Je siku zake si kama siku za mwajiriwa?
Militia est vita hominis super terram: et sicut dies mercenarii, dies eius.
2 Kama mtumwa atamaniye sana kivuli cha jioni, kama mwajiriwa atafutaye ujira wake -
Sicut servus desiderat umbram, et sicut mercenarius præstolatur finem operis sui:
3 hivyo nami nimeumbwa kuvumilia miezi ya taabu; Nami nimepewa taabu - zimeujaza usiku.
Sic et ego habui menses vacuos, et noctes laboriosas enumeravi mihi.
4 Hapo nilalapo chini, najiuliza mwenyewe, 'Lini nitatoka kitandani na lini usiku utatoweka?' Nimejawa na kujitupa huku na huko hadi mwanzo wa siku.
Si dormiero, dicam: Quando consurgam? et rursum expectabo vesperam, et replebor doloribus usque ad tenebras.
5 Mwili wangu umevikwa minyoo na madonda yenye vumbi; maumivu katika ngozi yangu yamekuwa magumu na kisha hutoweka na huendelea tena.
Induta est caro mea putredine et sordibus pulveris, cutis mea aruit, et contracta est.
6 Siku zangu zinakimbia kuliko chombo cha kufumia; zinapita bila tumaini.
Dies mei velocius transierunt quam a texente tela succiditur, et consumpti sunt absque ulla spe.
7 Mungu, anakumbuka kwamba maisha yangu ni pumzi tu; jicho langu halitaona mema tena.
Memento quia ventus est vita mea, et non revertetur oculus meus ut videat bona.
8 Jicho lake Mungu, huyo anionaye mimi, halitaniangalia tena; Macho ya Mungu yatanitazama, lakini sitakuwako.
Nec aspiciet me visus hominis: oculi tui in me, et non subsistam.
9 kama vile wingu liishavyo na kutoweka, hivyo wale waendao sheoli hawatarudi tena kabisa. (Sheol h7585)
Sicut consumitur nubes, et pertransit: sic qui descenderit ad inferos, non ascendet. (Sheol h7585)
10 Yeye hatarudi tena nyumbani kwake, wala mahali pake hapatamtambua tena.
Nec revertetur ultra in domum suam, neque cognoscet eum amplius locus eius.
11 Kwa sababu hiyo sitakizuia kinywa changu; Nitasema juu ya maumivu makubwa ya roho yangu; Nitanung'unika juu ya uchungu wa nafsi yangu.
Quapropter et ego non parcam ori meo, loquar in tribulatione spiritus mei: confabulabor cum amaritudine animæ meæ.
12 Je mimi ni bahari au kiumbe cha kutisha baharini hata ukaweka mlinzi juu yangu?
Numquid mare ego sum, aut cetus, quia circumdedisti me carcere?
13 Hapo nisemapo, 'kitanda changu kitanifariji, na malazi yangu yatatuliza manung'uniko yangu,'
Si dixero: Consolabitur me lectulus meus, et relevabor loquens mecum in strato meo:
14 halafu unitishapo kwa ndoto na kunitisha kwa maono,
Terrebis me per somnia, et per visiones horrore concuties.
15 ili nichague kunyongwa na kufa kuliko kulinda mifupa yangu hii.
Quam ob rem elegit suspendium anima mea, et mortem ossa mea.
16 Ninayachukia kabisa maisha yangu; sitamani siku zote kuwa hai; usinisumbue maana siku zangu hazifai.
Desperavi, nequaquam ultra iam vivam: parce mihi, nihil enim sunt dies mei.
17 Je mtu ni nini hata ukatia bidii kwake, na ukaweka akili yako kwake,
Quid est homo, quia magnificas eum? aut quid apponis erga eum cor tuum?
18 na kumwangalia kila asubuhi, na kumjaribu kila mara?
Visitas eum diluculo, et subito probas illum:
19 Je itachukuwa muda gani kabla hujaacha kuniangalia, wala kunisumbua muda wa kutosha kwaajili ya kumeza mate yangu?
Usquequo non parcis mihi, nec dimittis me ut glutiam salivam meam?
20 Hata kama nimefanya dhambi, itakusaidia nini, wewe ulindaye wanadamu? Kwa nini umenifanya shabaha yako, kiasi kwamba nimekuwa mzigo kwako?
Peccavi, quid faciam tibi o custos hominum? quare posuisti me contrarium tibi, et factus sum mihimetipsi gravis?
21 Kwa nini hunisamehi makosa yangu na kuniondolea uovu wangu? kwa kuwa sasa nitalala mavumbini; na wewe utanitafuta kwa bidii, lakini sitakuwako.”
Cur non tollis peccatum meum, et quare non aufers iniquitatem meam? ecce, nunc in pulvere dormiam: et si mane me quæsieris, non subsistam.

< Ayubu 7 >