< Ayubu 6 >

1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
Hiob zaś odpowiedział tymi słowami:
2 “Oo, laiti maumivu yangu makubwa yangepimwa; laiti misiba yangu yote mikubwa ingewekwa kwenye mizani!
O gdyby dokładnie zważono moją udrękę i włożono na szalę całe moje nieszczęście!
3 Kwa kuwa sasa ungekuwa mzito kuliko mchanga wa baharini. Kwa sababu hiyo maneno yangu yamekuwa ya haraka.
Byłoby to cięższe niż piasek morski. Dlatego moje słowa plączą się.
4 Kwa kuwa mishale ya Mwenyezi ipo ndani yangu, moyo wangu umelewa sumu; Vitisho vya Mungu vimejipanga vyenyewe dhidi yangu.
[Tkwią] we mnie bowiem strzały Wszechmocnego, których jad osuszył mego ducha, [a] strachy Boże walczą przeciwko mnie.
5 Je punda mwitu hulia akiwa na malisho? Au ng'ombe huwa dhaifu wakati wa njaa ambapo anachakula?
Czy dziki osioł ryczy, gdy ma trawę? Czy wół ryczy nad swoją paszą?
6 Je inawezekana kitu kisicho na ladha kulika bila chumvi? Au kuna radha yoyote katika ute mweupe wa yai?
Czy można zjeść niesmaczną rzecz bez soli? Czy ma jakiś smak białko jajka?
7 Nakataa kuvigusa; kwangu mimi vinafanana na chakula kichukizacho.
[Czego się przedtem] moja dusza nie chciała dotknąć, jest to [teraz] moim bolesnym pokarmem.
8 Oo, kama nigeweza kupata haja yangu; oo, kama Mungu angeridhia jambo nilitamanilo sana:
Oby się spełniła moja prośba i Bóg dał mi to, czego pragnę!
9 kama Mungu ingempendeza kuniangamiza mara moja, kwamba angeulegeza mkono wake na kuyakatilia mbali maisha yangu!
Oby się Bogu spodobało to, aby mnie zniszczyć, aby opuścić rękę i mnie odciąć!
10 Hii ingeweza kuwa faraja yangu hata sasa - hata kama nafurahia sana maumivu yasiyopungua: kwa kuwa sikuyakana maneno yake Mtakatifu.
Wtedy miałbym jeszcze pociechę – chociaż pałam boleścią, niech [Bóg] mi nie folguje – nie zataiłem bowiem słów Świętego.
11 Nguvu yangu ni ipi, hata nijaribu kusubiri? Mwisho wangu ni upi, utakao refusha maisha yangu?
Jaka [jest] moja siła, abym miał wytrwać? Jaki jest mój koniec, abym przedłużał swoje życie?
12 Je nguvu zangu ni nguvu za mawe? Au mwili wangu umeumbwa kwa shaba nyeusi?
Czy moja siła jest siłą kamieni? Czy moje ciało jest ze spiżu?
13 Je si kweli kwamba sina msaada ndani yangu, na kwamba hekima imeondolewa mbali nami?
Czy moja obrona nie jest we mnie? Czy mój rozsądek odszedł ode mnie?
14 Kwa mtu ambaye yu karibu kuzirai, inapasa uaminifu uonyeshwe na rafiki zake; hata kwake yeye aachaye kumcha Mwenyezi.
Strapionemu należy się litość od przyjaciela, ale on opuścił bojaźń Wszechmogącego.
15 Lakini ndugu zangu wamekuwa waaminifu kwangu kama mkondo wa maji jangwani, mfano wa mifereji ya maji ipitayo mpaka pasipo kitu,
Moi bracia zawiedli jak potok, odpływają jak gwałtowne potoki;
16 ambayo imekuwa mieusi kwa sababu ya barafu juu yake, na kwa sababu ya theluji ambayo hujificha yenyewe ndani yake.
Które są mętne od lodu, w których śnieg się ukrywa;
17 Wakati zikiyeyuka, hutoweka; kukiwa na joto, hutoweka mahali hapo.
W czasie roztopów znikają; [w czasie] upałów nikną ze swego miejsca.
18 Misafara ambayo husafiri kwa njia yao hugeuka na maji; huzurura jangwani na kisha hupotea.
Wiją się ścieżki ich dróg; rozpływają się w nicość i giną.
19 Misafara kutoka Tema huitazama, wakati majeshi ya Sheba huitarajia.
Podróżni z Temy wypatrywali ich; wędrowcy z Seby pokładali w nich nadzieję.
20 Wamevunjika moyo kwa sababu walitumaini kupata maji. Wakaenda huko, lakini walidanganywa.
Ale zawiedli się w oczekiwaniu, przyszli tam i zawstydzili się.
21 Kwa sasa ninyi rafiki si kitu kwangu; mmeona hali yangu ya kutisha nanyi mwaogopa.
Staliście się niczym; widzicie moją niedolę i lękacie się.
22 Je nilisema kwenu, 'Nipeni kitu furani?' Au, 'nitoleeni zawadi katika mali zenu?'
Czy powiedziałem: Przynieście mi [coś]? lub: Dajcie mi z waszego majątku?
23 Au, 'Niokoeni toka mkononi mwa mtesi wangu?' Au, 'Nitoleeni fidia kwa watesi wangu?'
Lub: Wybawcie mnie z rąk wroga? lub: Wykupcie mnie z rąk okrutników?
24 Nifundishe, nami nitaishika amani yangu; nifanye nifahamu wapi nilipokosea.
Pouczcie mnie, a zamilknę; pokażcie mi, w czym zbłądziłem.
25 Jinsi gani maneno ya kweli yanavyo umiza! Lakini hoja zenu, jee hasa zimenionya nini mimi?
O jak mocne są słowa prawdziwe! Ale cóż sprawi wasze obwinianie?
26 Je mnapanga kuyakemea maneno yangu, mnayachukulia maneno ya mtu mwenye kukata tamaa sawa na upepo?
Czy zamierzacie ganić [moje] słowa i mowę zrozpaczonego, jakby były wiatrem?
27 Hasa, mna piga kura kwa ajili ya yatima, na kupatana bei juu ya rafiki yenu kama bidhaa.
Nawet sierotę przytłaczacie i kopiecie [doły] pod swoim przyjacielem.
28 Sasa, kwa sababu hiyo, tafadhari nitazame, kwa hakika sitasema uongo usoni penu.
Teraz więc zechciejcie spojrzeć na mnie, a [zobaczycie], czy kłamię wam w oczy.
29 Rudini, nawasihi; lisiwepo neno la uonevu na nyinyi; Hasa, rudini, sababu zangu ni za haki.
Zawróćcie, proszę, a niech nie będzie [w was] nieprawości; zawróćcie, a [poznacie] moją sprawiedliwość w tym.
30 Je mna uovu ulimini mwangu? Je kinywa changu hakiwezi kungundua madhara?
Czy w moim języku jest nieprawość? Czy moje podniebienie nie rozeznaje przewrotności?

< Ayubu 6 >