< Ayubu 6 >

1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
А Иов в отговор рече:
2 “Oo, laiti maumivu yangu makubwa yangepimwa; laiti misiba yangu yote mikubwa ingewekwa kwenye mizani!
Дано само би се претеглила моята печал, И злополуката ми да би се турила срещу нея на везните!
3 Kwa kuwa sasa ungekuwa mzito kuliko mchanga wa baharini. Kwa sababu hiyo maneno yangu yamekuwa ya haraka.
Понеже сега би била по-тежка от морския пясък; Затова думите ми са били необмислени.
4 Kwa kuwa mishale ya Mwenyezi ipo ndani yangu, moyo wangu umelewa sumu; Vitisho vya Mungu vimejipanga vyenyewe dhidi yangu.
Защото стрелите на Всемогъщия са вътре в мене, Чиято отрова духът ми изпива; Божиите ужаси се опълчват против мене.
5 Je punda mwitu hulia akiwa na malisho? Au ng'ombe huwa dhaifu wakati wa njaa ambapo anachakula?
Реве ли дивият осел, когато има трева? Или мучи ли волът при яслите?
6 Je inawezekana kitu kisicho na ladha kulika bila chumvi? Au kuna radha yoyote katika ute mweupe wa yai?
Яде ли се блудкавото без сол? Или има ли вкус в белтъка на яйцето?
7 Nakataa kuvigusa; kwangu mimi vinafanana na chakula kichukizacho.
Душата ми се отвращава да ги допре; Те ми станаха като омразно ястие.
8 Oo, kama nigeweza kupata haja yangu; oo, kama Mungu angeridhia jambo nilitamanilo sana:
Дано получех това, което прося, И Бог да ми дадеше онова, за което копнея!
9 kama Mungu ingempendeza kuniangamiza mara moja, kwamba angeulegeza mkono wake na kuyakatilia mbali maisha yangu!
Да благоволеше Бог да ме погуби, Да пуснеше ръката Си та ме посече!
10 Hii ingeweza kuwa faraja yangu hata sasa - hata kama nafurahia sana maumivu yasiyopungua: kwa kuwa sikuyakana maneno yake Mtakatifu.
Но, това ще ми бъда за утеха, (Да! ще се утвърдя всред скръб, която не ме жали). Че аз не утаих думите на Светия.
11 Nguvu yangu ni ipi, hata nijaribu kusubiri? Mwisho wangu ni upi, utakao refusha maisha yangu?
Каква е силата та да чакам? И каква е сетнината ми та да издържа?
12 Je nguvu zangu ni nguvu za mawe? Au mwili wangu umeumbwa kwa shaba nyeusi?
Силата ми сила каменна ли е? Или месата ми са медни?
13 Je si kweli kwamba sina msaada ndani yangu, na kwamba hekima imeondolewa mbali nami?
Не изчезна ли в мене помощта ми? И не отдалечи ли се от мене избавлението?
14 Kwa mtu ambaye yu karibu kuzirai, inapasa uaminifu uonyeshwe na rafiki zake; hata kwake yeye aachaye kumcha Mwenyezi.
На оскърбения трябва да се покаже съжаление от приятеля му, Даже ако той е оставил страха от Всемогъщия.
15 Lakini ndugu zangu wamekuwa waaminifu kwangu kama mkondo wa maji jangwani, mfano wa mifereji ya maji ipitayo mpaka pasipo kitu,
Братята ми ме измамиха като поток; Преминаха като течение на потоци,
16 ambayo imekuwa mieusi kwa sababu ya barafu juu yake, na kwa sababu ya theluji ambayo hujificha yenyewe ndani yake.
Които се мътят от леда, И в които се топи снегът;
17 Wakati zikiyeyuka, hutoweka; kukiwa na joto, hutoweka mahali hapo.
Когато се стоплят изчезват; Когато настане топлина изгубват се от мястото си;
18 Misafara ambayo husafiri kwa njia yao hugeuka na maji; huzurura jangwani na kisha hupotea.
Керваните, като следват по криволиченията им, Пристигат в пустота и се губят;
19 Misafara kutoka Tema huitazama, wakati majeshi ya Sheba huitarajia.
Теманските кервани прегледваха; Шевските пътници ги очакваха;
20 Wamevunjika moyo kwa sababu walitumaini kupata maji. Wakaenda huko, lakini walidanganywa.
Излъгаха се в надеждата си; Дойдоха там и се посрамиха;
21 Kwa sasa ninyi rafiki si kitu kwangu; mmeona hali yangu ya kutisha nanyi mwaogopa.
Сега и вие сте така никакви; Видяхте ужас, и се уплашихте.
22 Je nilisema kwenu, 'Nipeni kitu furani?' Au, 'nitoleeni zawadi katika mali zenu?'
Рекох ли аз: Донесете ми? Или: Дайте ми подарък от имота си?
23 Au, 'Niokoeni toka mkononi mwa mtesi wangu?' Au, 'Nitoleeni fidia kwa watesi wangu?'
Или: Отървете ме от ръката на неприятеля? Или: Откупете ме от ръката на насилниците?
24 Nifundishe, nami nitaishika amani yangu; nifanye nifahamu wapi nilipokosea.
Научете ме, и аз ще млъкна; И покажете ми в що съм съгрешил.
25 Jinsi gani maneno ya kweli yanavyo umiza! Lakini hoja zenu, jee hasa zimenionya nini mimi?
Колко са силни справедливите думи! Но вашите доводи що изобличават?
26 Je mnapanga kuyakemea maneno yangu, mnayachukulia maneno ya mtu mwenye kukata tamaa sawa na upepo?
Мислите ли да изобличите думи, Когато думите на човек окаян са като вятър?
27 Hasa, mna piga kura kwa ajili ya yatima, na kupatana bei juu ya rafiki yenu kama bidhaa.
Наистина вие бихте впримчили сирачето, Бихте копали яма на неприятеля си.
28 Sasa, kwa sababu hiyo, tafadhari nitazame, kwa hakika sitasema uongo usoni penu.
Сега, прочее, благоволете да ме погледнете, Защото ще стане явно пред вас ако аз лъжа
29 Rudini, nawasihi; lisiwepo neno la uonevu na nyinyi; Hasa, rudini, sababu zangu ni za haki.
Повърнете се, моля; нека не става неправда; Да! повърнете се пак; касае се до правдивостта ми.
30 Je mna uovu ulimini mwangu? Je kinywa changu hakiwezi kungundua madhara?
Има ли неправда в езика ми? Не може ли небцето ми да познае лошото?

< Ayubu 6 >