< Ayubu 5 >

1 Ita sasa; je kuna yeyote ambaye atakujibu? Utamrudia yupi katika watakatifu hao?
Sauc jel, vai būs kāds, kas tev atbild? Un pie kura no svētiem tu gribi griezties?
2 Kwa kuwa hasira huua mtu mpumbavu; wivu huua mjinga.
Jo sirdēsti nokauj ģeķi, un pārsteigšanās nonāvē nejēgu.
3 Nimemuona mtu mpumbavu akishika mzizi, lakini ghafla niliyalaani makazi yake.
Es redzēju ģeķi iesakņotu, bet piepeši nolādēju viņa namu.
4 Watoto wake wako mbali na uzima; wameangamia langoni mwa mji. Hakuna yeyote atakaye waponya.
Viņa bērni palika tālu no pestīšanas un tapa satriekti vārtos, un nebija glābēja.
5 Mwenye njaa hula mavuno yao; hata huyachukua katikati ya miiba. Wenye kiu huzihemea mali zao.
Viņa pļāvumu ēda izsalkuši, un pat no ērkšķu vidus to lasīja, un laupītāji aprija viņa padomu.
6 Kwa kuwa magumu hayatoki udongoni; wala taabu haichipuki katika nchi.
Jo no pīšļiem neizaug nelaime, un no zemes neizplaukst grūtums.
7 Badala yake, wanadamu huzaliwa kwaajili ya taabu, kama tu cheche za moto zirukavyo juu.
Bet cilvēks uz grūtumu piedzimst, kā dzirksteles no oglēm paceļas skraidīt.
8 Lakini kwa mimi, ningemrudia Mungu mwenyewe; kwake ningeaminisha kusudi langu -
Bet es meklētu to stipro Dievu un Dievam pavēlētu savas lietas.
9 yeye afanyae makuu na mambo yasiyochunguzika, mambo ya ajabu yasiyo na hesabu.
Viņš dara lielas lietas, kas nav izprotamas, un brīnumus, ko nevar skaitīt.
10 Hutoa mvua juu ya nchi, na huyapeleka maji mashambani.
Viņš dod lietu virs zemes un ūdenim liek nākt pār druvām.
11 Hufanya haya kwaajili ya kuwainua juu hao walio chini; huwapandisha sehemu salama hao waombolezao.
Zemos Viņš liek augstā vietā, un bēdīgie tiek celti laimē.
12 Yeye huharibu mipango ya watu wenye hila, ili mikono yao isipate mafanikio.
Viņš iznīcina viltniekiem padomu, ka viņu rokas nekā derīga nevar padarīt.
13 Yeye huwanasa watu wenye hekima katika matendo ya hila zao wenyewe; mipango ya watu waliogeuzwa huharibika haraka.
Viņš satver gudros viņu viltībā, un netikliem padoms ātri krīt.
14 Wao hupatwa na giza wakati wa mchana, na hupapasa mchana kama vile ni usiku.
Pa dienu tie skraida tumsā, un dienas vidū tie grābstās kā naktī.
15 Lakini yeye huokoa maskini kwa upanga wa vinywa vyao na mhitaji kwa mkono wa mtu mwenye nguvu.
Bet Viņš izglābj no zobena, no viņu mutes, un to bēdīgo no varenā rokas.
16 Hivyo mtu maskini ana matumaini, na udhalimu hufumba kinywa chake mwenyewe.
Tā nabagam nāk cerība, bet blēdībai būs turēt muti.
17 Tazama, amebarikiwa mtu ambaye hutiwa adabu na Mungu; kwa sababu hiyo, usidharau uongozi wa Mwenyezi.
Redzi, svētīgs tas cilvēks, ko Dievs pārmāca, tāpēc neņem par ļaunu tā Visuvarenā pārmācību.
18 Kwa kuwa yeye hujeruhi na kisha huuguza; yeye hutia jeraha na kisha mikono yake huponya.
Jo Viņš ievaino un atkal sasien, Viņš sadauza, un Viņa roka dziedina.
19 Yeye atakuokoa na mateso sita; kweli, katika mateso saba, hakuna uovu utakao kugusa.
Sešās bēdās Viņš tevi izglābs, un septītā tevi ļaunums neaizskars.
20 Wakati wa njaa atakukomboa na kifo, na kwa uwezo wa upanga wakati wa vita.
Bada laikā Viņš tevi izpestīs no nāves, un kara laikā no zobena cirtieniem.
21 Wewe utafichwa na mateso ya ulimi; na usitishike na uharibifu utakapokuja.
No ļaunām mēlēm tu tapsi paglābts, un nebīsies no posta, kad tas nāks.
22 Wewe utaufurahia uharibifu na njaa, na hutatishika na wanyama wakali wa nchi.
Postīšanā un badā tu smiesies, un no zemes zvēriem tu nebīsies.
23 Kwa kuwa wewe utakuwa na mapatano na mawe ya shambani mwako, na wanyama wa mwituni watakuwa na amani na wewe.
Jo tev būs derība ar akmeņiem tīrumā, un zvēri laukā turēs ar tevi mieru.
24 Wewe utajua kwamba hema lako lina usalama; utatembelea zizi la kondoo wako na hutakosa kitu chochote.
Un tu samanīsi, ka tavs dzīvoklis mierā, un apraudzīsi savu namu un trūkuma nebūs.
25 Pia utafahamu kwamba uzao wako utakuwa mwingi, na vizazi vyako vitakuwa kama nyasi ardhini.
Un tu samanīsi, ka tava dzimuma būs daudz, un tavi pēcnākamie kā zāle virs zemes.
26 Wewe utafika kaburini kwako mwenye umri kamili, kama vile rundo la mashuke ya nafaka liendavyo juu wakati wake.
Vecumā tu iesi kapā, tā kā kūlīšus ieved savā laikā.
27 Tazama, tumelipeleleza jambo hili; ndivyo lilivyo; lisikie, na ulifahamu kwa ajili yako mwenyewe.”
Redzi, to mēs esam izmeklējuši, tā tas ir; klausi tu un ņem to labi vērā.

< Ayubu 5 >