< Ayubu 5 >

1 Ita sasa; je kuna yeyote ambaye atakujibu? Utamrudia yupi katika watakatifu hao?
“Khue laeh nang aka doo om nim? U hlangcim taengah nim na mael ve.
2 Kwa kuwa hasira huua mtu mpumbavu; wivu huua mjinga.
Aka ang te konoinah loh a ngawn tih hloih loh thatlainah a duek sak.
3 Nimemuona mtu mpumbavu akishika mzizi, lakini ghafla niliyalaani makazi yake.
Aka ang loh a yung a hlak ka hmuh vaengah a tolkhoeng buengrhuet ka tap.
4 Watoto wake wako mbali na uzima; wameangamia langoni mwa mji. Hakuna yeyote atakaye waponya.
A ca rhoek te khangnah lamloh lakhla tih vongka ah a phop uh vaengah aka huul om pawh.
5 Mwenye njaa hula mavuno yao; hata huyachukua katikati ya miiba. Wenye kiu huzihemea mali zao.
A cangah te bungpong loh a caak pah tih hlinghang lamkah a loh dae a thadueng te tuihal loh a mam pah.
6 Kwa kuwa magumu hayatoki udongoni; wala taabu haichipuki katika nchi.
Laipi lamloh boethae thoeng pawt tih diklai lamloh thakthaenah a poe bal moenih.
7 Badala yake, wanadamu huzaliwa kwaajili ya taabu, kama tu cheche za moto zirukavyo juu.
Tedae hlang he thakthaenah khuiah a sak tih rhaek ca rhoek bangla ding hang.
8 Lakini kwa mimi, ningemrudia Mungu mwenyewe; kwake ningeaminisha kusudi langu -
Tedae kai tah Pathen te ka toem vetih, Pathen taengah ni ka dumlai khaw ka hal eh.
9 yeye afanyae makuu na mambo yasiyochunguzika, mambo ya ajabu yasiyo na hesabu.
A len la a saii vaengah khobaerhambae te, khenah lek pawh, tae lek pawh.
10 Hutoa mvua juu ya nchi, na huyapeleka maji mashambani.
Diklai hman ah khotlan a paek tih lohma li ah tui a hlah.
11 Hufanya haya kwaajili ya kuwainua juu hao walio chini; huwapandisha sehemu salama hao waombolezao.
Tlarhoel rhoek te hmuensang ah a khueh tih, kopang rhoek te khangnah khuila a hoeptlang.
12 Yeye huharibu mipango ya watu wenye hila, ili mikono yao isipate mafanikio.
Aka thaai kah kopoek te a phae tih, a kut loh lungming cueihnah saii thai pawh.
13 Yeye huwanasa watu wenye hekima katika matendo ya hila zao wenyewe; mipango ya watu waliogeuzwa huharibika haraka.
Aka cueih khaw amah kah rhaithinah neh a tuuk tih, hlang aka hnuei kah cilsuep he hma paitok.
14 Wao hupatwa na giza wakati wa mchana, na hupapasa mchana kama vile ni usiku.
Khothaih ah a hmuep neh hum uh tih khothun ah khoyin bangla a phatuem uh.
15 Lakini yeye huokoa maskini kwa upanga wa vinywa vyao na mhitaji kwa mkono wa mtu mwenye nguvu.
Khodaeng te amih ka dongkah cunghang lamlong khaw tlungluen kut lamloh a khang.
16 Hivyo mtu maskini ana matumaini, na udhalimu hufumba kinywa chake mwenyewe.
Te dongah tattloel ham ngaiuepnah om dae dumlai loh amah ka a buem.
17 Tazama, amebarikiwa mtu ambaye hutiwa adabu na Mungu; kwa sababu hiyo, usidharau uongozi wa Mwenyezi.
Pathen loh a toel hlanghing he a yoethen tih, Tlungthang kah thuituennah sit boeh.
18 Kwa kuwa yeye hujeruhi na kisha huuguza; yeye hutia jeraha na kisha mikono yake huponya.
Amah loh a tloh sak dae a hma te a poi pah tih a kut dongah hoeih uh.
19 Yeye atakuokoa na mateso sita; kweli, katika mateso saba, hakuna uovu utakao kugusa.
Citcai parhuk lamloh nang n'huul vetih a parhih ah yoethae loh nang soah m'ben mahpawh.
20 Wakati wa njaa atakukomboa na kifo, na kwa uwezo wa upanga wakati wa vita.
Nang te khokha vaengah dueknah lamloh, caemtloek vaengah cunghang kut lamloh n'lat ni.
21 Wewe utafichwa na mateso ya ulimi; na usitishike na uharibifu utakapokuja.
Olka dongkah rhuihet lamloh n'thuh vetih rhoelrhanah a pai vaengah na rhih mahpawh.
22 Wewe utaufurahia uharibifu na njaa, na hutatishika na wanyama wakali wa nchi.
Rhoelrhanah khui neh khokha rhamling khuiah na luem vetih, diklai mulhing te na rhih mahpawh.
23 Kwa kuwa wewe utakuwa na mapatano na mawe ya shambani mwako, na wanyama wa mwituni watakuwa na amani na wewe.
Na paipi te khohmuen lungto taengah om vetih, kohong mulhing loh nang taengah n'thuung ni.
24 Wewe utajua kwamba hema lako lina usalama; utatembelea zizi la kondoo wako na hutakosa kitu chochote.
Na dap kah rhoepnah te na ming vetih, na tolkhoeng na soep vaengah na hmaai mahpawh.
25 Pia utafahamu kwamba uzao wako utakuwa mwingi, na vizazi vyako vitakuwa kama nyasi ardhini.
Na tiingan muep na ming vetih, na cadil cahma te khohmuen baelhing bangla om ni.
26 Wewe utafika kaburini kwako mwenye umri kamili, kama vile rundo la mashuke ya nafaka liendavyo juu wakati wake.
A tue vaengkah canghlom a coi bangla, na hminkhah vaengah phuel te na paan ni.
27 Tazama, tumelipeleleza jambo hili; ndivyo lilivyo; lisikie, na ulifahamu kwa ajili yako mwenyewe.”
He tah amah la n'khe uh tangloeng he ne. He he hnatun lamtah namah loh namah dongah ming,” a ti nah.

< Ayubu 5 >