< Ayubu 41 >

1 Je waweza kumvua mamba kwa ndoano ya samaki? Au kumfunga taya zake kwa kamba?
Léwiatanni qarmaq bilen tartalamsen? Uning tilini arghamcha bilen [baghlap] basalamsen?
2 Je waweza kuweka kamba katika pua zake, au kumtoboa taya yake kwa ndoano?
Uning burnigha qomush chülükni kirgüzelemsen? Uning éngikini tömür neyze bilen téshelemsen?
3 Je atafanya maombi mengi kwako? Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?
U sanga arqa-arqidin iltija qilamdu? Yaki sanga yawashliq bilen söz qilamdu?
4 Je atafanya agano na wewe, ili kwamba umchukue kwa ajili ya mtumishi milele?
U sen bilen ehde tüzüp, Shuning bilen sen uni menggü malay süpitide qobul qilalamsen?
5 Je utacheza pamoja naye kama ambavyo ungecheza na ndege? Je utamfunga kwa ajili ya mtumishi wako wa kike?
Sen uni qushqachni oynatqandek oynitamsen? Dédekliringning huzuri üchün uni baghlap qoyamsen?
6 Je makundi ya wavuvi waweza kumfanyia biashara? Je watamgawanya ili kufanya biashara miongoni mwa wafanya biashara?
Tijaretchiler uning üstide sodilishamdu? Uni sodigerlerge bölüshtürüp béremdu?
7 Je waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?
Sen uning pütkül térisige atarneyzini sanjiyalamsen? Uning béshigha changgak bilen sanjiyalamsen?!
8 Weka mkono wako juu yake mara moja, nawe utaikumbuka vita na hautaendelea kufanya hivyo tena.
Qolungni uninggha birla tegküzgendin kéyin, Bu jengni eslep ikkinchi undaq qilghuchi bolmaysen!
9 Tazama, matumaini ya kila mtu ambaye hufanya hivyo ni uongo; je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?
Mana, «[uni boysundurimen]» dégen herqandaq ümid bihudiliktur; Hetta uni bir körüpla, ümidsizlinip yerge qarap qalidu emesmu?
10 Hakuna aliye mkali ambaye aweza kuthubutu kumtikisa mamba; Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?
Uning jénigha tégishke pétinalaydighan héchkim yoqtur; Undaqta Méning aldimda turmaqchi bolghan kimdur?
11 Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa? Chochote kilicho chini ya anga ni changu.
Asman astidiki hemme nerse Méning tursa, Méning aldimgha kim kélip «manga tégishlikini bergine» dep baqqan iken, Men uninggha qayturushqa tégishlikmu?
12 Sitanyamaza kimya kuhusu miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.
[Léwiatanning] ezaliri, Uning zor küchi, Uning tüzülüshining güzelliki toghruluq, Men süküt qilip turalmaymen.
13 Nani awezaye kuiondoa ngozi yake? Nani anaweza kumchoma kwa silaha mara mbili?
Kim uning sawutluq tonini salduruwételisun? Kim uning qosh éngiki ichige kiriwalalisun?
14 Nani awezaye kuifungua milango ya uso wake, imezungukwa na meno yake ambayo yanaogofya?
Kim uning yüz derwazilirini achalalisun? Uning chishliri etrapida wehime yatidu.
15 Mgongo wake umefanywa kwa magamba yenye mistari, yamefungwa kwa pamoja kama chapa.
Qasiraqlirining sepliri uning pexridur, Ular bir-birige ching chaplashturulghanki,
16 Moja li karibu na jingine na ya kuwa hakuna hewa inaweza kupita katikati yake.
Bir-birige shamal kirmes yéqin turidu.
17 Yameunganishwa moja kwa jingine; yamegandamana kwa pamoja, ili kwamba hayawezi kutenganishwa.
Ularning herbiri öz hemrahlirigha chaplashqandur; Bir-birige zich yépishturulghan, héch ayrilmastur.
18 Mwanga hung'ara kutoka katika kupumua kwake; macho yake ni kama kope za mapambazuko ya asubuhi.
Uning chüshkürüshliridin nur chaqnaydu, Uning közliri seherdiki qapaqtektur.
19 Ndani ya mdomo wake hutoka miali ya mwanga, chembe za moto huruka nje.
Uning aghzidin otlar chiqip turidu; Ot uchqunliri sekrep chiqidu.
20 Katika pua zake hutoka moshi kama chungu kinachotokota juu ya moto ambao umechochewa ili uwe na joto sana.
Qomush gülxan’gha qoyghan qaynawatqan qazandin chiqqan hordek, Uning burun töshükidin tütün chiqip turidu;
21 Pumzi yake huwasha mkaa na kuwa mwali; moto hutoka katika mdomo wake.
Uning nepisi kömürlerni tutashturidu, Uning aghzidin bir yalqun chiqidu.
22 Katika shingo yake kuna nguvu, na kitisho hucheza mbele yake.
Boynida zor küch yatidu, Wehime uning aldida sekriship oynaydu.
23 Nofu za mwili wake zimeunganishwa pamoja; ziko imara katika yeye; wala haziwezi kuondolewa.
Uning etliri qat-qat birleshtürülüp ching turidu; Üstidiki [qasiraqliri] yépishturulup, midirlimay turidu.
24 Moyo wake ni mgumu kama jiwe - hakika, ni mgumu kama jiwe la chini la kusagia.
Uning yüriki beeyni tashtek mustehkem turidu, Hetta tügmenning asti téshidek mezmut turidu.
25 Na anaposimama mwenyewe, hata miungu huogopa; hurudi nyuma kwasababu ya hofu.
U ornidin qozghalsa, palwanlarmu qorqup qalidu; Uning tolghinip shawqunlishidin alaqzade bolup kétidu.
26 Na ikiwa atapigwa kwa upanga, hauwezi kumfanya kitu chochote, wala mkuki, wala mshale, wala aina yoyote ya silaha iliyochongoka.
Birsi qilichni uninggha tegküzsimu, héch ünümi yoq; Neyze, atarneyze we yaki changgaq bolsimu beribir ünümsizdur.
27 Yeye hufikiri juu ya chuma kana kwamba ni majani makavu na hufikiri juu ya fedha kana kwamba ni ubao uliooza.
U tömürni samandek, Misni por yaghachtek chaghlaydu.
28 Mshale hauwezi akamfanya akimbie; kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
Oqya bolsa uni qorqitip qachquzalmaydu; Salgha tashliri uning aldida paxalgha aylinidu.
29 Marungu huyaangalia kama majani makavu; yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma.
Toqmaqlarmu paxaldek héchnéme hésablanmaydu; U neyze-sheshberning tenglinishige qarap külüp qoyidu.
30 Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu; huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia.
Uning asti qismi bolsa ötkür sapal parchiliridur; U lay üstige chong tirna bilen tatilighandek iz qalduridu.
31 Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto; huifanya bahari kama chungu cha lihamu.
U déngiz-okyanlarni qazandek qaynitiwétidu; U déngizni qazandiki melhemdek waraqshitidu;
32 Yeye huifanya njia ing'are nyuma yake; mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe.
U mangsa mangghan yoli parqiraydu; Adem [buzhghunlarni körüp] chongqur déngizni ap’aq chachliq boway dep oylap qalidu.
33 Hakuna cha kumlinganisha juu ya dunia, ambaye yeye alikuwa ameumbwa kuishi pasipo hofu.
Yer yüzide uning tengdishi yoqtur, U héch qorqmas yaritilghan.
34 Hukiona kila kitu chenye kiburi; yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi.”
U büyüklerning herqandiqigha [jür’et bilen] nezer sélip, qorqmaydu; U barliq meghrur haywanlarning padishahidur».

< Ayubu 41 >