< Ayubu 4 >

1 Kisha Elifazi Mtemani akajibu na kusema,
Na Eliphaz el fahk, “Job, ku kom ac toasrla nga fin sramsram?
2 Kama mtu yeyote akijaribu kuzungumza na wewe, je utakosa ustahimilivu? Lakini ni nani anaweza kujizuia asizungumze?
Nga koflana misla ac tia fahk nunak luk.
3 Tazama, wewe umewafunza wengi; wewe imeipa nguvu mikono iliyokuwa dhaifu.
Kom luti mwet puspis tari, Ac akkeye poun mwet su munas.
4 Maneno yako yamemsaidia yeye mwanamme aliyekuwa anaanguka; wewe umeyaimarisha magoti dhaifu.
Ke pacl sie mwet el munasla ac tukulkul, Kas lom tuh akkeyal elan tuyak.
5 Lakini sasa matatizo yamekuja kwako, na wewe umechoka; yanakugusa wewe, na wewe umetatizika.
Na inge ke kom pa sun ongoiya uh, Kom arulana lofongla kac.
6 Je si hofu yako imani yako, na ukamilifu wa njia zako tumaini lako?
Kom tuh alu nu sin God, ac moul lom arulana suwohs; Ke ma inge fal na in oasr lulalfongi ac finsrak lom.
7 Tafakari juu ya hili, tafadhari: ni nani aliyeangamia akiwa hana kosa? Au ni lini watu wakamilifu walikatiliwa mbali?
Srike esam lah acnu oasr pacl se sie mwet suwoswos el sun ongoiya, Ku sie mwet wangin mwata el wotla liki sou lal?
8 Kutokana na vile nilivyoona, wale walimao uovu na kupanda taabu huvuna hayo.
Nga liye tari ke mwet uh ac taknelik orekma sesuwos, In ima lun ma koluk; Na elos ac kosrani pac sesuwos ac ma koluk.
9 Kwa pumzi ya Mungu huangamia; kwa mlipuko wa hasira zake huteketea.
In kasrkusrak lun God, El kunauselosla oana sie paka.
10 Kuunguruma kwa simba, sauti ya simba mkali, meno ya simba wadogo - yamevunjika.
Mwet koluk elos kou ac wowo oana lion uh, Tuh God El kutongulosi ac kotala wihselos.
11 Simba mzee huangamia kwa kukosa wahanga; watoto wa simba jike wametawanyiko kila mahali.
Oana luman lion su wangin ma elan uniya ac kang, Elos ac misa, ac tulik natulos nukewa fahsrelik.
12 Sasa nililetewa kwangu jambo fulani kisiri, na sikio langu likapokea uvumi kuhusu hilo.
“Sie pacl ah oasr kas se tuku kakasrisrikna; Aok arulana srikla pusra, apkuranna ngan tia ku in lohng.
13 Kisha yakaja mawazo kupitia ndoto wakati wa usiku, wakati uwaangukiwapo usingizi mzito watu.
Pusra se inge lusrongla motul luk ah oana sie mweme koluk. Nga rarrar,
14 Ilikuwa usiku wakati nilipopatwa hofu na kutetemeka, na mifupa yangu yote ikatikisika.
Ac monuk nufon usrusryak ke sangeng.
15 Kisha nafsi ikapita mbele ya uso wangu, na nywele zangu za mwili zilisimama.
Sie engyeng na srisrik ukya mutuk, Ac monuk nufon tuninmihsrisrla ke sangeng.
16 Nafsi ilisimama kimya, lakini sikuweza kupambanua sura yake. Umbo lilikuwa mbele ya macho yangu; kulikuwa kimya, nami nikasikia sauti ikisema,
Nga liye lah oasr ma se tu insac; A nga ne ngetang nu kac, nga tia ku in akilen lah mea se. Mihsna in pacl sac, ac nga lohng sie pusra kasla, fahk mu:
17 “Je binadamu anaweza kuwa mwenye haki zaidi kuliko Mungu? Je mtu anaweza kuwa msafi zaidi kuliko muumba wake?
‘Ya sie mwet ku in suwoswos ye mutun God? Ya mwet se ku in nasnasna ye mutun El su oralla?
18 Tazama, kama Mungu hawaamini watumishi wake; kama hulaumu upumbavu wa malaika zake,
God El tia lulalfongi mwet kulansap lal inkusrao. Finne lipufan uh, El konauk lah oasr pac ma elos sufalla kac.
19 je si zaidi sana ukweli huu kwa wale waishio katika nyumba za udongo, ambao misingi yao ipo katika vumbi, wale waliopondwa mbele ya nondo?
Kom nunku mu El ku in lulalfongi sie ma su orekla ke fohk kle, Sie ma orekla ke fohk, su fisrasr in itungyuki oana sie srenyuhu?
20 Kati ya asubuhi na jioni wameangamizwa; wameangamia milele wala bila yeyote kuwatambua.
Sahp sie mwet ac ku in moul ke lotutang uh, A ekela na el misa, wangin eteya.
21 Je kamba za hema yao hazikung'olewa kati yao? Wanakufa; wanakufa bila hekima.
Ma lal nukewa ac itukla lukel; El ac misa, a srakna wangin etauk in el.’

< Ayubu 4 >