< Ayubu 4 >

1 Kisha Elifazi Mtemani akajibu na kusema,
Hahoi Teman tami Eliphaz ni ahni koe bout a dei e teh,
2 Kama mtu yeyote akijaribu kuzungumza na wewe, je utakosa ustahimilivu? Lakini ni nani anaweza kujizuia asizungumze?
nang koe lawk kam touh ka dei haw vai, na thaima han vaimoe. Hatei apinimaw dei laipalah ao thai han.
3 Tazama, wewe umewafunza wengi; wewe imeipa nguvu mikono iliyokuwa dhaifu.
Tami moikapap na cangkhai toe. Kut tha kaawm hoeh e tha na o sak.
4 Maneno yako yamemsaidia yeye mwanamme aliyekuwa anaanguka; wewe umeyaimarisha magoti dhaifu.
Na lawk ni karawmnaw hah a thaw sak teh, khokpakhu tha kaawm hoeh e tha ao sak.
5 Lakini sasa matatizo yamekuja kwako, na wewe umechoka; yanakugusa wewe, na wewe umetatizika.
Hateiteh, atu nama koe a pha teh, na lung sut a pout. Na tek teh, na ngaihmang.
6 Je si hofu yako imani yako, na ukamilifu wa njia zako tumaini lako?
Na barilawa e hoi na kâuepkhai e nahoehmaw, kakuep e lamthung hah na ngaihawi e nahoehmaw.
7 Tafakari juu ya hili, tafadhari: ni nani aliyeangamia akiwa hana kosa? Au ni lini watu wakamilifu walikatiliwa mbali?
Atu pouk haw, kayonhoehe apimaw kahmakata boi vai. Hat hoehpawiteh, tamikalan hah nâmaw tâkhawng e lah ao boi.
8 Kutokana na vile nilivyoona, wale walimao uovu na kupanda taabu huvuna hayo.
Kahmanae dawkvah payonpakainae, talai kanawk teh runae ka tu e ni doeh ouk a a.
9 Kwa pumzi ya Mungu huangamia; kwa mlipuko wa hasira zake huteketea.
Cathut e kâha dawk a kahma awh teh, a lungkhueknae kâha dawk be a kak awh.
10 Kuunguruma kwa simba, sauti ya simba mkali, meno ya simba wadogo - yamevunjika.
Sendek huk e pawlawk hoi, ka matheng poung e sendektan kanaw e a hâ hah a kâkhoe.
11 Simba mzee huangamia kwa kukosa wahanga; watoto wa simba jike wametawanyiko kila mahali.
Ca hane ao hoeh dawkvah Sendek matawngnaw a kamlum teh, Sendek manu e a canaw teh koung kâkapek awh.
12 Sasa nililetewa kwangu jambo fulani kisiri, na sikio langu likapokea uvumi kuhusu hilo.
Atu arulahoi kai koe lawk a pha teh, ka hnâ ni arulahoi pouk e hah a thai.
13 Kisha yakaja mawazo kupitia ndoto wakati wa usiku, wakati uwaangukiwapo usingizi mzito watu.
Karoumcalah a i awh lahun navah, karum vah vision hah pouk lahun navah,
14 Ilikuwa usiku wakati nilipopatwa hofu na kutetemeka, na mifupa yangu yote ikatikisika.
Takinae hoi pâyawnae kai koe a pha. Ka hrunaw pueng koung kâhlehlawk sak e han,
15 Kisha nafsi ikapita mbele ya uso wangu, na nywele zangu za mwili zilisimama.
Hottelah muitha teh, ka hmalah a kâhlai teh, ka muen rueng a thaw.
16 Nafsi ilisimama kimya, lakini sikuweza kupambanua sura yake. Umbo lilikuwa mbele ya macho yangu; kulikuwa kimya, nami nikasikia sauti ikisema,
Hote muitha hah a kangdue teh, ka kamnuek e hah kapek thai hoeh. Ka mithmu vah hno buet touh a kamnue, duem ao teh lawk hah ka thai.
17 “Je binadamu anaweza kuwa mwenye haki zaidi kuliko Mungu? Je mtu anaweza kuwa msafi zaidi kuliko muumba wake?
Ka dout thai e tami heh, Cathut hlak vah a lan thai maw, tami heh kasakkung hlak vah a thoung thai na maw.
18 Tazama, kama Mungu hawaamini watumishi wake; kama hulaumu upumbavu wa malaika zake,
A sannaw patenghai kâuepkhai hoeh niteh, kalvantaminaw hai na payon tet pouh pawiteh,
19 je si zaidi sana ukweli huu kwa wale waishio katika nyumba za udongo, ambao misingi yao ipo katika vumbi, wale waliopondwa mbele ya nondo?
amhru im dawk kho ka sak niteh, a kungpui teh, vaiphu lah ao teh, ahnimanaw teh, khakbara ni patenghai a tâ thai e hah bangtelamaw hoe a yuem thai han.
20 Kati ya asubuhi na jioni wameangamizwa; wameangamia milele wala bila yeyote kuwatambua.
Amon hoi tangmin totouh katipcalah a kâbawng teh, apinihai tek laipalah a yungyoe a kahma awh.
21 Je kamba za hema yao hazikung'olewa kati yao? Wanakufa; wanakufa bila hekima.
Ahawi poungnae naw hai koung takhoe lah ao teh, lungangnae awm laipalah be a due awh telah atipouh.

< Ayubu 4 >