< Ayubu 4 >

1 Kisha Elifazi Mtemani akajibu na kusema,
Ilaifa: se da amane sia: i,
2 Kama mtu yeyote akijaribu kuzungumza na wewe, je utakosa ustahimilivu? Lakini ni nani anaweza kujizuia asizungumze?
“Yoube! Na da dima sia: sea, di da ougima: bela: ? Na bu ouiya: mu hamedei ba: sa!
3 Tazama, wewe umewafunza wengi; wewe imeipa nguvu mikono iliyokuwa dhaifu.
Di da dunu bagohame ilima olelesu. Di da dunu bagohame, ili gasa lama: ne fidisu.
4 Maneno yako yamemsaidia yeye mwanamme aliyekuwa anaanguka; wewe umeyaimarisha magoti dhaifu.
Dunu afae da helebeba: le goaiyane didigabone dafaloba, dia sia: beba: le, e da dogo denesini, aligi.
5 Lakini sasa matatizo yamekuja kwako, na wewe umechoka; yanakugusa wewe, na wewe umetatizika.
Be wali bidi hamosu da dima doaga: i, amola di da amoga gasa fili mae aligili sidadabonei agoai ba: sa.
6 Je si hofu yako imani yako, na ukamilifu wa njia zako tumaini lako?
Di da Godema nodone sia: sa hawa: hamosu, amola dia esalusu amo ganodini dima sia: i afae hame fada: su, amaiba: le di da dia dafawane hamoma: beyale dawa: su amoga ga: nasili aligimu da defea.
7 Tafakari juu ya hili, tafadhari: ni nani aliyeangamia akiwa hana kosa? Au ni lini watu wakamilifu walikatiliwa mbali?
Waha bu sinidigili, musa: hamosu dawa: ma! Nowa da moloidafa hou hamoi, be e da baligiliwane se nabasu ba: bela: ? Agoaiwane hame ba: su.
8 Kutokana na vile nilivyoona, wale walimao uovu na kupanda taabu huvuna hayo.
Na da ba: loba, dunu ilia wadela: i hou fawane hawa: agoane bugimusa: dawa: lala. Be waha ilia da wadela: i hou bugi gamisu agoane gugunufinisisu hou ba: sa.
9 Kwa pumzi ya Mungu huangamia; kwa mlipuko wa hasira zake huteketea.
Gode da amo wadela: i hamosu dunuma ougi bagadeba: le, E da mulu bagade defele ili wadela: lesisa.
10 Kuunguruma kwa simba, sauti ya simba mkali, meno ya simba wadogo - yamevunjika.
Wadela: i hou hamosu dunu ilia da laione wa: me agoane husa amola hagega: sa. Be Gode da ili ouiya: lesisa amola ilia bese gugulisisa.
11 Simba mzee huangamia kwa kukosa wahanga; watoto wa simba jike wametawanyiko kila mahali.
Ilia da laione wa: me amo da ohe fane manu hamedei ba: sa, amola ha: i manu hame galea, bogobe, amo defele bogogia: sa. Ilia da bogosea, ilia mano huluane da afagogosa.
12 Sasa nililetewa kwangu jambo fulani kisiri, na sikio langu likapokea uvumi kuhusu hilo.
Eso afaega, sia: nama misi da ouiya: lewane nama mabeba: le, na da fada: ne hame nabi.
13 Kisha yakaja mawazo kupitia ndoto wakati wa usiku, wakati uwaangukiwapo usingizi mzito watu.
Amo sia: da golaiya wadela: i liligi agoai ba: beba: le amoga na da fofogadigili nedigi.
14 Ilikuwa usiku wakati nilipopatwa hofu na kutetemeka, na mifupa yangu yote ikatikisika.
Na da fofogadigili, beda: ga, na da: i huluane yagugui.
15 Kisha nafsi ikapita mbele ya uso wangu, na nywele zangu za mwili zilisimama.
Fo hisi da na odagia fogala: le, na da beda: ga, na dialuma hinabo afafai.
16 Nafsi ilisimama kimya, lakini sikuweza kupambanua sura yake. Umbo lilikuwa mbele ya macho yangu; kulikuwa kimya, nami nikasikia sauti ikisema,
Na da liligi afae lelebe ba: i, be na da sosodolaligi, be amo liligi na fada: ne hame dawa: i galu. Eno liligi da ouiya: le dialebe ba: i. Amalalu, na da amane sia: be nabi,
17 “Je binadamu anaweza kuwa mwenye haki zaidi kuliko Mungu? Je mtu anaweza kuwa msafi zaidi kuliko muumba wake?
“Dunu afae da Gode Ea ba: ma: ne moloidafa esalabala? Dunu afae da Osobo Bagade Hahamosu Ea ba: ma: ne ledo hamedei esalabala?
18 Tazama, kama Mungu hawaamini watumishi wake; kama hulaumu upumbavu wa malaika zake,
Gode da Hebene ganodini hawa: hamosu dunu, ilia da Ea liligi noga: le ouligima: ne hame ilegesa. E da Ea a: igele dunu amolawane ilima giadofasu hou ba: sa.
19 je si zaidi sana ukweli huu kwa wale waishio katika nyumba za udongo, ambao misingi yao ipo katika vumbi, wale waliopondwa mbele ya nondo?
Amaiba: le, dia dawa: loba Gode da osoboga hamoi dunu amo Ea liligi noga: le ouligima: ne ilegema: bela: ? Hame mabu! Bai osobo bagade dunu da guluga hamoiba: le, aowaba defele hedolo gagoudai dagoi ba: sa.
20 Kati ya asubuhi na jioni wameangamizwa; wameangamia milele wala bila yeyote kuwatambua.
Amabela: ? Ninia da hahabe esalebe ba: sa, be mae daeyagili, bogoi dagoi ba: mu.
21 Je kamba za hema yao hazikung'olewa kati yao? Wanakufa; wanakufa bila hekima.
Ninia gagui huluane da bu sasamogene dagoi ba: mu. Ninia asigi dawa: su hame fada: iyawane bogosa.”

< Ayubu 4 >