< Ayubu 39 >

1 Je unajua ni wakati gani mbuzi mwitu huzaa watoto wao katika miamba? Je waweza kuwangalia paa wakati wanapozaa watoto wao?
«آیا وقت زاییدن بز کوهی را می‌دانی؟ یا زمان وضع حمل آهو را نشان می‌دهی؟۱
2 Waweza kuhesabu miezi ya kuchukua mimba? Je unaujua muda ambao huzaa watoto wao?
آیا ماههایی را که کامل می‌سازندحساب توانی کرد؟ یا زمان زاییدن آنهارامی دانی؟۲
3 Wanainama chini na kuzaa watoto wao, na kisha maumivu yao ya uzazi yanaishi.
خم شده، بچه های خود را می‌زایند واز دردهای خود فارغ می‌شوند.۳
4 Watoto wao huwa na nguvu na kukua katika uwanda wa wazi; hutoka nje na hawarudi tena.
بچه های آنهاقوی شده، در بیابان نمو می‌کنند، می‌روند و نزدآنها برنمی گردند.۴
5 Ni nani huwaacha punda mwitu waende huru? Je nani amevilegeza vifungo vya punda wepesi,
کیست که خر وحشی را رهاکرده، آزاد ساخت. و کیست که بندهای گورخر راباز نمود.۵
6 ni nyumba ya nani nimeifanya katika Araba, au nyumba yake katika nchi ya chumvi?
که من بیابان را خانه او ساختم، وشوره زار را مسکن او گردانیدم.۶
7 Hucheka kwa dharau katika kelele katika mji; hasikilizi kelele za mwongozaji.
به غوغای شهراستهزاء می‌کند و خروش رمه بان را گوش نمی گیرد.۷
8 Hutembeatembea juu ya milima kama malisho yake; huko hutafuta kila mmea ulio wa kijani kwa ajili ya kula.
دایره کوهها چراگاه او است و هرگونه سبزه را می‌طلبد.۸
9 Je nyati atakuwa na furaha kukutumikia? Je atakubali kukaa katika zizi lako?
آیا گاو وحشی راضی شود که تو را خدمت نماید، یا نزد آخور تو منزل گیرد؟۹
10 Waweza kumwongoza nyati kulima mtaro kwa kamba? Je atachimba bonde kwa ajili yako?
آیا گاو وحشی را به ریسمانش به شیار توانی بست؟ یا وادیها را از عقب تو مازو خواهد نمود؟۱۰
11 Je waweza kumtumaini kwasababu ya nguvu zake nyingi? Je waweza kumwachia kazi yako ili aifanye?
آیا از اینکه قوتش عظیم است بر او اعتمادخواهی کرد؟ و کار خود را به او حواله خواهی نمود؟۱۱
12 Je waweza kumtegemea akuletee nyumbani nafaka, au kukusanya nafaka katika uwanda wako wa kupuria?
آیا براو توکل خواهی کرد که محصولت را باز آورد و آن را به خرمنگاهت جمع کند؟۱۲
13 Mabawa ya mbuni hupunga kwa majivuno, bali je mabawa na manyoya yana upendo?
«بال شترمرغ به شادی متحرک می‌شود واما پر و بال او مثل لقلق نیست.۱۳
14 Kwa maana huuacha mayai yake katika nchi, na huyaacha yapate joto katika mavumbi;
زیرا که تخمهای خود را به زمین وامی گذارد و بر روی خاک آنها را گرم می‌کند۱۴
15 husahau kuwa mguu waweza kuyaharibu au kwamba mnyama mwitu aweza kuyakanyaga.
و فراموش می‌کند که پا آنها را می‌افشرد، و وحوش صحرا آنها راپایمال می‌کنند.۱۵
16 Huyatendea vibaya makinda yake kana kwamba si yake; haogopi kwamba kazi yake yaweza kupotea bure,
با بچه های خود سختی می کند که گویا از آن او نیستند، محنت او باطل است و متاسف نمی شود.۱۶
17 kwasababu Mungu amemnyima hekima na hajampa ufahamu wowote.
زیرا خدا او را ازحکمت محروم ساخته، و از فطانت او را نصیبی نداده است.۱۷
18 Na wakati anapokimbia kwa haraka, huwacheka kwa dharau farasi na mpanda farasi wake.
هنگامی که به بلندی پرواز می‌کنداسب و سوارش را استهزا می‌نماید.۱۸
19 Je umempa farasi nguvu zake? Je umeivika shingo yake kwa manyoya?
«آیا تو اسب را قوت داده و گردن او را به یال ملبس گردانیده‌ای؟۱۹
20 Je umemfanya aruke kama panzi? Enzi ya mlio wake ni wa kutisha.
آیا او را مثل ملخ به جست وخیز آورده‌ای؟ خروش شیهه او مهیب است.۲۰
21 Hurarua kwa nguvu na kufurahia katika nguvu zake; hukimbia upesi kukutana na silaha.
در وادی پا زده، از قوت خود وجدمی نماید و به مقابله مسلحان بیرون می‌رود.۲۱
22 Huidharau hofu na hashangazwi; huwa harudi nyuma kutoka katika upanga.
برخوف استهزاء کرده، هراسان نمی شود، و از دم شمشیر برنمی گردد.۲۲
23 Podo hugongagonga ubavuni mwake, pamoja na mkuki unaong'aa na fumo.
ترکش بر او چکچک می‌کند، و نیزه درخشنده و مزراق۲۳
24 Huimeza nchi kwa hasira na ghadhabu; katika sauti ya tarumbeta, hawezi kusimama sehemu moja.
با خشم وغیض زمین را می‌نوردد. و چون کرنا صدا می‌کندنمی ایستد،۲۴
25 Wakati wowote tarumbeta inapolia, husema, 'Ooh! Huisikia harufu ya vita kutoka mbali - vishindo vya radi za makamanda na makelele.
وقتی که کرنا نواخته شود هه هه می‌گوید و جنگ را از دور استشمام می‌کند، وخروش سرداران و غوغا را.۲۵
26 Je ni kwa hekima yako kwamba mwewe hupaa juu, na ya kuwa huyanyosha mabawa yake kwa upande wa kusini?
آیا از حکمت توشاهین می‌پرد؟ و بالهای خود را بطرف جنوب پهن می‌کند؟۲۶
27 Je ni kwa agizo lako kwamba tai huruka juu na kufanya kiota chake katika sehemu za juu?
آیا از فرمان تو عقاب صعودمی نماید و آشیانه خود را به‌جای بلند می‌سازد؟۲۷
28 Huishi katika majabali na hufanya makao yake katika vilele vya majabali, na ngomeni.
بر صخره ساکن شده، ماوا می‌سازد. بر صخره تیز و بر ملاذ منیع.۲۸
29 Kutoka huko hutafuta mawindo; macho yake huyaona mawindo kutoka mbali.
از آنجا خوراک خود را به نظر می‌آورد و چشمانش از دور می‌نگرد.۲۹
30 Makinda yake hunywa damu pia; na pale walipo watu wafu, ndipo na yeye alipo.
بچه هایش خون را می‌مکند و جایی که کشتگانند او آنجا است.»۳۰

< Ayubu 39 >