< Ayubu 38 >

1 Ndipo Yahweh alimwita Ayubu kutoka katika dhoruba kali na kumwambia,
Och HERREN svarade Job ur stormvinden och sade:
2 “Huyu ni nani aletaye giza katika mipango kwa njia ya maneno bila maarifa?
Vem är du som stämplar vishet såsom mörker, i det att du talar så utan insikt?
3 Basi sasa jifunge kiunoni mwako kama mwanaume kwa kuwa nitakuuliza maswali, nawe lazima unijibu.
Omgjorda nu såsom ej man dina länder; jag vill fråga dig, och du må giva mig besked.
4 Wewe ulikuwa wapi wakati nilipoitandaza misingi ya dunia? Niambie, kama unao ufahamu zaidi.
Var var du, när jag lade jordens grund? Säg det, om du har ett så stort förstånd.
5 Je ni nani aliyeamuru vipimo vyake? Niambie, kama unajua, ni nani alivinyosha vipimo juu yake?
Vem har fastställt hennes mått -- du vet ju det? Och vem spände sitt mätsnöre ut över henne?
6 Misingi yake ilitandazwa juu ya nini? Ni nani aliyeliweka jiwe lake la pembeni
Var fingo hennes pelare sina fästen, och vem var det som lade hennes hörnsten,
7 wakati nyota za asubuhi zilipoimba pamoja na wana wote wa Mungu walipopiga kelele kwa furaha?
medan morgonstjärnorna tillsammans jublade och alla Guds söner höjde glädjerop?
8 Ni nani huifunga bahari kwa milango wakati inapofurika, kana kwamba inatoka katika tumbo,
Och vem satte dörrar för havet, när det föddes och kom ut ur moderlivet,
9 wakati nilipoyafanya mawingu kuwa ni mavazi yake, na giza nene kuwa mkanda wake wa kujifungia?
när jag gav det moln till beklädnad och lät töcken bliva dess linda,
10 Hapo ilikuwa wakati nilipoweka bahari mpaka wangu, na nilipoweka makomeo yake na milango,
när jag åt det utstakade min gräns och satte bom och dörrar därför,
11 na wakati nilipoiambia, 'Unaweza kuja hapa kutoka mbali, lakini si zaidi; na hapa ndipo nitauweka mpaka kwa fahari ya mawimbi yako.'
och sade: "Härintill skall du komma, men ej vidare, här skola dina stolta böljor lägga sig"?
12 Je tangu mwanzo wa siku zako, ulishawahi kuigiza asubuhi ianze, na kuyafanya mapambazuko yajue sehemu yake katika mpangilio wa vitu,
Har du i din tid bjudit dagen att gry eller anvisat åt morgonrodnaden dess plats,
13 ili kwamba ishikilie sehemu za dunia ili watu waovu watikiswe mbali nayo.
där den skulle fatta jorden i dess flikar, så att de ogudaktiga skakades bort därifrån?
14 Dunia imebadilishwa katika mwonekano kama udongo unavyobadilika chini ya muhuri; vitu vyote husimama juu yake dhahiri kama cha kibindo cha nguo.
Då ändrar den form såsom leran under signetet, och tingen stå fram såsom klädda i skrud;
15 'Mwanga' wao umeondolewa kutoka kwa watu waovu; na mkono wao ulioinuliwa umevunjwa.
då berövas de ogudaktiga sitt ljus, och den arm som lyftes för högt brytes sönder.
16 Je umeshaenda kwenye vyanzo vya maji ya bahari? Je umeshatembea sehemu za chini kabisa za kilindi?
Har du stigit ned till havets källor och vandrat omkring på djupets botten?
17 Je malango ya mauti yamefunuliwa kwako? Je umeshaona malango ya uvuli wa mauti?
Hava dödens portar avslöjat sig för dig, ja, såg du dödsskuggans portar?
18 Je umeifahamu dunia katika upana wake? Niambie kama unayajua yote hayo.
Har du överskådat jordens vidder? Om du känner allt detta, så låt höra.
19 Je iko wapi njia ya sehemu ya kupumzikia kwa mwanga, na kama ilivyo kwa giza, iko wapi sehemu yake?
Vet du vägen dit varest ljuset bor, eller platsen där mörkret har sin boning,
20 Je unaweza kuuongoza mwanga na giza katika sehemu zake za kazi? Waweza kuitambua njia ya kurudi katika nyumba zao?
så att du kan hämta dem ut till deras gräns och finna stigarna som leda till deras hus?
21 Bila shaka unajua, kwa kuwa ulizaliwa wakati huo; hesabu ya siku zako ni kubwa sana!
Visst kan du det, ty så tidigt blev du ju född, så stort är ju dina dagars antal!
22 Je ulishaingia katika ghala ya barafu, au umeshaiona ghala ya mawe ya mvua,
Har du varit framme vid snöns förrådshus? Och haglets förrådshus, du såg väl dem
23 vitu hivi nimeviweka kwa ajili ya siku za mateso, kwa siku za mapigano na vita?
-- de förråd som jag har sparat till hemsökelsens tid, till stridens och drabbningens dag?
24 Je iko wapi njia ya mshindo wa mwanga hutokea au je upepo husambazwa kutoka mashariki juu ya dunia?
Vet du vägen dit varest ljuset delar sig, dit där stormen sprider sig ut över jorden?
25 Ni nani aliyezitengeneza mifereji ya gharika ya mvua, au ni nani aliyezifanya njia za milipuko ya radi,
Vem har åt regnflödet öppnat en ränna och banat en väg för tordönets stråle,
26 na kuifanya mvua inyeshe juu ya nchi ambazo hakuna mtu aishiye ndani yake, na juu ya jangwa, ambayo ndani yake hakuna mtu yeyote,
till att sända regn över länder där ingen bor, över öknar, där ingen människa finnes,
27 kwa kusudi la kutimiza mahitaji ya mikoa iliyo kame na yenye ukiwa, na kuyastawisha majani mororo?
till att mätta ödsliga ödemarker och giva växt åt gräsets brodd?
28 Je kuna baba wa mvua? Ni nani aliyeyafanya matone ya umande?
Säg om regnet har någon fader, och vem han är, som födde daggens droppar?
29 Je barafu ilitoka katika tumbo la nani? Na ni nani aliyeizaa theluji nyeupe katika anga?
Ur vilken moders liv är det isen gick fram, och vem är hon som födde himmelens rimfrost?
30 Maji hujificha menyewe na kuwa kama jiwe; sehemu za juu za vilindi huwa kama barafu.
Se, vattnet tätnar och bliver likt sten, så ytan sluter sig samman över djupet.
31 Je unaweza kuzifunga minyororo ya Kilimia, au kuvifungua vifundo vya Orioni?
Knyter du tillhopa Sjustjärnornas knippe? Och förmår du att lossa Orions band?
32 Je unaweza kuziongoza nyota kutokea katika nyakati zake? Je waweza kuongoza dubu pamoja na watoto wake?
Är det du som, när tid är, för himmelstecknen fram, och som leder Björninnan med hennes ungar?
33 Je unazijua sheria za anga? Wewe uliweza kuanzisha sheria za anga juu ya dunia?
Ja, förstår du himmelens lagar, och ordnar du dess välde över jorden?
34 Je waweza kupaza sauti yako hadi mawinguni, ili kwamba maji mengi ya mvua yakufunike?
Kan du upphöja din röst till molnen och förmå vattenflöden att övertäcka dig?
35 Je waweza kuagiza miali ya mwanga ili itokee, na kukwambia, 'Sisi tupo hapa'?
Kan du sända ljungeldar åstad, så att de gå, så att de svara dig: "Ja vi äro redo"?
36 Ni nani ameweka hekima katika mawingu au ni nani ameweka ufahamu kwa ukungu?
Vem har lagt vishet i de mörka molnen, och vem gav förstånd åt järtecknen i luften?
37 Nani anaweza kuyahesabu mawingu kwa maarifa yake? Na ni nani awezaye kuvimwaga viriba vya anga
Vem håller med sin vishet räkning på skyarna? Och himmelens läglar, vem häller ut dem,
38 wakati mavumbi yanapoungana kuwa kitu kigumu na mabonge ya dunia yanaposhikama kwa pamoja?
medan mullen smälter såsom malm och jordkokorna klibbas tillhopa?
39 Je waweza kuwinda mawindo kwa ajili ya simba jike au kutosheleza hamu ya watoto wadogo wa simba
Är det du som jagar upp rov åt lejoninnan och stillar de unga lejonens hunger,
40 wakati wanapokwaruza kwaruza katika pango lao na kukaa katika kificho ili kulala katika hali ya kuvizia?
när de trycka sig ned i sina kulor eller ligga på lur i snåret?
41 Ni nani aletaye mawindo kwa ajili ya kunguru wakati ambapo watoto wao wanapomlilia Mungu na kutangatanga kwa kukosa chakula?
Vem är det som skaffar mat åt korpen, när hans ungar ropar till Gud, där de sväva omkring utan föda?

< Ayubu 38 >