< Ayubu 37 >

1 Hakika, moyo wangu hutetemeka kwa hili; umeondolewa kutoka katika sehemu yake.
He dongah ka lungbuei lakueng tih a hmuen lamloh cungpet.
2 Sikia, Ee, Sikia kelele za sauti yake, sauti inayotoka katika mdomo wake.
A ol dongkah khoponah te hnatun rhoela hnatun. A ka lamloh caitawknah thoeng.
3 Huiagiza sauti chini ya mbingu yote, na huutuma mwanga wake katika mipaka ya dunia.
Vaan boeih hmuiah a hlah tih a vangnah loh diklai hmoi duela pawk.
4 Sauti huunguruma baada yake; yeye huunguruma kwa sauti ya ukuu wake; hauzuii mshindo wa mwanga wakati sauti yake inaposikika.
A hnukkah a kawk ol khaw a hoemdamnah ol neh hum tih, a ol a yaak vaengah rhaek uelh sak boeh.
5 Mungu huunguruma kwa sauti yake kwa namna ya ajabu; yeye hufanya mambo makubwa ambayo sisi hatuwezi kuyafahamu.
Pathen loh a ol neh khobaerhambae a saii khungdaeng tih, hum dae m'ming uh moenih.
6 Kwa kuwa huiambia theluji, 'Angukeni juu ya dunia'; hali kadhalika kwa manyunyu ya mvua, 'Iweni manyunyu makubwa ya mvua.'
Vuelsong neh khotlan khonal te, ‘Diklai ah om saeh,’ a ti vaengah khotlan khonal khaw a sarhi tak.
7 Huuzuia mkono wa kila mtu usifanye kazi, ili kwamba watu wote aliowaumba wataona matendo yake.
Amah kutngo hlang boeih ming sak ham hlang boeih kah kut te rhodaek a soei pah.
8 Kisha hayawani huenda na kujificha na kukaa katika mapango yake.
Te vaengah mulhing khaw a khui la kun tih a khuisaek ah kho a sak.
9 Dhoruba hutoka katika chumba chake upande wa kusini na baridi kutoka katika pepo zilizotawanyika katika upande wa Kaskazini.
Cangpalam te imkhui lamloh, khosik te tlangpuei lamloh ha thoeng.
10 Barafu imetolewa kwa pumzi ya Mungu; upana wa maji umeganda kama chuma.
Pathen kah hiil lamloh rhaelnu khaw a khueh tih tui daang mangdaeng mangtok la om.
11 Hakika, huyapima mawingu manene yenye unyevu; yeye huusambaza mwanga wake katika mawingu.
Khomai te cingtui loh a rhih sak tih, cingmai loh amah kah vangnah te a taekyak.
12 Yeye huyazungusha mawingu kwa uongozi wake, ili yafanye chochote anayoyaagiza juu ya uso wote wa ulimwengu.
Te khaw diklai kah lunglai hman ah a uen boeih te saii hamla a niing, a niing dongah kuluk la a hil.
13 Huyafanya haya yote yatokee; wakati mwingine hutokea kwa ajili ya kusahihisha, wakati mwingine kwa ajili ya nchi yake, na wakati mwingine ni kwa matendo ya agano la uaminifu.
Te te caitueng lam khaw, a khohmuen ham khaw, sitlohnah ham khaw a thoeng sak.
14 Yasikilize haya, Ayubu; acha na ufikiri juu matendo ya ajabu ya Mungu.
Job, he he hnakaeng lah. Pai lamtah Pathen kah khobaerhambae he yakming lah.
15 Je unajua ni kwa namna gani Mungu hushurutisha mawingu na kuufanya mwanga wa radi ung'ae ndani yake?
Te rhoek soah Pathen loh a khueh tih a cingmai kah vangnah a sae te na ming a?
16 Je unafahamu kuelea kwa mawingu, matendo ya ajabu ya Mungu, Je ni nani aliyemkamilifu katika maarifa?
Poeknah rhuemtuet, mangvawt khomai a haainah te na ming a?
17 Je unafahamu ni kwa jinsi gani mavazi yako huwa ya moto wakati nchi ikiwa imetulia kwasababu ya upepo unaotoka upande wa kusini?
Tuithim loh khohmuen a mong sak vaengah na himbai te aka bae sak,
18 Je unaweza kulitandaza anga kama anavyofanya - anga ambalo lina nguvu kama kioo cha chuma kigumu?
Hmaidan a hlawn bangla khomong a thah la amah taengah na nulh thai aya?
19 Tufundishe sisi kile tunachopaswa kumwambia yeye, kwa kuwa hatuwezi kutoa hoja zetu katika mpangilio kwasababu ya kiza katika akili zetu.
Amah taengah metla n'thui ham khaw kaimih n'tueng lah. Hmaisuep hmai ah n'tawn uh thai pawt oe.
20 Je anapaswa kuambiwa kwamba ninapenda kuongea naye? Je mtu angependa kumezwa?
Hlang loh a dolh hamla thui cakhaw ka thui bangla amah taengah a tae pa aya?
21 Sasa, watu hawawezi kulitazama jua wakati linang'aa katika anga baada ya upepo kupita katikati yake na umelisafisha kwa mawingu yake.
Tahae ah khaw vangnah a hmuh uh moenih. A aa te khohli loh a yawn tih, a caihcil hnukkah khomong dongah tueng.
22 Kutoka upande wa kaskazini hutokea fahari ya dhahabu - juu ya Mungu kuna ukuu wa kutisha.
Tlangpuei lamkah sui te mueithennah rhih om Pathen taengla pawk.
23 Na kuhusu Mwenye nguvu, hatuwezi kumpata; yeye ni mkuu katika nguvu na haki. Yeye hatesi watu.
Tlungthang te thadueng a len dongah a tiktamnah m'hmuh lek moenih. Duengnah khaw a cungkuem dongah hlang a phaep moenih.
24 Hivyo basi, watu humwogopa. Yeye huwa hawajali wale ambao ni wenye hekima katika akili zao wenyewe.”
Hlang rhoek loh amah te a rhih uh tangloeng dongah lungbuei aka cueih rhoek takuem khaw a sawt moenih,” a ti.

< Ayubu 37 >