< Ayubu 36 >

1 Elihu aliendelea na kusema,
Og videre sagde Elihu:
2 “Niruhusu niseme kidogo zaidi, nami nitakuonesha baadhi ya mambo kwasababu nina maneno machache ya kusema kwa ajili ya Mungu.
Bi nu lidt, jeg har noget at sige dig, thi end har jeg Ord til Forsvar for Gud.
3 Nitapata maarifa yangu kutoka mbali; nitatambua kwamba haki ni ya Muumba wangu.
Jeg vil hente min Viden langvejsfra og skaffe min Skaber Ret;
4 Kwa kweli, maneno yangu hayatakuwa ya uongo; mtu fulani aliyekomaa katika maarifa yu pamoja nawe.
thi for vist, mine Ord er ikke Opspind, en Mand med fuldkommen Indsigt har du for dig.
5 Angalia, Mungu ni mwenye nguvu, na hamdharau mtu yeyote; yeye ni mwenye nguvu katika uweza wa ufahamu.
Se, Gud forkaster det stive Sind,
6 Yeye huwa hayahifadhi maisha ya watu waovu bali badala yake hufanya yaliyo ya haki kwa wale wanaoteseka.
den gudløse holder han ikke i Live; de arme lader han faa deres Ret,
7 Haondoi macho yake kwa wenye haki bali badala yake huwaweka juu ya viti vya enzi kama wafalme milele, nao wameinuliwa juu.
fra retfærdige vender han ikke sit Blik, men giver dem Plads for stedse hos Konger paa Tronen i Højhed.
8 Ikiwa wamefungwa minyororo na kunaswa katika kamba za mateso,
Og hvis de bindes i Lænker, fanges i Nødens Baand,
9 kisha huwafunulia kile walichokifanya, na maovu yao na kiburi chao.
saa viser han dem deres Gerning, deres Synder, at de hovmodede sig,
10 Hufungua pia masikio yao kwa ajili ya agizo lake, na huwaamuru wageuke kutoka katika uovu.
aabner deres Øre for Tugt og byder dem vende sig bort fra det onde.
11 Ikiwa watamsikiliza na kumwabudu yeye, wataishi katika mafanikio katika siku zao, na miaka yao katika hali ya kuridhika.
Hvis de saa hører og bøjer sig, da ender de deres Dage i Lykke, i liflig Fryd deres Aar.
12 Hata hivyo, kama hawatasikiliza, wataangamia kwa upanga; watakufa kwasababu hawana maarifa.
Men hører de ikke, falder de for Sværd og opgiver Aanden i Uforstand.
13 Na wale wasiomjua Mungu hutunza hasiria zao katika mioyo; hawaombi msaada hata wakati ambapo Mungu huwafunga.
Men vanhellige Hjerter forbitres; naar han binder dem, raaber de ikke om Hjælp;
14 Hawa hufa katika ujana wao; na maisha yao hukoma kati ya makahaba.
i Ungdommen dør deres Sjæl, deres Liv faar Mandsskøgers Lod.
15 Mungu huwainua watu walioonewa kwa njia ya mateso yao; hufungua masikio yao kwa njia ya uonevu wao.
Den elendige frelser han ved hans Elende og aabner hans Øre ved Trængsel.
16 Kwa hakika, yeye angependa kuwatoa ninyi katika mateso na kuwaweka katika sehemu pana ambapo hakuna masumbufu na mahali ambapo meza yenu ingewekwa ikiwa na chakula kilichojaa mafuta.
Men dig har Medgangen lokket, du var i Fred for Ulykkens Gab; ingen Trængsel indjog dig Skræk, fuldt var dit Bord af fede Retter.
17 Lakini wewe umejaa hukumu juu ya watu waovu; hukumu na haki umeziachilia.
Den gudløses som kom til fulde over dig, hans retfærdige Dom greb dig fat.
18 Usiuache utajiri ukuvute katika udanganyifu; na sehemu kubwa ya rushwa isikugeuze upande kutoka katika haki.
Lad dig ikke lokke af Vrede til Spot eller Bødens Storhed lede dig vild!
19 Je utajiri wako waweza kukunufaisha, ili kwamba usiwe katika taabu, au nguvu zako zote za uwezo zaweza kukusaidia?
Kan vel dit Skrig gøre Ende paa Nøden, eller det at du opbyder al din Kraft?
20 Usiutamani usiku ili utende dhambi dhidi ya wengine wakati ambapo mataifa hukatiliwa mbali katika nafasi zao.
Ej maa du længes efter Natten, som opskræmmer Folkeslag der, hvor de er;
21 Uwe mwangalifu ili kwamba usigeukie dhambi kwasababu unajaribiwa kwa mateso ili kwamba ukae mbali na dhambi.
va'r dig og vend dig ikke til Uret, saa du foretrækker ondt for at lide.
22 Angalia, Mungu ameinuliwa katika nguvu zake; ni nani aliye mwalimu kama yeye?
Se, ophøjet er Gud i sin Vælde, hvo er en Lærer som han?
23 Ni nani alishamwalekeza njia yake? Nani anayeweza kumwambia, 'Wewe umetenda mambo yasiyo ya haki?'
Hvo foreskrev ham hans Vej, og hvo turde sige: »Du gjorde Uret!«
24 Kumbuka kuyasifu matendo yake, ambayo watu wameyaimba.
Se til at ophøje hans Værk, som Mennesker priser i Sang!
25 Watu wote wameshayatazama hayo matendo, lakini wanayaona tu matendo hayo kwa mbali sana.
Alle Mennesker ser det med Fryd, skønt dødelige skuer det kun fra det fjerne.
26 Tazama, Mungu ni mkuu, lakini sisi hatumfahamu yeye vizuri; hesabu ya miaka yake haihesabiki.
Se, Gud er ophøjet, kan ikke ransages, Tal paa hans Aar kan ikke findes.
27 Kwa kuwa yeye huvuta matone ya maji ili kuyachuja kama mvua katka mvuke wake,
Thi Draaber drager han ud af Havet, i hans Taage siver de ned som Regn,
28 ambayo mawingu yake huyamwaga chini na kuyandondosha kwa wingi kwa mwanadamu.
og Skyerne lader den strømme og dryppe paa mange Folk.
29 Hakika, kuna hata mmoja awezaye kuelewa kwa undani kusambaa kwa mawingu na radi kutoka katika nyumba yake?
Hvo fatter mon Skyernes Vidder eller hans Boligs Bulder?
30 Angalia, hueneza mwanga wake kumzunguka na kufunika mizizi ya bahari.
Se, han breder sin Taage om sig og skjuler Havets Rødder;
31 Kwa namna hii huyahukumu mataifa na kuwapa chakula kwa wingi.
Thi dermed nærer han Folkene, giver dem Brød i Overflod;
32 Yeye huuijaza mikono yake kwa mwanga mpaka pale anapouamuru kupiga shabaha yake.
han hyller sine Hænder i Lys og sender det ud imod Maalet;
33 Na muungurumo wake huonya kwa dhoruba, wanyama wanaweza kusikia kuja kwake.
hans Torden melder hans Komme, selv Kvæget melder hans Optræk.

< Ayubu 36 >