< Ayubu 35 >

1 Aidha, Elihu aliendelea kusema,
Un Elihus vēl atbildēja un sacīja:
2 “Je unadhani hii ni sawa unaposema, 'Haki yangu mbele ya Mungu?
Vai tev šķiet pareizi esam, ka tu saki: mana taisnība iet pāri par Dieva taisnību,
3 Kwa kuwa unauliza, 'Inafaa nini kwangu' na 'Ingekuwa nzuri kwangu kama ningekuwa nimetenda dhambi?'
Ka tu saki: kas man no tās atlec, ko es ar to vairāk panākšu nekā ar saviem grēkiem?
4 Nitakujibu, wewe pamoja na marafiki zako.
Es tev vārdu atbildēšu un taviem draugiem pie tevis:
5 Tazama juu angani, na ulione; angalia anga, ambalo liko juu sana kuliko wewe.
Skaties pret debesi un redzi, uzlūko padebešus, kas ir augsti pāri pār tevi.
6 Kama umetenda dhambi, ni madhara gani huwa unayafanya kwa Mungu? Ikiwa makosa yako yameongezeka zaidi, je huwa unafanya nini kwake?
Ja tu grēko, ko tu Viņam vari darīt? Un lai tavu pārkāpumu daudz, ko tu Viņam padarīsi?
7 Kama wewe ni mwenye haki, unaweza kumpa nini? Je atapokea nini mkononi mwako?
Ja tu esi taisns, kas Viņam no tā tiek, jeb ko Viņš dabū no tavas rokas?
8 Uovu wako waweza kuwaumiza mtu, kama ulivyo wewe ni mtu, na haki yako yaweza kumnufaisha mwana mwingine wa mtu.
Tev cilvēkam tava bezdievība par postu, un tev cilvēka bērnam tava taisnība nāk par labu.
9 Watu wanalia kwasababu ya matendo mengi ya unyanyasaji; wanaomba msaada katika mikono ya watu wenye nguvu.
Par varas darbu pulku tie brēc, tie kliedz lielo kungu elkoņa dēļ.
10 Lakini hakuna hata mmoja asemaye, ' Mungu Muumba wangu yuko wapi, ambaye hutoa nyimbo wakati wa usiku,
Bet neviens nesaka: kur ir Dievs, mans Radītājs, kas ir naktī dod slavas dziesmas,
11 ambaye hutufundisha sisi zaidi anavyowafundisha wanyama wa dunia, na ambaye hutufanya sisi kuwa wenye hekima kuliko ndege wa angani?
Kas mūs darījis jo izmācītus, nekā lopus virs zemes, un gudrākus pār putniem apakš debess.
12 Huko wanalia, lakini Mungu hawajibu kwasababu ya kibriu ya watu waovu.
Tie tur brēc, bet Viņš neatbild ļauno pārgalvības dēļ.
13 Kwa hakika Mungu hatasikia kilio cha kipumbavu; Mwenye nguvu wala hatajali.
Tiešām, Dievs netaisnību nepaklausa un tas Visuvarenais to neuzlūko.
14 Ni kwa namna gani atakujibu ikiwa unasema haumwoni, na ya kwamba hoja yako iko mbele yake, na ya kuwa unamngojea yeye!
Jebšu tu saki, ka tu Viņu neredzēsi, tā tiesas lieta ir Viņa priekšā, gaidi tik uz Viņu.
15 Ni kwa jinsi gani atakujibu kama unasema kwamba hamwadhibu yeyote kwa hasira, na ya kwamba hajishughulishi na kiburi cha watu.
Bet nu, ka Viņa dusmība vēl nepiemeklē, vai Viņš tādēļ vērā neliek, ka pārkāpumu ir tik daudz?
16 Basi Ayubu hufumbua kinywa chake tu ili kusema upumbavu; huongeza maneno bila maarifa.”
Un tomēr Ījabs tukšiem vārdiem atvēris savu muti un daudz runājis bez saprašanas.

< Ayubu 35 >