< Ayubu 35 >

1 Aidha, Elihu aliendelea kusema,
Ainsi Eliu dit encore ceci:
2 “Je unadhani hii ni sawa unaposema, 'Haki yangu mbele ya Mungu?
Est-ce qu’il te semble que ta pensée était équitable, quand tu as dit: Je suis plus juste que Dieu?
3 Kwa kuwa unauliza, 'Inafaa nini kwangu' na 'Ingekuwa nzuri kwangu kama ningekuwa nimetenda dhambi?'
Car tu as dit: Ce qui est juste ne vous plaît pas: ou quel avantage retirez-vous, si je pèche?
4 Nitakujibu, wewe pamoja na marafiki zako.
C’est pourquoi je répondrai à tes discours et à tes amis avec toi.
5 Tazama juu angani, na ulione; angalia anga, ambalo liko juu sana kuliko wewe.
Regarde en haut le ciel, et vois: et contemple combien la région de l’air est plus haute que toi.
6 Kama umetenda dhambi, ni madhara gani huwa unayafanya kwa Mungu? Ikiwa makosa yako yameongezeka zaidi, je huwa unafanya nini kwake?
Si tu pèches, en quoi lui nuiras-tu? et si tes iniquités se multiplient, que feras-tu en cela contre lui?
7 Kama wewe ni mwenye haki, unaweza kumpa nini? Je atapokea nini mkononi mwako?
Mais si tu as agi justement, que lui donneras-tu, ou que recevra-t-il de ta main?
8 Uovu wako waweza kuwaumiza mtu, kama ulivyo wewe ni mtu, na haki yako yaweza kumnufaisha mwana mwingine wa mtu.
C’est à un homme semblable à toi que nuira ton impiété, et c’est au fils d’un homme que ta justice servira.
9 Watu wanalia kwasababu ya matendo mengi ya unyanyasaji; wanaomba msaada katika mikono ya watu wenye nguvu.
À cause de la multitude des calomniateurs, ils crieront; et ils se lamenteront à cause de la violence du bras des tyrans.
10 Lakini hakuna hata mmoja asemaye, ' Mungu Muumba wangu yuko wapi, ambaye hutoa nyimbo wakati wa usiku,
Et aucun d’eux n’a dit: Où est Dieu, qui m’a fait, qui inspire des cantiques pendant la nuit,
11 ambaye hutufundisha sisi zaidi anavyowafundisha wanyama wa dunia, na ambaye hutufanya sisi kuwa wenye hekima kuliko ndege wa angani?
Qui nous donne plus d’instruction qu’aux bêtes de la terre, et plus d’intelligence qu’aux oiseaux du ciel?
12 Huko wanalia, lakini Mungu hawajibu kwasababu ya kibriu ya watu waovu.
Alors ils crieront, et il ne les exaucera pas, à cause de l’orgueil des méchants.
13 Kwa hakika Mungu hatasikia kilio cha kipumbavu; Mwenye nguvu wala hatajali.
Ce n’est donc pas en vain que Dieu écoulera leurs cris; et le Tout-Puissant considérera avec attention la cause de chacun.
14 Ni kwa namna gani atakujibu ikiwa unasema haumwoni, na ya kwamba hoja yako iko mbele yake, na ya kuwa unamngojea yeye!
Même lorsque tu as dit: Il ne considère point; juge-toi toi-même en sa présence, et attends-le.
15 Ni kwa jinsi gani atakujibu kama unasema kwamba hamwadhibu yeyote kwa hasira, na ya kwamba hajishughulishi na kiburi cha watu.
Car ce n’est pas maintenant qu’il exerce sa fureur, et qu’il lire une grande vengeance du crime.
16 Basi Ayubu hufumbua kinywa chake tu ili kusema upumbavu; huongeza maneno bila maarifa.”
C’est donc en vain que Job ouvre sa bouche, et que, sans science, il multiplie des paroles.

< Ayubu 35 >