< Ayubu 34 >

1 Zaidi ya hayo, Elihu aliendelea kusema:
Elihu loh koep a doo tih,
2 “Sikilizeni maneno yangu, ninyi watu wenye hekima; nisikieni, ninyi mlio na maarifa.
Aka cueih rhoek ka ol hnatun uh lamtah aka ming rhoek loh kai taengla hnakaeng uh.
3 Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama ambavyo kaakaa huonja chakula.
Hna loh olthui a nuemnai tih lai loh caak te a ten.
4 Na tujichagulie sisi wenyewe yale yenye adili: na tujigundulie miongoni mwetu yale yaliyo mazuri.
Tiktamnah te mamih ham coelh uh sih lamtah a then te mamih lakli ah ming uh sih.
5 Kwa kuwa Ayubu amesema, 'mimi ni mwenye haki, lakini Mungu ameondoa haki zangu.
Job loh, ‘Ka tang lalah Pathen loh ka tiktamnah a hnawt.
6 Pamoja na haki zangu, ninaangaliwa kama mwongo. Kidonda changu hakiponyeki, ingawa mimi sina dhambi.'
Ka tiktamnah khaw ka laithae bang mai la boekoeknah pawt mai ah ka thaltang loh rhawp coeng,’ a ti.
7 Ni mtu gani aliye kama Ayubu ambaye hunywa dharau kama maji,
Tui bangla tamdaengnah aka o Job bang hlang he om nim.
8 ambaye huzunguka katika ushirika wa watu ambao ni waovu, na ambaye hutembea pamoja na watu waovu?
Boethae aka saii neh rhoihui bangla yiin tih halang hlang rhoek taengah khaw pongpa.
9 Kwa kuwa anasema, ' Hakuna faida kwa mtu kujifurahisha kwa kufanya mambo ambayo Mungu anayataka.'
‘Pathen taengah a ngaingaih vaengah hlang hmaiben pawh,’ a ti.
10 Basi nisikilizeni mimi, enyi watu wenye ufahamu: na iwe mbali na Mungu kwamba atatenda uovu;
Te dongah thinko aka khueh hlang rhoek loh kai taengah hnatun uh. Halangnah he Pathen lamloh savisava tih Tlungthang he dumlai neh savisava coeng.
11 na iwe mbali na Mwenye enzi kwamba atatenda dhambi. Kwa kuwa humlipa mtu kutokana na kazi yake; na humfanya mtu apate thawabu za njia zake mwenyewe.
Hlang kah bisai he amah taengla a thuung tih, hlang a caehlong bangla amah loh a hmuh.
12 Kwa hakika, Mungu hatendi uovu, wala Mwenye nguvu hajaIpotosha haki.
Pathen tah boe tueng pawt tih Tlungthang loh tiktamnah te a khun sak moenih.
13 Ni nani aliyemweka kuwa mtawala wa dunia? Ni nani aliyeiweka dunia yote chini yake?
Amah loh diklai ah unim a khueh tih lunglai he a pum la u taengah nim a tloeng.
14 Ikiwa aliweka makusudio yake juu yake mwenyewe, na kama amejikusanyia mwenyewe nafsi yake na pumzi yake,
Amah taengkah loh a khueh a lungbuei, a mueihla neh a hiil te amah taengla khoem koinih,
15 basi miili yote itateketea pamoja; mwanadamu angerudi mavumbini tena.
Pumsa boeih he rhenten pal vetih hlang he laipi la mael ni.
16 Kama sasa mna ufahamu, sikilizeni haya; sikilizeni sauti ya maneno yangu.
Yakmingnah a om atah he he hnatun lamtah ka olthui ol he hnakaeng lah.
17 Je yeye anayeichukia haki aweza kutawala? Je mtamhukumu Mungu kuwa ni mwenye makosa, ambaye ni mwenye haki na mwenye nguvu?
Tiktamnah aka thiinah aisat loh a ngoldoelh tih, aka dueng, aka khuet loh m'boe sak aya?
18 Mungu ambaye humwambia mfalme, ' Wewe ni mbaya; au huwaambia wenye kuheshimiwa, 'Ninyi ni waovu'?
Manghai te, ‘Hlang muen,’ hlangcong te ‘Halang,’ a ti nah nim?
19 Mungu ambaye haoneshi upendeleo kwa viongozi na ambaye hawakubali zaidi watu matajiri kuliko masikini, kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake.
Amah loh mangpa maelhmai dan pawt tih tattloel maelhmai lakah rhoeikhang kah a hmat tloe moenih. Amih boeih te amah kut dongah kutngo ni.
20 Watakufa kwa muda mfupi; wakati wa usiku watu watatikiswa na watapita; watu wenye nguvu watatwaliwa mbali, lakini si kwa mikono ya wanadamu.
Mikhaptok ah a duek dongah pilnam khaw khoyin pathung ah tuen tih khum uh. Kut nen pawt akhaw aka lueng a khoe uh.
21 Kwa kuwa macho ya Mungu yako juu ya njia za mtu; anaziona hatua zake zote.
A mik te hlang kah longpuei dongah a khueh tih a khokan boeih te a hmuh.
22 Hakuna giza, wala hakuna weusi mzito ambao watenda mabaya wanaweza kujificha wao wenyewe.
Boethae aka saii rhoek thuh hamla hmaisuep om pawt tih dueknah hlipkhup khaw a om moenih.
23 Kwa kuwa Mungu hahitaji kumchunguza mtu zaidi; wala hakuna haja kwa mtu yeyote kwenda mbele zake kwa hukumu.
Pathen taengkah laitloeknah dongla a pha ham coeng dongah hlang te koep a cae moenih.
24 Huwavunja vipande vipande watu wenye nguvu kwa ajili ya njia zao ambazo hazihitaji uchunguzi zaidi; huwaweka watu wengine katika nafasi zao.
Aka khuet te khenah a om pawt ah a phaek tih amih yueng la a tloe a khueh.
25 Kwa namna hii ana maarifa juu ya matendo yao; huwatupa watu hawa wakati wa usiku; nao wameangamizwa.
Amih kah khoboe te a hmat dongah, khoyin ah a maelh tih pop uh.
26 Huwaua kwa matendo yao mabaya kama wakosaji dhahiri mbele za watu wengine
Halang rhoek ham tah hmuh nah hmuen ah amih te kut a paeng thil.
27 kwasababu wamegeuka na kuacha kumfuata yeye na wamekataa kuzisadiki njia zake zozote.
Te dongah ni a hnuk lamloh nong uh tangloeng tih a longpuei boeih te a cangbam uh pawh.
28 Na kwa namna hii, wamekifanya kilio cha watu masikini kimfikie; amekisikia kilio cha watu walioteswa.
Tattloel kah pangngawlnah te a taengla pawk tih mangdaeng kah pangngawlnah a yaak.
29 Na wakati akaapo kimya, nani aweza kumhukumu kuwa mkosaji? Kama akiuficha uso wake, ni nani awezaye kumjua? Anatawala sawa sawa juu ya taifa na mtu pia,
Tedae amah te mong tih ulong a boe sak. Maelhmai a thuh vaengah ulong anih a mae? Tedae namtom so neh hlang khat soah khaw rhenten om ta.
30 ili kwamba watu wasiomjua Mungu wasije wakatawala, ili kwamba asiwepo mtu wa kuwanasa watu.
Lailak hlang a manghai khaw pilnam ham hlaeh la poeh.
31 Fikiria mtu akimwambia Mungu, ' Mimi ni mwenye hatia kabisa, lakini sitatenda dhambi tena;
Pathen taengah tah, ‘Ka laikoi pawt khaw ka phueih.
32 nifunze kile ambacho siwezi kukiona; nimetenda dhambi, lakini sitafanya tena.'
Nang kam hmuh pawt ah kai nan thuinuet coeng. Dumlai ka saii mai cakhaw ka koei voel boel eh,’ a ti nama.
33 Je unadhani kwamba Mungu ataiadhibu dhambi ya mtu huyo, kwa kuwa unayachukia yale ambayo Mungu huyatenda? Ni lazima uchague, siyo mimi. Basi sema yale ambayo unayajua.
Na hnawt coeng dongah te kah te namah taeng lamloh na thuung aya? Namah loh na coelh coeng, kai long moenih. Te dongah na ming te thui to.
34 Watu wenye ufahamu wataniambia, kwa kweli, kila mtu mwenye hekima ambaye hunisikia atasema,
Thinko aka khueh hlang rhoek loh, kai taengah thui uh lamtah hlang cueih loh kai taengkah he hnatun saeh.
35 Ayubu anazungumza bila maarifa; maneno yake hayana hekima.'
Job he mingnah neh cal pawt tih, a ol long a cangbam moenih.
36 Kama Ayubu alijaribiwa kwa kitu kidogo kabisa katika kesi yake kwasababu ya kuongea kwake kama watu waovu.
A pa nae, boethae hlang kah taikhaih dongah, Job loh a yoeyah la loepdak saeh.
37 Kwa kuwa anaongeza uasi juu ya dhambi yake; anapiga makofi ya dharau kati yetu; anaweka maneno kinyume na Mungu.”
A tholhnah te mamih laklo ah boekoek neh, a koei uh tih kut a paeng dongah, Pathen taengah a ol pung,” a ti.

< Ayubu 34 >