< Ayubu 32 >

1 Hivyo hawa watu watatu walikoma kumjibu Ayubu kwasababu alikuwa ni mwenye haki katika macho yake mwenyewe.
И така, тия трима човека престанаха да отговарят на Иова, защото беше праведен пред своите си очи.
2 Ndipo iliwaka hasira ya Elihu mwana wa Barakeli Mbuzi, wa familia ya Ramu, iliwaka dhidi ya Ayubu kwa kuwa alijihesabia haki mwenyewe kuliko Mungu.
Тогава пламна гневът на вузеца Елиу, син на Варахиила, от Арамовото семейство. Гневът му пламна против Иова, защото оправдаваше себе си наместо Бога
3 Hasira ya Elihu iliwaka pia kinyume cha marafiki zake watatu kwasababu hawakupata jibu kwa ajili ya Ayubu, na bado walimhukumu Ayubu.
тоже против тримата му приятели пламна гневът му, защото бяха осъдили Иова без да му намерят отговор.
4 Sasa Elihu alikuwa amemsubiri Ayubu ili aweze kuzungumza naye kwa kuwa watu wengine walikuwa wakubwa kuliko yeye.
А Елиу беше чакал да говори на Иова, защото другите бяха по-стари от него.
5 Hata hivyo, wakati Elihu alipoona ya kuwa hapakuwa na jibu katika midomo ya watu hawa watatu, hasira yake iliwaka.
Но когато Елиу видя, че нямаше отговор в устата на тия трима мъже, гневът му пламна.
6 Ndipo Elihu mwana wa Barakeli Mbuzi alinena na kusema, “Mimi ni mdogo, na ninyi ni wazee. Hii ndio sababu nilijizuia na sikuthubutu kuzungumza mawazo yangu mwenyewe.
Тогава вузецът Елиу, син на Варахиила, в отговор рече: - Аз съм млад, а вие много стари; Затова се посвених, и не смеех да ви явя моето мнение.
7 Nilisema, “Urefu wa siku utazungumza; na wingi wa miaka utatufundisha hekima.
Аз рекох: Дните нека говорят, И многото години нека учат мъдрост.
8 Lakini kuna roho ndani ya mtu; pumzi ya Mwenye nguvu humpa yeye ufahamu.
Но има дух в човека; Вдъхновението на Всемогъщия го вразумява.
9 Si tu watu wakubwa ndio wenye hekima, wala watu wazee pekee ambao hufahamu haki.
Не че човеците са велики, за това ще са и мъдри, Нито че са стари, за това ще разбират правосъдието.
10 Hivyo basi nakwambia wewe, “Nisikilizeni mimi; Nitakwambia pia uelewa wangu.'
Прочее, казвам: Слушайте мене; Нека явя и аз мнението си.
11 Tazama, niliyasubiria maneno yenu; nilisikiliza hoja zenu wakati mlipokuwa mnafikiri juu ya kile cha kusema.
Ето, чаках докато вие говорехте, Слушах разсъжденията ви, Когато търсехте какво да кажете;
12 Hakika, niliwajali sana ninyi, lakini, tazama, hakuna hata mmoja wenu aliyeweza kumshawishi Ayubu wala ambaye aliweza kumjibu maneno yake.
Внимателно ви слушах, И ето, ни един от вас не убеди Иова, Нито отговори на думите му;
13 Iweni waangalifu msije mkasema, 'Tumepata hekima!' Mungu atakuwa amemshinda Ayubu; mtu wa kawaida hawezi akafanya hivyo.
За да не речете: Ние намерихме мъдрост. Бог ще го свали, а не човек.
14 Kwa kuwa Ayubu hajasema mojamoja maneno yake juu yangu, basi sitamjibu kwa maneno yenu.
Понеже той не е отправил думите си против мене, То и аз няма да му отговоря според вашите речи.
15 Hawa watu watatu wamep igwa bumbuwazi; hawawezi kuendelea kumjibu Ayubu; hawana neno zaidi la kusema.
Те се смайват, не отговарят вече, Не намират ни дума да кажат.
16 Je ninapaswa kusubiria kwasababu hawazungumzi, kwa kuwa wamesimama pale kimya na wala hawajibu zaidi?
А да чакам ли аз понеже те не говорят, - Понеже стоят и не отговарят вече?
17 La, nitajibu pia upande wangu; Nitawaambia pia ufahamu wangu.
Нека отговоря и аз от моя страна, Нека явя и аз мнението си.
18 Kwa kuwa nimejawa na maneno mengi, roho ndani yangu inanisukuma.
Защото съм пълен с думи; Духът в мене дълбоко ме притиска.
19 Tazama, kifua changu ni kama divai yenye chachu ambayo haina tundu; kama viriba vipya, kiko tayari kupasuka.
Ето коремът ми е като вино неотворено, Близо е да се разпукне като нови мехове.
20 Nitazungumza ili kwamba niweze kuburudishwa; nitafungua kimya changu na kusema.
Ще проговоря, за да ми стане по-леко; Ще отворя устните си и ще отговоря.
21 Sitaonesha upendeleo; wala sitatoa sifa za majina kwa mtu yeyote.
Далеч от мене да гледам на лице, Или да полаская човека.
22 Kwa kuwa sijui namna ya kutoa sifa; kama nitafanya hivyo, Muumba wangu atanikatilia mimi mbali.
Защото не зная да лаская; Иначе Създателят ми би ме отмахнал веднага.

< Ayubu 32 >