< Ayubu 31 >

1 Nimefanya patano na macho yangu; ni kwa namna gani tena napaswa kumtazama mwanamwali kwa tamaa?
“Me ne mʼani yɛɛ apam sɛ meremfi akɔnnɔ mu, nhwɛ ababaa.
2 Ni sehemu gani kutoka kwa Mungu juu, na urithi gani kutoka kwake mwenye nguvu aliye juu?
Dɛn ne onipa kyɛfa a efi ɔsoro Nyankopɔn nkyɛn? Dɛn ne nʼagyapade a efi ɔsoro Tumfo no nkyɛn?
3 Nilikuwa nafikiri kwamba majanga ni kwa watu wasio na haki, na misiba ni kwa ajili ya watu watendao mabaya.
Ɛnyɛ ɔsɛe mma amumɔyɛfo, atoyerɛnkyɛm mma wɔn a wɔyɛ bɔne ana?
4 Je Mungu hazioni njia zangu na kuzihesabu hatua zangu zote?
Onhu mʼakwan na ɔnkan anammɔn biara a mitu ana?
5 Kama nimetembea katika udanganyifu, kama mguu wangu umeharakisha katika uongo,
“Sɛ manantew wɔ nkontompo mu anaasɛ matu mmirika adi nnaadaasɛm akyi a,
6 na nipimwe katika vipimo vilivyo sawa ili kwamba Mungu aujue uadilifu wangu.
ma Onyankopɔn nkari me wɔ nsania papa so na obehu sɛ me ho nni asɛm;
7 Kama hatua zangu zimegeuka kutoka katika njia sahihi, kama moyo wangu umetembea kwa kufuata macho yangu, na kama doa lolote la uchafu limeng'ang'ania katika mikono yangu,
sɛ mʼanammɔntu afom ɔkwan, sɛ me koma adi mʼani akyi, anaasɛ me nsa ho agu fi a
8 na kisha mimi nipande na mtu mwingine na ale; mavuno na yang'olewe katika shamba langu.
ɛno de ma afoforo nni nea madua, na ma wontutu me nnɔbae ngu.
9 Na kama moyo wangu umevutiwa na mwanamke mwingine, ikiwa nimelala na mke wa jirani yangu katika hali ya kusubiria katika mlango wake,
“Sɛ ɔbea bi atɔ me koma so, anaasɛ matɛw me yɔnko bi pon akyi a,
10 na ndipo mke wangu na asage nafaka kwa mwanaume mwingine, na wanaume wengine na walale naye.
ɛno de, me yere nyam ɔbarima foforo aduan, na mmarima afoforo ne no nna.
11 Na kwa hilo litakuwa ni kosa kubwa; kwa kweli, utakuwa ni uovu wa kuadhibiwa na waamuzi.
Efisɛ anka ɛno na ɛbɛyɛ aniwusɛm ne bɔne a ɛsɛ sɛ wɔtwe aso wɔ so.
12 Kwa kuwa ni moto ambao unateketeza kila kitu kwa uharibifu, na kwamba utaunguza mavuno yangu yote.
Ɛyɛ ogya a ɛhyew kodu Ɔsɛe mu; na ebetumi atutu me nnɔbae ase.
13 Ikiwa nilikataa ombi la haki kutoka kwa watumishi wangu wa kiume na wa kike wakati walipohojiana nami,
“Sɛ mabu mʼasomfo mmarima ne mmea ntɛnkyew, bere a wɔne me nyaa asɛm,
14 kisha nini basi ningefanya wakati Mungu anapoinuka ili kunishitaki mimi? Atakapokuja kunihukumu, nitamjibuje?
sɛ Onyankopɔn de si mʼanim a dɛn na mɛyɛ? Sɛ wɔfrɛ me akontaabu a, mmuae bɛn na mɛma?
15 Je yeye aliyenifanya mimi tumboni hakuwafanya wao pia? Je yeye si yeye yule aliyetuumba sisi wote katika tumbo?
Ɛnyɛ nea ɔbɔɔ me wɔ ɔyafunu mu no na ɔbɔɔ wɔn? Ɛnyɛ onipa koro no na ɔyɛɛ yɛn baanu wɔ yɛn nanom yafunu mu?
16 kama nimewanyima watu masikini matakwa yao, au kama nimesababisha macho ya wajane yafifie kwa kulia,
“Sɛ mamma ahiafo nea wɔn koma pɛ anaa mama akunafo ani ayɛ wɔn yaw,
17 au ikiwa kama nimekula kipande changu na sijawaruhusu wale wasio na baba kukila pia -
sɛ mabɔ mʼaduan ho atirimɔden a mamma ayisaa bi,
18 kwasababu tangu ujana wangu yatima walikua pamoja nami kama kuwa na baba, nami nimemwongoza mama yake, mjane, tangu katika tumbo la mama yangu mwenyewe.
nanso efi mmerantebere mu matetew no sɛnea agya bɛyɛ, na efi ɔyafunu mu, mahwɛ akunafo.
19 ikiwa nimemwona yeyote akiangamia kwa kwa kukosa mavazi, au kama nimemwona mtu mhitaji akiwa hana nguo;
Sɛ mahu obi a onni adurade na ɔrebrɛ, anaa ohiani bi a onni atade,
20 ikiwa moyo wake haujanibariki kwasababu amekuwa hajatiwa joto na sufu ya kondoo zangu,
na sɛ wɔamfi koma mu anhyira me sɛ mede me nguan ho nwi kaa wɔn hyew,
21 ikiwa nimeinua juu mkono wangu kinyume na watu wasio na baba kwa kuwa niliona msaada wangu katika lango la mji, na kisha kuleta mashitaka dhidi yangu.
sɛ mama me nsa so atia ayisaa bi, esiane sɛ mewɔ tumi wɔ asennii nti a,
22 Ndipo bega langu na lianguake kutoka katika sehemu yake, na mkono wangu uvunjike katika kiungo chake.
ɛno de, ma me basa mpan mfi me mmati, ma emmubu mfi nʼapɔw so.
23 Kwa kuwa niliogopa uharibifu kutoka kwa Mungu; kwasababu ya mawazo ya ukuu wake, nisingeweza kufanya mambo hayo.
Misuroo ɔsɛe a efi Onyankopɔn nkyɛn, na nʼanuonyam ho suro nti mantumi anyɛ saa nneyɛe no.
24 Kama ningeifanya dhahabu kuwa tumaini langu, na kama ningesema kwa dhahabu safi, 'wewe unanifanya kuwa na tumaini';
“Sɛ mede me werɛ ahyɛ sikakɔkɔɔ mu anaasɛ maka akyerɛ sikakɔkɔɔ ankasa se, ‘Wo na wobɔ me ho ban,’
25 na kama nimefurahi kwasababu ya utajiri wangu ulikuwa mkubwa, kwa kuwa mkono wangu umepata mali nyingi, na kisha kuleta mashitaka dhidi yangu!
sɛ masɛpɛw me ho wɔ mʼahode bebrebe nti, ahode a me nsa aka yi,
26 Ikiwa nimeliona jua lilipowaka, au mwezi ukitembea katika mng'ao wake,
sɛ mahwɛ owia ne ne hyerɛn anaa ɔsram a ɔnam anuonyam mu,
27 na kama moyo wangu umevutwa kwa siri, ili kwamba mdomo wangu umeubusu mkono wangu katika ibada yao -
ama aka me koma a obiara nnim na me nsa yɛɛ wɔn atuu de nidi maa wɔn a,
28 hili nalo pia lingekuwa ni ubaya wa kuadhibiwa na waamuzi, kwa kuwa ningekuwa nimemkana Mungu aliyejuu.
ɛno de, na eyinom nso bɛyɛ bɔne a wobu ho atɛn, efisɛ na manni Onyankopɔn a ɔte ɔsoro no nokware.
29 Ikiwa nimefurahia uharibifu wa yeyote ambaye ananichukia mimi, au kuwapa hongera wakati majanga yanapowapata, ndipo ulete mashitaka dhidi yangu!
“Sɛ mʼani gyee wɔ me tamfo amanehunu nti anaa mesrew no wɔ ɔhaw a aba ne so nti,
30 Kwa kweli sijauruhusu hata mdomo wangu kutenda dhambi kwa kuuomba uhai wake kwa laana.
memmaa mʼano nyɛɛ bɔne sɛ mɛdome ne nkwa,
31 Ikiwa watu wa hema yangu hawajasema,' Nani aweza kumpata mtu ambaye hayashibishwa na chakula cha Ayubu?
sɛ nnipa a wɔwɔ me fi mu nkaa da sɛ, ‘Hena na Hiob pon so nam mmee no da?’
32 (hata mgeni hajawahi kukaa katika pembe ya mji, kwa kuwa siku zote nimefungua milango yangu kwa ajili ya wasafiri), na kama haiko hivyo, ndipo mlete mashitaka kinyume nami!
Ɔhɔho biara anna abɔnten so da, efisɛ me pon ano daa hɔ da biara maa akwantufo,
33 Ikiwa, kama binadamu nimezificha dhambi zangu kwa kuficha hatia ndani ya kanzu yangu -
Makata me bɔne so sɛnea nnipa yɛ de mʼafɔdi ahyɛ me koma mu
34 kwa kuwa niliogopa kusanyiko kubwa, kwasababu ya matwezo ya familia yaliniogopesha, hivyo basi nilinyamaza kimya na sikuweza kwenda nje, basi nileteni mashitaka dhidi yangu!
esiane sɛ misuroo nnipadɔm ne ahohora a efi mmusua hɔ no nti na meyɛɛ komm a mamfi adi.
35 Ee, kama nilikuwa na mtu wa kunisikiliza! Ona, hii ni saini yangu; na Mwenye nguvu na anijibu! Ikiwa nilikuwa na shitaka rasmi ambalo adui yangu ameliandika!
(“Ao, sɛ anka mewɔ obi a obetie me. Mede me din ahyɛ mʼanoyi ase, ma Otumfo no mmua me; ma nea ɔbɔ me kwaadu no nkyerɛw ne sobobɔ.
36 Hakika ningelibeba hadharani juu ya bega langu; ningeliweka juu kama taji.
Ampa ara, mɛhyɛ wɔ me mmati, mɛhyɛ sɛ ahenkyɛw.
37 Ningemweleza hesabu ya hatua zangu; na kama mwana wa mfalme mwenye kujiamini ningepanda kwenda kwake.
Mebu mʼanammɔntu biara ho akontaa akyerɛ no; mɛkɔ nʼanim sɛ ɔheneba.)
38 Kama nchi yangu ingelia dhidi yangu, na matuta yake yaomboleza pamoja,
“Sɛ mʼasase teɛ mu tia me na nusu fɔw ne nkɔ nyinaa,
39 ikiwa nimekula mavuno yake bila kulipia au kama nimesababisha wamiliki wake kupoteza maisha yao,
sɛ madi so aba a mintuaa ka anaasɛ mabu so apaafo no aba mu a,
40 ndipo miiba na iote badala ya ngano na magugu badala ya shayiri.” Maneno ya Ayubu yamemalizika.
ma nsɔe mfifi nsi awi anan mu na wura mfuw nsi atoko anan mu.” Hiob nsɛm no asi.

< Ayubu 31 >